Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

-Shibuda naye ni reference? Serious?
Wewe ndio umetaja TADEA! Au sio wewe? Hebu jaribu kupitia ulichoandika huko nyuma ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
-Hivi unazungumzia idadi ya wabunge kutoka katika huu uchaguzi wa 2020,hakukuwa na uchaguzi bali mauzauza.
Sasa wewe ndio una matatizo! Yaani TUME HURU YA UCHAGUZI MKUU [ NEC ] imeandaa na kusimamia uchaguzi mkuu na WAANGALIZI WA KIMATAIFA [ INTERNATIONAL OBSERVERS ] walikuwepo halafu bado unasema ni mauzauza.

Kwahiyo wewe ulitaka UCHAGUZI MKUU ukidhi vigezo vyako! Ndio uwe UCHAGUZI HURU NA HAKI. Hivi hujioni kuwa wewe ndio mwenye kasoro ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Na kwanini hamkususia UCHAGUZI MKUU? Kama kweli ulikuwa ni mauzauza!

Wakati mwingine inabidi ukubali hali halisi ili uweze kujipanga na mambo yajayo, sio kupinga kila kitu!

Ukizingatia CHADEMA โœŒ๏ธ hawana mtaji wowote wa kisiasa zaidi ya kupiga porojo. WAINGEREZA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง wanaita hii ni LITERALLY POLITICS, ambayo huwezi kufika nayo popote.
So na wale Covid19 nao ni wawakilishi, watu wako bungeni wanakula pesa za bure wakati si wanachama wa chama chochote cha siasa.
Wale WABUNGE WA VITI MAALUM? Hao ni WABUNGE WA CHADEMA โœŒ๏ธ na sio SUALA LA KITAIFA! Ni SUALA LA CHADEMA โœŒ๏ธ yenyewe na wanatakiwa wakae chini kama CHAMA ili wayajenge kabla ya 2025.
-Siko hapa kwa ajili ya credibility bali kusimama katika ukweli, so that credibility issue of yours is out of equation as far as I'm concerned.
Huo ukweli inabidi na sisi pia tuone! Sio kueleza mambo ambayo hayafai, itakuwa unajaribu kupotosha umma.
-Strong hold ya CUF ilikuwa ni Zanzibar, hebu lae wajaribu kuitisha mkutano uone kama patahudhuriwa na watu. Chama cha siasa ni watu bro na hilo hata humu JF ni sampling moja wapo ya kuonyesha vyama vipi vina 'watu'.
Ndio! CHAMA CHA KISIASA ni WATU na kipimo chake ni UCHAGUZI, sio humu JAMIIFORUMS [ JF ] ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Humu JAMIIFORUMS [ JF ] unaweza kukuta mtu mmoja ana ID zaidi ya kumi [ 10 ], halafu wakati wa kupiga kura humuoni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sasa swali linakuja kwako ni chama gani cha kisiasa chenye wabunge wengi bungeni ukiondoa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ? Jibu ni CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ
-Hivi zaidi yako humu JF kuna member yoyote mwingine anayeielewa the current CUF?
Ndio! Ulitaka na wewe uwaone? Halafu usitumie JAMIIFORUMS [ JF ] kama kithibitisho, utapotea!
-Lipumba is a sellout na hawezi kusafishika kwa sasa.
Muda wake umeisha! Na muda si mrefu CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kitapata mwenyekiti mwingine.
-Polisi wanavyikandamiza opposition parties umeshawahi kuwaona wakiisumbua hii CUF ya sasa?
Kwahiyo ulitaka na CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ wasumbuliwe, ndio roho yako isuhuzike ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

SIASA hazipo hivyo ndugu yangu! CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kina taratibu zake katika kutatua masuala ya kisiasa, na sio kuleta vurugu.
-Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe, vyama vya upinzani(credible) wameonekana baadhi ya viongozi wao pale.
Wewe kipimo chako ni MBOWE? CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ hakina utaratibu huo, ndio maana hawakuwa hata sehemu ya UKAWA.
Nini kinawafanya CUF wasionyeshe which side they stand on the matter ili wananchi wa wawaelewe?
Hilo ni SUALA LA CHADEMA โœŒ๏ธ na sio SUALA LA CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ.
Hutokuja kuisikia CUF โ˜€๏ธ ikizungumza kwa niaba ya VYAMA VINGINE VYA KISIASA. Hilo ni SUALA LA CHADEMA โœŒ๏ธ na MAHAKAMA.

