Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Ndio!

Hivi unafahamu kipindi wanajeshi wa JWTZ walivyoamua kumjengea nyumba HAYATI MWALIMU, walimwambia hivi - Ni aibu kwa BABA WA TAIFA kuwa na nyumba ndogo ambayo hata tembo hatoshi!

Unafahamu HAYATI MWALIMU alivyowajibu wale waliokuwa wanajeshi wa JWTZ? Aliwajibu hivi - Nyinyi ni wajinga, mimi nina uwanja mkubwa unaoweza kuchukua tembo zaidi elfu moja.

Sasa swali lingine linakuja, huo uwanja aliokuwa akiusema HAYATI MWALIMU ulikuwa ni uwanja upi? Huo uwanja ni ule uliokuwa ukitumiwa na timu ya mpira ya UJERUMANI 🇩🇪, iliyokuwa ikijulikana kwa jina la BAYERN MUNICH.

Tangia hapo, sura yenye picha ya HAYATI MWALIMU iliwekwa kwenye NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].


Hiyo ndio historia ya NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].

4c8570a67268e0d8100c4fb5bf813a8e.png

Na hawa MWASHITA yaani SIMBA wapo hadi ULAYA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa uwanja wa STADIO SAN PAOLO pamoja na timu ya SOCIETA SPORTIVA CALCIO NAPOLI [ SSC NAPOLI ] inayoshiriki ligi kuu nchini ITALIA 🇮🇹.
 
Ndio!

Hivi unafahamu kipindi wanajeshi wa JWTZ walivyoamua kumjengea nyumba HAYATI MWALIMU, walimwambia hivi - Ni aibu kwa BABA WA TAIFA kuwa na nyumba ndogo ambayo hata tembo hatoshi!

Unafahamu HAYATI MWALIMU alivyowajibu wale waliokuwa wanajeshi wa JWTZ? Aliwajibu hivi - Nyinyi ni wajinga, mimi nina uwanja mkubwa unaoweza kuchukua tembo zaidi elfu moja.

Sasa swali lingine linakuja, huo uwanja aliokuwa akiusema HAYATI MWALIMU ulikuwa ni uwanja upi? Huo uwanja ni ule uliokuwa ukitumiwa na timu ya mpira ya UJERUMANI 🇩🇪, iliyokuwa ikijulikana kwa jina la BAYERN MUNICH.

Tangia hapo, sura yenye picha ya HAYATI MWALIMU iliwekwa kwenye NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].


Hiyo ndio historia ya NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].

0946a46f5a682a68346ecff90f038d98.png

Na hawa MWASHITA yaani SIMBA wapo hadi ULAYA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa uwanja wa LUMINUS ARENA pamoja na timu ya KRC GENK inayoshiriki ligi kuu nchini UBELIGIJI 🇧🇪.
 
Ndio!

Hivi unafahamu kipindi wanajeshi wa JWTZ walivyoamua kumjengea nyumba HAYATI MWALIMU, walimwambia hivi - Ni aibu kwa BABA WA TAIFA kuwa na nyumba ndogo ambayo hata tembo hatoshi!

Unafahamu HAYATI MWALIMU alivyowajibu wale waliokuwa wanajeshi wa JWTZ? Aliwajibu hivi - Nyinyi ni wajinga, mimi nina uwanja mkubwa unaoweza kuchukua tembo zaidi elfu moja.

Sasa swali lingine linakuja, huo uwanja aliokuwa akiusema HAYATI MWALIMU ulikuwa ni uwanja upi? Huo uwanja ni ule uliokuwa ukitumiwa na timu ya mpira ya UJERUMANI 🇩🇪, iliyokuwa ikijulikana kwa jina la BAYERN MUNICH.

Tangia hapo, sura yenye picha ya HAYATI MWALIMU iliwekwa kwenye NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].


Hiyo ndio historia ya NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].

