Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Hawa Murzah Wilmar EA kwa miaka ya 1995-7 mpaka miaka ya 2000 Walitisha sana kwa ubora wa bidhaa zao.

Walitwaa tuzo za ndani (Kitaifa) na tuzo za nje (Kimataifa) pale GENEVA BID 2000.

Halafu kumbe ni mali ya MNYAMA MWASHITA!, Sikulifahamu hilo.

MR TIGER yukoje kuhusu kabumbu pale Spain?
 
Wewe ni mmoja wa wajinga wajinga kama wale wa 1967 ambao hawakumuelewa Kambona na kum-persecute. In the end, nchi imefika kule Kambona alikokuwa anataka iende. Viongozi wanafanya biashara, wana nyumba za kupanga, hisa katika makampuni, nk. Nani alikuwa mjinga sasa - Kambona ama wao? Wajinga wa CCM mtakaokuwepo huko mbele mtaangalia nyuma siku moja na kuona mawazo yenu yalivyokuwa backward.

Hata Afrika ya Kusini ya 1960s, 70s, 80s ilikuwa na wajinga kama wewe ambao waliwaona Mandela, Govin Mbeki, Sithulu nk ni wasumbufu tu. 1994 nchi ilivyopata uhuru ndio wakagundua kuwa wao ndio walikuwa wajinga. Wajinga huwa hamkosekani. Uzuri ni kwamba nchi inaweza kombolewa hata na nyie wajinga mkiwemo.

54824aa911cf63ae21999d3fb5f686fc.png

Hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanafahamu wanachokifanya na hauwezi ukawafananisha na wakina ADAM SAPI MKWAWA au KAMBONA. Ni mbingu na ardhi!

Hawa wenye CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ ndio wamiliki halali wa timu ya mpira inayoitwa SEVILLA FC inayoshiriki LIGI KUU YA UHISPANIA 🇪🇸 na mabingwa mara sita [ 6 ] wa UEFA CUP na mwaka huu wamepata nafasi ya kishiriki UEFA CHAMPIONS LEAGUE.

Hiyo PESA ya matayarisho ya michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE, kwa huku TANZANIA 🇹🇿 tunaweza kufunga kiwanda kingine kikubwa tu.

Na hiyo PESA ya matayarisho ya michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE, kwa huku TANZANIA 🇹🇿 tunaweza kuhudumia mpaka timu za DARAJA LA KWANZA kama AFRICAN LYON, PAN AFRICAN na PAMBA SC. Hiyo ni PESA inayotoka SEVILLA FC pekee yake.

Kwahiyo hata kwa upande wa SIASA hali ni hiyo hiyo, na sioni sababu ya KIONGOZI kama JUMA DUNI HAJI kuendelea kubaki chama kama ACT - WAZALENDO 🖐️! Kwanza watampa nini? Chama chenyewe hakina hata vyanzo vya mapato! Ni bora arudi CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ na agombee nafasi ya URAIS kupitia CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️.
 
Hawa Murzah Wilmar EA kwa miaka ya 1995-7 mpaka miaka ya 2000 Walitisha sana kwa ubora wa bidhaa zao.
Hawa MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LTD ndio watengenezaji wa mafuta ya kupikia ya KORIE na miaka ya nyuma walikuwa ni watengenezaji wa mafuta ya kupikia yaliyokuwa yanaitwa KASUKU.

Haya mafuta ya kupikia yaliyokuwa yanaitwa KASUKU yalienea sana TANZANIA 🇹🇿 na kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI kwa kipindi hicho.

Na hata sasa hivi hawa MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LTD ndio watengenezaji wa sabuni maarufu sana TANZANIA 🇹🇿 zinazoitwa FOMA GOLD. Pia wana bidhaa nyingine za sabuni zinazoitwa B29, KIBOKO na PUFF.

Pia hawa MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LTD wanatengeneza MADAFTARI YA KUTUMIA WANAFUNZI WA SHULENI NA VYUO VIKUU, ni MADAFTARI mazuri sana na yanafaa kwa matumizi.

Vile vile hawa MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LTD wanamiliki WATER PROCESSING PLANT ambayo inatengeneza maji ya kunywa yanayoitwa MAJI POA.

Hawa MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LTD ndio wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya ZANZIBAR FAST FERRIES COMPANY LTD inayomiliki meli zinazofanya safari zake za majini kutoka DAR ES SALAAM kwenda ZANZIBAR.

Hawa MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LTD ndio wamiliki halali wa kampuni ya ALFA CAR RENTALS ZANZIBAR.

