Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Huko Duniani kuna watu hawamjui Mwalimu!!..Kuna watu wanaona Watanzania ni mazoba sana!!.. Wakati mwengine tukubali watanzania wengi ni wajinga sana!!...Shukrani sana, mkuu!
Hii EICHER ilitawala sana kwenye HIACE.
Hawa GOLDEN DRAGON wanakuja kwa kasi sana hawa.
Mental case.Haya ngoja tuendelee na huu uzi pale tulipoishia na ukizingatia kuna baadhi ya mambo yaliyojadiliwa kwenye huu uzi wa Kampuni ya Africarriers iliyoingia Mkataba wa Mabasi na Simba Sports Club ni mali ya nani? yanaingiliana na maudhui ya kwenye huu uzi.
Kwa wale wadau kama HUNIJUI SIKUJUI, Reginald L. Ishala, Wit na Muuza viatu huu uzi unawahusu moja kwa moja. Tuanze na UMILIKI WA KIWANDA CHA MAGARI YA EICHER MOTORS [ Hili ni jina la KIHINDI linalotamkwa AISHA ].
Hiki ni kiwanda ambacho kinatengeneza magari aina ya EICHER na kuna baadhi ya WATANZANIA [emoji1241] wanamiliki HISA kwenye hiki kiwanda cha magari kinachopatikana nchini INDIA [emoji1128].
WATANZANIA [emoji1241] wanaomiliki HISA kwenye hiki kiwanda cha magari kinachopatikana nchini INDIA [emoji1128] ni WANASIASA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM [emoji3537] akiwemo HAYATI MWALIMU mwenyewe na MWASHITA [ wale waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ].
Hali hii ndio ilipekea aina ya gari hizi za EICHER kuenea sana TANZANIA [emoji1241] hasa katika MKOA WA DAR ES SALAAM na baadhi ya mikoa mingine ya TANZANIA [emoji1241].
Na kampuni ambayo inatumika kama WAKALA WA USAMBAZAJI WA MAGARI YA EICHER ni kampuni ambayo inajulikana kwa jina la AFRICARRIERS LIMITED.
Hii kampuni ya AFRICARRIERS ni kampuni ambayo inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] kwa asilimia mia moja [ 100% ] na ni wakala wa magari ya EICHER na GOLDEN DRAGON kwa upande wa TANZANIA [emoji1241].
Na baadhi ya magari ya GOLDEN DRAGON ndio yanayotumika kama mabasi kwenye kampuni ya usafirishaji wa abiria ya FALCON, ambayo pia ni kampuni inayomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881].
95%Mental case.
Ndio!Shukrani sana, mkuu!
Hii EICHER ilitawala sana kwenye HIACE.
Hawa GOLDEN DRAGON wanakuja kwa kasi sana hawa.
Naona huyu jamaa tayari ameshapigwa BAN na Moderator. Sasa inabidi tutafute ile MAKALA YA ADAM SAPI MKWAWA iliyoandaliwa na kituo cha televisheni cha SAFARI CHANNEL na kurushwa hewani na TBC1. Hapo kuna SOMO ambalo sisi wengine kwa kweli inatupasa kujifunza ๐๐Mental case.
Huko Duniani kuna watu hawamjui Mwalimu!!..Kuna watu wanaona Watanzania ni mazoba sana!!.. Wakati mwengine tukubali watanzania wengi ni wajinga sana!!...View attachment 1971618View attachment 1971619
Hizi EICHER mpaka leo zipo na sehemu nyingine nimeziona zinatumika kama "SCHOOL BUS".Shukrani sana, mkuu!
Hii EICHER ilitawala sana kwenye HIACE.
GOLDEN DRAGON ni kampuni nzuri lakini kuna machache ya kurekebisha ili kuhimili USHINDANI wa kampuni nyingine kama SCANIA, MERCEDES BENZ, TATA na kampuni nyingine nyingine za kufanana na hizo.Hawa GOLDEN DRAGON wanakuja kwa kasi sana hawa.
Shukrani sana, mkuu!
Hii EICHER ilitawala sana kwenye HIACE.
Hawa GOLDEN DRAGON wanakuja kwa kasi sana hawa.
Eti ngoja ๐๐! Ningoje nini sasa? Soma huu UZI Generation ya kuanzia 1990's ndiyo italeta ukombozi wa kisiasa hapa Tanzania pengine unaweza kuwa ni msaada kwako.Ngoja
[emoji125][emoji125][emoji125]Huo usawa unatetewa na ujamaa ni wa kipumbavu sana. Yaani mvivu na mwenye bidii wawe sawa kwa kipato.
Huo usawa unatetewa na ujamaa ni wa kipumbavu sana. Yaani mvivu na mwenye bidii wawe sawa kwa kipato.
OSCAR KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mchungaji wa KANISA LA ANGLIKANI na hii ndio sababu kubwa iliyomfanya akakimbilia UINGEREZA ๐ฌ๐ง.Kambona alikuwa mtoto wa padre. Kwa mini mtoto wa padre atake watu kumi,kumi na tano tu katika nchi wawe tajiri,wengine wote tuwe maskini,which is what capitalism is all about?
If you want to glorify capitalism,basi heading ya posting yako siyo sahihi.
Ndio wale watu walikuwa wanabishana na Socrates,na yule mtu mmoja akasema,"Huyu Socrates anadhani shepherd anatunza wanyama kuwasaidia, kumbe mchungaji lengo lake ni kuwatafuna wanyama. Hivyo hivyo,kiongozi hayuko pale kwa maslahi ya wananchi."
Kwanza elewa kwamba Russian Revolution na Chinese Revolution zote zimekuwa financed na Western Capitalists,Hawa Rothschilds and such ilk. Kwa hiyo mani ni adui wa nani?
Chama cha kwanza kuanzishwa kwa ajili ya kudai Uhuru kilikua ni TAAA jaribu kuGoogle waansilishi wa TAAA na TANU Ndio utajua Akina nani waliojitolea kwa ajili ya Uhuru na Leo Majina yao yapo wapi??
Huko Duniani kuna watu hawamjui Mwalimu!!..
Na huo ndio UKWELI, hii inatokana na baadhi ya mambo yanayoendelea kufanyika kwenye nchi ya TANZANIA ๐น๐ฟ.Kuna watu wanaona Watanzania ni mazoba sana!!..
Ndio, hakuna kipingamizi chochote! WATANZANIA ๐น๐ฟ wengi hawana ufahamu na kile kinachoendelea au kilichokuwa kinafanyika SERIKALINI kwa miaka ya nyuma.Wakati mwengine tukubali watanzania wengi ni wajinga sana!!...View attachment 1971618View attachment 1971619