Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

That CUF iliyokuwa imewekeza visiwani si hii CUF ambayo iko sponsored na CCM, the original CUF ndiyo hii ACT-Wazalendo ya sasa.
Wewe endelea kujidanganya! Lakini inakupasa ufahamu ya kwamba - CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ ndio chama cha kisiasa chenye wabunge wengi wa kuchaguliwa katika bunge la JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 🇹🇿 baada ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.

Wengine wanapiga kelele kutwa nzima! Lakini wana mbunge mmoja tu! Na sina uhakika kama huyo mbunge mwenyewe atarudi bungeni 2025 😂😂

"THE ORIGINAL CUF" ipo mkoa wa SHINYANGA, hao wengine ni wafanyakazi tu! Tena isitoshe, baada ya kufariki MAALIM SEIF SHARIF HAMAD kuna wimbi kubwa sana la wabunge wa TANZANIA VISIWANI litarudi CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️.

Hii itafananishwa na matukio ya EDWARD LOWASA kurudi CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, kuna kundi kubwa sana la wanasiasa lilirudi CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ na kusababisha CHADEMA kudhohofika, mpaka leo hii chama kimepoteza muelekeo.

Na ACT - WAZALENDO 🖐️ kinaelekea huko huko! Hiki CHAMA kitadhohofika hata kabla ya kukua! Nadhani 2025 ndio itakuwa ni mwisho wa ACT - WAZALENDO 🖐️.
Kila mwenye akili timamu analijua hilo.
Hufahamu chochote kuhusu CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️.
Lipumba yuko kwenye payroll na hana namna kwani ndiyo njia yake ya ku survive na angalau aendelee kujidanganya kama yuko relevant,
Hivi unafahamu mshahara anaopokea PROFESA IBRAHIM LIPUMBA pale CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️?

Hivi unafahamu ni wakina nani walio nyuma ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️?

Hivi unafahamu uchumi wanaomiliki hawa walio nyuma ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️?

Hawa wanaomiliki CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ ndio wamiliki halali wa kampuni ya mawasiliano ya TIGO TANZANIA.

Hawa wanaomiliki CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ hata KHANGA zao wakati wa KAMPENI wanaziandaa wenyewe kwenye kiwanda chao cha KTM [ KARIBU TEXTILE MILL ] kinachopatikana DAR ES SALAAM.

Hawa wanaomiliki CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ hakuna anayefuata kwa uchumi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, isipokuwa HAYATI MWALIMU pekee yake.

Na hakuna WANAMTANDAO hatari, kama hawa wanaomiliki CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️. Hawa wanaomiliki CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ ndio wanaitwa "THE UNTOUCHABLES" kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿.

Wengine ni WABABAISHAJI na MATAPELI tu. Hakuna watu ndani CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ mwenye uwezo wa kupambana na hawa, zaidi ya SERENGETI yenyewe - tena kwa kutumia NGUVU YA DOLA.
haihitaji mpaka uwe na PHD ya nuclear physics kubaini ya kuwa kwa sasa CUF iko level moja na TADEA.
TADEA imebaki kwenye makaratasi, hata OFISI YA CHAMA sidhani kama wanayo!

JOHN MAGALLE SHIBUDA 😂😂! Hivi kwani ni lazima wote tuwe na VYAMA VYA KISIASA? Ningeliomba wengine wabaki mashabiki tu! Huu mziki hawauwezi.
Mchezo wote wa kuiua CUF(the original one) ulidhaminiwa na kusimamiwa na dola na walifanikiwa kwenye hilo ndipo option B kwao ikwa ni ACT-Wazalendo.
CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ kilishawahi kufukuza wabunge nane [ 8 ] kwa mkupuo na kikabaki salama. Kwahiyo hawa WANASIASA waliohamia ACT - WAZALENDO 🖐️ hawana madhara kuelekea UCHAGUZI MKUU wa 2025.
You're trying hard to deceive people lakini wajinga ni wachache kwenye mambo mepesi kama haya, all in all keep on trying.
My pal! When you get a chance to comment on platform like JAMIIFORUMS you need to be very smart, otherwise you will lose all credibility.
 
ni kweli kabisa ccm inaiga siasa za ccp
Kwenye SIASA na CHAGUZI zake, huwa kuna swali moja ambalo WAINGEREZA 🇬🇧 wanapenda sana kuuliza kipindi cha UCHAGUZI MKUU, swali hilo ni - "What is your BACKGROUND CHECKINGS on winning GENERAL ELECTION?"

Hili swali ukiweza kulijibu vizuri ndio umeshinda UCHAGUZI MKUU wa UINGEREZA 🇬🇧 na kwa lugha ya kiswahili tunaweza kuuliza hivi - "Mtaji wako wa kisiasa ni upi katika kushinda UCHAGUZI MKUU?"

Sasa kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿, CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kina mtaji mkubwa sana wa kushinda UCHAGUZI MKUU kuliko VYAMA VYA UPINZANI kwa sababu CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ndio CHAMA DOLA.

Na kwa upande wa VYAMA VYA UPINZANI, mtaji wao ni upi katika kushinda UCHAGUZI MKUU? Jibu ni - hawana mtaji wowote wa wao kushinda UCHAGUZI MKUU.