Kwahiyo kama ACT - WAZALENDO ๐Ÿ–๏ธ na NCCR - MAGEUZI wameamua kuwa pamoja na MBOWE kwenye kesi ya UGAIDI ni wao na vyama vyao.

CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kipo makini na uchaguzi wa mwaka 2025.
-Umezungumzia kuhusu kuwa smart wakati wa ku comment, let me correct you-You gotta be real-, kuongelea vitu hewa wakati majority humu ni watu wenye akili timamu it's so absurd.
My pal, don't act like you are just living in your own fantasy world. Let us all be real!
 
-Kwanza kama unaamini uchaguzi uliopita ulikuwa free and fair nadhani hapa hatuna sababu ya kuendelea na huu mjadala, we'll never reach a common ground.
-Hivi kwa nini kila mtu anayeonyesha msimamo wa kupinga mienendo isiyoeleweka huwa mmamchukulia kuwa ni mtu wa CHADEMA, does it mean that upinzani real uko CHADEMA peke yake? You've branded me already wakati sifungamani na chama chochote, I'm flexible na sitegemei ushawishi kutoka popote lakini with conscious mind always nitakuwa upande ninaoamini unatetea haki au unatenda haki siku zote.
-Mfano mdogo, NEC inatakiwa iwe independent yaani kusiwepo na presidential appointees ili ifanye kazi bila uoga no wonder watu wanapigania katiba mpya ili kurekebisha mambo kama hayo.
-Labda ni hitimishe kwamba chama cha kweli cha upinzani kinaoneka dhahiri shahiri hata mitaani, hizi blah blahs nyingine zipo na zitaendelea kuwepo.
 
Asanteni sana wakuu kwa hoja zenu zenye mantiki mujarabu.

Nimejifunza mengi kutoka kwenu na bado pia naendelea kujifunza.

Mbarikiwe wote kwa mchango wenu huu katika uzi huu.
 


Reginald L. Ishala hapa kwenye hii kampuni ya BHP BILLITON, sio tena hisa za asilimia thelathini [ 30% ] bali hawa SERENGETI yaani CHUI walianza na hisa za asilimia ishirini na tano [ 25% ] na sasa hivi wana hisa za asilimia hamsini [ 50% ].

Na hii ni lugha ya picha - kwa wanaoweza kutambua hapo ni kuwa walianza na viganja vitano vyenye vidole ishirini na tano [ ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ ] ambavyo ni sawa na asilimia ishirini na tano [ 25% ] na sasa hivi wana SAFETY, hii wanamaanisha FIFTY yaani asilimia hamsini [ 50% ].

BHP BILLITON ndio kampuni kubwa sana duniani inayofanya Madini, Gesi na Mafuta kwa pamoja. Ndio kampuni pekee inayofanya "MINES & PETROLEUM INDUSTRY" kwa pamoja na wana mtaji mkubwa sana.
 
-Kwanza kama unaamini uchaguzi uliopita ulikuwa free and fair nadhani hapa hatuna sababu ya kuendelea na huu mjadala, we'll never reach a common ground.
Ndio, uchaguzi uliopita ulikuwa ni wa haki na usawa! Sema matokeo ya udiwani na ubunge yalishitua watu wengi sana, kwa sababu idadi ya viti vingi vilichukuliwa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ.
-Hivi kwa nini kila mtu anayeonyesha msimamo wa kupinga mienendo isiyoeleweka huwa mmamchukulia kuwa ni mtu wa CHADEMA, does it mean that upinzani real uko CHADEMA peke yake?
Hapana! Na haimaanisha kuwa upinzani uko CHADEMA โœŒ๏ธ pekee yake, lakini wewe mwenyewe tangu mwanzo ulioanisha matukio ya kisiasa na mwenyekiti wa CHADEMA โœŒ๏ธ, MBOWE. Au sio wewe? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
You've branded me already wakati sifungamani na chama chochote, I'm flexible na sitegemei ushawishi kutoka popote lakini with conscious mind always nitakuwa upande ninaoamini unatetea haki au unatenda haki siku zote.
Ndio! Na huo ndio uzalendo na ukomavu wa kufikiri sawasawa.
-Mfano mdogo, NEC inatakiwa iwe independent yaani kusiwepo na presidential appointees ili ifanye kazi bila uoga no wonder watu wanapigania katiba mpya ili kurekebisha mambo kama hayo.
Hapa uko sahihi na ni vyema tukafuata mfumo wa UCHAGUZI MKUU kama KENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช wanavyofanya.
-Labda ni hitimishe kwamba chama cha kweli cha upinzani kinaoneka dhahiri shahiri hata mitaani, hizi blah blahs nyingine zipo na zitaendelea kuwepo.
Ndio! Hapa tuko pamoja! Lakini CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ ndio chama sahihi kinachosimamia haki sawa kwa wote.
 
