Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Mzee unajilisha upepo tu au umenatumika kusambaza propaganda ambayo haipo magufuli hajawahi kuwa kwenye kumi Bora mama Samia hata form six sidhani kama amefika huyu Nchimbi hajawahi kuwa kwenye kumi Bora ila alikuwa mtoto wa kigogo Kwa Sasa CCM ilipofika kama huna vinasaba na vigogo basi kupata madaraka sahau au ufanye kazi kweli kweli kuingia kwenye mfumo na ujipendekeze kama makonda alovyofosi king 👑 hizo nyingine unazokuja nazo ni hadithi
 
Kama ulishawahi kuwa kwenye kumi Bora ukatengemea kuiongoza CCM umefeli pale wameshindwa maprofesa wakapata kina JPM na Samia ambaye sidhani kama hata degree alikuwa nayo
 
Hauwezi kuwa MGOMBEA MWENZA kama huna SHAHADA YA KWANZA! Wale watu ni SMART sana na ile nafasi ya UENYEKITI WA CHAMA ni nafasi muhimu katika nchi, hapo huwa hawaleti utani..


Hata ukiangalia nafasi ya MGOMBEA MWENZA wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], yupo vizuri kwa upande ELIMU YA SHULE na wenzenu wale ambao wanaifahamu SIASA YA TANZANIA vizuri ~ huwa wanaandaa VIONGOZI WA BAADAE kwa kuangalia matokeo ya kumaliza ELIMU YA MSINGI au ELIMU YA SEKONDARI.


MISTER CLEAN ndiyo alikuwa anafanya hivyo! Alikuwa anaandaa VIONGOZI WA BAADAE kwa kuangalia matokeo ya SHULE YA MSINGI au SHULE YA SEKONDARI.
 
Kama ulishawahi kuwa kwenye kumi Bora ukatengemea kuiongoza CCM umefeli pale wameshindwa maprofesa wakapata kina JPM na Samia ambaye sidhani kama hata degree alikuwa nayo
PROFESA siyo NATIONAL FLAG BEARERS [NFB]! PROFESA ni kiwango cha elimu kama ilivyo SHAHADA YA UZAMIVU au SHAHADA YA UZAMIRI au SHAHADA YA KWANZA au hata DIPLOMA inayotolewa na CHUO KIKUU.

Yaani hazi ya MITIHANI YA TAIFA [NATIONAL EXAMINATIONS] hauwezi kulinganisha na MITIHANI YA CHUO KIKUU [UNIVERSITY EXAMINATIONS]! Hazi zao hazifanani ni kama MAFUA na EBOLA..


Huyu JPM alikuwa katika ORODHA YA WANAFUNZI KUMI [10] BORA waliofanya vizuri kitaifa akiwa KIDATO CHA NNE kwa upande wa SOMO LA CHEMISTRY na alikuwa namba tano [5]. Sema hakuandaliwa vizuri kuwa MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].


Aina hii ya SIASA ilikuwa inapatikana SHULE YA MOSHI SEKONDARI ~ pale kila mwaka walikuwa wanatoa wanafunzi bora, aidha kwa ujumla au katika somo moja lililosajiliwa kama MTIHANI WA TAIFA kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA].

Yaani wale WANAFUNZI waliokuwa wanafahamu haya mambo tangu siku nyingi, walikuwa wanajikita katika kuongoza kitaifa angalau somo moja, ili awe NFB au wengine wanaita FB. Hata akipata "DIVISION THREE" inakuwa haina shida.


Kwahiyo baada ya kumaliza ELIMU YA MSINGI na ELIMU YA SEKONDARI, kinachofuata huwa ni kupata SHAHADA YA KWANZA ili kumuwezesha mhusika kuwa na SIFA ZA URAIS.
 
Naona huyu alikuwa mchawi wako umeamua kumuanika .kila posti...
Anaonekana hakupendezwa na ushindi wako,
Sasa humo kwenye boksi walikupa nini?