339a7a41eb9b96d8d9cef251e6d75388.png

Na hawa MWASHITA yaani SIMBA wapo hadi ULAYA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa timu ya ATHLETIC BILBAO 🦁 inayoshiriki ligi kuu nchini UHISPANIA 🇪🇸. Wanaomiliki timu ya SIMBA SC 🦁 ya TANZANIA 🇹🇿, ndio wamiliki halali wa timu ya ATHLETIC BILBAO 🦁 kutoka UHISPANIA 🇪🇸.

[ Bado haijahakikiwa.. ] Hawa hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio wamiliki halali wa uwanja wa ANFIELD na timu ya mpira ya LIVERPOOL inayoshiriki ligi kuu nchini UINGEREZA 🇬🇧.

[ Bado haijahakikiwa.. ] Hawa hawa SERENGETI yaani CHUI ndio wamiliki halali wa timu ya mpira ya CHELSEA inayoshiriki ligi kuu nchini UINGEREZA 🇬🇧. Huyo ROMAN ABRAMOVICH ni mfanyakazi tu hapo.

Sasa maswali yanakuja - Kwa hizi timu za mpira wanazomiliki hawa MWASHITA yaani SIMBA mbona ni nyingi sana? Hali ya kiuchumi ikoje ukilinganisha na wengine?

Kwa upande wa SERENGETI yaani CHUI maswali hamna, kwa sababu wao ndio wenye DOLA YA TANZANIA 🇹🇿 na wao ndio wenye CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM - kwa hiyo pesa sio tatizo.

Kwa upande wa MWASHITA yaani SIMBA wao wanatoa wapi hizo pesa? Hawa MWASHITA yaani SIMBA baada ya kutoka RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩, hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio waliokuwa nyuma ya UTAWALA WA ROBERT GABRIEL MUGABE kipindi ZIMBABWE 🇿🇼 inawekewa vikwazo na nchi za magharibi.

Kwahiyo, hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio waliokuwa wakitumika kupitisha fedha za kigeni kwa serikali ya ZIMBABWE 🇿🇼 iliyokuwa ikiongozwa na HAYATI RAIS ROBERT GABRIEL MUGABE. Na walifanikiwa kuingiza zaidi ya kiasi cha fedha za kigeni USD 400,000,000 [ dola milioni mia nne za kimarekani ] kwa serikali ya ZIMBABWE 🇿🇼.

Hali hii ilipekea hawa MWASHITA yaani SIMBA kuaminika sana kwa serikali ya ZIMBABWE 🇿🇼 na kupatiwa baadhi ya hisa za migodi ya dhahabu, shaba, almasi na platinamu.

Mbali na nchi ya ZIMBABWE 🇿🇼, hawa MWASHITA yaani SIMBA wamewekeza na wanamiliki hisa nyingi sana kwenye migodi ya madini, mafuta na gesi kwa nchi za ANGOLA 🇦🇴, NAMIBIA 🇳🇦, BOTSWANA 🇧🇼, AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦, ZAMBIA 🇿🇲, KAMERUNI 🇨🇲, MALI 🇬🇳, KONGO 🇨🇩, SUDANI 🇸🇩, TANZANIA 🇹🇿, GHANA 🇬🇭, NAIJERIA 🇳🇬, SAUDI ARABIA 🇸🇦 na MSUMBIJI 🇲🇿.
 
Baada ya kufanikiwa kuwekeza kwenye nchi za AFRIKA YA MASHARIKI pamoja na nchi ya MSUMBIJI 🇲🇿 - hawa MWASHITA yaani SIMBA watakuja na mradi wa tatu. Huu mradi wa tatu utaanza kufanya kazi kuanzia mwaka 2025.

Huu mradi utakuwa ni mradi unaonganisha majiji yote ya nchi zote za SADC [ SOUTHERN AFRICAN DEVELOPMENT COUNTRIES ] kwa njia ya barabara.


Kutakuwa na kampuni moja ya usafirishaji wa abiria itakayounganisha nchi zote za SADC, kama unavyoona hapo juu kwenye ramani.