Kwahiyo mabadiliko ni lazima kwa upande wa uendeshaji wa VYAMA VYA UPINZANI! Ni lazima kila CHAMA CHA KISIASA kiwe na mtaji wa kisiasa, yaani kiwe na sehemu ya uhakika wa kupata kura kipindi UCHAGUZI MKUU au UCHAGUZI MDOGO unapofanyika.

Na hii namna ya kupata mtaji wa kisiasa ni lazima uwekeze kwenye mahusiano ya watu na kijamii kama sekta ya michezo, elimu, ajira na afya. Na sekta ya michezo ndio sekta inayoongoza kuwa na ushawishi kwenye SIASA.

Kwahiyo, ni vyema kila CHAMA CHA KISIASA kiwekeze kadri kinavyoweza kwenye sekta ya michezo na burudani ili kupata mtaji wa kisiasa na uhakika wa kura kipindi cha UCHAGUZI.

Tofauti na hapo, CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kitaendelea kupeta na kinaweza kujitengeza kama CHAMA CHA CCP. Lakini sio kwa sababu CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni chama bora, hapana! Ni kwa sababu, TANZANIA 🇹🇿 bado hatuna VYAMA VYA UPINZANI dhabiti vya kuweza kukabiliana na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.
 
Kwenye SIASA na CHAGUZI zake, huwa kuna swali moja ambalo WAINGEREZA 🇬🇧 wanapenda sana kuuliza kipindi cha UCHAGUZI MKUU, swali hilo ni - "What is your BACKGROUND CHECKINGS on winning GENERAL ELECTION?"

Hili swali ukiweza kulijibu vizuri ndio umeshinda UCHAGUZI MKUU wa UINGEREZA 🇬🇧 na kwa lugha ya kiswahili tunaweza kuuliza hivi - "Mtaji wako wa kisiasa ni upi katika kushinda UCHAGUZI MKUU?"

Sasa kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿, CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kina mtaji mkubwa sana wa kushinda UCHAGUZI MKUU kuliko VYAMA VYA UPINZANI kwa sababu CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ndio CHAMA DOLA.

Na kwa upande wa VYAMA VYA UPINZANI, mtaji wao ni upi katika kushinda UCHAGUZI MKUU? Jibu ni - hawana mtaji wowote wa wao kushinda UCHAGUZI MKUU.

Kwahiyo mabadiliko ni lazima kwa upande wa uendeshaji wa VYAMA VYA UPINZANI! Ni lazima kila CHAMA CHA KISIASA kiwe na mtaji wa kisiasa, yaani kiwe na sehemu ya uhakika wa kupata kura kipindi UCHAGUZI MKUU au UCHAGUZI MDOGO unapofanyika.

Na hii namna ya kupata mtaji wa kisiasa ni lazima uwekeze kwenye mahusiano ya watu na kijamii kama sekta ya michezo, elimu, ajira na afya. Na sekta ya michezo ndio sekta inayoongoza kuwa na ushawishi kwenye SIASA.

Kwahiyo, ni vyema kila CHAMA CHA KISIASA kiwekeze kadri kinavyoweza kwenye sekta ya michezo na burudani ili kupata mtaji wa kisiasa na uhakika wa kura kipindi cha UCHAGUZI.

Tofauti na hapo, CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kitaendelea kupeta na kinaweza kujitengeza kama CHAMA CHA CCP. Lakini sio kwa sababu CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni chama bora, hapana! Ni kwa sababu, TANZANIA 🇹🇿 bado hatuna VYAMA VYA UPINZANI dhabiti vya kuweza kukabiliana na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.
umeongea point sana mkuu vyama vya upinzani vinafikiri kukata nchi ni kitu cha direct sana, mfano kuna haja gani kukimbilia uraisi wakati una wabunge wachache???havina mtaji vinataka kuvuna wasipopanda
 
Vyama vya SI-HASA vina miaka zaidi ya 28-30 hata ofisi zao za matawi hajizulikani zilipo, Halafu wanakwambia Chama Tawala lazima king'olewe madarakani.

Kinang'olewaje?


King'olewe na nani?
 
Mkuu Charles Mandela!
Shukrani sana kwa mgodi huu wa madini ya uranium na dhahabu,


Niko kwa hapa naendelea kuyapata kwa nzia zote za panning & shafting.


Mkuu, Lakini bado nakudai-JULY bye bye, Na sasa ni AUGUST.
 
Nimeipenda hii, Mkuu Charles Mandela!


CHAMA CHA WANANCHI-CUF, "Kimetumia muda mwingi zaidi kujilinda kuliko kushambulia na bado kimeendelea kuwa imara".


Kauli hiyo inanikumbusha miaka 200 ya kujilinda na kujiimarisha zaidi kiintelejensia USSR (KGB-FSB)
 
Hata majinga majinga siku moja yataelewa ni nini CHADEMA wanatafuta sasa.
Ni kweli wala sio uongo! Hawa watu hawafahamu kabisa wanataka nini! Na kama ni kuongoza nchi, hawawezi kupata nafasi ya kuongoza nchi kizembe hivyo!

Kwanza kabisa, CHADEMA wana intelijensia mbovu ya chama! Hawana taarifa zozote za kile kinachoendelea nchini, ndio maana wamemalizwa na hawawezi kuinuka tena.