Na hawa MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LTD ndio wamiliki halali wa kiwanda cha ALFA PHARMACEUTICAL PRODUCTION PLANT, hiki kitakuwa ni kiwanda cha kwanza kwa nchi ya TANZANIA 🇹🇿 kitakachotengeneza FIRST IV DRIP.

Na ifike mahala tuelezane ukweli tu! Hii menejimenti ya MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LTD inafanya vizuri sana kwenye mambo ya UTAWALA na MASOKO - ndio maana bidhaa zao zina ubora.

Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 watakuwa wanamiliki viwanda viwili vya PHARMACEUTICAL kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿, hii ikiwa inajumuisha TANGA PHARMACEUTICALS & PLASTICS LTD na ALFA PHARMACEUTICALS PRODUCTION.
Walitwaa tuzo za ndani (Kitaifa) na tuzo za nje (Kimataifa) pale GENEVA BID 2000.
Ndio hao! Nadhani mpaka sasa hivi hakuna bidhaa bora kama mafuta ya kupikia ya KORIE, mafuta yanayofuata kwa ubora ni mafuta ya AZANIA ambapo wote ni wamoja, sema wanatofautiana "BRAND NAMES".
Halafu kumbe ni mali ya MNYAMA MWASHITA!, Sikulifahamu hilo.
Ndio! Kwa upande wa SEKTA YA VIWANDA TANZANIA 🇹🇿, hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ndio wameshikilia SEKTA YA VIWANDA pamoja na SERENGETI yaani CHUI.

Hizi ndio jamii mbili zenye UCHUMI WA VIWANDA TANZANIA 🇹🇿. Hakuna Wahindi, Waarabu wala Wazungu - hawa wote ni wafanyakazi tu! Lakini wenye UCHUMI WA VIWANDA ni MWASHITA yaani SIMBA na SERENGETI yaani CHUI.
MR TIGER yukoje kuhusu kabumbu pale Spain?
Hawa SERENGETI yaani CHUI ndio wamiliki halali wa timu za ATLETICO MADRID na REAL MADRID zote za UHISPANIA 🇪🇸.

Hawa SERENGETI yaani CHUI ndio wamiliki wa "MADRID DERBY", yaani hawa SERENGETI yaani CHUI ndio wanaomiliki WATANI WA JADI WA JIJI LA MADRID.

Vile vile hawa SERENGETI yaani CHUI ndio wanaomiliki timu kubwa za ULAYA 🇪🇺 - timu hizo ni AC MILAN kutoka ITALIA 🇮🇹, REAL MADRID kutoka UHISPANIA 🇪🇸 na BAYERN MUNICH kutoka UJERUMANI 🇩🇪. Hizi ni timu kubwa ULAYA 🇪🇺 na sio tu ULAYA 🇪🇺 pekee yake, bali ni timu kubwa DUNIANI 🌏.

BAYERN MUNICH huwa wana kauli mbiu yao inayosema hivi - "The problem is not MONEY, the problem is how to find the best player who can fit for BAYERN MUNICH." Kwa sababu wao wana aina yao ya mpira wanaocheza uwanjani, sio kila aina ya mchezaji bora anafaa kwenda kucheza BAYERN MUNICH. Jibu ni hapana! Ndio maana wachezaji maarufu kama CHRISTIANO RONALDO na LIONEL MESSI hawajapata fursa ya kujiunga na timu ya BAYERN MUNICH. Hali hii, ipo hivyo hivyo kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.

Na hawa WAJERUMANI 🇩🇪 ndio wamechangia mafanikio ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kwa kiasi kikubwa sana. Vile vile HAYATI MWALIMU mwenyewe alichangia pakubwa sana kwenye uchumi wa UJERUMANI 🇩🇪 kwa kuwekeza kiasi kikubwa sana cha FEDHA.

Na HAYATI MWALIMU alishawahi kuwaambia WAJERUMANI 🇩🇪 kuwa ana uwezo wa kuilisha UJERUMANI 🇩🇪 kwa kipindi cha muda wa miaka mitatu [ 3 ].

Na HAYATI MWALIMU pamoja na JUMUIYA YA WATU WA UJERUMANI 🇩🇪 waliingia makubaliano ya kibiashara ili HAYATI MWALIMU apate msaada wa kisiasa na kidiplomasia pale panapohitajika.

Ndio maana biashara za familia ya HAYATI MWALIMU kwa kiasi kikubwa zinafanywa na WAJERUMANI 🇩🇪. WAJERUMANI 🇩🇪 wamesaidia pakubwa sana kwenye familia ya HAYATI MWALIMU - iwe kisiasa, kijamii na kibiashara.

