Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

-Shibuda naye ni reference? Serious?
Wewe ndio umetaja TADEA! Au sio wewe? Hebu jaribu kupitia ulichoandika huko nyuma ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
-Hivi unazungumzia idadi ya wabunge kutoka katika huu uchaguzi wa 2020,hakukuwa na uchaguzi bali mauzauza.
Sasa wewe ndio una matatizo! Yaani TUME HURU YA UCHAGUZI MKUU [ NEC ] imeandaa na kusimamia uchaguzi mkuu na WAANGALIZI WA KIMATAIFA [ INTERNATIONAL OBSERVERS ] walikuwepo halafu bado unasema ni mauzauza.

Kwahiyo wewe ulitaka UCHAGUZI MKUU ukidhi vigezo vyako! Ndio uwe UCHAGUZI HURU NA HAKI. Hivi hujioni kuwa wewe ndio mwenye kasoro ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Na kwanini hamkususia UCHAGUZI MKUU? Kama kweli ulikuwa ni mauzauza!

Wakati mwingine inabidi ukubali hali halisi ili uweze kujipanga na mambo yajayo, sio kupinga kila kitu!

Ukizingatia CHADEMA โœŒ๏ธ hawana mtaji wowote wa kisiasa zaidi ya kupiga porojo. WAINGEREZA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง wanaita hii ni LITERALLY POLITICS, ambayo huwezi kufika nayo popote.
So na wale Covid19 nao ni wawakilishi, watu wako bungeni wanakula pesa za bure wakati si wanachama wa chama chochote cha siasa.
Wale WABUNGE WA VITI MAALUM? Hao ni WABUNGE WA CHADEMA โœŒ๏ธ na sio SUALA LA KITAIFA! Ni SUALA LA CHADEMA โœŒ๏ธ yenyewe na wanatakiwa wakae chini kama CHAMA ili wayajenge kabla ya 2025.
-Siko hapa kwa ajili ya credibility bali kusimama katika ukweli, so that credibility issue of yours is out of equation as far as I'm concerned.
Huo ukweli inabidi na sisi pia tuone! Sio kueleza mambo ambayo hayafai, itakuwa unajaribu kupotosha umma.
-Strong hold ya CUF ilikuwa ni Zanzibar, hebu lae wajaribu kuitisha mkutano uone kama patahudhuriwa na watu. Chama cha siasa ni watu bro na hilo hata humu JF ni sampling moja wapo ya kuonyesha vyama vipi vina 'watu'.
Ndio! CHAMA CHA KISIASA ni WATU na kipimo chake ni UCHAGUZI, sio humu JAMIIFORUMS [ JF ] ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Humu JAMIIFORUMS [ JF ] unaweza kukuta mtu mmoja ana ID zaidi ya kumi [ 10 ], halafu wakati wa kupiga kura humuoni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sasa swali linakuja kwako ni chama gani cha kisiasa chenye wabunge wengi bungeni ukiondoa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ? Jibu ni CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ
-Hivi zaidi yako humu JF kuna member yoyote mwingine anayeielewa the current CUF?
Ndio! Ulitaka na wewe uwaone? Halafu usitumie JAMIIFORUMS [ JF ] kama kithibitisho, utapotea!
-Lipumba is a sellout na hawezi kusafishika kwa sasa.
Muda wake umeisha! Na muda si mrefu CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kitapata mwenyekiti mwingine.
-Polisi wanavyikandamiza opposition parties umeshawahi kuwaona wakiisumbua hii CUF ya sasa?
Kwahiyo ulitaka na CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ wasumbuliwe, ndio roho yako isuhuzike ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

SIASA hazipo hivyo ndugu yangu! CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kina taratibu zake katika kutatua masuala ya kisiasa, na sio kuleta vurugu.
-Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe, vyama vya upinzani(credible) wameonekana baadhi ya viongozi wao pale.
Wewe kipimo chako ni MBOWE? CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ hakina utaratibu huo, ndio maana hawakuwa hata sehemu ya UKAWA.
Nini kinawafanya CUF wasionyeshe which side they stand on the matter ili wananchi wa wawaelewe?
Hilo ni SUALA LA CHADEMA โœŒ๏ธ na sio SUALA LA CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ.
Unajua kwa nini sijauliza msimamo wa TADEA, kwa sababu naamini vile vyama vilivyobaki kuwa vyama vya kwenye makaratasi havina impact yoyote hivyo kama CUF haijabaki kwenye makaratasi it's about time iwaonyeshe supporters wake iko upande gani katika mambo yanayoleta sintofahamu katika jamii.
Hutokuja kuisikia CUF โ˜€๏ธ ikizungumza kwa niaba ya VYAMA VINGINE VYA KISIASA. Hilo ni SUALA LA CHADEMA โœŒ๏ธ na MAHAKAMA.

Kwahiyo kama ACT - WAZALENDO ๐Ÿ–๏ธ na NCCR - MAGEUZI wameamua kuwa pamoja na MBOWE kwenye kesi ya UGAIDI ni wao na vyama vyao.

CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kipo makini na uchaguzi wa mwaka 2025.
-Umezungumzia kuhusu kuwa smart wakati wa ku comment, let me correct you-You gotta be real-, kuongelea vitu hewa wakati majority humu ni watu wenye akili timamu it's so absurd.
My pal, don't act like you are just living in your own fantasy world. Let us all be real!
 
Wewe ndio umetaja TADEA! Au sio wewe? Hebu jaribu kupitia ulichoandika huko nyuma [emoji23][emoji23]

Sasa wewe ndio una matatizo! Yaani TUME HURU YA UCHAGUZI MKUU [ NEC ] imeandaa na kusimamia uchaguzi mkuu na WAANGALIZI WA KIMATAIFA [ INTERNATIONAL OBSERVERS ] walikuwepo halafu bado unasema ni mauzauza.

Kwahiyo wewe ulitaka UCHAGUZI MKUU ukidhi vigezo vyako! Ndio uwe UCHAGUZI HURU NA HAKI. Hivi hujioni kuwa wewe ndio mwenye kasoro [emoji23][emoji23]

Na kwanini hamkususia UCHAGUZI MKUU? Kama kweli ulikuwa ni mauzauza!

