Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tukamchuku
e Eddie bas!
kwaiyo hawa ni wasukuma
 
Tukamchuku

e Eddie bas!
kwaiyo hawa ni wasukuma
Ndiyo πŸ™πŸΎ! Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walisambaa na kuenea sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.


Ukiwa pale KAMPALA, nchini UGANDA kuna sehemu moja inaitwa TANK HILL PARK, ile sehemu ni "RECREATIONAL PLACE" ambayo huwa wanapenda kukaa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliohamia nchini UGANDA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Sasa hivi katika MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wenyeji wa asili wamebaki wachache, kwani wengi walishahama na kusambaa sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.


Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA huwa wanamiliki kumbi zao za starehe.


Ukiwa pale ARUSHA, TANZANIA kuna sehemu moja inaitwa ACES LOUNGE na inapatikana UZUNGUNI - hapo ni sehemu ambayo huwa wanakutana wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.


Pia kuna sehemu inaitwa BVB LOUNGE inayopatikana NAIROBI, nchini KENYA. BVB LOUNGE ni LOUNGE ambayo huwa wanaitumia wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliohamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA 🦁.


JINSIA YA KIKE kwa upande wa JAMII YA MWASHITA huwa ni wazuri sana, ukikutana na SURA NZITO ujue huyo ni MLOWEZI πŸ˜‚


Wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wamiliki halali wa KLABU YA MPIRA WA MIGUU inayoshiriki LIGI KUU YA UJERUMANI inayoitwa BORUSSIA DORTMUND.


Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo miongoni mwa WASHINDI kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.
 
How it's supposed to be ?
Angalia TSUNAMI iliyotokea THAILAND, mwaka 2004 - wananchi wengi walipoteza maisha na miundombinu mingi iliharibika.

Baada ya TSUNAMI kuisha, wale DIASPORA WA THAILAND waliagizwa kurudi kwao na kwenda kujenga upya TAIFA lao.

Lakini jaribu kufikiria kama wangelikuwa hawana DIASPORA, hali ingelikuwa mbaya sana. Kwahiyo DIASPORA huwa wanatumika kama WANANCHI WA AKIBA.
 
How it's supposed to be ?

"NOMAD POLITICS" ndiyo SIASA ambayo huwa inafanyika na MATAIFA mbalimbali duniani.


Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA - VIONGOZI WA KITAIFA kama RAIS huwa wanafanya "NOMAD POLITICS" kwa sababu za KIUSALAMA NA KIDIPLOMASIA.


Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walishauriwa kuhama hama kutokana na idadi yao kuwa kubwa na walifanikiwa kusambaa na kuenea sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi kutokana na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].


Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walikuwa wana hela sana na wamefanikiwa kuwekeza kupitia watu wao.


Baada ya kufanikiwa kuhama hama, kilichobaki ilikuwa ni kuangalia "MAHUSIANO YA KIMAPENZI" maana tayari walikuwa wanamiliki UCHUMI wao.


Kilichobaki ilikuwa "UNAOLEWA NA NANI?" au "UNAMUOA NANI?" na kwa masilahi gani? Ili kuepuka mapinduzi katika ngazi ya kifamilia - maana kesi za kwenye "MAHUSIANO YA KIMAPENZI" zimekuwa nyingi sana kutokana na muingiliano wa watu kuwa mkubwa.


Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanaona wao kwa wao na wanaendelea kuzaliana. Hii imewasidia kukwepa vizingiti katika ngazi ya kifamilia.
 
How it's supposed to be ?
Jaribu kuangalia na kusikiliza hii NYIMBO YA CHIWAWA kutoka katika TAIFA LA KENYA. Hili jina la CHIWAWA halijaja kwa bahati mbaya.

Ukiwa kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA kuna TAASISI YA KIDINI inaitwa VIWAWA. VIWAWA ni moja ya TAASISI YA KIDINI inayopatikana katika KANISA KATOLIKI.


Hiyo NYIMBO YA CHIWAWA ni muendelezo au marudio ya ujumbe kwa njia ya SANAA YA MUZIKI kutoka kwa "KONTAWA" au "MAKONTAWA" na ndiyo yanayoendelea kufanyika kwenye masuala ya MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA.

Kwahiyo, kusambaa na kuenea sehemu mbalimbali ni moja ya mbinu za kijeshi na hamuwezi wote kukaa sehemu moja. You have to DISPATCH!!πŸ˜„πŸ˜‚
 
How it's supposed to be ?
Kuna MSANII WA KENYA anaitwa ABBAS KUBAFF au "38Β° IN THE SHADE". Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.