Na kitu kingine, hawa CHADEMA wanadharau! Hawafahamu kabisa kuwa UCHUMI WA TANZANIA 🇹🇿 umeshikwa na SERENGETI yaani CHUI na MWASHITA yaani SIMBA.

Wao kama CHAMA hawana kitu, ni WATU WANAOHITAJI MSAADA na hawafahamu ni akina nani hasa wanastahili kuombwa MSAADA.

Yaani wao wanadharau CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️, halafu wanaenda kuomba msaada wa pesa za kampeni kwenye KIWANDA CHA FRESHO INVESTMENT kilichopo mkoa wa SHINYANGA. Eeh! Yaani hawana taarifa kabisa kuwa wenye KIWANDA CHA FRESHO INVESTMENT ndio wenye CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️.

Na hiki kitu ndio kilifanyika kule KILIMANJARO na ARUSHA, wanadharau CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️, halafu wanaenda kuomba msaada wa pesa za kampeni kwenye KAMPUNI YA MABASI YA KILIMANJARO EXPRESS. Hawana taarifa kabisa kuwa wenye CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ ndio wamiliki halali wa KAMPUNI YA MABASI YA KILIMANJARO EXPRESS.

Unaona intelijensia yao ilivyo mbovu! Ni mbovu kabisa! Na hii tabia ndio wanafanya kwa HAYATI MWALIMU, yaani wanamdharau na kumdhihaki HAYATI MWALIMU halafu wanaenda kuomba msaada wa pesa za kampeni kwenye makampuni yanayomilikiwa na familia ya HAYATI MWALIMU.

Hmmm! Hawa watu wanahitaji ELIMU na sio vyema kuwadhuru wala kuwashambulia, ni watu wanaohitaji kuelezwa kwa ukarimu, jinsi TANZANIA 🇹🇿 ilivyo na mambo yake.

HAYATI MWALIMU anatisha! SERENGETI yaani CHUI inatisha! Na sasa hivi hawa SERENGETI wanajiita DUMA na sio CHUI tena! Kwa sababu wamekuwa na UCHUMI MKUBWA NA NGUVU MARADUFU.

Kwa AFRIKA YA MASHARIKI, hii SERENGETI yaani CHUI ndio jamii yenye nguvu na uchumi mkubwa, ukiondoa ile jamii ya MLIMA KENYA inayopatikana nchini KENYA 🇰🇪.

Ndio maana hata MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanaishi kwa hofu sana, kwa sababu na wao pia wapo kwenye orodha ya kudhohofishwa kiuchumi na hata kumalizwa kabisa. Na mipango yote inaratibiwa kutoka nchi za RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮. Hizi nchi mbili zote zipo chini ya HIMAYA YA SERENGETI YAANI CHUI.

WAINGEREZA 🇬🇧 huwa wanasema hivi - "Never re - friend a person that has tried to destroy your character, your wealth or your relationship! A snake 🐍 only sheds its skin to become a bigger snake 🐉.."

Kama ilivyokuwa kwa miaka ya 1990 mpaka 1993, hawa RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮 wamekuja kwa wingi sana kwenye hii mikoa ya MWASHITA [ MWANZA, SHINYANGA na TABORA ] wakiwa na lengo moja tu! Lengo la kukamata sekta zote za kiuchumi na kibiashara, lakini wamekosa kitu kimoja tu, ambacho ni MTAJI.

Hawana MITAJI YA BIASHARA, kinachofanyika wanaongea na wamiliki wa makampuni ili kupenyeza watu wao, lakini hata hiyo imeshindikana. Kwa sababu, MWASHITA na wao wana watu wao! Sasa hivi hawa MWASHITA wanapenyeza sana watu wao, ndio maana VIJANA wameadimika mitaani.

Hicho KIWANDA CHA FRESHO kilichopo mkoa wa SHINYANGA, ni SIMBA hao! Na wanachukua VIJANA wao! Na wanamiliki UWANJA WA MPIRA ambao kwa siku za usoni, timu ya mpira kutoka DAR ES SALAAM itahamia SHINYANGA. Timu hiyo inaweza kuwa ni AFRICAN LYON au PAN AFRICA, zote hizi ni timu zinazoshiriki LIGI DARAJA LA KWANZA na zinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kwahiyo utaona ni jinsi gani hawa MWASHITA yaani SIMBA wanavyojihami na mambo yanayoendelea nchini TANZANIA 🇹🇿. Halafu pia, hawa MWASHITA yaani SIMBA wana malori ya mizigo zaidi ya elfu tatu [ 3000 ] kwa TANZANIA 🇹🇿 pekee yake.

Kwahiyo inakuwa sio salama kiuchumi kufanya biashara katika eneo moja, kuna mpango wa kupunguza malori ya mizigo kwa kupeleka baadhi ya malori kwenda kufanya kazi kwenye nchi nyingine za AFRIKA. BARA LA AFRIKA kuna mataifa hamsini na sita [ 56 ] na hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanauwezo wa kugawanya malori ya mizigo thelathini [ 30 ] kwa kila TAIFA LA AFRIKA na malori ya mizigo yatakayobaki ndio yataendelea kufanya kazi TANZANIA 🇹🇿. Hii itakuwa ni "INTER - CONTINENTAL TRADE".