 
Naona huyu alikuwa mchawi wako umeamua kumuanika .kila posti...
Anaonekana hakupendezwa na ushindi wako,
Sasa humo kwenye boksi walikupa nini?

View attachment 3225599
Hiyo ndiyo SIASA YA TANZANIA kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na WAINGEREZA huwa wanasema ~ "Results of Education is to produce the elites who will divorce from the masses and resolve to stay in power but probably not a new ruling class".
 
Siasa za Ujamaa zilikuwa anguko lake
Moja ya madhaifu ya SIASA ZA UJAMAA ilikuwa ni kuharibu kabisa MIFUMO YA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kiasi ambacho hadi leo hatuna "ARMY", tuna "MILITARY"!


Ndiyo! TANZANIA bado tuna "MILITARY" na hatuna "ARMY" kama ilivyo kwa MATAIFA mengine ya AFRIKA YA KUSINI, BOTSWANA, KENYA na MISRI.

WAINGEREZA huwa wanasema ~ "There's a slightly different between MILITARY and ARMY". And TANZANIA has got no ARMIES.. 😁


Lakini hauwezi kumlaumu HAYATI MWALIMU moja kwa moja, kwa sababu TANZANIA bado ipo chini ya MAMLAKA YA KIINGEREZA [BRITISH AUTONOMY] hadi leo.
 
Hivi mkuu utofauti wa military na army si ni kwamba military inakuwa Ina fighting unit katika maeneo mengi kama kwenye anga, majini, na ardhini na army inakuwa yenyew na fighting unit kwenye land tu
 
Hivi mkuu utofauti wa military na army si ni kwamba military inakuwa Ina fighting unit katika maeneo mengi kama kwenye anga, majini, na ardhini na army inakuwa yenyew na fighting unit kwenye land tu
Mimi sifahamu kwa undani! Haya masuala watakuwa wanafahamu zaidi wahusika katika masuala yanayohusu ULINZI NA USALAMA.

Tena afadhali hata miaka ya nyuma. Sasa hivi huko hakuna kitu, vijana wengi wamejiunga kwa hofu ya kukosa ajira.. 😁


Wale waliotakiwa kuwepo huko, wapo sekta nyingine na wengine wanatoka ndani ya CHAMA TAWALA na kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kwa nia ya kuonesha UMOJA na hii imekuwa ni kinyume chake ~ kwani miaka ya nyuma, zamani MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA ndiyo yaliyokuwa yanatoa VIONGOZI na WANASIASA wazuri.


Lakini sasa hivi hali imekuwa ni tofauti kabisa! Hata JESHI LA RWANDA [RDF] linajinadi kwamba ni ARMY na siyo tena MILITARY kama ilivyokuwa siku zilizopita. Mfano kuna GERMANY ARMY, RUSSIA ARMY, US ARMY, BRITISH ARMY n.k
 
Hivi mkuu utofauti wa military na army si ni kwamba military inakuwa Ina fighting unit katika maeneo mengi kama kwenye anga, majini, na ardhini na army inakuwa yenyew na fighting unit kwenye land tu
Sehemu yoyote yenye ARMY kunakuwa hakuna BLACK MARKET [hii namna ya kumiliki kampuni au amana mbalimbali kwa kutumia majina ya watu wengine inakuwa hakuna]!


Yaani INTERROGATION inakuwa katika hali ya kiwango cha juu! Kunakuwa hakuna GENOCIDE [iwe ni ACADEMIC GENOCIDE au MASS GENOCIDE] na kunakuwa hakuna HUMAN RIGHTS ABUSING [hasa CHILD ABUSING].
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
Hiyo ndiyo SIASA! Kipindi kile cha miaka ya sitini [1960's] ambapo JESHI LA WANANCHI TANZANIA [JWTZ] linaasisiwa, HAYATI MWALIMU aliulizwa na UINGEREZA kuwa angelipenda kuwa na jeshi la aina gani?