Kupitia hawa WAJERUMANI 🇩🇪 - SERENGETI yaani CHUI wamekuwa vizuri sana kwenye masuala ya kijamii na mahusiano ya watu.

Na hii inawafanya hawa SERENGETI yaani CHUI kuwa ni jamii yenye nguvu ya kisiasa na kiuchumi kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 na AFRIKA YA MASHARIKI kwa ujumla.

Jamii nyingine ni MLIMA KENYA [ MOUNT KENYA ] kutoka KENYA 🇰🇪. Hii ndio jamii yenye nguvu ya kisiasa na kiuchumi kwa upande wa KENYA 🇰🇪 na ni jamii ya pili baada ya SERENGETI kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI.

Jamii nyingine ni WAHIMA kutoka UGANDA 🇺🇬. Hii ndio jamii yenye nguvu ya kisiasa na kiuchumi kwa upande wa UGANDA 🇺🇬 na ni jamii ya tatu baada ya SERENGETI na MLIMA KENYA kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI.

Jamii nyingine ni WALUO kutoka KENYA 🇰🇪. Hii ndio jamii yenye nguvu ya kisiasa na kiuchumi baada ya MLIMA KENYA na ni jamii ya nne baada ya SERENGETI kutoka TANZANIA 🇹🇿, MLIMA KENYA kutoka KENYA 🇰🇪 na WAHIMA kutoka UGANDA 🇺🇬. Hii jamii ya WALUO ndio wenye chama cha kisiasa cha ODM 🍊 na wamekuwa mstari wa mbele sana kwenye siasa za KENYA 🇰🇪.

Jamii nyingine ni MWASHITA yaani SIMBA 🦁 kutoka TANZANIA 🇹🇿. Hii ndio jamii yenye nguvu ya kiuchumi baada ya SERENGETI na kisiasa walipotea kidogo kwa upande wa TANZANIA BARA 🇹🇿 na TANZANIA VISIWANI. Hii ndio jamii yenye nguvu ya kisiasa na kiuchumi kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 baada ya SERENGETI na ni jamii ya tano baada ya SERENGETI kutoka TANZANIA 🇹🇿, MLIMA KENYA kutoka KENYA 🇰🇪, WAHIMA kutoka UGANDA 🇺🇬 na WALUO kutoka KENYA 🇰🇪. Hii jamii ya MWASHITA ndio wenye chama cha kisiasa cha CUF ☀️ na wamekuwa mstari wa mbele sana kwenye siasa za TANZANIA VISIWANI na TANZANIA BARA kwa ujumla.

Jamii nyingine hazipo kwenye ramani! Jamii nyingine ni watumishi wa SERIKALI na taasisi binafsi. Kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI, hakuna jamii nyingine inayofuata kwa uchumi au hata kukaribia hizo jamii tano hapo juu.
 
Na waliingizwa mkenge au chaka na aliyekuwa RAIS WA AWAMU YA NNE! Bilioni mbili [ 2,000,000,000 ] zikaliwa na hawakupata kitu 😂😂
Na MZEE WA MSOGA ndio mtoto wa mjini sasa! Baada ya kuwapiga bilioni mbili [ 2,000,000,000 ] kile CHAMA CHA KISIASA na yeye akatoa milioni mia moja [ 100,000,000 ] ili awe MWENYEKITI WA BODI YA THE GLOBAL PARTNERSHIP FOR EDUCATION [ GP for Education ]. Kwahiyo sasa hivi amebakiwa na bilioni moja na milioni mia tisa [ 1,900,000,000 ] 😂😂
 
The guy was so bright Mwalimu akaona he is threat to him...aka m-fire.
Haya mambo aliyokuwa akiyafanya HAYATI MWALIMU, hakufanya kwa KAMBONA pekee yake! HAYATI MWALIMU alifanya haya mambo hata kwa watangulizi wetu.

Wale wana CCM ⚒️ walioambiwa wapungunze msongamano ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ndio waliokuwa tishio kwa HAYATI MWALIMU na SERENGETI kwa kipindi hicho, ndio maana wakaambiwa wajiengue wenyewe.

Kupelekea sababu hiyo, ndio ikawa chimbuko la MFUMO WA VYAMA VINGI na VYAMA VYA KISIASA kama CHADEMA, NCCR - MAGEUZI na CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ ndio vilianzishwa.

Halafu kuna kitu kingine ambacho watu wengi hawakifahamu - waanzilishi wa hivi VYAMA VYA KISIASA kama CHADEMA, NCCR - MAGEUZI na CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ mwanzoni walikuwa ni wanachama wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ na ndio hao walioambiwa wajiengue ili kupisha msongamano ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.
 