2841558_images.jpeg

Ni lazima kuiga kila jambo jema linalofanywa na SERENGETI yaani CHUI, ili kujihami na kila hila za uharibifu zinazopangwa na kuratibiwa na maadui.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA wanamiliki timu tatu [ 3 ] za mpira wa miguu zinazoshiriki LIGI KUU NCHINI UHISPANIA 🇪🇸. Timu hizo ni REAL MALLORCA, ATHLETIC BILBAO pamoja na SEVILLA itakayoshiriki michuano ya UEFA kwa msimu ujao.

Kwenye hizo timu tatu [ 3 ], timu moja [ 1 ] lazima itauzwa ili kupata PESA ya kuwekeza KIWANDA katika taifa la UCHINA 🇨🇳. Hili zoezi ni kama kuhamisha MTAJI, kutoka taifa moja kwenda taifa lingine.

Eeh, ndio! Na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 lazima wapate PESA ya kuwekeza KIWANDA katika taifa la UCHINA 🇨🇳. WASWAHILI wanasema hivi - "Kwani wao waweze wana nini, hata sisi tushindwe tuna nini 😂😂.."

Ni lazima MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na wao wamiliki KIWANDA katika taifa la UCHINA 🇨🇳, hii yote itakuwa ni kwa faida ya baadae ikitokea huku nyumbani mambo yamekuwa magumu.

Na hii ndio SIASA, ambayo hawa wenzetu wa CHADEMA ✌️ hawaifahamu! Hii ndio SIASA, ambayo WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita POLITICS! Hii ndio SIASA, ambayo WARUSI 🇷🇺 wanaita POLITIKA.
 
R.Mallorca, A.Bilbao, Sevilla,

Naikumbuka sana La Liga ya kipindi kile R.Mallorca ananikanyaga 4 pale nyumbani Santiago Benabeu.

MAONI: Natamani kama MWASHITA atawekeza pale Kremlin kwa Vladimir ili waongezewe kitu katika Intelejensia yao.
 
umeongea point sana mkuu vyama vya upinzani vinafikiri kukata nchi ni kitu cha direct sana, mfano kuna haja gani kukimbilia uraisi wakati una wabunge wachache???havina mtaji vinataka kuvuna wasipopanda
TANZANIA 🇹🇿 kuna majimbo ya UCHAGUZI mia mbili sitini na nne [ 264 ]. TANZANIA BARA ina majimbo mia mbili kumi na nne [ 214 ] ya UCHAGUZI na ZANZIBAR ina majimbo hamsini [ 50 ] ya UCHAGUZI.

CHADEMA ✌️ iliteua wagombea ubunge mia mbili [ 200 ], lakini wagombea ubunge waliokizi vigezo na kupitishwa na TUME HURU YA UCHAGUZI walikuwa wagombea ubunge wasiozidi mia moja [ 100 ].

Na huwa tunasema hivi - "Wagombea ubunge na wagombea udiwani huwa ni mabalozi wazuri sana katika kunadi sera, itikadi na ilani ya chama na ndio huwa wawakilishi wa mgombea urais wa chama cha kisiasa."

Kwahiyo inapotokea CHAMA CHA KISIASA kinaposimamisha wawakilishi wachache kwa ngazi ya ubunge na udiwani, moja kwa moja kinaathiri kura za mgombea urais.

Kwahiyo hawa wenzetu wa CHADEMA ✌️ wanafahamu kabisa hali halisi iliyotokea kwenye UCHAGUZI MKUU wa mwaka 2020 au kwa makusudi wameamua kupotosha.

Na kwa upande wa CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ hali ni hiyo hiyo, kinachotakiwa ni KUJIPANGA na UCHAGUZI MKUU wa mwaka 2025. Kwa upande wa ZANZIBAR, CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ lazima kioneshe makali yake kwa kusimamisha wagombea ubunge na udiwani katika majimbo yote ya ubunge na kata zote za udiwani zinazopatikana ZANZIBAR.

Hali kadhalika kwa upande wa TANZANIA BARA, ni lazima CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ kisimamishe wagombea ubunge na madiwani katika baadhi ya maeneo ambayo wanaamini watashinda kwa asilimia mia moja [ 100% ].

Baadhi ya maeneo hayo ni JIJI LA TANGA, kwa kutumia timu ya mpira ya COASTAL UNION FC, CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ kinauwezo wa kuchukua jimbo la TANGA MJINI mapema tu! Kinachotakiwa kufanyika ni maandalizi.

Maeneo mengine ni MKOA WA MARA, kwa kutumia timu ya mpira ya BIASHARA MARA UNITED, CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ kinauwezo wa kuchukua majimbo ya MUSOMA MJINI, BUNDA, SERENGETI na MUSOMA VIJIJINI. Kinachotakiwa kufanyika ni maandalizi ya mapema tu na PESA za kampeni.

Maeneo mengine ambayo CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ kina nguvu ni MIKOA YA PWANI, LINDI NA MTWARA. Yaani huko kunahitajika PESA ZA KAMPENI tu, wananchi walishakipokea na kukikubali CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️.

Kutumia timu za mpira wa miguu kama nyenzo ya kampeni ndio kutaiokoa CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️. Na hawa wamiliki wa CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ ndio wamiliki halali wa timu za SIMBA SC 🦁 ya DAR ES SALAAM, COASTAL UNION FC ya TANGA na BIASHARA MARA UNITED ya MARA.