You just made me smile, [emoji123][emoji123].
Natumai we both wish the best for the nation but we differ on how to make it happen.

Let's agree to disagree at least for now.
Stay blessed.
 
Kwa level yangu, nimekuelewa kuwa unamuenzi Kambona. Lakini pia usimtukane Nyerere. Kwa sasa tuko Samia.
 
You just made me smile, [emoji123][emoji123].
Natumai we both wish the best for the nation but we differ on how to make it happen.

Let's agree to disagree at least for now.
Stay blessed.
Have just a day of cattin' around!
 
Mkuu, Charles Mandela!
Nimewatazama BHP Bilton kupitia www.google.com Nimeona net income iko vizuri sana ni $8B na point kadhaa.
Naam! Na asilimia hamsini [ 50% ] ya hicho kiasi ndio thamani ya hisa za HAYATI MWALIMU walizoweka kwenye hiyo kampuni ya BHP BILLITON.

Na kwa mahesabu ya haraka haraka ni kiasi cha shilingi USD 4B [ USD 4,000,000,000 ] ambayo kwa shilingi za kitanzania unaweza kupata shilingi trilioni 9.3 ambazo ni sawa bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ kwa kipindi cha miaka kumi [ 10 ].


Hiyo ndio thamani ya hisa za HAYATI MWALIMU kwenye kampuni ya BHP BILLITON na kwa kadri muda unavyozidi kwenda hii kampuni wanaweza kumiliki hisa zote, asilimia mia moja [ 100% ].
 

Budget ya Rwanda ni $3.4billion kwa mwaka huu sasa hizo hesabu za kusema trilion 9.3 ni budget ya Rwanda kwa miaka 10 hesabu zimekaaje hapo.
 
Kwa level yangu, nimekuelewa kuwa unamuenzi Kambona. Lakini pia usimtukane Nyerere. Kwa sasa tuko Samia.
hapana hatumtukani bali tunamtetea waliyemdharau na kumficha mbele ya macho ya watanzania wengi hasa vijana
 
lakini sasa hayo maandalizi ya mapema ndio yanayopingwa na chama tawala yaani ikionekana mnafanya mikutano tu ni kesi
 
Budget ya Rwanda ni $3.4billion kwa mwaka huu sasa hizo hesabu za kusema trilion 9.3 ni budget ya Rwanda kwa miaka 10 hesabu zimekaaje hapo.
Bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ kwa mwaka 2021/22 ni 3.8 trilioni [ Rwandan Francs ] ambayo ni sawa na 407 bilioni [ Kenyan Shillings ] na ni sawa na 8.6 trilioni [ Tanzanian Shillings ].


Hiyo hapo juu ni picha inayoonesha bajeti ya SERIKALI ZA AFRIKA YA MASHARIKI kwa pamoja na bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ ni hiyo hapo juu kama unavyoona.


Na ukijaribu kubadilisha kwenda kwenye shilingi za kitanzania, utapata kama shilingi 8.6 trilioni [ Tanzanian Shillings ]. Hiyo ndio bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ kwa mwaka 2021/22.

Na ukija kwenye thamani ya hisa za asilimia hamsini [ 50% ] kwenye kampuni ya BHP BILLITON ni sawa na USD 4,000,000,000. Huu tunaweza kusema ni MTAJI yaani CAPITAL.

Na kwenye sekta ya Madini, Gesi na Mafuta yaani "Mines and Petroleum Industry" yaani "Extractive Industry" huwa pia kuna mapato na matumizi yaani "Revenues and Expenditures" kama ilivyo kwa sekta nyingine. Lakini tofauti inakuja kwenye "Interest Rate of Return" yaani [ IRR ].

