mohamedjohn
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 467
- 277
Hebu somakwanza ilichokiandika halafu uliza tenani kweli kabisa kwa unavyoona kati ya mwalimu na nyerere nani alikua sahihi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu somakwanza ilichokiandika halafu uliza tenani kweli kabisa kwa unavyoona kati ya mwalimu na nyerere nani alikua sahihi?
Hata chiefdom system za tanganyika zilikuwa na modality ya ujamaa,ngoja somo la historia liludi probably wata rescue hiki kizazi kisichojua tulikokuwa na tunakoendaujamaa ulikua na maandalizi gani? ni either you do it au you dont hakuna kitu lichokua kinahitaji maandalizi kabla ya uhuru, tulikua tunaanza from scratch
Unaposema Kambona alikuwa bepari, inabidi utaje kaanza kuwa bepqri mwaka gani?Kambona hakuwa mjamaa alikuwa mbepari na fikra zake zilikuwa za kibepari na Kama hawangetofautiana na Nyerere tungekuwa mbali Sana na anayesema alikuwa mjamaa anajua kwa nn aliishi uhamishoni?
Hahahahahahahhaaha Asante kwakunufahamisha kumbe magu hajaiba ila aliporaHapo kwenye kuiba labda nikusahihisge kidogo.
Magufuli siyo mwizi bali ni Mporaji. Tena mchana kweupee kila mtu anashuhudia
Actually Nyerere alipata theme ya Ujamaa iliyokuwa imewekwa pamoja kimaandishi na Chief mmoja wa Kichaga, akaipenda na kuifanya policy ya TANU.Hata chiefdom system za tanganyika zilikuwa na modality ya ujamaa,ngoja somo la historia liludi probably wata rescue hiki kizazi kisichojua tulikokuwa na tunakoenda
Waliishia kumpaka matope.
View attachment 1665493
Tanzania ilifaidi nini katika hizo shughuli za ukombozi?Japo ujamaa ulishindwa, Nyerere alifanikiwa kwa ukombozi katika baadhi ya nchi za Afrika.
kambona akamuambia tutenge vijiji vichache tufanyie majaribio kwanza kabla ya ku adopt hii system, lakini nyerere kwa ujinga wake akaleta systeme na kuiingiza moja kwa mojaActually Nyerere alipata theme ya Ujamaa iliyokuwa imewekwa pamoja kimaandishi na Chief mmoja wa Kichaga, akaipenda na kuifanya policy ya TANU.
way too better, kambona alifuta facts nyerere aliongoza kwa mihemkoMimi mwenyewe naamini under KAMBONA taifa letu lingekuwa so powerful Africa kiuchumi ,kijamii na kisiasa
Mungu aliruhusu iwe tofauti kwa sababu zake tu but KAMBONA kwa kumsoma katikati ya ufinyu wa taarifa kumhusu naona alikuwa ni far better kwa Nyerere
Kwani Kambona alikua Mwislam mpaka Mzee Mohamed amwandikie Makala?nitafarijika sana kama siku moja mzee Mohamed Said ataandika makala maalumu ya kumuelezea kambona kama vile anavyofanya katika kuwaandikia makala wazee wake wa kariakoo walioshiriki katika harakati za kisiasa kabla na baada ya uhuru.
najua uwezo huo unao ila hajajisikia tu kufanya hivyo. labda kwa kuwa kambona hakuwa mwenzetu kiimani.
Kumbe Magazeti ya leo yamerithi.Waliishia kumpaka matope.
View attachment 1665493
Anapora mpaka kipofu anaona.Hapo kwenye kuiba labda nikusahihisge kidogo.
Magufuli siyo mwizi bali ni Mporaji. Tena mchana kweupee kila mtu anashuhudia
pamoja na hayo lakini mwalimu hakua peke yake ktk harakati za nchi hii wapo watu ambao wamefichwa na jamii inatakiwa kuwafahamu, sio kuwaficha kwasababu tu walipingana na mwalimu kimtizamo, Oscar kambona na Mwalimu wanashea 5050 katika ukombozi wa nchi hii lakini Kambona hakumbukwi kwa chochote! Mawazo ya Nyerere hayakua mapana na marefu kama ya Kambona japo wote waliipigania TZ, kiufupi kumchafua kambona ndio kulimfanya nyerere awe juu! Aliyeweka Nyerere day ni nani na alikua na maana gani kwanza??Zamani nilikuwa na mawazo kama mtoa post ila baada ya kusoma taarifa nyingi zaidi na kutembelea baadhi ya nchi za Afrika nikaona Mwalimu ni shujaa wa muda wote pamoja na makosa yake yote. Hapa Afrika karibu kila nchi ina ukabila, ukanda na ubaguzi. Mfumo uliowekwa na Mwalimu ni adimu mno na tofauti kabisa na nchi nyingi. USA hadi imekuwa kitu kimoja palitokea vita kali ya wenyewe kwa wenyewe. Lakini Mwalimu aliweza kutuunganisha bila kumwaga damu. Nadhani kizazi cha sasa pamoja na viongozi wetu tuachane na lawama za mambo yaliyopita tujikite kuendeleza mazuri na kila mmoja kufanya wajibu wake. MUNGU IBARIKI TANZANIA. KIDUMU CCM
Mkuu maoni yako ni mazito hivyo unapaswa kuambatanisha ushahidi wa hayo maandiko uliyosoma na kufikia kutoa tamati hii juu ya Nyerere na Kambona.ntakitafuta na nitakisoma lakini, kwa uliachinda hapa kambona alikua anapigania maslahi yetu, na ni kwanini ndugu zake waliteswa na kuuwawa kwa kitu wasichohusika nacho??
Nashukuru umeona mkuu.Tufanye mjadala wa kisomi zaidi kuliko wa hearsay.Mkuu maoni yako ni mazito hivyo unapaswa kuambatanisha ushahidi wa hayo maandiko uliyosoma na kufikia kutoa tamati hii juu ya Nyerere na Kambona.
Inatakiwa ujifunze kwa Kiranga ameweka maoni yake na kuambatanisha maandiko (andiko) kama ushahidi.
Wewe umeweka kama hearsay stories.