MR TIGER yukoje kuhusu kabumbu pale Spain?

1c544a8522caa47bd2d3970758fae16e.png

Na hii ni UKWELI na UHAKIKA! Hawa SERENGETI yaani CHUI kupitia kwa familia ya HAYATI MWALIMU ndio wamiliki halali wa timu ya mpira ya CHELSEA FC. Pale STAMFORD BRIDGE, ROMAN ABROMOVICH ni mfanyakazi tu kama ilivyo kwa wafanyakazi wengine.

Na hata huu utajiri alionao ROMAN ABROMOVICH ni utajiri wa HAYATI MWALIMU na kwenye ile orodha ya MABILIONEA 100 WA KIRUSI 🇷🇺, HAYATI MWALIMU ana MABILIONEA 5 wanaofanya biashara za familia ya HAYATI MWALIMU.

Kutokana na mabadiliko ya kisayansi na kiteknolojia, inavyosemekana HAYATI MWALIMU ameendelea kupiga hatua kubwa sana ya kimaendeleo kuliko siku za nyuma.
 
Halafu kumbe ni mali ya MNYAMA MWASHITA!, Sikulifahamu hilo.
Hivi vitu mlitakiwa kuvifahamu! Kwenye SIASA huwa kuna kitu WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita GEOPOLITICS wakiwa na maana ya MAZINGIRA YA KISIASA YA SEHEMU HUSIKA.

Sasa unapohusika na SIASA ZA NCHI kuna MAZINGIRA YA KISIASA YA NCHI ambayo kama mhusika unapaswa kuyafahamu na sio kukurupuka tu, ndio maana watu wengine wanakufa kama kuku 🐔.

Sasa tofauti na MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LTD, hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ndio wamiliki halali wa mgodi wa almasi unaoitwa EL - HILAL DIAMOND MINE unaopatikana MWADUI, KISHAPU katika mkoa wa SHINYANGA.

Wale wote wanaonekana pale ni wafanyakazi tu, lakini wamiliki wapo na siku wakiingia na kuanza kusimamia wenyewe mambo yatabadilika. Kutakuwa na mikataba ya kudumu kwa wafanyakazi na wafanyakazi wote watapewa bima.

Vile vile hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ndio wamiliki halali wa kampuni ya SUPERGROUP COMPANIES. Hii ni kampuni ambayo inajumuisha makampuni madogo madogo yapatayo saba [ 7 ], ambayo ni SUPER DOLL TRAILER MANUFACTURING LIMITED, SUPER STAR FORWARDERS [ SSF ], SUPER RETREAD TYRES COMPANY LIMITED, PIPE INDUSTRIES, KAGERA SUGAR LIMITED [ KSL ], MTIBWA SUGAR ESTATES na GENERAL MOTORS INVESTMENT LIMITED.

Hii kampuni ya SUPER DOLL TRAILER MANUFACTURING LIMITED ni kampuni inayoongoza katika utengenezaji wa matela ya malori kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI, KATI na KUSINI MWA AFRIKA.

Na hii kampuni ya SUPER STAR FORWARDERS [ SSF ] ni kampuni inayohusika katika usafirishaji wa mizigo kwa zaidi ya miongo miwili, yaani zaidi ya miaka ishirini [ 20 ].

Hii kampuni ya SUPER RETREAD TYRES COMPANY LIMITED ni kampuni ambayo ilianzishwa baada ya kuwa na tatizo la "POOR RETREAD RATIO" kwa kipindi hicho na mpaka leo hii inaendelea kufanya vizuri.

Hii kampuni ya PIPE INDUSTRIES inahusika na kutengeneza mabomba ya UBORA WA HALI YA JUU ya GRP, HDPE, STEEL na PVC ili kukidhi mahitaji kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿, AFRIKA MASHARIKI na KATI.

Hii kampuni ya KAGERA SUGAR LIMITED [ KSL ] ni kampuni inayohusika na uzalishaji wa sukari na inapatikana katika mkoa wa KAGERA.

Hii kampuni ya MTIBWA SUGAR ESTATES ni kampuni inayohusika na uzalishaji wa sukari na inapatikana katika mkoa wa MOROGORO.

Na hii kampuni ya GENERAL MOTORS INVESTMENT LIMITED ni kampuni inayohusika na uuzaji wa mashine zinazotumika kwenye KILIMO, MIGODI na UJENZI.

Haya pia ni makampuni yanayomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na haya ndio makampuni yanayojumuisha uwekezaji wa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿.

