mbona hawa "hawakuanza" wakati wa Magufuli; na sidhani kama kuna serikali duniani imefanikiwa kuwaondoa hawa... wengine imechukua miongo kadhaa kuwafikia (rejea mfano wa Cambodia na Chile)...
Watashangaa sana Mwana mama atakapoanza kusimama mwenyewe bila kujiegemeza kwa yeyote...mbona hukuwahi kusema kwamba " Tanzania ya Magufuli bado ni ya Kikwete..."?
..Kuna ugumu gani kwako kuitambua awamu hii, na serikali yake, kuwa ni ya Mama Samia Hassan Suluhu?
..Ulivyoandika ni kama vile Uraisi wa Samia Suluhu Hassan, siyo kamili, bali ni Uraisi wa ubia na mtangulizi wake.
Na pia tupo wengine tunaoamini kuwa JPM rip alimweka Kakoko bandarini ili kudhibiti uingizaji wa makontena ya magendo na utoroshaji wa makontena yenye rasilimali.Tatizo lako unadhani Magufuli alichukiwa na wapinzani pekee. Na usijitoe ufahamu kuwa Magufuli alilazimishwa tu kuwa na Mama Samia kama mgombea mwenza na hatimaye Makamu wake.
Najua unajua vema nini Magufuli alimfanyia Mama Samia kwa kumtumia Makonda 2016. Ndo maana narudia: usijitoe ufahamu.
Magufuli alituongopea kuwa ATCL ilikuwa inapata faida, leo Mama Samia hana hata wiki Ikulu kawezesha ukweli kuwekwa hadharani kuwa bombadia zimeleta hasara mfululizo kwa miaka mitano. Na tumeambiwa kwa mara ya kwanza kuwa ATCL imetengeneza hasara ya bilioni 60.
Lakini Mama Samia amekwenda mbali zaidi. Amemtimua mtu wa Magufuli pale bandarini.
Najua huu ni wakati mgumu kwa mliojikomba kwa Magufuli na hamna njia zaidi ya kujitoa ufahamu kuwa mtaendelea kuonekana wa maana. Hizi ni zama mpya. Zenu zimekuwa rasmi na kuzikwa Chato. Poleni
Mzee Mwanakijiji, kwa kumbukumbu tu April 17, 2018, niliandika hivi, nanukuu..,Ndio angalizo langu; yaani watamgeuka huyu hadi wataanza kukumbushia zama za Jiwe; kama walivyokuja kumkumbuka JK...
Wamesahau kwamba Samia ni yule yule aliewasulubu kwenye bunge la katibaNgoja awafokee tuone mtakavyomshukia hadi namuonea huruma...
Wameshasahau hao ni wale wanyama wa Serengeti wakiwa na vuka mto Mara na kuliwa na Mamba kwa ulaini tu.Wamesahau kwamba Samia ni yule yule aliewasulubu kwenye bunge la katiba
Ni kweli Samia ni ccm lakini katu hawezi kuchukua Tabia na mwenendo wa Magufuli , Samia hatoivunja Ilani ya ccm wala hataiweka ccm mfukoniHawa vijana wa bavicha ni wajinga Sana, na mbaya zaidi huu ujinga umefika Hadi kwa viongozi wao wakubwa. Wamesahau kabisa kuwa mama Samia ni CCM, na wanaonyesha kuwa ccm bado Kuna viongozi wengi wazuri na unabaki unajiuliza hivi 2025 watasimamisha mgombea?
Endelea kuota!! CCM ni dola usifikiri ni Saccos kama Chadema. Be informed dada!!Ni kweli Samia ni ccm lakini katu hawezi kuchukua Tabia na mwenendo wa Magufuli , Samia hatoivunja Ilani ya ccm wala hataiweka ccm mfukoni
Hata wakati wa kikwete mbona ilikuwa dola , mbona hatukuona viroba vya maiti ?Endelea kuota!! CCM ni dola usifikiri ni Saccos kama Chadema. Be informed dada!!
Labda ulikuwa bado hujabarehe!Hata wakati wa kikwete mbona ilikuwa dola , mbona hatukuona viroba vya maiti ?
Hakuna upinzani Tanzania.Kwa mshangilio huo,inawezekana hata 2025 wasishiriki uchaguzi mkuu. Watamuacha mama Samia apite
Bado Wana Imani kubwa Sana na ccm
Chama kilekile.
Ilani ileile.
Katiba ileile.
Watu ni walewale kasoro mmoja tu.
I am sober. I am managing my expectations.
Sitegemei tofauti kubwa.
5 Jul 2018
MKAPA AMKOSOA VIKALI MAWAZIRI WA JPM ''Apinga utumiaji wa neno MIMI MIMI badaa ya Serikali ya CCM"
Aliekwambia hii nchi inaendeshwana Agenda alikudanganya sana kaka..
Unazungumziaje swala la 'mzalendo' kuondoka na WizI wa Mabilioni TPA na hasara za kutupa za shirika pendwa la ndege za Cash..
Issue hapa ni muovu ameondoka na amani imetawala.. kwamba kuna Agenda za Uchaguzi na blabla zake ni huko mbele ya safari ... watu tuish maisha ya utu na kuheshimiana hilo ndio la msingi
FYI kwa mujibu wa Katiba yetu Rais ndio kila kitu... so is Samia. ..
Sema nyinyi mafisadi na wauza madawa ndiyo mlikuwa mnaishi na wasiwasi kwa matendo yenu. Lakini kumbuka bado serikali ileile inaendelea ukirudia makosa yako unaenda na maji. Angali video clip hapa chini uone watz walivyomuaga Jemedari wetu kama wangekuwa hawana amani wangemuaga hivi??Aliekwambia hii nchi inaendeshwana Agenda alikudanganya sana kaka..
Unazungumziaje swala la 'mzalendo' kuondoka na WizI wa Mabilioni TPA na hasara za kutupa za shirika pendwa la ndege za Cash..
Issue hapa ni muovu ameondoka na amani imetawala.. kwamba kuna Agenda za Uchaguzi na blabla zake ni huko mbele ya safari ... watu tuish maisha ya utu na kuheshimiana hilo ndio la msingi
FYI kwa mujibu wa Katiba yetu Rais ndio kila kitu... so is Samia. ..