Kwa sababu unaweza kuunda JESHI likawa ni "MILITARY" au "ARMY" kwa kutegemea mazingira ya wakati uliopo na ujao!


HAYATI MWALIMU alipendekeza awe na JESHI ambalo ni "MILITARY" kwa masilahi mapana ya CHAMA CHA TANU.

Yaani "MILITARY" linakuwa ni JESHI ambalo limejikita katika masuala yanayohusu JESHI tu na linakuwa halihusiki na masuala ya kiraia, lakini "ARMY" linakuwa ni JESHI ambalo limejikita katika masuala ya JESHI na kuhakikisha sheria na taratibu za nchi zinafuatwa katika kila SEKTA.


Kwahiyo hii ilikuwa ni miongoni mwa SERA ZA UJAMAA kupitia CHAMA CHA TANU na usishangae kuona leo CHAMA TAWALA kinakuwa na watu wenye sifa nzuri kuliko hata WATUMISHI WA SERIKALI.
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu

Hawa "ARMY" huwa ni jukumu lao kuhakikisha sheria na taratibu za nchi zinafuatwa, hata sehemu ambayo wakienda kufungua "BASE" kwa upande wa MATAIFA mengine huwa ni kawaida kuhakikisha sheria na taratibu za TAIFA husika zinafuatwa.


MATAIFA yote ambayo wamefanikiwa kuwa na "ARMIES" wamepiga hatua kubwa za kimaendeleo, hata uwezekano wa kufanyika MAPINDUZI YA KIJESHI inakuwa hamna kwa sababu JESHI linakuwa ni UTI WA MGONGO WA SERIKALI [GOVERNMENT BACKBONE] katika kila SEKTA.


Kwa upande wa MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI, ni KENYA pekee yake ambayo imefanikiwa kuwa na ARMY.
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
Hii kauli ya kusema ~ "WATANZANIA ni wajinga, lakini siku wajinga wakipata elimu wataelemika na wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wana matatizo ya afya akili, ndiyo maana wanashindwa kuishi kwa kuvuliana. Hata ukichora mlango chini au ukutani wao watatamani kufungua huo mlango waangalie ndani kuna nini na wakikosa ufunguo watabomoa huo mlango!. Hivyo mnapaswa kuishi nao kwa tahadhari.." ilitolewa na WAJERUMANI baada ya TANZANIA kufanyika kuwa SOBER HOUSE kwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO [1994].


Pia wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walisema ~ "WATANZANIA huwa wanaonea wivu wao kwa wao, unaweza kumpa pesa MTANZANIA na akammaliza MTANZANIA mwenzake.." Hii kauli iliishi kwa aliyekuwa RAIS WA PILI hadi pale umauti ulivyomkuta [2024].


Kwahiyo wenzenu kwa kuishi kwa tahadhari ~ wale waliokuwa MARAIS WA AWAMU YA KWANZA [1964-1985], AWAMU YA PILI [1985-1995], AWAMU YA TATU [1995-2005] na AWAMU YA NNE [2005-2015] walikuwa wanalindwa na watu wa kutoka kwao.


Lakini ilivyoingia AWAMU YA TANO [2015-2021] ilifanya kila kitu kinyume chake na iliamua kuchanganya watu kwa nia ya kuonesha umoja, hata wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikuwa wanafanya kazi katika OVAL OFFICE.
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
Hata hawa WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA huwa wanalindwa na watu wa kutoka kwao ~ masuala kama ulinzi binafsi, dereva binafsi na mahusiano ya kimapenzi huwa ni faragha ya mhusika na haipaswi kuingilia.


Tena afadhali hata uraiani! Kwa jamii tuliyonayo TANZANIA, ambayo inafanya GENOCIDE [iwe ni ACADEMIC GENOCIDE au MASS GENOCIDE itabaki kuwa ni GENOCIDE tu] inakuwa ni ngumu kupata ASKARI.