Wakati mwingine inabidi ukubali hali halisi ili uweze kujipanga na mambo yajayo, sio kupinga kila kitu!

Ukizingatia CHADEMA [emoji3577] hawana mtaji wowote wa kisiasa zaidi ya kupiga porojo. WAINGEREZA [emoji636] wanaita hii ni LITERALLY POLITICS, ambayo huwezi kufika nayo popote.

Wale WABUNGE WA VITI MAALUM? Hao ni WABUNGE WA CHADEMA [emoji3577] na sio SUALA LA KITAIFA! Ni SUALA LA CHADEMA [emoji3577] yenyewe na wanatakiwa wakae chini kama CHAMA ili wayajenge kabla ya 2025.

Huo ukweli inabidi na sisi pia tuone! Sio kueleza mambo ambayo hayafai, itakuwa unajaribu kupotosha umma.

Ndio! CHAMA CHA KISIASA ni WATU na kipimo chake ni UCHAGUZI, sio humu JAMIIFORUMS [ JF ] [emoji23][emoji23]

Humu JAMIIFORUMS [ JF ] unaweza kukuta mtu mmoja ana ID zaidi ya kumi [ 10 ], halafu wakati wa kupiga kura humuoni [emoji23][emoji23]

Sasa swali linakuja kwako ni chama gani cha kisiasa chenye wabunge wengi bungeni ukiondoa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM [emoji3537]? Jibu ni CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508]

Ndio! Ulitaka na wewe uwaone? Halafu usitumie JAMIIFORUMS [ JF ] kama kithibitisho, utapotea!

Muda wake umeisha! Na muda si mrefu CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] kitapata mwenyekiti mwingine.

Kwahiyo ulitaka na CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] wasumbuliwe, ndio roho yako isuhuzike [emoji23][emoji23]

SIASA hazipo hivyo ndugu yangu! CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] kina taratibu zake katika kutatua masuala ya kisiasa, na sio kuleta vurugu.

Wewe kipimo chako ni MBOWE? CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] hakina utaratibu huo, ndio maana hawakuwa hata sehemu ya UKAWA.

Hilo ni SUALA LA CHADEMA [emoji3577] na sio SUALA LA CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508].

Hutokuja kuisikia CUF [emoji3508] ikizungumza kwa niaba ya VYAMA VINGINE VYA KISIASA. Hilo ni SUALA LA CHADEMA [emoji3577] na MAHAKAMA.

Kwahiyo kama ACT - WAZALENDO [emoji2772] na NCCR - MAGEUZI wameamua kuwa pamoja na MBOWE kwenye kesi ya UGAIDI ni wao na vyama vyao.

CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] kipo makini na uchaguzi wa mwaka 2025.

My pal, don't act like you are just living in your own fantasy world. Let us all be real!
-Kwanza kama unaamini uchaguzi uliopita ulikuwa free and fair nadhani hapa hatuna sababu ya kuendelea na huu mjadala, we'll never reach a common ground.
-Hivi kwa nini kila mtu anayeonyesha msimamo wa kupinga mienendo isiyoeleweka huwa mmamchukulia kuwa ni mtu wa CHADEMA, does it mean that upinzani real uko CHADEMA peke yake? You've branded me already wakati sifungamani na chama chochote, I'm flexible na sitegemei ushawishi kutoka popote lakini with conscious mind always nitakuwa upande ninaoamini unatetea haki au unatenda haki siku zote.
-Mfano mdogo, NEC inatakiwa iwe independent yaani kusiwepo na presidential appointees ili ifanye kazi bila uoga no wonder watu wanapigania katiba mpya ili kurekebisha mambo kama hayo.
-Labda ni hitimishe kwamba chama cha kweli cha upinzani kinaoneka dhahiri shahiri hata mitaani, hizi blah blahs nyingine zipo na zitaendelea kuwepo.
 
Asanteni sana wakuu kwa hoja zenu zenye mantiki mujarabu.

Nimejifunza mengi kutoka kwenu na bado pia naendelea kujifunza.

Mbarikiwe wote kwa mchango wenu huu katika uzi huu.
 
Hmmm! Unaambiwa hivi, HAYATI MWALIMU ana hisa kubwa tu, zinazokisiwa kuwa ni asilimia thelathini [ 30% ] kwenye kampuni ya BHP BILTON. Hii ni kampuni kubwa sana duniani kwa upande wa uchimbaji wa Madini, Gesi na Mafuta.

Hii kampuni ya BHP BILTON ndio kampuni inayoongoza kwa uchimbaji wa madini ya CHUMA GHAFI na kusafirisha kwenda UCHINA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ kutoka AUSTRALIA ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡บ kwa njia ya maji, yaani MELI ๐Ÿšข.

Vile vile, mbali na kuwa na hisa kwenye kampuni ya BHP BILTON. HAYATI MWALIMU ana makumpuni yanayojishughulisha na Utafutaji yaani "EXPLORATION", Uchimbaji yaani "MINING" na Uchenjuaji yaani "PROCESSING" kwenye sekta ya Madini, Mafuta na Gesi.

Ndio maana hawa SERENGETI yaani CHUI sasa hivi wanajiita DUMA yaani TIGER - ni watu wenye nguvu kubwa sana ya kiuchumi na kisiasa kwa upande wa TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na hata AFRIKA YA MASHARIKI kwa ujumla.

4c022bfb92a0ce60b557fe27f33b397f.png

Reginald L. Ishala hapa kwenye hii kampuni ya BHP BILLITON, sio tena hisa za asilimia thelathini [ 30% ] bali hawa SERENGETI yaani CHUI walianza na hisa za asilimia ishirini na tano [ 25% ] na sasa hivi wana hisa za asilimia hamsini [ 50% ].

Na hii ni lugha ya picha - kwa wanaoweza kutambua hapo ni kuwa walianza na viganja vitano vyenye vidole ishirini na tano [ ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ ] ambavyo ni sawa na asilimia ishirini na tano [ 25% ] na sasa hivi wana SAFETY, hii wanamaanisha FIFTY yaani asilimia hamsini [ 50% ].