Hii kampuni itakuja na jina litakalojulikana kama SADC ROAD LINK itakayounganisha nchi za KENYA 🇰🇪, UGANDA 🇺🇬, RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮, KONGO 🇨🇩, ANGOLA 🇦🇴, NAMIBIA 🇳🇦, BOTSWANA 🇧🇼, AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦, LESOTHO 🇱🇸, ESWATINI 🇸🇿, ZIMBABWE 🇿🇼, ZAMBIA 🇿🇲, MALAWI 🇲🇼, MSUMBIJI 🇲🇿 na TANZANIA 🇹🇿 yenyewe.


Kama unavyoona hapo juu! Huu mradi utakuwa unajumuisha gari aina ya SCANIA TURISMO kama unavyoona hapo kwenye picha, hizi ni gari zinazotengenezwa na kampuni ya Banbros Limited inayopatikana nchini KENYA 🇰🇪. Hii kampuni ya Banbros Limited inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA.

Kwahiyo hii itakuwa ni fursa ya kibiashara kwa kampuni ya Banbros Limited kutangaza bidhaa zake kwenye nchi za SADC.

Na awamu hii itakuwa inachukua wafanyakazi wote yaani SIMBA au MWASHITA wa mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA kwenda kufanya kazi kwenye hizi nchi za SADC.

Na hii ndio SIASA inayofanywa na MWASHITA yaani SIMBA yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU kuwainua kiuchumi hawa wakazi wa hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Hiyo ndio SIASA inayofanywa na MWASHITA yaani SIMBA dhidi ya SERIKALI INAYOONGOZWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI YAANI CCM.


e1b47d40f3c1a1489ca61c823936a142.png


1498f3c002eebf688e09e9491461b854.png


e042aa645c892a4775d610ca660afc28.png


5604d5ca9d7ef316d346ecc95f07809b.png


LION OF JUDAH 🦁 = SIMBA WA YUDAH 🦁​

Rejea posti niliyoinakili hapo juu. Hawa MWASHITA yaani SIMBA tunavyosema kuwa kufikia mwaka 2025 watakuwa wameanza safari za KUSINI MWA AFRIKA, sio kwamba hawana kabisa makampuni ya kusafirisha abiria kwa upande wa KUSINI MWA AFRIKA.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio wamiliki halali wa makampuni ya ROYAL AFRICA na SHALOM yanayofanya shughuli zake za kibiashara kutoka LUSAKA, mji mkuu wa ZAMBIA 🇿🇲 mpaka JOHANNESBURG, AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦.

Kwahiyo wapo kule, sema kinachokuja kufanyika ni kuongeza gari wanazozitengeneza wenyewe kutoka kwenye viwanda vyao wenyewe ili kuongeza ufanisi na kuunganisha majiji yote ya SADC yaani SOUTHERN AFRICAN DEVELOPMENT COUNTRIES.

Hiyo picha hapo juu ni gari inayoitwa SHALOM na hapo ni LUSAKA, ZAMBIA 🇿🇲 ilikuwa inaelekea JOHANNESBURG, AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦 kwa njia ya barabara [ 😁😁😁 ].

Kwahiyo, kama ilivyo kwa SERENGETI yaani CHUI ndivyo ilivyo kwa MWASHITA yaani SIMBA, tayari hizi jamii mbili zimeshaingia kwenye biashara ya kidunia yaani GLOBAL TRADE.

IMG-20210720-WA0000.jpg

Na sio vyepesi kufilisika, hawa MWASHITA yaani SIMBA na SERENGETI yaani CHUI wataendelea kuwepo vizazi na vizazi.

Narudia tena - Na sio vyepesi kufilisika, hawa MWASHITA yaani SIMBA na SERENGETI yaani CHUI wataendelea kuwepo vizazi na vizazi.

Imefikia hatua hawa MWASHITA yaani SIMBA na SERENGETI yaani CHUI wamebeba majukumu ya kuwasaidia watu wao. Kitu ambacho sio chepesi kufanyika kwa jamii nyingine za kitanzania.
 
Nitafarijika sana kama siku moja mzee Mohamed Said ataandika makala maalumu ya kumuelezea Kambona kama vile anavyofanya katika kuwaandikia makala wazee wake wa Kariakoo walioshiriki katika harakati za kisiasa kabla na baada ya uhuru.