Hii "Interest Rate of Return" yaani [ IRR ] ndio inaleta tofauti kati sekta nyingine na sekta ya Madini, Gesi na Mafuta yaani "Mines and Petroleum Industry" yaani "Extractive Industry".

Na "Interest Rate of Return" yaani [ IRR ] ya kampuni ya BHP BILLITON ni 9.4 na huwa inafika mpaka 10 kwa makadirio ya kawaida, yaani "Normal Approximation".

Na ukitaka kufahamu thamani ya hisa yaani "SHARES" kwenye shughuli yoyote ya Madini, Gesi na Mafuta yaani "Mines and Petroleum Industry" yaani "Extractive Industry" huwa kuna kanuni yaani "FORMULA" ambayo ni:

Interest Rate of Return [ IRR ] ร— Real Value or Capital [ RV ] = Expected Value [ EV ]
Kwahiyo ukitaka kufahamu kuwa watapata kiasi gani cha fedha baada ya kumiliki hisa za asilimia hamsini [ 50% ] zenye thamani ya shilingi USD 4,000,000,000 kwenye hiyo kampuni ya BHP BILLITON.

Mahesabu yake ni haya:

Na tayari umeshapewa kila kitu kama "Interest Rate of Return" yaani [ IRR ] ambayo ni 9.4 na Mtaji yaani "CAPITAL" au "Real Value" yaani [ RV ]. Kwahiyo "Expected Value" yaani "Kiwango Cha Matarajio" baada ya mradi itakuwa ni:

Expected Value [ EV ] = 9.4 ร— USD 4,000,000,000 = USD 37,600,000,000
Hiki kiasi cha shilingi USD 37.6B ni bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ kwa kipindi cha muda wa miaka kumi [ 10 ].


Hiki kiasi cha shilingi USD 37.6B ukibadilisha kwa kiwango cha fedha za kitanzania, utapata kiasi cha shilingi TSh 87.5 trilioni. Hiki kiasi cha fedha ni sawa na bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ kwa kipindi cha muda wa miaka kumi [ 10 ].
 
lakini sasa hayo maandalizi ya mapema ndio yanayopingwa na chama tawala yaani ikionekana mnafanya mikutano tu ni kesi
Ndio SIASA hiyo! Yaani sehemu nzuri ambayo VYAMA VYA UPINZANI vilitakiwa kuonesha uwezo wao wa KISIASA ilikuwa ni BUNGENI.

Sasa hivi hawafanyi chochote! Hata na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ na wao wanajihami kwa namna yao.

Na hauwezi kusema kwamba utafanya tofauti na ilivyo pangwa kwa sababu na wao wana sababu zao za KISIASA. Yaani wanalinda goli ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Yaani ifike mahala tuelezane ukweli tu - hawa VYAMA VYA UPINZANI kilichowaponza ni kupokea BAHASHA ZA KAKI kipindi wapo BUNGENI.

Na ukipokea RUSHWA kutoka kwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ huponi! Wanakumaliza wenyewe na hicho ndicho kilichofanyika kwa upande wa VYAMA VYA UPINZANI.
 
Vyama vya SI-HASA vina miaka zaidi ya 28-30 hata ofisi zao za matawi hajizulikani zilipo, Halafu wanakwambia Chama Tawala lazima king'olewe madarakani.

Kinang'olewaje?


King'olewe na nani?
Wanaleta UTANI hawa! Hata CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ chenyewe lazima kifanyiwe mabadiliko ya kiuongozi ili kiwe na fikra mpya.
 


Umeona hiyo ratiba ya michuano ya CECAFA KAGAME CUP 2021 kwa hatua ya nusu fainali?

Hizo timu mbili za EXPRESS FC ya UGANDA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ na NYASA BIG BULLETS ya MALAWI ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ผ, zote hizo ni timu za MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ.

Kwahiyo, kwa mwaka huu - hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wameingia kuanzia nusu fainali kwenye michuano yote ya AFRIKA kuanzia KLABU BINGWA AFRIKA ๐ŸŒ, KLABU SHIRIKISHO AFRIKA ๐ŸŒ na CECAFA CUP.

Haya ndio mafanikio ya MWASHITA yaani SIMBA, kumiliki timu za mpira wa miguu kwa BARA LA AFRIKA ๐ŸŒ.
 