Haya ni makampuni tanzu na shirikishi kwa CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️, sasa utaona ni jinsi gani uchumi wa CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ ulivyo, ukilinganisha na VYAMA VINGINE VYA UPINZANI. Na ndio maana CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ huwa wana sera ya chama iliyoegemea upande wa KULIA yaani ULIBERALI au kwa jina lingine ni UBEPARI.

Hii inatokana na hawa wamiliki halali wa CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ kushikilia nyanja zote za kiuchumi na kuwa uchumi mkubwa unaotegemea viwanda, hivyo kupelekea kuwa na SERA YA UPEBARI.

Na hawa ndio wanaowabeba wakazi wa hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA kwenye upande wa ajira.

Kwahiyo siku nyingine ni vyema kuchunguza kabla ya kufanya maamuzi, kwa sababu unaweza kufanya maamuzi ambayo yatagharimu maisha yote.

Hali hii iko vivyo hivyo kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA, ni vyema kuchunguza kwanza kabla ya kufanya maamuzi, kwa sababu tunaamini kuwa mtu yoyote anayejishughulisha na SIASA ni tayari ameshakua mtu mzima, kwa hiyo anafahamu anachokifanya.
 
Hali hii iko vivyo hivyo kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA, ni vyema kuchunguza kwanza kabla ya kufanya maamuzi, kwa sababu tunaamini kuwa mtu yoyote anayejishughulisha na SIASA ni tayari ameshakua mtu mzima, kwa hiyo anafahamu anachokifanya.
Na kwa kuongezea hapa kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA - kuna VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na JESHI LA POLISI! Kuna VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na USALAMA WA TAIFA! Na kuna baadhi ya VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa kwa msaada wa NCHI JIRANI.

Hii yote inatumika kama HUDUMA ZA KIJAMII NA MAHUSIANO YA WATU kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na JESHI LA POLISI na kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na USALAMA WA TAIFA.

Na kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa kwa msaada wa NCHI JIRANI huwa inatokana na sababu za UKACHERO.

Kwahiyo kama MWANACHAMA wa CHAMA chochote kile cha KISIASA ni vyema kuchunguza kwanza kabla ya kufanya maamuzi, maana kuna VYAMA VYA KISIASA ukiingia na ukitoka salama ushukuru MUNGU!

Ndio maana kuna baadhi ya WANASIASA walishambuliwa kwa risasi na mwingine alifariki kwa sababu zisizojulikana, wengine wanasema ni COVID-19 lakini hali halisi ni POLITICAL ASSASSINATION.

Na kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA vilivyo juu sasa hivi, yaani CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, CHADEMA ✌️, CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ na ACT - WAZALENDO 🖐️ ni vyama viwili [ 2 ] tu ndio vyama vinavyomilikiwa na raia wa kawaida, vingine ni vyama vinavyomilikiwa na JESHI LA POLISI na USALAMA WA TAIFA.

VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na raia wa kawaida ni CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ lakini kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni chama cha kisiasa ambacho kinajumuisha kila aina ya watu, yaani ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kuna kila aina ya sura na kila aina ya watu wanaopatikana TANZANIA 🇹🇿.

Ndio maana maendeleo yanachelewa kwa upande mwingine, kwa sababu ya aina na malengo ya kisiasa ambayo CHAMA CHA KISIASA kinakuwa na mwakilishi katika sehemu fulani, sehemu hiyo inaweza kuwa ni KATA, JIMBO au hata NCHI.

Ndio maana sasa hivi WABUNGE wanaenda BUNGENI kama wanaenda SOKONI halafu wanachukua POSHO yaani "SITTING ALLOWANCES" kikao kinakuwa kimeisha. Hawafanyi shughuli yoyote ya kitaifa zaidi ya kufanya POROJO yaani LITERALLY POLITICS.

Hata WABUNGE wa hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA wapo hivyo hivyo, hakuna vitu wanavyofanya BUNGENI na MIKOA yao ndio WAHANGA WAKUBWA WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿.

Kwa mfano, ukiangalia matokeo ya wanafunzi bora ya kidato cha nne kwa miaka kumi [ 10 ] iliyopita, MKOA WA SHINYANGA ulitoa wanafunzi bora mara tatu [ 3 ] - kwa mwaka 2005, mwaka 2007 na mwaka 2012! Lakini hawa wanafunzi wanapewa matokeo tofauti kabisa na ufaulu wao na SHULE zao zimekaa kimya! Na HALMASHAURI zao zimekaa kimya! Na WABUNGE wao wamekaa kimya! Ndio maana hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wameamua kuwasaidia WENYEJI WA HII MIKOA bila hata kuwa na mahusiano na WAWAKILISHI WA HII MIKOA. Yaani hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 hawana mahusiano yoyote na VIONGOZI WA SERIKALI ZA MIKOA wala WABUNGE wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Kwa sababu hawa WABUNGE wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA hawana msaada wowote kwa majimbo yao, na hiyo ndio SIASA. Lakini pamoja na hayo yote, WENYEJI WA HII MIKOA wanakuja juu kiuchumi kwa sababu ya MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kwahiyo hii ndio SIASA YA TANZANIA 🇹🇿 inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kwa msaada wa NCHI ZA UJERUMANI 🇩🇪 na ITALIA 🇮🇹.