BHP BILLITON ndio kampuni kubwa sana duniani inayofanya Madini, Gesi na Mafuta kwa pamoja. Ndio kampuni pekee inayofanya "MINES & PETROLEUM INDUSTRY" kwa pamoja na wana mtaji mkubwa sana.
 
-Kwanza kama unaamini uchaguzi uliopita ulikuwa free and fair nadhani hapa hatuna sababu ya kuendelea na huu mjadala, we'll never reach a common ground.
Ndio, uchaguzi uliopita ulikuwa ni wa haki na usawa! Sema matokeo ya udiwani na ubunge yalishitua watu wengi sana, kwa sababu idadi ya viti vingi vilichukuliwa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ.
-Hivi kwa nini kila mtu anayeonyesha msimamo wa kupinga mienendo isiyoeleweka huwa mmamchukulia kuwa ni mtu wa CHADEMA, does it mean that upinzani real uko CHADEMA peke yake?
Hapana! Na haimaanisha kuwa upinzani uko CHADEMA โœŒ๏ธ pekee yake, lakini wewe mwenyewe tangu mwanzo ulioanisha matukio ya kisiasa na mwenyekiti wa CHADEMA โœŒ๏ธ, MBOWE. Au sio wewe? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
You've branded me already wakati sifungamani na chama chochote, I'm flexible na sitegemei ushawishi kutoka popote lakini with conscious mind always nitakuwa upande ninaoamini unatetea haki au unatenda haki siku zote.
Ndio! Na huo ndio uzalendo na ukomavu wa kufikiri sawasawa.
-Mfano mdogo, NEC inatakiwa iwe independent yaani kusiwepo na presidential appointees ili ifanye kazi bila uoga no wonder watu wanapigania katiba mpya ili kurekebisha mambo kama hayo.
Hapa uko sahihi na ni vyema tukafuata mfumo wa UCHAGUZI MKUU kama KENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช wanavyofanya.
-Labda ni hitimishe kwamba chama cha kweli cha upinzani kinaoneka dhahiri shahiri hata mitaani, hizi blah blahs nyingine zipo na zitaendelea kuwepo.
Ndio! Hapa tuko pamoja! Lakini CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ ndio chama sahihi kinachosimamia haki sawa kwa wote.
 
Ndio, uchaguzi uliopita ulikuwa ni wa haki na usawa! Sema matokeo ya udiwani na ubunge yalishitua watu wengi sana, kwa sababu idadi ya viti vingi vilichukuliwa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM [emoji3537].

Hapana! Na haimaanisha kuwa upinzani uko CHADEMA [emoji3577] pekee yake, lakini wewe mwenyewe tangu mwanzo ulioanisha matukio ya kisiasa na mwenyekiti wa CHADEMA [emoji3577], MBOWE. Au sio wewe? [emoji23][emoji23]

Ndio! Na huo ndio uzalendo na ukomavu wa kufikiri sawasawa.

Hapa uko sahihi na ni vyema tukafuata mfumo wa UCHAGUZI MKUU kama KENYA [emoji1139] wanavyofanya.

Ndio! Hapa tuko pamoja! Lakini CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508] ndio chama sahihi kinachosimamia haki sawa kwa wote.
You just made me smile, [emoji123][emoji123].
Natumai we both wish the best for the nation but we differ on how to make it happen.

Let's agree to disagree at least for now.
Stay blessed.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikua tunaaminishwa kwamba Mlm Nyerere ndio "icon" pekee apa nchini, tulikua tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kua kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia badae sana baada ya kuskia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikua bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikua akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya kambona mwalimu "angefeli vibaya mno". Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asinge endelea kua mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake". Mwalimu alikua mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine ,chochote kile ambacho kilikua hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikua "viable". Fikiria mtu mmoja tu kaenda urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwasababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikua "kila kitu"

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo kambona ndie aliekua sahihi lakini hawakumskiliza. Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikua "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona

Haya leo 2021 TZ hii ya leo ndio kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu za mwalimu nyerere

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii, natamani watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 wajue habari za huyu shujaaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawa sawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yy mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huo huo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwร  na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa ยฃ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond !!
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini.
Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani",1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga.
Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!!.

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU( Mwasisi wa TANU).
OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967:
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka:
"Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani,1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!.

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia
Kwa level yangu, nimekuelewa kuwa unamuenzi Kambona. Lakini pia usimtukane Nyerere. Kwa sasa tuko Samia.
 
You just made me smile, [emoji123][emoji123].
Natumai we both wish the best for the nation but we differ on how to make it happen.

Let's agree to disagree at least for now.
Stay blessed.
Have just a day of cattin' around!
 
Mkuu, Charles Mandela!
Nimewatazama BHP Bilton kupitia www.google.com Nimeona net income iko vizuri sana ni $8B na point kadhaa.
Naam! Na asilimia hamsini [ 50% ] ya hicho kiasi ndio thamani ya hisa za HAYATI MWALIMU walizoweka kwenye hiyo kampuni ya BHP BILLITON.

Na kwa mahesabu ya haraka haraka ni kiasi cha shilingi USD 4B [ USD 4,000,000,000 ] ambayo kwa shilingi za kitanzania unaweza kupata shilingi trilioni 9.3 ambazo ni sawa bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ kwa kipindi cha miaka kumi [ 10 ].

Screenshot_20210808-003946.png

Hiyo ndio thamani ya hisa za HAYATI MWALIMU kwenye kampuni ya BHP BILLITON na kwa kadri muda unavyozidi kwenda hii kampuni wanaweza kumiliki hisa zote, asilimia mia moja [ 100% ].
 
Naam! Na asilimia hamsini [ 50% ] ya hicho kiasi ndio thamani ya hisa za HAYATI MWALIMU walizoweka kwenye hiyo kampuni ya BHP BILTON.

Na kwa mahesabu ya haraka haraka ni kiasi cha shilingi USD 4B [ USD 4,000,000,000 ] ambayo kwa shilingi za kitanzania unaweza kupata shilingi trilioni 9.3 ambazo ni sawa bajeti ya SERIKALI YA RWANDA [emoji1206] kwa kipindi cha miaka kumi [ 10 ].

