Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Anapunguza gharama lkn ni Bora kutembea upate exposure plus networking kwa tembezi zenye tija kuliko kupoteza Kodi zetu kuwekeza kwenye miradi ya tembo mweupe, kununua wapinzani, kurudia chaguzi, kupambana na upinzani badala ya kupambana na maendeleo,kununua ma v8 ,na visivyo tija kiuchumi ( kuhamia dodoma, ikulu mpya) huku wanafunzi wanakaa chini hawana vyoo, hawana madarasa, maji hakuna.Rais hataki hata kusafiri nje ajifunze nchi za wenzetu, yqmani kituko kabisa.
Case study haina cha marehemuAcha kumsema Marehemu wewe
umetoa analogy nzuri, unaweza piga kazi sana lakini mwisho wa siku credit akapewa mwingineIf you look closely at the Bible you will find that, in the time of Moses, Moses was like a dumb man and a lot of work was done by Aaron, but despite all the work done by Aaron, Moses was still God's Choice, let JKN be the Father of the Nation, for he was designated from For the creator
Kutoka 1985 mpaka leo ni miaka 35 ambayo ingetosha kabisa “kurekebisha” chochote ambacho unaona mwalimu “alikosea”…..nchi nyingi kua na changamoto nyingi kuliko TZ haimanishi tupo nafasi nzuri, Tungeweza kufanya vizuri zaidi ya hapa lakini tulifeli kwasababu ya mtu mmoja
Wewe jamaa nu Mpumbavu. Kila nchi ya kibepari ni matajiri ??Mfumo sahihi ambao hata Mungu aukubali ni ubepari.Ubepari unakuza uchumi,unakuza mapato ya Kodi 10 times tena kwa haraka zaidi,ubepari unapunguza unamaliza tatizo la ajira kwa haraka Sana.Usaidia upatikanaji wa bidhaa na huduma kwa bei ya chini na kwa wingi zaidi.
Case study China baada ya kuruhusu ubepari tu uchumi wa china umekimbia kwa speed ya 10G.
Hao wapinzani wanaonunuliwa ni wapumbavu na mapimbi!!Anapunguza gharama lkn ni Bora kutembea upate exposure plus networking kwa tembezi zenye tija kuliko kupoteza Kodi zetu kuwekeza kwenye miradi ya tembo mweupe, kununua wapinzani, kurudia chaguzi, kupambana na upinzani badala ya kupambana na maendeleo,kununua ma v8 ,na visivyo tija kiuchumi ( kuhamia dodoma, ikulu mpya) huku wanafunzi wanakaa chini hawana vyoo, hawana madarasa, maji hakuna.
ndani ya iyo miaka iliyopotea tungeweza kufanya mangap??Kutoka 1985 mpaka leo ni miaka 35 ambayo ingetosha kabisa “kurekebisha” chochote ambacho unaona mwalimu “alikosea”…..
Mkuu, nadhani mifumo yetu huwa iko kuwapendelea wenye vyeo vikubwa, angalia hata Kwa wakuu wa wilaya na Wakurugenzi,umetoa analogy nzuri, unaweza piga kazi sana lakini mwisho wa siku credit akapewa mwingine
marehemu bado anaishi, kinachofanyika sasa hivi hap TZ ni mambo yaliyokwisha fanyika miaka iyo ya 70"s na 80"s na hatukufanikiwaAcha kumsema Marehemu wewe
Mtu masikini katu hawezi kuwa mwanasiasa bora ,Hao wapinzani wanaonunuliwa ni wapumbavu na mapimbi!!
Kila siku nyimbo ni kununua wapinzani, wewe mbona hujanunuliwa?
Acheni wivu, kama wewe huwezi kununuliwa, basi kusanya watu ngangali kama wewe muunde huo upinzani imara!!
Ambayo yamejirudia huku tukijua yatafelimarehemu bado anaishi, kinachofanyika sasa hivi hap TZ ni mambo yaliyokwisha fanyika miaka iyo ya 70"s na 80"s na hatukufanikiwa
upo sahihi kabisa hata matibu wa wizara ndio wanaopiga kazi lakini mawaziri ndo wanachukua pongezi zoteMkuu, nadhani mifumo yetu huwa iko kuwapendelea wenye vyeo vikubwa, angalia hata Kwa wakuu wa wilaya na Wakurugenzi,
Wakurugenzi ndio wanaofaiti lakini mwisho wa siku eti mkuu wa wilaya ndio anapewa credit!!
Nimeangalia mifano ya nchi zilizoendelea We unaleta mifano ya nchi za kifisadi hizi.China ni makomunist kwenye Utawala na sio kwenye uchumi.Wewe jamaa nu Mpumbavu. Kila nchi ya kibepari ni matajiri ??
Zambia, Kenya nu matajiri ??
Hata hao China unaowatolea mfano siyo mabepari nu makomunist.
kabisa, nimependa sana komenti ya mdau mmoja anasema kinachofanywa na utawala wa sasa kilishafanywa na nyerere lakini hakikutusaidiaAmbayo yamejirudia huku tukijua yatafeli
Mtu masikini ni yupi ???Mtu masikini katu hawezi kuwa mwanasiasa bora ,
Namaanisha kilichofanyika kilishafanyika waliopokea kijiti “wangerekebisha” miaka 35 sasa.. Ni kama kulilia ukoloni ulitunyonya ndo maana hatuendelei wakati wakoloni walishaondoka miaka na miakandani ya iyo miaka iliyopotea tungeweza kufanya mangap??
ni kweli huwezi kua mzuri sehemu zote, kuna vitu nyerere alifanyia vinatia ukakasi hasa kukamata watu kuwatesa, kuwaua na kuwafungaJapo ujamaa ulishindwa, Nyerere alifanikiwa kwa ukombozi katika baadhi ya nchi za Afrika.
Ujamaa ni mfumo mzuri, unahitaji marekebisho kidogo tu.Japo ujamaa ulishindwa, Nyerere alifanikiwa kwa ukombozi katika baadhi ya nchi za Afrika.