Na hii ndio SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ inayolenga kubaki madarakani kwa muda wa kipindi kirefu sana.

Na hii ndio SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ambayo itaacha baadhi ya jamii masikini sana ikiwemo MIKOA YA KIGOMA, RUKWA, SINGIDA, RUVUMA, LINDI, IRINGA, DODOMA na MTWARA.

Na hii ndio SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ambayo itafanya jamii ya SERENGETI yaani CHUI kuwa na NGUVU YA KIUCHUMI NA KISIASA huku jamii nyingine zikibaki kuwa hoi na masikini wa kutupwa!

Kwahiyo mabadiliko ni lazima, hasa kwa mfumo wa elimu wa TANZANIA 🇹🇿. Ni lazima kuwe na uwazi katika kuwasilisha matokeo ya wanafunzi kwa awamu zote yaani darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita ndio maendeleo kwa jamii zote yatapatikana lakini tofauti na hapo, itakuwa ni shughuli ya kumpigia mbuzi gitaa.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikua tunaaminishwa kwamba Mlm Nyerere ndio "icon" pekee apa nchini, tulikua tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kua kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia badae sana baada ya kuskia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikua bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikua akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya kambona mwalimu "angefeli vibaya mno". Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asinge endelea kua mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake". Mwalimu alikua mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine ,chochote kile ambacho kilikua hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikua "viable". Fikiria mtu mmoja tu kaenda urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwasababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikua "kila kitu"

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo kambona ndie aliekua sahihi lakini hawakumskiliza. Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikua "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona

Haya leo 2021 TZ hii ya leo ndio kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu za mwalimu nyerere

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii, natamani watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 wajue habari za huyu shujaaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawa sawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yy mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huo huo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond !!
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini.
Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani",1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga.
Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!!.

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU( Mwasisi wa TANU).
OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967:
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka:
"Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani,1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!.

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia

Kizazi chake Kipo wapi
Ukimlaumu Julius utakuwa unamwonea laumu mizimu ndio iliyokuwa imemshika masikio wakatihuo akidhani ni Mola wake. Utaelewa siku nyingine.
 
Hainiingii akilini. Nitakuwa wa mwisho kuamini
Na hii ni UKWELI na UHAKIKA! Hawa SERENGETI yaani CHUI kupitia kwa familia ya HAYATI MWALIMU ndio wamiliki halali wa timu ya mpira ya CHELSEA FC. Pale STAMFORD BRIDGE, ROMAN ABROMOVICH ni mfanyakazi tu kama ilivyo kwa wafanyakazi wengine.

Na hata huu utajiri alionao ROMAN ABROMOVICH ni utajiri wa HAYATI MWALIMU na kwenye ile orodha ya MABILIONEA 100 WA KIRUSI [emoji635], HAYATI MWALIMU ana MABILIONEA 5 wanaofanya biashara za familia ya HAYATI MWALIMU.

Kutokana na mabadiliko ya kisayansi na kiteknolojia, inavyosemekana HAYATI MWALIMU ameendelea kupiga hatua kubwa sana ya kimaendeleo kuliko siku za nyuma.
 
Umeona hiyo ratiba ya michuano ya CECAFA KAGAME CUP 2021 kwa hatua ya nusu fainali?

Hizo timu mbili za EXPRESS FC ya UGANDA 🇺🇬 na NYASA BIG BULLETS ya MALAWI 🇲🇼, zote hizo ni timu za MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kwahiyo, kwa mwaka huu - hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wameingia kuanzia nusu fainali kwenye michuano yote ya AFRIKA kuanzia KLABU BINGWA AFRIKA 🌍, KLABU SHIRIKISHO AFRIKA 🌍 na CECAFA CUP.

Haya ndio mafanikio ya MWASHITA yaani SIMBA, kumiliki timu za mpira wa miguu kwa BARA LA AFRIKA 🌍.

ebc4df85df5b039b59f1807ee7b63a65.png

Hiyo ni ratiba ya michuano ya fainali ya CECAFA KAGAME CUP na hizo ni timu mbili za EXPRESS FC ya UGANDA 🇺🇬 na NYASA BIG BULLETS FC ya MALAWI 🇲🇼 zote zinamilikiwa na MTANZANIA, yaani hizo timu mbili zinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁. Kwahiyo unaona ni jinsi gani hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 walivyojipanga kwa upande wa nje ya nchi.
 