Hiyo ndio thamani ya hisa za HAYATI MWALIMU kwenye kampuni ya BHP BILTON na kwa kadri muda unavyozidi kwenda hii kampuni wanaweza kumiliki hisa zote, asilimia mia moja [ 100% ].

Budget ya Rwanda ni $3.4billion kwa mwaka huu sasa hizo hesabu za kusema trilion 9.3 ni budget ya Rwanda kwa miaka 10 hesabu zimekaaje hapo.
 
Kwa level yangu, nimekuelewa kuwa unamuenzi Kambona. Lakini pia usimtukane Nyerere. Kwa sasa tuko Samia.
hapana hatumtukani bali tunamtetea waliyemdharau na kumficha mbele ya macho ya watanzania wengi hasa vijana
 
TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kuna majimbo ya UCHAGUZI mia mbili sitini na nne [ 264 ]. TANZANIA BARA ina majimbo mia mbili kumi na nne [ 214 ] ya UCHAGUZI na ZANZIBAR ina majimbo hamsini [ 50 ] ya UCHAGUZI.

CHADEMA โœŒ๏ธ iliteua wagombea ubunge mia mbili [ 200 ], lakini wagombea ubunge waliokizi vigezo na kupitishwa na TUME HURU YA UCHAGUZI walikuwa wagombea ubunge wasiozidi mia moja [ 100 ].

Na huwa tunasema hivi - "Wagombea ubunge na wagombea udiwani huwa ni mabalozi wazuri sana katika kunadi sera, itikadi na ilani ya chama na ndio huwa wawakilishi wa mgombea urais wa chama cha kisiasa."

Kwahiyo inapotokea CHAMA CHA KISIASA kinaposimamisha wawakilishi wachache kwa ngazi ya ubunge na udiwani, moja kwa moja kinaathiri kura za mgombea urais.

Kwahiyo hawa wenzetu wa CHADEMA โœŒ๏ธ wanafahamu kabisa hali halisi iliyotokea kwenye UCHAGUZI MKUU wa mwaka 2020 au kwa makusudi wameamua kupotosha.

Na kwa upande wa CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ hali ni hiyo hiyo, kinachotakiwa ni KUJIPANGA na UCHAGUZI MKUU wa mwaka 2025. Kwa upande wa ZANZIBAR, CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ lazima kioneshe makali yake kwa kusimamisha wagombea ubunge na udiwani katika majimbo yote ya ubunge na kata zote za udiwani zinazopatikana ZANZIBAR.

Hali kadhalika kwa upande wa TANZANIA BARA, ni lazima CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kisimamishe wagombea ubunge na madiwani katika baadhi ya maeneo ambayo wanaamini watashinda kwa asilimia mia moja [ 100% ].

Baadhi ya maeneo hayo ni JIJI LA TANGA, kwa kutumia timu ya mpira ya COASTAL UNION FC, CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kinauwezo wa kuchukua jimbo la TANGA MJINI mapema tu! Kinachotakiwa kufanyika ni maandalizi.

Maeneo mengine ni MKOA WA MARA, kwa kutumia timu ya mpira ya BIASHARA MARA UNITED, CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kinauwezo wa kuchukua majimbo ya MUSOMA MJINI, BUNDA, SERENGETI na MUSOMA VIJIJINI. Kinachotakiwa kufanyika ni maandalizi ya mapema tu na PESA za kampeni.

Maeneo mengine ambayo CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kina nguvu ni MIKOA YA PWANI, LINDI NA MTWARA. Yaani huko kunahitajika PESA ZA KAMPENI tu, wananchi walishakipokea na kukikubali CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ.

Kutumia timu za mpira wa miguu kama nyenzo ya kampeni ndio kutaiokoa CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ. Na hawa wamiliki wa CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ ndio wamiliki halali wa timu za SIMBA SC ๐Ÿฆ ya DAR ES SALAAM, COASTAL UNION FC ya TANGA na BIASHARA MARA UNITED ya MARA.

Timu za mpira wa miguu nyingine ni kama MAJIMAJI FC ya MKOA WA RUVUMA, hii pia inaweza kutumika kwenye kampeni za uchaguzi kwenye jimbo la SONGEA na mkoa wa RUVUMA kwa ujumla.

Timu ya PAMBA SC ya JIJI LA MWANZA, hii pia inaweza kutumika kwenye kampeni za uchaguzi kwenye majimbo ya ILEMELA na NYAMAGAMA.

Hii yote kama itafanyika kwa uhakika na ukamilifu, CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ kinaweza kurudi kwenye nafasi yake ya kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI halafu mambo mengine yatafuata baadae lakini jukumu lililopo mezani ni kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI kwa upande wa TANZANIA BARA.
lakini sasa hayo maandalizi ya mapema ndio yanayopingwa na chama tawala yaani ikionekana mnafanya mikutano tu ni kesi
 
Budget ya Rwanda ni $3.4billion kwa mwaka huu sasa hizo hesabu za kusema trilion 9.3 ni budget ya Rwanda kwa miaka 10 hesabu zimekaaje hapo.
Bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ kwa mwaka 2021/22 ni 3.8 trilioni [ Rwandan Francs ] ambayo ni sawa na 407 bilioni [ Kenyan Shillings ] na ni sawa na 8.6 trilioni [ Tanzanian Shillings ].

IMG_20210808_084315.jpg

Hiyo hapo juu ni picha inayoonesha bajeti ya SERIKALI ZA AFRIKA YA MASHARIKI kwa pamoja na bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ ni hiyo hapo juu kama unavyoona.

Screenshot_20210808-093004.png

Na ukijaribu kubadilisha kwenda kwenye shilingi za kitanzania, utapata kama shilingi 8.6 trilioni [ Tanzanian Shillings ]. Hiyo ndio bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ kwa mwaka 2021/22.

Na ukija kwenye thamani ya hisa za asilimia hamsini [ 50% ] kwenye kampuni ya BHP BILLITON ni sawa na USD 4,000,000,000. Huu tunaweza kusema ni MTAJI yaani CAPITAL.