Wale wote ambao wamepita kwenye MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA wanafanyika kuwa ni WAPIGANAJI, sio ASKARI. Kwa sababu hauwezi kupata ASKARI katika jamii inayofanya GENOCIDE.

Popote pale, WAPIGANAJI huwa hawaaminiki!! Labda wale NATIONAL FLAG BEARERS [NFB] ndiyo wanaweza kuwa ni ASKARI WA KUAMINIWA, tena huwa wanaambiwa ilitokea makosa katika kuchapisha CHETI CHA KUHITIMU [badala ya kuandika DIVISION ONE YA POINTI SABA, wakaandika DIVISION ONE YA POINTI KUMI NA SABA au walisahau kuweka nukta]. Lakini huwa inakuwa ni "TOO LATE"..


Kwahiyo JAMII YA KITANZANIA ndiyo ipo hivyo na mitego ipo mingi sana kiasi ambacho kama mhusika akiwa hafahamu, anaweza kupotea mazima.
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
Ukiwa pale SINZA KIJIWENI, barabara ya SHEKILANGO - MAKUMBUSHO kuna jengo lipo barabarani na limeandikwa kwa jina la umiliki likiwa linaonesha jina la MWANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE [2007] bila ya ridhaa yake na sijui kama wameshaondoa au bado!


Pale kuna OFISI YA BALOZI WA NYUMBA KUMI [10] na OFISI YA MTENDAJI WA KATA! Pia kuna OFISI YA DIWANI, BARAZA LA MADIWANI, OFISI YA MEYA pamoja na OFISI YA MBUNGE! Pia kuna OFISI YA MKOA NA SERIKALI ZA MITAA.


Kwahiyo BLACK MARKET imekuwa ni kawaida sana kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, lakini wasiwasi unakuwa mkubwa kwa wahanga ambao majina yao yanakuwa yanatumika kama SOFT TARGET pamoja na VIONGOZI WA KITAIFA.
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
SOFT TARGET ilianza kutumika RWANDA na ikafanikiwa kuwa na matokeo ya kuidondosha SERIKALI [1994]!

SOFT TARGET iliendelea kutumika BURUNDI na kufanikiwa kuwa na matokeo ya kuidondosha SERIKALI [1994]!

SOFT TARGET inaendelea kufanyika KONGO na kufanikiwa kuwa na VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE hadi leo.

SOFT TARGET iliendelea kutumika SOMALIA NA SUDANI, tena wao walikuwa wanatumia RAIA WA KAWAIDA kama kinga kipindi cha VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE.


SOFT TARGET imeendelea kufanikiwa sana katika MATAIFA ambayo ni AUTONOMIES au SEMI - AUTONOMIES, kutokana na suala la ULINZI NA USALAMA kutokuwa ni kipaumbele cha kwanza kwa MATAIFA ambayo ni AUTONOMIES au SEMI AUTONOMIES, wao masuala ya ULINZI NA USALAMA wanawaachia WATAWALA. Mfano mzuri ni TANZANIA.
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
SOFT TARGET imeendelea kufanikiwa sana katika MATAIFA ambayo ni AUTONOMIES au SEMI - AUTONOMIES, kutokana na suala la ULINZI NA USALAMA kutokuwa ni kipaumbele cha kwanza kwa MATAIFA ambayo ni AUTONOMIES au SEMI - AUTONOMIES, wao masuala ya ULINZI NA USALAMA huwa wanawaachia WATAWALA. Mfano mzuri ni TANZANIA..


Kwa upande wa TAIFA LA RWANDA, kabla ya MAUAJI YA KIMBARI [1994] ~ masuala ya ULINZI NA USALAMA walikuwa wanawaachia UBELIGIJI.

Pia walikuwa hawana utaratibu wa kufanya INTERROGATION [mahojiano] kama ilivyo leo kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.