Timu za mpira wa miguu nyingine ni kama MAJIMAJI FC ya MKOA WA RUVUMA, hii pia inaweza kutumika kwenye kampeni za uchaguzi kwenye jimbo la SONGEA na mkoa wa RUVUMA kwa ujumla.

Timu ya PAMBA SC ya JIJI LA MWANZA, hii pia inaweza kutumika kwenye kampeni za uchaguzi kwenye majimbo ya ILEMELA na NYAMAGAMA.

Hii yote kama itafanyika kwa uhakika na ukamilifu, CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ kinaweza kurudi kwenye nafasi yake ya kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI halafu mambo mengine yatafuata baadae lakini jukumu lililopo mezani ni kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI kwa upande wa TANZANIA BARA.
 
R.Mallorca, A.Bilbao, Sevilla,

Naikumbuka sana La Liga ya kipindi kile R.Mallorca ananikanyaga 4 pale nyumbani Santiago Benabeu.

MAONI: Natamani kama MWASHITA atawekeza pale Kremlin kwa Vladimir ili waongezewe kitu katika Intelejensia yao.
Hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanamiliki hisa kwenye moja ya makampuni yanayohusika na uchimbaji wa gesi nchini URUSI 🇷🇺, hii kampuni inaitwa GAZPROM.

Vile vile hii kampuni ya GAZPROM ndio inayodhamini moja ya timu za MWASHITA yaani SIMBA 🦁 inayoshiriki LIGI DARAJA LA KWANZA NCHINI UJERUMANI 🇩🇪, timu hiyo inaitwa FC SCHALKE 04.

b645c88d64466cc8439d9f8fa95e882d.png


Hii timu ya mpira wa miguu inayoitwa FC SCHALKE 04 ni timu inayomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kwahiyo hawa GAZPROM na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 waliingia mahusiano ya kibiashara kupitia timu ya mpira wa miguu inayoitwa FC SCHALKE 04 inayoshiriki LIGI DARAJA LA KWANZA NCHINI UJERUMANI 🇩🇪.
 
Somo ni tamu hata halichoshi.

Shukrani kwa darsa hili mkuu,

Hii Schalke O Four naikumbuka sana wakati ule ikiwa katika ubora wake Bundes Liga na wakati huo inakiwasha balaa ikiwa haijashuka daraja.

Hapo MWASHITA kwa GAZPROM lazima Kiintelejensia wawe smart sana maana mkuu Vladimir anawapatia madini mazito kutoka ndani ya FSB.
 
Historia Ina tambua kiongozi na Mara nyingi Yule wa juu ndiye anatajwa kuliko wengi katika Soma yangu yote nimeona hivyo mfano mzuri anayetajwa Kati ya wanasayansi wa kwanza kwenda mwezini NI kiongozi wao Nelly Amstrong hata walioleta uhuru nchi ya Kenya tunasikia zaidi Mzee Jomo Kenyatta kuliko yoyote Yule kwa hiyo Mwl Nyerere atabaki Hero kwa kuwa alikuwa kiongozi hao wengine wanatajwa kwa kiwango Chao na watu wachache na ndio Hali halisi ya history maana hata katika vitabu vitakatifu wanatajwa Sana kiongozi sio kila kutajwa sawa na kiongozi na huu ndio ukweli halisi haukwepeki akina Mzee Kambo a Kuna yao ya kukumbukwa lakini sio Kama kiongozi mkuu na hapo ndio namkumbuka J Magufuli kwa lengo lake la kuandika history ya Tanzania ili hata hao wengine wajulikane kwa kiwango Chao na Nini waliifanyia nchi hii
 
Somo ni tamu hata halichoshi.

Shukrani kwa darsa hili mkuu,

Hii Schalke O Four naikumbuka sana wakati ule ikiwa katika ubora wake Bundes Liga na wakati huo inakiwasha balaa ikiwa haijashuka daraja.

Hapo MWASHITA kwa GAZPROM lazima Kiintelejensia wawe smart sana maana mkuu Vladimir anawapatia madini mazito kutoka ndani ya FSB.

806d3cbb950a6150cd544d92c700b717.png

Hmmm! Unaambiwa hivi, HAYATI MWALIMU ana hisa kubwa tu, zinazokisiwa kuwa ni asilimia thelathini [ 30% ] kwenye kampuni ya BHP BILLITON. Hii ni kampuni kubwa sana duniani kwa upande wa uchimbaji wa Madini, Gesi na Mafuta.

Hii kampuni ya BHP BILLITON ndio kampuni inayoongoza kwa uchimbaji wa madini ya CHUMA GHAFI na kusafirisha kwenda UCHINA 🇨🇳 kutoka AUSTRALIA 🇦🇺 kwa njia ya maji, yaani MELI 🚢.

Vile vile, mbali na kuwa na hisa kwenye kampuni ya BHP BILLITON. HAYATI MWALIMU ana makumpuni yanayojishughulisha na Utafutaji yaani "EXPLORATION", Uchimbaji yaani "MINING" na Uchenjuaji yaani "PROCESSING" kwenye sekta ya Madini, Mafuta na Gesi.