Vyama vya SI-HASA vina miaka zaidi ya 28-30 hata ofisi zao za matawi hajizulikani zilipo, Halafu wanakwambia Chama Tawala lazima king'olewe madarakani.

Kinang'olewaje?


King'olewe na nani?
Na niwapeni SIRI nyingine - Kuna CHAMA CHA KISIASA kilitoa shilingi bilioni mbili [ 2,000,000,000 ] pesa taslimu za kitanzania, ili kiendelee kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI BUNGENI kwa upande wa TANZANIA BARA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Na waliingizwa mkenge au chaka na aliyekuwa RAIS WA AWAMU YA NNE! Bilioni mbili [ 2,000,000,000 ] zikaliwa na hawakupata kitu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Na matokeo yake walipata mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa! Tena mbunge mwenyewe ni kutoka jimbo ambalo hata hawakutarajia wenyewe! Kule mpakani mwa ZAMBIA ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ na TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ! Kule wanakolima mpunga kwa wingi! Wanapaita NKASI KASKAZINI ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ndio maana sasa hivi hicho CHAMA kama wamepoteana hivi! Wamepaniki! Moja haikai, wala mbili haisogei! Pesa wamepoteza na nafasi BUNGENI wamekosa vile vile!

Wengine wapo MAGEREZA! Wengine walikimbilia KANADA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ! Wengine walikimbilia UBELIGIJI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช! Wengine wapo VIJIWENI tu, tena wanasubiri waanze kuuza yale MAGARI yao ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ndio maana sasa hivi CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ wameimalika sana kuliko hata miaka ya nyuma na kuna SIASA inafanyika huku uraiani mpaka unashangaa! Utafikiri hatuna VYAMA VYA UPINZANI!

Wao wanakwambia hivi DUNIANI TUNAPITA LAKINI CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ KITABAKI. Kuna majimbo yanatoa WANAFUNZI BORA lakini hao wanafunzi wanapewa matokeo tofauti kabisa na ufaulu wao! Na WABUNGE wao wamekaa kimya tu, utafikiri hawapo!

WAZIRI WA ELIMU WA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ hakutakiwa kuwepo pale ofisini hata leo hii! Huyo ni CHUI yaani SERENGETI na yupo pale wizarani kimkakati. Kuna wanafunzi wasiokuwa na vigezo wanapitishwa pale NECTA | Home kwa idadi ya kutisha na hii yote inafanyika kwa masilahi ya kisiasa. Yaani kwa masilahi ya SERENGETI yaani CHUI na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kwa ujumla.

Na kwa sababu hali hii inawafanya hawa SERENGETI yaani CHUI kuimarika kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ na hii ndio sababu inayowafanya hawa SERENGETI yaani CHUI kuwa na nguvu ya kisiasa na kiuchumi.

Baada ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kuua SEKTA YA ELIMU kupitia NECTA | Home sasa hivi kupata ajira imekuwa ni ngumu sana! Kwanza haijulikani kabisa ni nani alikuwa MWANAFUNZI BORA na nani sio MWANAFUNZI BORA.

Kuna WANAFUNZI BORA wengine wanaambiwa waendeshe BODABODA halafu baadae ndio waajiriwe SERIKALINI. Na kwa jinsia ya kike ni hivyo hivyo, hawa wanaambiwa wafanye kazi kwenye migahawa midogo midogo na kuuza maduka halafu baadae ndio waajiriwe SERIKALINI na baadhi ya BENKI ambazo SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ina hisa, yaani ni mambo ambayo yanasikitisha sana.

Kuna mambo ya KISHENZI yanayoendelea kufanyika nchini TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ mpaka mtu unabaki unajiuliza tu!! Hii yote inafanyika kwa sababu VYAMA VYA UPINZANI ni sehemu ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ yaani hivi VYAMA VYA UPINZANI vipo kwa ajili kukusanya ruzuku na kufanya UKUWADI WA KISIASA, sio kufanya SIASA ZA USHINDANI.
 
Hawa Murzah Wilmar EA kwa miaka ya 1995-7 mpaka miaka ya 2000 Walitisha sana kwa ubora wa bidhaa zao.

Walitwaa tuzo za ndani (Kitaifa) na tuzo za nje (Kimataifa) pale GENEVA BID 2000.

Halafu kumbe ni mali ya MNYAMA MWASHITA!, Sikulifahamu hilo.

MR TIGER yukoje kuhusu kabumbu pale Spain?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