Najua uwezo huo unao ila hajajisikia tu kufanya hivyo. Labda kwa kuwa Kambona hakuwa mwenzetu kiimani.
Kambona angekuwa mwislamu mzee Said angekuwa ameisha andika kitabu kabisa
 
Rejea posti niliyoinakili hapo juu. Hawa MWASHITA yaani SIMBA tunavyosema kuwa kufikia mwaka 2025 watakuwa wameanza safari za KUSINI MWA AFRIKA, sio kwamba hawana kabisa makampuni ya kusafirisha abiria kwa upande wa KUSINI MWA AFRIKA.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio wamiliki halali wa makampuni ya ROYAL AFRICA na SHALOM yanayofanya shughuli zake za kibiashara kutoka LUSAKA, mji mkuu wa ZAMBIA 🇿🇲 mpaka JOHANNESBURG, AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦.

Kwahiyo wapo kule, sema kinachokuja kufanyika ni kuongeza gari wanazozitengeneza wenyewe kutoka kwenye viwanda vyao wenyewe ili kuongeza ufanisi na kuunganisha majiji yote ya SADC yaani SOUTHERN AFRICAN DEVELOPMENT COUNTRIES.

Hiyo picha hapo juu ni gari inayoitwa SHALOM na hapo ni LUSAKA, ZAMBIA 🇿🇲 ilikuwa inaelekea JOHANNESBURG, AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦 kwa njia ya barabara [ 😁😁😁 ].

Kwahiyo, kama ilivyo kwa SERENGETI yaani CHUI ndivyo ilivyo kwa MWASHITA yaani SIMBA, tayari hizi jamii mbili zimeshaingia kwenye biashara ya kidunia yaani GLOBAL TRADE.

Na sio vyepesi kufilisika, hawa MWASHITA yaani SIMBA na SERENGETI yaani CHUI wataendelea kuwepo vizazi na vizazi.

Narudia tena - Na sio vyepesi kufilisika, hawa MWASHITA yaani SIMBA na SERENGETI yaani CHUI wataendelea kuwepo vizazi na vizazi.

Imefikia hatua hawa MWASHITA yaani SIMBA na SERENGETI yaani CHUI wamebeba majukumu ya kuwasaidia watu wao. Kitu ambacho sio chepesi kufanyika kwa jamii nyingine za kitanzania.
aliyeelewa hapa naomba na mimi anieleweshe in summary plz...au ni yule jamaa don Nalimi?
 
Nyerere alikuwa sahihi,hakuna tulichokosa tuna amani, upendo na umoja vituleteacyo furaha ya kweli.

Na sasa tuko tayari kwa better future yetu na watoto wetu.

Labda tuharibu sisi wenyewe.
 
Nyerere alikuwa sahihi,hakuna tulichokosa tuna amani, upendo na umoja vituleteacyo furaha ya kweli.

Na sasa tuko tayari kwa better future yetu na watoto wetu.

Labda tuharibu sisi wenyewe.
Watu kama nyie sijui mpo dunia gani! khaa kazi ipo! Jitahidi umsomeshe mwanao asije kuwa kama wewe! elimu ni muhimu kuliko chochote Africa.
 
Nyerere alikuwa sahihi,hakuna tulichokosa tuna amani, upendo na umoja vituleteacyo furaha ya kweli.

Na sasa tuko tayari kwa better future yetu na watoto wetu.

Labda tuharibu sisi wenyewe.
Ndio! Na hiyo ndio SIASA! SIASA sio kupiga kabobo tu, ni kufanya mambo kama hayo!
 
Kambona was right.
Ujamaa ubakie tu mambo ya kijamii lakini kwenye uchumi twende na ubepari,ndio mfumo sahihi.Asiyefanya Kazi na asile.
 