Ndio maana hawa SERENGETI yaani CHUI sasa hivi wanajiita DUMA yaani TIGER - ni watu wenye nguvu kubwa sana ya kiuchumi na kisiasa kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 na hata AFRIKA YA MASHARIKI kwa ujumla.
 
Hapo nimemkubali sana mnyama Tiger anararua na kukwangua zaidi ya Lion.

Mnyama mwenye milia anatisha balaa katika uwindaji wake hata muwe 120 porini ila akiku point wewe ni wewe tu hata ujichanganye vipi na wenzio lazima alale mbele na wewe.

120KM speed/PH ni mwendo wa kuwararua na kuwala tu.

Mkuu, Charles Mandela ubarikiwe kwa madini adimu haya.

Bado nakudai mkuu maana July imepita na bado haujaitimiza ahadi.
 
Wewe endelea kujidanganya! Lakini inakupasa ufahamu ya kwamba - CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] ndio chama cha kisiasa chenye wabunge wengi wa kuchaguliwa katika bunge la JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA [emoji1241] baada ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM [emoji3537].

Wengine wanapiga kelele kutwa nzima! Lakini wana mbunge mmoja tu! Na sina uhakika kama huyo mbunge mwenyewe atarudi bungeni 2025 [emoji23][emoji23]

"THE ORIGINAL CUF" ipo mkoa wa SHINYANGA, hao wengine ni wafanyakazi tu! Tena isitoshe, baada ya kufariki MAALIM SEIF SHARIF HAMAD kuna wimbi kubwa sana la wabunge wa TANZANIA VISIWANI litarudi CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508].

Hii itafananishwa na matukio ya EDWARD LOWASA kurudi CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM [emoji3537], kuna kundi kubwa sana la wanasiasa lilirudi CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM [emoji3537] na kusababisha CHADEMA kudhohofika, mpaka leo hii chama kimepoteza muelekeo.

Na ACT - WAZALENDO [emoji2772] kinaelekea huko huko! Hiki CHAMA kitadhohofika hata kabla ya kukua! Nadhani 2025 ndio itakuwa ni mwisho wa ACT - WAZALENDO [emoji2772].

Hufahamu chochote kuhusu CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508].

Hivi unafahamu mshahara anaopokea PROFESA IBRAHIM LIPUMBA pale CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508]?

Hivi unafahamu ni wakina nani walio nyuma ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508]?

Hivi unafahamu uchumi wanaomiliki hawa walio nyuma ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508]?

Hawa wanaomiliki CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] ndio wamiliki halali wa kampuni ya mawasiliano ya TIGO TANZANIA.

Hawa wanaomiliki CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] hata KHANGA zao wakati wa KAMPENI wanaziandaa wenyewe kwenye kiwanda chao cha KTM [ KARIBU TEXTILE MILL ] kinachopatikana DAR ES SALAAM.

Hawa wanaomiliki CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] hakuna anayefuata kwa uchumi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM [emoji3537], isipokuwa HAYATI MWALIMU pekee yake.

Na hakuna WANAMTANDAO hatari, kama hawa wanaomiliki CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508]. Hawa wanaomiliki CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] ndio wanaitwa "THE UNTOUCHABLES" kwa upande wa TANZANIA [emoji1241].

Wengine ni WABABAISHAJI na MATAPELI tu. Hakuna watu ndani CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM [emoji3537] mwenye uwezo wa kupambana na hawa, zaidi ya SERENGETI yenyewe - tena kwa kutumia NGUVU YA DOLA.

TADEA imebaki kwenye makaratasi, hata OFISI YA CHAMA sidhani kama wanayo!

JOHN MAGALLE SHIBUDA [emoji23][emoji23]! Hivi kwani ni lazima wote tuwe na VYAMA VYA KISIASA? Ningeliomba wengine wabaki mashabiki tu! Huu mziki hawauwezi.

CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] kilishawahi kufukuza wabunge nane [ 8 ] kwa mkupuo na kikabaki salama. Kwahiyo hawa WANASIASA waliohamia ACT - WAZALENDO [emoji2772] hawana madhara kuelekea UCHAGUZI MKUU wa 2025.

My pal! When you get a chance to comment on platform like JAMIIFORUMS you need to be very smart, otherwise you will lose all credibility.
-Shibuda naye ni reference? Serious?
-Hivi unazungumzia idadi ya wabunge kutoka katika huu uchaguzi wa 2020,hakukuwa na uchaguzi bali mauzauza. So na wale Covid19 nao ni wawakilishi, watu wako bungeni wanakula pesa za bure wakati si wanachama wa chama chochote cha siasa.
-Siko hapa kwa ajili ya credibility bali kusimama katika ukweli, so that credibility issue of yours is out of equation as far as I'm concerned.
-Strong hold ya CUF ilikuwa ni Zanzibar, hebu lae wajaribu kuitisha mkutano uone kama patahudhuriwa na watu. Chama cha siasa ni watu bro na hilo hata humu JF ni sampling moja wapo ya kuonyesha vyama vipi vina 'watu'.
-Hivi zaidi yako humu JF kuna member yoyote mwingine anayeielewa the current CUF?
-Lipumba is a sellout na hawezi kusafishika kwa sasa.
-Polisi wanavyikandamiza opposition parties umeshawahi kuwaona wakiisumbua hii CUF ya sasa?
-Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe, vyama vya upinzani(credible) wameonekana baadhi ya viongozi wao pale. Nini kinawafanya CUF wasionyeshe which side they stand on the matter ili wananchi wa wawaelewe? Unajua kwa nini sijauliza msimamo wa TADEA, kwa sababu naamini vile vyama vilivyobaki kuwa vyama vya kwenye makaratasi havina impact yoyote hivyo kama CUF haijabaki kwenye makaratasi it's about time iwaonyeshe supporters wake iko upande gani katika mambo yanayoleta sintofahamu katika jamii.
-Umezungumzia kuhusu kuwa smart wakati wa ku comment, let me correct you-You gotta be real-, kuongelea vitu hewa wakati majority humu ni watu wenye akili timamu it's so absurd.
 