Hainiingii akilini. Nitakuwa wa mwisho kuamini
Aisee! Ila ni vizuri kuchukua tahadhari na kuheshimu kila mtu, hasa hawa VIONGOZI WA SERIKALI. Maana haingii akilini kwa HAYATI MWALIMU aongoze nchi kwa kipindi cha miaka ishirini na minne [ 24 ] halafu awe masikini. Ni kitu ambacho hakiwezekani.

0d2bd213a9982a569daf69f82e80d444.png

Halafu pia, HAYATI MWALIMU kupitia familia ndio wamiliki halali wa timu ya mpira ya PARIS SAINT GERMAIN [ PSG ] inayoshiriki ligi kuu nchini UFARANSA 🇨🇵.

Yaani hii familia ya HAYATI MWALIMU inatengenezwa kuja kuwa kama FAMILIA YA KIFALME YA UINGEREZA 🇬🇧 ndio maana hawana mambo mengi lakini ni hatari ile mbaya.

Sasa hivi kama umejaribu kufuatilia, hata msiba wa mjukuu wa HAYATI MWALIMU umepewa kipaumbele kama msiba wa KIONGOZI WA SERIKALI na hii yote inafanyika ili kuindaa jamii ya WATANZANIA 🇹🇿 na uwepo wa familia ya HAYATI MWALIMU. Hii WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita - A RECOGNITION OF AN ELITE FAMILY.

Na isitoshe wao kama familia ya HAYATI MWALIMU wana ulinzi mkubwa tu kuliko familia yoyote ile kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿.
 
Hainiingii akilini. Nitakuwa wa mwisho kuamini
VIONGOZI WA SERIKALI wamewekeza sana nje ya nchi! Hauwezi kuamini kuwa kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki HOSPITALI pamoja na VYUO VIKUU nje ya nchi.

Kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki VYUO VIKUU vikubwa na vyenye UBORA kuliko hata VYUO VIKUU vya TANZANIA 🇹🇿.

Kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki HOSPITALI kubwa na zenye UBORA kuliko hata HOSPITALI za TANZANIA 🇹🇿.

Hata hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanamiliki CHUO KIKUU nchini MAREKANI 🇺🇲 na kinapokea na kudahili wanafunzi kama kawaida, yaani kama VYUO VIKUU vingine.

Hicho CHUO KIKUU kinaitwa [...] na ni maarufu sana nchini MAREKANI 🇺🇲 na kuna kipindi msanii wa HIP HOP alihusishwa kuwa anamiliki hicho CHUO KIKUU, lakini ukweli ni kwamba hicho CHUO KIKUU kinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Sasa swali linakuja - kama hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanamiliki CHUO KIKUU nchini MAREKANI 🇺🇲, HAYATI MWALIMU atakuwa ana miliki CHUO KIKUU gani? Mambo mengine sio lazima utafuniwe, lakini pia HAYATI MWALIMU na yeye ana miliki CHUO KIKUU huko ughaibuni.
 
VIONGOZI WA SERIKALI wamewekeza sana nje ya nchi! Hauwezi kuamini kuwa kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki HOSPITALI pamoja na VYUO VIKUU nje ya nchi.

Kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki VYUO VIKUU vikubwa na vyenye UBORA kuliko hata VYUO VIKUU vya TANZANIA [emoji1241].

Kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki HOSPITALI kubwa na zenye UBORA kuliko hata HOSPITALI za TANZANIA [emoji1241].

Hata hawa MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] wanamiliki CHUO KIKUU nchini MAREKANI [emoji1258] na kinapokea na kudahili wanafunzi kama kawaida, yaani kama VYUO VIKUU vingine.

Hicho CHUO KIKUU kinaitwa [...] na ni maarufu sana nchini MAREKANI [emoji1258] na kuna kipindi msanii wa HIP HOP alihusishwa kuwa anamiliki hicho CHUO KIKUU, lakini ukweli ni kwamba hicho CHUO KIKUU kinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881].

Sasa swali linakuja - kama hawa MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] wanamiliki CHUO KIKUU nchini MAREKANI [emoji1258], HAYATI MWALIMU atakuwa ana miliki CHUO KIKUU gani? Mambo mengine sio lazima utafuniwe, lakini pia HAYATI MWALIMU na yeye ana miliki CHUO KIKUU huko ughaibuni.
JK ye anamiliki nini?
 