Na kwenye sekta ya Madini, Gesi na Mafuta yaani "Mines and Petroleum Industry" yaani "Extractive Industry" huwa pia kuna mapato na matumizi yaani "Revenues and Expenditures" kama ilivyo kwa sekta nyingine. Lakini tofauti inakuja kwenye "Interest Rate of Return" yaani [ IRR ].

Hii "Interest Rate of Return" yaani [ IRR ] ndio inaleta tofauti kati sekta nyingine na sekta ya Madini, Gesi na Mafuta yaani "Mines and Petroleum Industry" yaani "Extractive Industry".

Na "Interest Rate of Return" yaani [ IRR ] ya kampuni ya BHP BILLITON ni 9.4 na huwa inafika mpaka 10 kwa makadirio ya kawaida, yaani "Normal Approximation".

Na ukitaka kufahamu thamani ya hisa yaani "SHARES" kwenye shughuli yoyote ya Madini, Gesi na Mafuta yaani "Mines and Petroleum Industry" yaani "Extractive Industry" huwa kuna kanuni yaani "FORMULA" ambayo ni:

Interest Rate of Return [ IRR ] ร— Real Value or Capital [ RV ] = Expected Value [ EV ]
Kwahiyo ukitaka kufahamu kuwa watapata kiasi gani cha fedha baada ya kumiliki hisa za asilimia hamsini [ 50% ] zenye thamani ya shilingi USD 4,000,000,000 kwenye hiyo kampuni ya BHP BILLITON.

Mahesabu yake ni haya:

Na tayari umeshapewa kila kitu kama "Interest Rate of Return" yaani [ IRR ] ambayo ni 9.4 na Mtaji yaani "CAPITAL" au "Real Value" yaani [ RV ]. Kwahiyo "Expected Value" yaani "Kiwango Cha Matarajio" baada ya mradi itakuwa ni:

Expected Value [ EV ] = 9.4 ร— USD 4,000,000,000 = USD 37,600,000,000
Hiki kiasi cha shilingi USD 37.6B ni bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ kwa kipindi cha muda wa miaka kumi [ 10 ].

Screenshot_20210808-103139.png

Hiki kiasi cha shilingi USD 37.6B ukibadilisha kwa kiwango cha fedha za kitanzania, utapata kiasi cha shilingi TSh 87.5 trilioni. Hiki kiasi cha fedha ni sawa na bajeti ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ kwa kipindi cha muda wa miaka kumi [ 10 ].
 
lakini sasa hayo maandalizi ya mapema ndio yanayopingwa na chama tawala yaani ikionekana mnafanya mikutano tu ni kesi
Ndio SIASA hiyo! Yaani sehemu nzuri ambayo VYAMA VYA UPINZANI vilitakiwa kuonesha uwezo wao wa KISIASA ilikuwa ni BUNGENI.

Sasa hivi hawafanyi chochote! Hata na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ na wao wanajihami kwa namna yao.

Na hauwezi kusema kwamba utafanya tofauti na ilivyo pangwa kwa sababu na wao wana sababu zao za KISIASA. Yaani wanalinda goli ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Yaani ifike mahala tuelezane ukweli tu - hawa VYAMA VYA UPINZANI kilichowaponza ni kupokea BAHASHA ZA KAKI kipindi wapo BUNGENI.

Na ukipokea RUSHWA kutoka kwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ huponi! Wanakumaliza wenyewe na hicho ndicho kilichofanyika kwa upande wa VYAMA VYA UPINZANI.
 
Vyama vya SI-HASA vina miaka zaidi ya 28-30 hata ofisi zao za matawi hajizulikani zilipo, Halafu wanakwambia Chama Tawala lazima king'olewe madarakani.

Kinang'olewaje?


King'olewe na nani?
Wanaleta UTANI hawa! Hata CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ chenyewe lazima kifanyiwe mabadiliko ya kiuongozi ili kiwe na fikra mpya.
 
HAYATI MWALIMU na aliyekuwa Rais wa serikali ya wanafunzi ya CoHSS, mwaka 2012/13 ni Pete na Kidole - hauwezi kuwatofautisha wala kuwatenganisha. Sema HAYATI MWALIMU ni CHUI na yule mwingine ni SIMBA.

Tuachane na hayo! Kila awamu ya kipindi cha Urais kwa nchi ya Tanzania, kiongozi wa nchi - yaani Rais analazimika kuandaa upinzani wake na hii imekuwa ni kama desturi tangu kipindi cha HAYATI MWALIMU.

Sasa kipindi cha HAYATI MWALIMU kulikuwa hakuna mfumo wa vyama vingi, kulikuwa na mfumo wa chama kimoja tu.

Na kipindi ambapo HAYATI MWALIMU anakabidhiwa uhuru kutoka kwa Mwingereza kulikuwa na mshindani wake wa kipindi hicho, alikuwa anajulikana kwa jina la MAKWAIA. Huyu MAKWAIA alikuwa ni CHIFU anayetoka maeneo ya KISHAPU, mkoa wa SHINYANGA.

Huyu CHIFU alikuwa na elimu nzuri sana [ MASTERS ], alipata elimu yake kutoka Uingereza. Familia ya huyu CHIFU ilikuwa na ukwasi wa kutisha na ilikuwa ikiongoza kwa upande wa Afrika ya Mashariki kutokana na biashara ya almasi na biashara ya zao la pamba.

Baada ya HAYATI MWALIMU kupewa nafasi ya kufuatilia uhuru na kufanikisha kupewa uhuru kutoka kwa Mwingereza, wale waliokuwa washindani wake aliwafanya kuwa marafiki na kuwapa nyadhifa mbalimbali serikalini.

Vile vile HAYATI MWALIMU alifanikiwa kuua hizi tawala za kichifu kwa upande wa Tanzania bara kwa kuwapa nafasi serikalini wale waliokuwa na elimu kutoka familia za kichifu.

Lakini ushindani hafifu uliendelea kuwepo na ushindani ulikuja kushika kasi hasa baada ya kuanzishwa kwa vyama vya ushirika.

Kulikuwa na vyama vya ushirika kwa upande wa Tanzania Bara vilivyokuwa vikisimamia mazao ya biashara kwa kila mkoa husika.