ABBAS KUBAFF alipata fursa ya kuhamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KENYA wakitoka katika ule MKOA WA MWANZA, WILAYA YA MAGU.


Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA 🦁.


Kwahiyo sasa hivi ukiwa katika ile MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA - wenyeji wengi ni WALOWEZI na WALOWEZI sio watu wabaya, ni watu wazuri na unatakiwa kuishi nao kwa akili hasa PUISSANTS [BSC]. Kwa sababu hata kwa upande wa MATAIFA mengine kuna WALOWEZI wenye asili ya TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ.
 
How it's supposed to be ?
Ukiwa pale SHINYANGA MJINI kulikuwa kuna kumbi ya muziki iliyokuwa inaitwa BUTIAMA DISCO TECH πŸ˜‚


Yaani kwa LUGHA NYEPESI ni kwamba kile kijiji cha BUTIAMA chote kilihamia katika MKOA WA SHINYANGA, kabla ya kusambaa zaidi katika sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.

Kipindi hicho MKOA WA SHINYANGA ulikuwa una WILAYA SABA [7] ambazo ni KAHAMA, MEATU, SHINYANGA MJINI, SHINYANGA VIJIJINI, KISHAPU, MASWA pamoja na BARIADI.


Kwahiyo idadi kubwa ya WAZANAKI walihamia katika MKOA WA SHINYANGA kabla ya kusambaa zaidi katika sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi na wengi wao walikuwa wanajiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA. [Hii ni maana ya kwanza ya jina la "BUTIAMA DISCO TECH"]
 
How it's supposed to be ?
Ukiangalia BUTIAMA DISCO TECH ilivyozungukwa na ofisi za serikali, pamoja na shule ya msingi - ndivyo walivyo wale wenyeji wa asili wa KIJIJI CHA BUTIAMA.


Wenyeji wa asili wa KIJIJI CHA BUTIAMA pamoja na JAMII YA SERENGETI kwa ujumla, ndiyo waliokuwa wanachaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza kwa SHULE ZA UFUNDI.


SHULE ZA UFUNDI kama MUSOMA TECH [zamani ilikuwa inaitwa ALLIANCE], BWIRU TECH, IFUNDA TECH, IYUNGA TECH, MOSHI TECH, MTWARA TECH pamoja na TANGA TECH. Hizi SHULE ZA UFUNDI ndiyo waliokuwa wanajaa wenyeji wa asili wa KIJIJI CHA BUTIAMA pamoja na JAMII YA SERENGETI kwa ujumla.


Nyinyi wengine hata msome "TUITION" vipi, hamna kitu! Kuna wanafunzi walikuwa wanafanya vizuri sana katika MITIHANI YA KITAIFA YA DARASA LA SABA, lakini wanaochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza kwa SHULE ZA UFUNDI ni wengine kabisa..πŸ˜‚


Wale wenyeji wa asili wa KIJIJI CHA BUTIAMA pamoja na JAMII YA SERENGETI kwa ujumla ndiyo waliokuwa wanapata nafasi za kujiunga na SHULE ZA UFUNDI, yaani TECHNICAL SCHOOLS. [Hii ni maana ya pili ya jina la "BUTIAMA DISCO TECH"]. Halafu baada ya hapo, wanapitia kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA.
 
How it's supposed to be ?
Mimi nakumbuka mwaka 2007, SHULE YA IYUNGA TECH ilikuwa na DIVISION ONE [98] kwa matokeo ya kidato cha nne na mwaka uliofuatia [2008] ilikuwa na DIVISION ONE [96]. Hii SHULE YA IYUNGA TECH huwa inafanya vizuri sana kuliko hata SHULE YA ILBORU.

Kwa wale WATABE WA ELIMU, SHULE YA ILBORU huwa sio VIPAJI MAALUM kwa sababu WANAFUNZI WA SHULE YA ILBORU kwa upande wa O - LEVEL, wengi huwa ni WATOTO wa pale pale ARUSHA MJINI..πŸ˜‚

Kwanza wale WATOTO WA ILBORU huwa ni vishuwa, ukikutana nao wanakuuliza "wewe ni mtoto wa nani?" halafu ndiyo stori zinaanza.. πŸ˜‚


Kwa mwaka huo huo wa 2007, BEST STUDENT [TANZANIA ONE] alitoka SHULE YA UHURU na alikuwa na WASTANI [97] na ukiangalia wasifu wa BEST STUDENT [2007], kipindi ambacho anamaliza DARASA LA SABA [2003] aliongoza kitaifa SOMO LA HISABATI na alipangiwa TANGA TECH kwa masomo ya kidato cha kwanza. Posti ilivyokuja alipelekwa SHULE YA RAJANI [2004] na alihamia SHULE YA UHURU [2005] akiwa anaingia kidato cha pili.