VIONGOZI WA SERIKALI wamewekeza sana nje ya nchi! Hauwezi kuamini kuwa kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki HOSPITALI pamoja na VYUO VIKUU nje ya nchi.

Kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki VYUO VIKUU vikubwa na vyenye UBORA kuliko hata VYUO VIKUU vya TANZANIA [emoji1241].

Kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki HOSPITALI kubwa na zenye UBORA kuliko hata HOSPITALI za TANZANIA [emoji1241].

Hata hawa MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] wanamiliki CHUO KIKUU nchini MAREKANI [emoji1258] na kinapokea na kudahili wanafunzi kama kawaida, yaani kama VYUO VIKUU vingine.

Hicho CHUO KIKUU kinaitwa [...] na ni maarufu sana nchini MAREKANI [emoji1258] na kuna kipindi msanii wa HIP HOP alihusishwa kuwa anamiliki hicho CHUO KIKUU, lakini ukweli ni kwamba hicho CHUO KIKUU kinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881].

Sasa swali linakuja - kama hawa MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] wanamiliki CHUO KIKUU nchini MAREKANI [emoji1258], HAYATI MWALIMU atakuwa ana miliki CHUO KIKUU gani? Mambo mengine sio lazima utafuniwe, lakini pia HAYATI MWALIMU na yeye ana miliki CHUO KIKUU huko ughaibuni.
Mali za CCM ndo mali za Nyerere?
 
VIONGOZI WA SERIKALI wamewekeza sana nje ya nchi! Hauwezi kuamini kuwa kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki HOSPITALI pamoja na VYUO VIKUU nje ya nchi.

Kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki VYUO VIKUU vikubwa na vyenye UBORA kuliko hata VYUO VIKUU vya TANZANIA [emoji1241].

Kuna VIONGOZI WA SERIKALI wanamiliki HOSPITALI kubwa na zenye UBORA kuliko hata HOSPITALI za TANZANIA [emoji1241].

Hata hawa MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] wanamiliki CHUO KIKUU nchini MAREKANI [emoji1258] na kinapokea na kudahili wanafunzi kama kawaida, yaani kama VYUO VIKUU vingine.

Hicho CHUO KIKUU kinaitwa [...] na ni maarufu sana nchini MAREKANI [emoji1258] na kuna kipindi msanii wa HIP HOP alihusishwa kuwa anamiliki hicho CHUO KIKUU, lakini ukweli ni kwamba hicho CHUO KIKUU kinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881].

Sasa swali linakuja - kama hawa MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] wanamiliki CHUO KIKUU nchini MAREKANI [emoji1258], HAYATI MWALIMU atakuwa ana miliki CHUO KIKUU gani? Mambo mengine sio lazima utafuniwe, lakini pia HAYATI MWALIMU na yeye ana miliki CHUO KIKUU huko ughaibuni.
Haiwezekani hao MWASHITA wakawa wametengenezwa na Nyerere?
 
JK ye anamiliki nini?
Siwezi kuusemea MOYO! Lakini ukweli ni kwamba kuanzia ngazi ya UNAIBU WAZIRI hadi ngazi ya URAIS huwa kuna ofa ambayo huwa wanapokea kutoka kwa watu wa mataifa ya ughaibuni, hasa ULAYA 🇪🇺 na MAREKANI 🇺🇲.

Ofa hizi huwa zinalenga kuwekeza kwenye nchi husika au hata kununua mali zisizohamishika yaani ASSETS. Kwahiyo kuna VIONGOZI WA SERIKALI wengi wamewekeza kwenye mataifa ya ughaibuni kwa mtindo huo.

Kwahiyo, sitegemei kama JK atakosekana kwenye hiyo orodha ya VIONGOZI WA SERIKALI waliowekeza kwenye mataifa ya ughaibuni. Na siwezi kusema ana miliki nini kwa sababu simfahamu kiundani kwenye mambo ya kifamilia.
 
Mali za CCM ndo mali za Nyerere?
Mali za CHAMA CHA MAPINDUZI zipo na mali za HAYATI MWALIMU pia zipo!

Lakini ukiachana na SIASA na mambo mengine ya UANACHAMA, CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kitaendelea kuwa ni mali ya muasisi ambaye ni HAYATI MWALIMU.

Kwahiyo, mali za CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni mali za muasisi wa CHAMA ambaye ni HAYATI MWALIMU na sasa hivi wanaosimama badala ya HAYATI MWALIMU ni FAMILIA YA HAYATI MWALIMU.
 
Back
Top Bottom