Na vyama vya ushirika vilivyokuwa na nguvu ya kiuchumi kwa kipindi hicho, vilikuwa ni vyama vya ushirika kutoka mkoa wa Mwanza [ NCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba, mkoa wa Shinyanga [ SHIRECU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba na mkoa wa Tabora [ WETCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la tumbaku.

Lakini baadae kulikuja kutokea anguko kubwa sana la hivi vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha kutokana na kuwa na wafanyakazi wasiokuwa waaminifu - wizi na ubadhirifu wa mali ya umma ulikithiri, hivyo kupelekea vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha.

Lakini hii yote, kulikuwa na baraka kutoka kwa HAYATI MWALIMU, kwa sababu hivi vyama vya ushirika vilikuwa vinatishia uhai wa CHAMA CHA MAPINDUZI. Kungelitokea vyama vya ushirika vimejiunga na kuunda chama kimoja cha siasa, vingeliweza kukitoa CHAMA CHA MAPINDUZI madarakani kwa sababu ya kupata uungwaji mkono mkubwa sana kutoka kwa vyama vya wafanyakazi pamoja na vyama vya wakulima.

Hivyo basi, wale watumishi wa vyama vya ushirika kutoka mikoa mingine walifikishwa mahakamani kutokana na wizi wa mali ya umma, wengine walifilisiwa na hata kufungwa lakini hawa wafanyakazi wa Chama Cha Ushirika Cha Mwanza [ NCU ], Chama Cha Ushirika Cha Shinyanga [ SHIRECU ] na Chama Cha Ushirika Cha Tabora [ WETCU ] walikuwa huru, sema kuna baadhi yao walifukuzwa kazi bila hata ya kuchukuliwa hatua yoyote. Na hii ilifanyika chini ya uangalizi wa HAYATI MWALIMU mwenyewe.

Hawa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU walikuja kuwa na ukwasi wa kutisha na wengine walikuwa na uchumi mkubwa kuliko hata aliyekuwa kiongozi wao wa kimila, yaani CHIFU MAKWAIA.

Na hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio watanzania weusi wenye uchumi mkubwa mpaka leo hii, ukiondoa wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa wafanyakazi waliofanya ubadhirifu kwenye vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliokuja kuwa washindani wakubwa wa HAYATI MWALIMU kwa miaka iliyosalia kabla ya umauti kumkuta HAYATI MWALIMU. Na hawa ndio wapinzani halali wa CHUI yaani SERENGETI iwe ni kielimu, kiuchumi, kisiasa, kimichezo na burudani.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima. Narudia tena - "Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima".

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo kwa kumiliki viwanda vikubwa vya sukari vya KAGERA SUGAR na MTIBWA SUGAR kwa pamoja. Vile vile hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wameshikilia mazao ya biashara kama pamba, tumbaku na alizeti kwa kumiliki viwanda vya kuchambua na kukamua mafuta ya pamba pamoja na alizeti. Kwa lugha ya Kiingereza wanaita - Ginneries.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo cha ngano kwa kumiliki viwanda vya AZANIA WHEAT FLOUR, MeTL, CAMEL WHEAT FLOUR na PEMBE WHEAT FLOUR.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa viwanda vya SAYONA INDUSTRIES.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha TANGA PHARMACEUTICAL & PLASTICS LTD kinachotengeneza HERBAL PETROLEUM JELLY na mafuta ya kutumia mwilini yanayoitwa VESTLINE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza maziwa freshi kinachoitwa TANGA FRESH kinachopatikana mkoani Tanga.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya mafuta ya kupikia, sabuni za kuogea na kufulia kwa kumiliki viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA.

Tofauti na viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya MURZAH WILMAR EAST AFRICA LIMITED inayotengeneza mafuta ya kupikia ya KORIE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya uagizaji wa mafuta ya petroli, dizeli pamoja na mafuta ya taa kwa kumiliki makampuni ya LAKE OIL, MOIL, PETRO AFRICA, MSN, SIMBA OIL, KILIMANJARO OIL, BIG BON, AFROIL, OILCOM, KOIL, MERU OIL, PRIME FUELS, UKOO PETROLEUM LTD na DALBIT PETROLEUM LTD [ Hizi ni kampuni za usafirishaji wa mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa ], OLYMPIC OIL pamoja na CAMEL OIL.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha SIMBA CEMENT na CAMEL CEMENT kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha MMM STEEL na KIOO INDUSTRY kwa pamoja.

Tofauti na viwanda vya MMM STEEL na KIOO INDUSTRY, hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza rangi kinachoitwa GOLDSTAR PAINTS TANZANIA LIMITED.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya ukandarasi ya NYANZA ROAD pamoja na makampuni mengine yanayoshughulika na madini kama KILIMANJARO MINING na KASCO MINING.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya SIMBA GROUP na SIMBA TRAILERS.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa makampuni yanayotengeneza na kuunganisha mabodi ya mabasi pamoja na malori. Makampuni hayo ni DAR COACH kwa upande wa TANZANIA๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, BANBROS LTD na MASTER FABRICATORS LTD kwa upande wa KENYA๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช. Hii ndio sababu inayopelekea kushika sekta ya usafirishaji wa abiria na mizigo kwa kipindi kirefu sana.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa benki za DIAMOND TRUST BANK [ DTB ], AKIBA COMMERCIAL BANK [ ACB ] na AZANIA BANK [ AB ] kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya mawasiliano ya TIGO [ Tanzania ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya uchapishaji ya magazeti inayoitwa Mwananchi Communications Limited [ MCL ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza pipi za IVORI kinachopatikana Iringa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wanaomiliki shule nyingi binafsi hapa nchini. Yaani wanamiliki shule nyingi sana kwa upande wa Tanzania bara kuliko hata taasisi za kidini yaani KANISA KATOLIKI, KKKT na ANGLIKANI.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Hoteli ya KEMPINSKI na wana hoteli nyingi sana za kitalii kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mbeya, Iringa, Morogoro, Kigoma na Zanzibar.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, yaani FGBF. Pale FGBF, Askofu Zakaria Kakobe ni mfanyakazi tu kama ilivyo kwa Profesa Ibrahim Lipumba, upande wa CUF.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya michezo hususani mpira wa miguu kwa kumiliki timu kadhaa zinazoshiriki ligi kuu. Timu hizo ni SIMBA SC ya mkoa wa Dar Es Salaam, BIASHARA MARA UNITED ya mkoa wa Mara, COASTAL UNION SC ya mkoa wa Tanga, KAGERA SUGAR FC ya mkoa wa Kagera pamoja na MTIBWA SUGAR FC ya mkoa wa Morogoro. Kuna timu nyingine za daraja la kwanza, daraja la pili na timu zinazoshiriki ligi ya mikoa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kundi la wasanii la Wasafi Classic yaani WCB, kituo cha televisheni pamoja na kituo cha redio. Na ndio hao hao waliokuwa wamiliki halali wa kundi la HipHop la Nako2Nako Soldiers linalopatikana Arusha. Na kuna wasanii wengine wengi tu, ndani na nje ya nchi ya TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kama vile UGANDA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ, KENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช, KONGO ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ, ZAMBIA ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ, KAMERUNI ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ na AFRIKA YA KUSINI ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa vyama vya siasa vya CUF - Chama Cha Wananchi na ACT - Wazalendo.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Chuo Kikuu cha ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY. Kwahiyo, hawa watu sio watu wa mchezo mchezo! Ni watu wanaofahamu nini wanafanya. Hakuna ujanja ujanja wala uhuni uhuni! Elimu ni kipaumbele cha kwanza kwa MWASHITA yaani SIMBA.