Kambona was right.
Ujamaa ubakie tu mambo ya kijamii lakini kwenye uchumi twende na ubepari,ndio mfumo sahihi.Asiyefanya Kazi na asile.
HAYATI MWALIMU mwenyewe alikuwa anafanya UJAMAA kama ni sera ya SERIKALI sio MAISHA YAKE BINAFSI.

Ujue hapo kuna tofauti kubwa sana ambayo kila Mtanzania wa leo anapaswa kufahamu.

UJAMAA ilikuwa ni sera ya SERIKALI kwa kipindi hicho, lakini ilikuwa sio MAISHA BINAFSI ya HAYATI MWALIMU.

Hivi mnafahamu kuwa mmoja wa dada zake HAYATI MWALIMU aliolewa na mmoja wa watoto wa machifu kutoka SONGEA?

Yule mtoto wa chifu alikuwa anaitwa [...], alikuwa ni askari wa jeshi la JWTZ na aliwahi kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa yaani JKT.

Yaani HAYATI MWALIMU alimpatia shemeji yake cheo cha ukuu wa jeshi la kujenga taifa, JKT.

Sasa unaambiwa hivi, dada zake HAYATI MWALIMU walipokuwa wanaugua walikuwa wanapelekwa ITALIA 🇮🇹 kwa ajili ya matibabu tu.

Lakini HAYATI MWALIMU mwenyewe alipokuwa anaugua alikuwa anatibiwa hapa hapa TANZANIA 🇹🇿 kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa ni KIOO CHA JAMII na sio dada zake wala familia yake.
 
Aliyakataa mawazo ya Kambona ambayo yalikuwa ni sahihi
Ndio! Sio tu kuyakataa mawazo ya KAMBONA bali KAMBONA mwenyewe alionekana kumfahamu fika HAYATI MWALIMU pamoja na janja janja zote zilizokuwa zinafanywa na HAYATI MWALIMU.
 
Na niwapeni SIRI nyingine - hawa waliokuwa wanasiasa wa mikoa ya IRINGA, MBEYA na RUVUMA walitakiwa kupewa nchi ya MALAWI 🇲🇼 kama ni sehemu ya kimkakati kwa serikali ya TANZANIA 🇹🇿.

Yaani ilikuwa inatakiwa kufanyika harakati za kisiasa kama ilivyofanyika kwa nchi za RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮.

Na tayari waasi waliokuwa wamepewa mafunzo ya kijeshi walikuwa wameandaliwa kwa ajili ya kuivamia MALAWI 🇲🇼 ili kuleta MAPINDUZI na hatimaye kuchukua DOLA YA MALAWI 🇲🇼.

Lakini cha kushangaza wale wanasiasa wa kipindi hicho kutoka mikoa ya IRINGA, MBEYA na RUVUMA walikataa kufanya MAPINDUZI kwa sababu wanazozijua wao.

Hawa waliokuwa wanasiasa wa mikoa ya IRINGA, MBEYA na RUVUMA waliamini wao ni sehemu ya CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM lakini ukweli CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM ni chama cha HAYATI MWALIMU pekee yake, wengine wamefanyika kuwa ni wafuasi na wanachama wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

HAYATI MWALIMU alikuwa ni mjanja tena mjanja sana! Na yeye ndiye mwenye CHAMA CHA MAPINDUZI na SERENGETI yaani CHUI ndio wenye DOLA YA TANZANIA 🇹🇿 kwahiyo baada ya mfumo wa vyama vingi, HAYATI MWALIMU alisisitiza sana watu wenye uwezo waanzishe vyama vyao vya kisiasa ili kupunguza msongamano ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI.

Watangulizi wetu yaani wazazi wetu ndio wakaanzisha CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ na wengine walianzisha vyama vya kisiasa kama NCCR - MAGEUZI, UDP, TLP na CHADEMA.

Cha ajabu na cha kushangaza! Wale walioanzisha vyama vya kisiasa walifanyika kuwa ni marafiki wa HAYATI MWALIMU na wale waliobaki ndani ya CCM walionekana ni WAJINGA akiwemo ADAM SAPI MKWAWA 😂😂😂

Kwahiyo HAYATI MWALIMU aliheshimu sana watu waliokuwa na mawazo mbadala na kujitegemea kuliko wale waliokuwa wafuasi wake.
 
