Tanzania ya enzi hizo katika picha
Nakumbuka miaka hiyo kulikuwa na kauli mbiu ambazo Baba wa Taifa alipata kuzitumia na hata akaandika vitabu vidogo kuhusiana na kauli mbiu hizo, nazo ni Uhuru ni Kazi na Uhuru na Kazi. Kulimbiu hizi hata leo bado zina mantiki kubwa sana.
 
View attachment 74223
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947

View attachment 74224
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front

View attachment 74225
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s

View attachment 74226
Salender Bridge 1960s

View attachment 74227
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!

View attachment 74228
Seaview-Mawingu House 1960

View attachment 74229
Arusha-Clock Tower 1966

View attachment 74230
Dodoma City Center 1974

View attachment 74231
Bukoba City Center 1972

View attachment 74232
Jengo La CCM Likiwa Linajengwa Enzi Hizo

View attachment 74233
Korogwe Hotel

View attachment 74234
Same Hotel

View attachment 74235
Musoma 1960

View attachment 74236
Handeni Bomani Enzi Hizo

View attachment 74237
Shule Ya secondary Kisutu 1975

View attachment 74238
Iyunga Secondary 1966

Tupia Nyingine na wewe kama Unazo za Enzi Hizo za Popote pale ndani ya Tanzania::::Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Uhuru::09 Dec 2012
Mkuu safi sana hizi picha ni kipusa,ni muhimu kuwa na historia na pia ni muhimu kukumbuka tulikotoka na si tuendako tu
 
Kumbe mishikaki kwenye bodaboda imeanza kitambo sana
1947?????????????

attachment.php
 
maeneo mengi ya kizamani yamekuwa kama yametelekezwa tu..! hamna ukarabati wa majengo wala nini!
 
we umenikumbusha mbaliii bado mavazi yetu yale ambayo sasa ni fashion ya maana to.
 
mnara wa Bisimini- it was called so,because previously there was a statue of a german general Wissman. The locals could not pronounce the name right and called it Bisimini
308280_10150361231483156_1588777659_n.jpg
 
Back
Top Bottom