BLACK MARKET ilifanikiwa kwa kiwango cha juu sana, na hii ilitokana na SABOTAGE ambayo huwa inaanzia ndani ya SERIKALI yenyewe kutokana na kuwa na wafanyakazi ambao siyo waaminifu.


Baada ya kustawi kwa BLACK MARKET huwa inafuata SOFT TARGET, ambayo huwa inahusisha umiliki kampuni na amana mbalimbali kwa kutumia majina ya watu wengine bila ya ridhaa yao.


Baadae, zile SOFT TARGET ziligeuka na kuwa hifadhi ya wapiganaji na sehemu ya kuhifadhia silaha. Kilichofuata, SERIKALI YA RWANDA ilidondoka kwa uzembe wao wenyewe.


Baada ya MAUAJI YA KIMBARI [1994] kuisha, SERIKALI YA RWANDA ilianza utaratibu wa kufanya INTERROGATION [mahojiano] na kulasimisha rasilimali zote zinazopatikana nchini RWANDA.

Yaani walianza kufanya zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI na waligundua kulikuwa na kampuni ambazo hata wamiliki wake walikuwa hawajawahi kufika nchini RWANDA.

Kulikuwa kuna hoteli na nyumba za kulala wageni ambazo wamiliki halali kwa majina yao, yaliyoandikwa katika hati yalikuwa ni majina ya kughushi.


Kila mwananchi aliambiwa ainishe vitu ambavyo anamiliki ~ kuna vitu vilikosa wamiliki na kuna baadhi ya majina ya wamiliki yalikuwa yanaonesha hao wahusika walikuwa hawajahi kufika hata RWANDA.

Kuna RAIA WA KINYARWANDA walionekana kama wamepoteza kumbukumbuku au kuchanganyikiwa baada ya kutaka kupewa mali zao, lakini kumbe ni majina yao ndiyo yaliyokuwa yakitumika katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao.


Kwahiyo kuna baadhi ya vitu vilitaifishwa [CONFISCATION au SEIZED] na SERIKALI baada ya kukosekana kwa wamiliki halali. Lakini pia ukiwa pale RWANDA, UBELIGIJI inaonekana kuwa bado ipo kupitia kwa mgongo wa UINGEREZA na waliondoka walikuwa ni PUISSANTS [BSC] ambao ni WAHUTU pamoja na WAKONGO.
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
Hii BLACK MARKET pamoja na SOFT TARGET ilifanikiwa sana kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO hadi ilipelekea mabadiliko ya KISIASA.

Wao [MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO] walifanikiwa kwa sababu walikuwa wanatumia majina ya watu wa kutoka MATAIFA mengine katika kufanya BLACK MARKET na hatimaye kuwa na SOFT TARGET.

Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, BLACK MARKET imekuwa ngumu kufanikiwa kwa sababu wanatumia majina ya WATANZANIA [hasa wanafunzi bora wa SHULE YA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI] katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao.

Wao [wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO ambao ni WAHANGA WA KIVITA] wanasema wanahitaji kushikwa mkono ili waweze kuitumia TANZANIA katika kuwekeza ng'ambo ya nchi.


Lakini bado wanaendelea kufanya mambo ya ajabu, ndiyo unaona MATAKO BAR inamilikiwa na MWANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE [2007]! Kiuhalisia hakuna MTANZANIA HALISI [Haya hapa ndio makabira 125 Tz , je we uko namba ngapi hapo] anayeweza kufungua BAR akaita MATAKO..


Hata wale KIKUNDI CHA WAASI WA FDLR, fedha za udhamini zinatoka TANZANIA katika ile kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayofanya shughuli za usafirishaji.

Kwahiyo kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, BLACK MARKET imekuwa ngumu kufanikiwa kwa sababu wanatumia majina ya WATANZANIA [hasa wanafunzi bora]. Sema WAHANGA wa BLACK MARKET pamoja na SOFT TARGET ndiyo wanaongezeka kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…