Ndio! Sio tu kuyakataa mawazo ya KAMBONA bali KAMBONA mwenyewe alionekana kumfahamu fika HAYATI MWALIMU pamoja na janja janja zote zilizokuwa zinafanywa na HAYATI MWALIMU.
Mwalimu alikuwa mjanja Sana alimudu kuficha uovu wake usijulikane kwa watz sababu hakukuwa na mitandao.
 
Watu kama nyie sijui mpo dunia gani! khaa kazi ipo! Jitahidi umsomeshe mwanao asije kuwa kama wewe! elimu ni muhimu kuliko chochote Africa.
Na kitu kingine ambacho Watanzania wengi hawafahamu ni kuwa SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI ni SIASA YA KIMATAIFA yaani SIASA INAYOFANYWA NA MATAIFA MAKUBWA.

Na walio nyuma ya SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI ni WAITALIANO 🇮🇹 na WAJERUMANI 🇩🇪.

Na hawa WAITALIANO 🇮🇹 na WAJERUMANI 🇩🇪 ndio wanaofanya biashara za HAYATI MWALIMU kwa kiasi kikubwa na wamefanya biashara za HAYATI MWALIMU kuenea ulimwengu mzima.

WAJERUMANI 🇩🇪 huwa wanasema hivi - "You have your money and we have our football clubs". Yaani kwa tafsiri ya lugha ya kiswahili ni - "wewe una pesa zako lakini sisi tuna timu zetu".

"And you cannot separate between GERMANY 🇩🇪 and BAYERN MUNICH". Yaani kwa tafsiri ya lugha ya kiswahili ni - "na hauwezi kutenganisha UJERUMANI 🇩🇪 na BAYERN MUNICH".

"BAYERN MUNICH is GERMANY 🇩🇪 and GERMANY 🇩🇪 is BAYERN MUNICH". Yaani kwa tafsiri ya lugha ya kiswahili ni - "BAYERN MUNICH ni UJERUMANI 🇩🇪 na UJERUMANI ni BAYERN MUNICH".

"So if you posses BAYERN MUNICH, you posses GERMANY 🇩🇪". Yaani kwa tafsiri ya lugha ya kiswahili ni - "kwahiyo kama ukimiliki BAYERN MUNICH, umemiliki UJERUMANI 🇩🇪".

"And GERMANY 🇩🇪 will always be behind your back". Yaani kwa tafsiri ya lugha ya kiswahili ni - "na UJERUMANI 🇩🇪 itakuwa nyuma yako".

Na hii ndio kanuni ya kidiplomasia inayotumiwa na mataifa yote ya nchi za watu weupe.

Kwahiyo, wale wawekezaji waliowekeza kwenye nchi ya UJERUMANI 🇩🇪 wanasaidiwa kwa namna moja ama nyingine na SERIKALI YA UJERUMANI 🇩🇪 yaani BUNDES.

Iwe kwenye masuala ya kisiasa na utawala! Iwe kwenye masuala ya kielimu! Iwe kwenye masuala ya kibiashara! Iwe kwenye masuala ya michezo na burudani yaani imebeba masuala yote ya kijamii na mahusiano ya watu.

Ndio maana CHAMA CHA MAPINDUZI kinazidi kunawili siku kadri ya siku na siri ya mafanikio ya CHAMA CHA MAPINDUZI ni kinapokea ushauri na msaada wa kisiasa kutoka kwa nchi wawekezaji, hasa ITALIA 🇮🇹 na UJERUMANI 🇩🇪.

Na hali hii ipo hivyo hivyo kwa upande wa MWASHITA yaani SIMBA. Na wao wanapokea ushauri na msaada katika masuala yote ya kijamii na mahusiano ya watu kutoka kwa MATAIFA YA ULAYA 🇪🇺 waliyowekeza. Ndio maana hawa MWASHITA yaani SIMBA sasa hivi wapo juu sana.
 
Back
Top Bottom