Wanafunzi wengi wa SHULE ZA UFUNDI yaani TECHNICAL SCHOOLS huwa wanajiunga na SHULE ZA VIPAJI MAALUM [TABORA BOYS, KIBAHA SECONDARY, MZUMBE na ILBORU] baada ya kumaliza masomo ya kidato cha nne.

Lakini ukiangalia tena, matokeo ya kidato cha sita [2010], SHULE YA MOSHI [OLD MOSHI] ndiyo iliyotoa BEST STUDENT [TANZANIA ONE] na yule aliyeongoza kidato cha nne [2007] aliongoza kitaifa masomo ya PHYSICS na GENERAL STUDIES [GS] kutoka SHULE YA MOSHI [OLD MOSHI].

Sasa MANTIKI ya kuwa na SHULE ZA VIPAJI MAALUM na SHULE ZA UFUNDI ni nini? Kama WANAFUNZI BORA wanatoka katika SHULE ZA KAWAIDA.


Hii ndiyo SIASA YA TANZANIA na ilikuwa inafanyika hivyo tangu AWAMU YA KWANZA iliyokuwa inaongozwa na HAYATI MWALIMU.
 
How it's supposed to be ?
Wale "WATABE WA ELIMU" waliyoyafahamu haya mambo mapema huwa wanafanya KAZI ZA KITAALUMA pekee yao na huwa wanawakwepa wale wanafunzi wa hizi SHULE ZA VIPAJI MAALUM, kwa sababu huwa hawana kitu na ukishirikiana nao wanaonekana wao ndiyo wamefanya.


Ndiyo "MANING NICE" alivyo. "MANING NICE" huwa anafanya kazi pekee yake na huwa hakosei - kwa sababu ana MADESA yote hadi VIDEO.


Asilimia kubwa ya wanafunzi wa hizo SHULE ZA VIPAJI MAALUM na SHULE ZA UFUNDI huwa wanajiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, huo ndiyo MFUMO WA TANZANIA.


Wakati wengine huwa wanahangaika kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA. Unakuta mtu anapiga JKT miaka miwili hadi mitatu, ndiyo anapata nafasi. Lakini wale WATOTO WA ILBORU huwa ni MIPANGO tu πŸ˜‚
 
How it's supposed to be ?
Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA, TABORA pamoja na KAGERA walifanikiwa kuifahamu vizuri SIASA YA TANZANIA tangu siku nyingi.


Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA kupitia VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifanikiwa kusambaza watu wao kwenye maeneo mbalimbali ya nchi na hata nje ya nchi.

Hata huyu NIKITA KERING ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ule MKOA WA MWANZA.


Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo miongoni mwa WASHINDI wa SIASA ZA TANZANIA.


JAMII nyingine ni kama JAMII YA PWANI ambao wanajitahidi kujijenga KIUCHUMI na KISIASA kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Wale JAMII YA PWANI wanajitahidi kutokurudia makosa waliyoyafanya JAMII YA SERENGETI, wao wakipata gepu ndani ya SERIKALI huwa wanapiga.
 
How it's supposed to be ?

Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini ZAMBIA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini ZAMBIA wakitoka katika ule MKOA WA MWANZA.

Anaitwa SARAH JERE, ni mcheza mpira wa timu ya wanawake ya ZANACO LADIES na timu ya TAIFA YA WANAWAKE YA ZAMBIA. Mwaka jana alikuwa mfungaji bora wa michuano ya COSAFA kwa upande wa wanawake.

Haya ndiyo MATUNDA ya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].
 
How it's supposed to be ?

Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walifanikiwa kuwa na SERIKALI YA RWANDA, 1994.


Haya pia ni MATUNDA YA HAYATI MWALIMU, na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wataendelea kuwepo upande wa HAYATI MWALIMU kama fadhila.


Kwahiyo chochote kile kinachohusu SERIKALI YA RWANDA, moja kwa moja kinawahusu wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na ustawi wa SERIKALI YA TANZANIA unategemea hali ya kisiasa kwa upande wa TAIFA LA KONGO [usiulize kwanini].
 
How it's supposed to be ?

Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].




Ukiwa pale KENYA, wanaishi ELDORET na wanafanya kazi katika HOTELI YA BOMA INN inayopatikana ELDORET, nchini KENYA.


Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walikuwa na wanaendelea kufanya kazi katika kampuni ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.


Kwahiyo sasa hivi, kuna idadi kubwa ya DIASPORA ambao ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.
 
How it's supposed to be ?
Ukiwa pale KENYA, kila KAUNTI ina familia tano ambazo ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.


Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA anayeishi MALINDI, nchini KENYA.


Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walibeba sana watu wao na waliobaki TANZANIA waliamua kubaki kwa sababu zao binafsi.


Kwa namna hali ya KIUCHUMI inavyoenda, mwenye nacho ataongezewa na asiyenacho hata kile kidogo atapungukiwa.


Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA 🦁 waliohamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].
 
How it's supposed to be ?
Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamejitahidi sana kuwekeza nchini KENYA πŸ‡°πŸ‡ͺ.


Ukitaka kufahamu wamiliki halali wa TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoshiriki LIGI KUU YA UINGEREZA inayoitwa CHELSEA, nenda KENYA πŸ‡°πŸ‡ͺ.


Ukiwa pale KENYA πŸ‡°πŸ‡ͺ katika KAUNTI YA MOMBASA, kuna wafanyabiashara wengi wenye asili ya ASIA hususani WAHINDI.


Sasa kwa kutumia FACIAL DESCRIPTION IDENTIFICATION [FDI] ya SAMANTHA KERR, ambaye ni mchezaji wa CHELSEA kwa upande wa timu ya wanawake utaona kuna sura ya dada mzuri mwenye asili ya ASIA [KIHINDI], pale katika KAUNTI YA MOMBASA na wiki chache zilizopita alikuwepo TANZANIA.


Hawa ni wafanyabiashara katika KAUNTI YA MOMBASA na wanafanya BIASHARA kwa niaba ya mmoja wa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].


Yaani ukijaribu kufuatilia kwa ukaribu, hii familia inafanya biashara pale MOMBASA, KENYA πŸ‡°πŸ‡ͺ kwa niaba ya MTANZANIA na ukijaribu kufuatilia huyo MTANZANIA alikuwa ni mmoja wa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].


Huyo MTANZANIA ndiyo mmiliki halali wa timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA UINGEREZA inayoitwa CHELSEA na "MULTINATIONAL BUSINESS" ndiyo huwa inafanyika hivyo..πŸ™πŸΎ


Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wanaendelea kufanikiwa katika masuala ya BIASHARA kutokana na kuwatumia watu wenye asili ya ASIA [WAHINDI] na ULAYA [WAJERUMANI] katika masuala ya UWEKEZAJI.
 
How it's supposed to be ?
Ukijaribu kuangalia msimamo wa LIGI KUU YA UINGEREZA, wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanamiliki timu zaidi ya tano.


LIGI KUU YA UINGEREZA inalipa sana kutokana na matangazo, pia tiketi za mechi huwa zinauzwa kwa msimu mzima. Hali hii huwa inaleta faida kwa wamiliki wa timu husika.


Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walikuwa wanapeleka shule na kusomesha watu wao kupitia kampuni za kibiashara ambazo walikuwa wanamiliki.


Sasa hivi hii JAMII YA MWASHITA ina wasomi wengi ambao wanaishi katika MATAIFA mbalimbali.


Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA na anapatikana katika MATAIFA YA AFRIKA YA KUSINI pamoja na NAMIBIA kwa nyakati tofauti tofauti.


Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walisaidia sana watu wao, ikiwa ni pamoja na kuwapitia ELIMU YA MSINGI, SEKONDARI hadi CHUO KIKUU.
 
How it's supposed to be ?



DIASPORA wote ambao ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walisoma shule kwa gharama ya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].


Ukiwa pale KENYA, kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa SIMBA COACH ndiyo ilikuwa inatumika kusomesha wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliofanikiwa kuhamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanaoishi nchini KENYA na wanafanya kazi katika kampuni tofauti tofauti ambazo zinamilikiwa na mmoja wa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU].


Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini AFRIKA YA KUSINI kipindi cha miaka ya tisini [1990's], wao pia walisoma na wanaendelea kusoma kwa FEDHA ya VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].


Yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliwabeba sana watu wao na hadi leo wanaendelea kuwabeba.


Sasa hivi wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wamewekeza katika biashara ya ununuzi wa majengo.


Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wamiliki halali wa JENGO LA WELLINGTON linalopatikana NEW YORK CITY, NEW YORK nchini MAREKANI.
 
How it's supposed to be ?

Ukiondoa huyo KABURU, waliobaki wote ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini AFRIKA YA KUSINI kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Yaani hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA - walibebwa na wanaendelea kubebwa hadi imekuwa KERO.


Sasa hivi, wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wanaongoza na kumiliki timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA AFRIKA YA KUSINI inayoitwa ORLANDO PIRATES ☠️. Hii ikiwa ni pamoja na timu ya mpira wa miguu inayoitwa KAIZER CHIEFS FC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…