Wewe ni mmoja wa wajinga wajinga kama wale wa 1967 ambao hawakumuelewa Kambona na kum-persecute. In the end, nchi imefika kule Kambona alikokuwa anataka iende. Viongozi wanafanya biashara, wana nyumba za kupanga, hisa katika makampuni, nk. Nani alikuwa mjinga sasa - Kambona ama wao? Wajinga wa CCM mtakaokuwepo huko mbele mtaangalia nyuma siku moja na kuona mawazo yenu yalivyokuwa backward.

Hata Afrika ya Kusini ya 1960s, 70s, 80s ilikuwa na wajinga kama wewe ambao waliwaona Mandela, Govin Mbeki, Sithulu nk ni wasumbufu tu. 1994 nchi ilivyopata uhuru ndio wakagundua kuwa wao ndio walikuwa wajinga. Wajinga huwa hamkosekani. Uzuri ni kwamba nchi inaweza kombolewa hata na nyie wajinga mkiwemo.
Ni kweli wala sio uongo! Hawa watu hawafahamu kabisa wanataka nini! Na kama ni kuongoza nchi, hawawezi kupata nafasi ya kuongoza nchi kizembe hivyo!

Kwanza kabisa, CHADEMA wana intelijensia mbovu ya chama! Hawana taarifa zozote za kile kinachoendelea nchini, ndio maana wamemalizwa na hawawezi kuinuka tena.

Na kitu kingine, hawa CHADEMA wanadharau! Hawafahamu kabisa kuwa UCHUMI WA TANZANIA 🇹🇿 umeshikwa na SERENGETI yaani CHUI na MWASHITA yaani SIMBA.

Wao kama CHAMA hawana kitu, ni WATU WANAOHITAJI MSAADA na hawafahamu ni akina nani hasa wanastahili kuombwa MSAADA.

Yaani wao wanadharau CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️, halafu wanaenda kuomba msaada wa pesa za kampeni kwenye KIWANDA CHA FRESHO kilichopo mkoa wa SHINYANGA. Eeh! Yaani hawana taarifa kabisa kuwa wenye KIWANDA CHA FRESHO ndio wenye CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️.

Na hiki kitu ndio kilifanyika kule KILIMANJARO na ARUSHA, wanadharau CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️, halafu wanaenda kuomba msaada wa pesa za kampeni kwenye KAMPUNI YA MABASI YA KILIMANJARO EXPRESS. Hawana taarifa kabisa kuwa wenye CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ ndio wamiliki halali wa KAMPUNI YA MABASI YA KILIMANJARO EXPRESS.

Unaona intelijensia yao ilivyo mbovu! Ni mbovu kabisa! Na hii tabia ndio wanafanya kwa HAYATI MWALIMU, yaani wanamdharau na kumdhihaki HAYATI MWALIMU halafu wanaenda kuomba msaada wa pesa za kampeni kwenye makampuni yanayomilikiwa na familia ya HAYATI MWALIMU.

Hmmm! Hawa watu wanahitaji ELIMU na sio vyema kuwadhuru wala kuwashambulia, ni watu wanaohitaji kuelezwa kwa ukarimu, jinsi TANZANIA 🇹🇿 ilivyo na mambo yake.

HAYATI MWALIMU anatisha! SERENGETI yaani CHUI inatisha! Na sasa hivi hawa SERENGETI wanajiita DUMA na sio CHUI tena! Kwa sababu wamekuwa na UCHUMI MKUBWA NA NGUVU MARADUFU.

Kwa AFRIKA YA MASHARIKI, hii SERENGETI yaani CHUI ndio jamii yenye nguvu na uchumi mkubwa, ukiondoa ile jamii ya MLIMA KENYA inayopatikana nchini KENYA 🇰🇪.

Ndio maana hata MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanaishi kwa hofu sana, kwa sababu na wao pia wapo kwenye orodha ya kudhohofishwa kiuchumi na hata kumalizwa kabisa. Na mipango yote inaratibiwa kutoka nchi za RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮. Hizi nchi mbili zote zipo chini ya HIMAYA YA SERENGETI YAANI CHUI.

WAINGEREZA 🇬🇧 huwa wanasema hivi - "Never re - friend a person that has tried to destroy your character, your wealth or your relationship! A snake 🐍 only sheds its skin to become a bigger snake 🐉.."