Hao ndio SIMBA! Hao ndio SIMBA waliokuwa na baraka zote kutoka kwa HAYATI MWALIMU tangu miaka ya 1984! Au kwa jina lingine wanaitwa MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ]. Wapinzani halisi wa CHUI yaani SERENGETI au kwa jina jingine wanaitwa RAMADHANI au RAMA yaani MARA.

Hawa SIMBA ni tofauti kabisa na hiki kikundi kinachojiita SUKUMA GANG. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa wahuni wahuni tu, tena walionawili kipindi cha Marehemu Rais John Pombe Magufuli. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI wasiokuwa hata na utashi wa kisiasa na wasiokuwa na maono ya kuona mbali. Hii SUKUMA GANG hata uchumi wa kuendesha chama cha kisiasa bado hawana.

Sasa tujiulize maswali mengine, ni kwanini CUF - Chama Cha Wananchi kimepoteza umaarufu ilhali watu walionyuma yake wana uwezo mkubwa kiuchumi? Jibu, ni kuwa hawa SIMBA waliokuwa nyuma ya CUF - Chama Cha Wananchi walipoteza muda mwingi sana kushindana na CHUI kiuchumi, yaani SIMBA na CHUI walikuwa wanashindana sana kuwekeza kiuchumi nje ya nchi.

Lakini sote yatupasa kufahamu kuwa, CHUI ndio mwenye CHAMA CHA MAPINDUZI na ndio mwenye DOLA YA TANZANIA. Kwahiyo kushindana na mwenye dola yataka moyo! Narudia tena - kushindana na mwenye dola yataka moyo! Sio kazi rahisi kama watu wengi wanavyofikiria.

SIMBA kuendelea kushindana na CHUI kuwekeza nje ya nchi kulimfanya kupoteza nafasi ya Chama Kikuu Cha Upinzani bungeni na nafasi yake kuchukuliwa na CHADEMA mwaka 2010 mpaka mwaka 2020. Hawa CHADEMA walipata uungwaji mkono mkubwa sana wa kisiasa kwa mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro na baadhi ya sehemu za Tanzania. Vile vile wenyeji wa hii mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wanajulikana kwa jina la NYATI au kwa jina lingine la utani wanaitwa NYUMBU [ ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ ]. Na ndivyo jinsi walivyo!

Katika kuwekeza nje ya nchi, ilifikia hatua CHUI akimiliki Esperance de Tunis ya Tunisia, hawa SIMBA wanamiliki Raja Club de Athletic ya Moroko.

Hawa CHUI wakimiliki AlAhly ya Misri, SIMBA wanamiliki Zamalek ya Misri vile vile.

CHUI akimiliki Asec Mimosas ya Ivory Coast, SIMBA wanamiliki Horoya AC ya Guinea.

CHUI akimiliki Stellenbosch FC ya Afrika ya Kusini, hawa SIMBA wanamiliki Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini vile vile.

SIMBA akimiliki Tout Puissant Englebert Mazembe ya Kongo - Lubumbashi, hawa CHUI wanamiliki Wydad Club de Athletic ya Moroko.

Yaani ni tafrani! Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi yuko hai. Watangulizi wake wakina Ali Hassan Mwinyi, wakina Marehemu Benjamin Mkapa, wakina Mrisho Khalifani, wakina Marehemu John Magufuli na hatimaye Mama Samia Suluhu wote wameshindwa kuidhibiti SIMBA mpaka inakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR.

Lakini huo ndio upinzani alioutengenza na kuuacha HAYATI MWALIMU na ndio unaosumbua mamlaka za kiintelijensia mpaka leo hii, kwa sababu hao ndio wameshika uchumi wa Tanzania, mbali na wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa SIMBA wameenda mbali zaidi hadi kutawala SOKA LA AFRIKA KWA UPANDE WA VILABU. Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa mpaka nje ya mipaka ya TANZANIA. Hawa SIMBA ndio wamiliki halali wa timu ya FC PLATINUM ya ZIMBABWE ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ, KAIZER CHIEFS ya AFRIKA YA KUSINI ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ, NKANA FC ya ZAMBIA ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ, BIG BULLETS ya MALAWI ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ผ, PRIMEIRO DE AGOSTO ya ANGOLA ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด, ASANTE KOTOKO ya GHANA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ, AKWA UNITED ya NAIJERIA ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ, TP MAZEMBE ya KONGO ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ, TOWNSHIP ROLLERS ya BOTSWANA ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ, KARIOBANGI SHARKS ya KENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช, EXPRESS FC ya UGANDA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ, RAYON SPORTS ya RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ, VITAL'O ya BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ, AL HILAL OMDURMAN ya SUDANI ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ, AC HOROYA ya GUINEA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ, COTONSPORTS ya KAMERUNI ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ, RAJA CLUB DE ATHLETIC ya MOROKO ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ, ETOILE SPORTIVE DU SAHEL ya TUNISIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ, ENTENTE SPORTIVE SETIFIENNE [ ES SETIF ] ya ALGERIA ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ, ZAMALEK ya MISRI ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ pamoja na SIMBA SC ya TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa sana hata kwa upande wa nje ya mipaka ya TANZANIA.