Kama ilivyokuwa kwa miaka ya 1990 mpaka 1993, hawa RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮 wamekuja kwa wingi sana kwenye hii mikoa ya MWASHITA [ MWANZA, SHINYANGA na TABORA ] wakiwa na lengo moja tu! Lengo la kukamata sekta zote za kiuchumi na kibiashara, lakini wamekosa kitu kimoja tu, ambacho ni MTAJI.

Hawana MITAJI YA BIASHARA, kinachofanyika wanaongea na wamiliki wa makampuni ili kupenyeza watu wao, lakini hata hiyo imeshindikana. Kwa sababu, MWASHITA na wao wana watu wao! Sasa hivi hawa MWASHITA wanapenyeza sana watu wao, ndio maana VIJANA wameadimika mitaani.

Hicho KIWANDA CHA FRESHO kilichopo mkoa wa SHINYANGA, ni SIMBA hao! Na wanachukua VIJANA wao! Na wanamiliki UWANJA WA MPIRA ambao kwa siku za usoni, timu ya mpira kutoka DAR ES SALAAM itahamia SHINYANGA. Timu hiyo inaweza kuwa ni AFRICAN LYON au PAN AFRICA, zote hizi ni timu zinazoshiriki LIGI DARAJA LA KWANZA na zinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kwahiyo utaona ni jinsi gani hawa MWASHITA yaani SIMBA wanavyojihami na mambo yanayoendelea nchini TANZANIA 🇹🇿. Halafu pia, hawa MWASHITA yaani SIMBA wana malori ya mizigo zaidi ya elfu tatu [ 3000 ] kwa TANZANIA 🇹🇿 pekee yake.

Kwahiyo inakuwa sio salama kiuchumi kufanya biashara katika eneo moja, kuna mpango wa kupunguza malori ya mizigo kwa kupeleka baadhi ya malori kwenda kufanya kazi kwenye nchi nyingine za AFRIKA. BARA LA AFRIKA kuna mataifa hamsini na sita [ 56 ] na hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanauwezo wa kugawanya malori ya mizigo thelathini [ 30 ] kwa kila TAIFA LA AFRIKA na malori ya mizigo yatakayobaki ndio yataendelea kufanya kazi TANZANIA 🇹🇿. Hii itakuwa ni "INTER - CONTINENTAL TRADE".

Ni lazima kuiga kila jambo jema linalofanywa na SERENGETI yaani CHUI, ili kujihami na kila hila za uharibifu zinazopangwa na kuratibiwa na maadui.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA wanamiliki timu tatu [ 3 ] za mpira wa miguu zinazoshiriki LIGI KUU NCHINI UHISPANIA 🇪🇸. Timu hizo ni REAL MALLORCA, ATHLETIC BILBAO pamoja na SEVILLA itakayoshiriki michuano ya UEFA kwa msimu ujao.

Kwenye hizo timu tatu [ 3 ], timu moja [ 1 ] lazima itauzwa ili kupata PESA ya kuwekeza KIWANDA katika taifa la UCHINA 🇨🇳. Hili zoezi ni kama kuhamisha MTAJI, kutoka taifa moja kwenda taifa lingine.

Eeh, ndio! Na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 lazima wapate PESA ya kuwekeza KIWANDA katika taifa la UCHINA 🇨🇳. WASWAHILI wanasema hivi - "Kwani wao waweze wana nini, hata sisi tushindwe tuna nini 😂😂.."

Ni lazima MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na wao wamiliki KIWANDA katika taifa la UCHINA 🇨🇳, hii yote itakuwa ni kwa faida ya baadae ikitokea huku nyumbani mambo yamekuwa magumu.

Na hii ndio SIASA, ambayo hawa wenzetu wa CHADEMA ✌️ hawaifahamu! Hii ndio SIASA, ambayo WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita POLITICS! Hii ndio SIASA, ambayo WARUSI 🇷🇺 wanaita POLITIKA.
 
Hapo nimemkubali sana mnyama Tiger anararua na kukwangua zaidi ya Lion.

Mnyama mwenye milia anatisha balaa katika uwindaji wake hata muwe 120 porini ila akiku point wewe ni wewe tu hata ujichanganye vipi na wenzio lazima alale mbele na wewe.

120KM speed/PH ni mwendo wa kuwararua na kuwala tu.

Mkuu, Charles Mandela ubarikiwe kwa madini adimu haya.

Bado nakudai mkuu maana July imepita na bado haujaitimiza ahadi.
Hao ndio SERENGETI yaani CHUI! Hao ndio CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️! Na hao ndio wenye SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿.

Na wamekuwa na nguvu sana kwa sababu, kuna mambo yanayoendelea kwenye SERIKALI ni mabaya na yanakiuka HAKI ZA BINADAMU.

Lakini WABUNGE wamekaa kimya tu, tena wengine mpaka wanapewa BAHASHA ZA KAKI ili wasizungumze hadharani.

Pia hawafahamu kuwa ukipokea BAHASHA ZA KAKI kutoka kwa SERENGETI yaani CHUI, ndio umejimaliza hivyo. Wanakupa RUSHWA halafu wanakumaliza wenyewe.

Hali hii ndio imetokea kwa WABUNGE WA CHADEMA ✌️ na ACT - WAZALENDO 🖐️. Hawapo tena bungeni na muda si mrefu utawasikia wanaomba MSAADA WA KIFEDHA kama GODBLESS LEMA 😂😂
 
Back
Top Bottom