Kama ilivyo kwa CHUI au jina lingine SERENGETI kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja. Ndivyo ilivyo kwa upande wa SIMBA au jina lingine wanaitwa MWASHITA kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja.

Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi cha uhai wake, upinzani alioutengenza yeye HAYATI MWALIMU, watangulizi wake wameshindwa kuudhibiti. Na ndio wanaoligharimu taifa mpaka wanakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR. Na wakimaliza DOLA YA ZANZIBAR, hawa SIMBA wanageukia TANZANIA BARA.

acf115c27aff7b65287e303945c56429.png

Umeona hiyo ratiba ya michuano ya CECAFA KAGAME CUP 2021 kwa hatua ya nusu fainali?

Hizo timu mbili za EXPRESS FC ya UGANDA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ na NYASA BIG BULLETS ya MALAWI ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ผ, zote hizo ni timu za MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ.

Kwahiyo, kwa mwaka huu - hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wameingia kuanzia nusu fainali kwenye michuano yote ya AFRIKA kuanzia KLABU BINGWA AFRIKA ๐ŸŒ, KLABU SHIRIKISHO AFRIKA ๐ŸŒ na CECAFA CUP.

Haya ndio mafanikio ya MWASHITA yaani SIMBA, kumiliki timu za mpira wa miguu kwa BARA LA AFRIKA ๐ŸŒ.
 
Vyama vya SI-HASA vina miaka zaidi ya 28-30 hata ofisi zao za matawi hajizulikani zilipo, Halafu wanakwambia Chama Tawala lazima king'olewe madarakani.

Kinang'olewaje?


King'olewe na nani?
Na niwapeni SIRI nyingine - Kuna CHAMA CHA KISIASA kilitoa shilingi bilioni mbili [ 2,000,000,000 ] pesa taslimu za kitanzania, ili kiendelee kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI BUNGENI kwa upande wa TANZANIA BARA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Na waliingizwa mkenge au chaka na aliyekuwa RAIS WA AWAMU YA NNE! Bilioni mbili [ 2,000,000,000 ] zikaliwa na hawakupata kitu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Na matokeo yake walipata mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa! Tena mbunge mwenyewe ni kutoka jimbo ambalo hata hawakutarajia wenyewe! Kule mpakani mwa ZAMBIA ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ na TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ! Kule wanakolima mpunga kwa wingi! Wanapaita NKASI KASKAZINI ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ndio maana sasa hivi hicho CHAMA kama wamepoteana hivi! Wamepaniki! Moja haikai, wala mbili haisogei! Pesa wamepoteza na nafasi BUNGENI wamekosa vile vile!

Wengine wapo MAGEREZA! Wengine walikimbilia KANADA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ! Wengine walikimbilia UBELIGIJI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช! Wengine wapo VIJIWENI tu, tena wanasubiri waanze kuuza yale MAGARI yao ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ndio maana sasa hivi CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ wameimalika sana kuliko hata miaka ya nyuma na kuna SIASA inafanyika huku uraiani mpaka unashangaa! Utafikiri hatuna VYAMA VYA UPINZANI!

Wao wanakwambia hivi DUNIANI TUNAPITA LAKINI CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ KITABAKI. Kuna majimbo yanatoa WANAFUNZI BORA lakini hao wanafunzi wanapewa matokeo tofauti kabisa na ufaulu wao! Na WABUNGE wao wamekaa kimya tu, utafikiri hawapo!

WAZIRI WA ELIMU WA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ hakutakiwa kuwepo pale ofisini hata leo hii! Huyo ni CHUI yaani SERENGETI na yupo pale wizarani kimkakati. Kuna wanafunzi wasiokuwa na vigezo wanapitishwa pale NECTA | Home kwa idadi ya kutisha na hii yote inafanyika kwa masilahi ya kisiasa. Yaani kwa masilahi ya SERENGETI yaani CHUI na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kwa ujumla.

Na kwa sababu hali hii inawafanya hawa SERENGETI yaani CHUI kuimarika kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ na hii ndio sababu inayowafanya hawa SERENGETI yaani CHUI kuwa na nguvu ya kisiasa na kiuchumi.

Baada ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kuua SEKTA YA ELIMU kupitia NECTA | Home sasa hivi kupata ajira imekuwa ni ngumu sana! Kwanza haijulikani kabisa ni nani alikuwa MWANAFUNZI BORA na nani sio MWANAFUNZI BORA.

Kuna WANAFUNZI BORA wengine wanaambiwa waendeshe BODABODA halafu baadae ndio waajiriwe SERIKALINI. Na kwa jinsia ya kike ni hivyo hivyo, hawa wanaambiwa wafanye kazi kwenye migahawa midogo midogo na kuuza maduka halafu baadae ndio waajiriwe SERIKALINI na baadhi ya BENKI ambazo SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ina hisa, yaani ni mambo ambayo yanasikitisha sana.

Kuna mambo ya KISHENZI yanayoendelea kufanyika nchini TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ mpaka mtu unabaki unajiuliza tu!! Hii yote inafanyika kwa sababu VYAMA VYA UPINZANI ni sehemu ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ yaani hivi VYAMA VYA UPINZANI vipo kwa ajili kukusanya ruzuku na kufanya UKUWADI WA KISIASA, sio kufanya SIASA ZA USHINDANI.
 
Hawa Murzah Wilmar EA kwa miaka ya 1995-7 mpaka miaka ya 2000 Walitisha sana kwa ubora wa bidhaa zao.

Walitwaa tuzo za ndani (Kitaifa) na tuzo za nje (Kimataifa) pale GENEVA BID 2000.

Halafu kumbe ni mali ya MNYAMA MWASHITA!, Sikulifahamu hilo.

MR TIGER yukoje kuhusu kabumbu pale Spain?
 
Back
Top Bottom