Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
That's our BOY! Another MILLION DOLLARS 💵 to that RAPPER 🙏🏽porojo.
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's our BOY! Another MILLION DOLLARS 💵 to that RAPPER 🙏🏽porojo.
![]()
Na kwenye hizo timu za MPIRA WA KIKAPU 🏀 zinazoshiriki LIGI KUU YA MPIRA WA KIKAPU NCHINI MAREKANI 🇺🇲 yaani NBA kama zinavyoonekana kwenye picha hapo juu, kuna timu ya MPIRA WA KIKAPU 🏀 ambayo inamilikiwa na SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿.MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na SERENGETI yaani CHUI ndio JAMII MBILI ZA TANZANIA 🇹🇿 ambazo zinamiliki TIMU ZA MPIRA WA KIKAPU kwenye LIGI KUU YA MPIRA WA KIKAPU yaani NBA nchini MAREKANI 🇺🇲.
Timu ya mpira wa kikapu 🏀 ambayo inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ni [...] na timu ya mpira wa kikapu 🏀 ambayo inamilikiwa na SERENGETI yaani CHUI ni [...].
Sasa hivi ni mapema sana kutaja timu hizo kwa sababu ya kibiashara, lakini timu hizo ni miongoni mwa timu zilizoorodhozeshwa hapo juu.
Na haijaishia hapo!! Hizi JAMII MBILI ZA TANZANIA 🇹🇿 - MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na SERENGETI yaani CHUI wameanza kutilia mkazo kwenye JAMII inayowazunguka, kwa kuchukua orodha ya kila KAYA na kuwaweka kwenye malengo ya baadae.
Kwa sababu hauwezi kuwa na timu za mpira wa kikapu 🏀 kwenye LIGI KUU YA MAREKANI 🇺🇲 halafu jamii unayotoka ni MASIKINI! Sasa ndio utakuwa unafanya mambo gani hayo.. 😁😁
Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wapo kwenye muendelezo wa kusaidia kila KAYA kwa kuwapatia ajira watu wao kwenye kampuni ambazo wanazimiliki wao wenyewe.
Kwa upande wa SERENGETI yaani CHUI, wao wapo vizuri zaidi kwa sababu wao ndio wenye DOLA YA TANZANIA 🇹🇿 na wao ndio wenye CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️. Kwahiyo SERENGETI yaani CHUI wana fursa nyingi sana ukilinganisha na jamii ya MWASHITA yaani SIMBA 🦁.
Lakini mwisho wa siku, sote tutakuwa sawa. WAINGEREZA 🇬🇧 huwa wanasema hivi - At the end of the time, we will all be on the same kingship .
"Kambona ni mwizi,mbinafsi na Malaya"...hahaha..Baba wa taifa bhana.
Ulipoanza mambo ya MWASHITA na chui nimeshindwa kukuelewa, hao MWASHITA ndio kina nani na chui ndio wapi
Kuna MAKUNDI MAWILI ambayo yanamsifia HAYATI MWALIMU kupita kiasi. Kundi la kwanza ni wale WATU ambao hawamfahamu vizuri HAYATI MWALIMU na kundi la pili ni wale WATU ambao walinufaika na uwepo wa UTAWALA WA HAYATI MWALIMU na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kwa ujumla.Kwani wamaomsifia nyerere kupita kiasi ni nani?
Kwa sasa TANZANIA 🇹🇿 ni MALI yao, mpaka pale MABADILIKO YA KWELI YA KISIASA yatakapotokea! Ndio tutasema TANZANIA 🇹🇿 ni ya WATANZANIA wote bila ya kujali DINI, RANGI wala KABILA la MTU.Si ni hawa wafuasi wake aliyo watching ulaji,wanafikiri Tanzania ni Mali yao wamerithishwa
Nimepata kitu hapo mkuu.
Hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ndio wamiliki halali wa kampuni za usafirishaji wa abiria na mizigo za MASHCOOL, SIMBA COACH, MODERN COAST na TAHMEED.
Kampuni zote hizi MAKAO MAKUU yake yanapatikana nchini KENYA 🇰🇪, hususani NAIROBI na MOMBASA, na zinafanya kazi kwenye nchi zipatazo tano [ 5 ] ambazo ni TANZANIA 🇹🇿, KENYA 🇰🇪, UGANDA 🇺🇬, RWANDA 🇷🇼 na SUDANI YA KUSINI 🇸🇸.
Na hii ni kampuni ambayo inamilikiwa na moja ya MAJESHI YA TANZANIA 🇹🇿, inaitwa JAMBO GROUP OF COMPANIES. Hii ni kampuni kubwa sana kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI.
Hii kampuni ya JAMBO GROUP OF COMPANIES inamiliki ndege aina ya BOMBARDIER Q - 400 kupitia kampuni ndogo inayoitwa JAMBO JET. Hii kampuni ya JAMBO JET inafanya shughuli zake ndani na nje ya KENYA 🇰🇪.
Hii kampuni ya JAMBO GROUP OF COMPANIES inajumuisha kampuni ndogo ndogo zaidi ya kumi [ 10 ], ambazo ni JAMBO GROUP OF COMPANIES, FLY JAMBO JET, JAMBO EXPRESS, JAMBO SUPERMARKETS, RADIO JAMBO KENYA, JAMBOLAND REAL ESTATE, JAMBO ELECTRONICS KENYA, JAMBO DESIGNINGS, ARUSHA JAMBO HOUSES, JAMBO BUKOBA, JAMBO PROPERTY, JAMBO ICE CREAM, JAMBO LIQUORS KENYA na kundi la wasanii linalokwenda kwa jina la JAMBO SQUAD.
Hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanafahamu kinagaubaga kila kitu kinachofanyika na kuendelea SERIKALINI na namna ambavyo SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 inayoongozwa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ inavyojidhatiti kwenye huu ukanda wa AFRIKA YA MASHARIKI na MAZIWA MAKUU kwa ujumla.
Kwahiyo, hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanafahamu kila kitu kinachopangwa na kufanyika ndani SERIKALI na SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 sasa hivi imeongeza ulinzi maradufu kupitia SEKTA YA UWEKEZAJI KATIKA NYANJA MBALIMBALI ikiwa ni ndani na nje ya TANZANIA 🇹🇿.
Sasa hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na wao wameamua kuboresha kampuni zao kwenye nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutofungamana na upande wowote au kutojihusisha na siasa zisizowahusu.
Hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wao ndio wamiliki halali wa CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️, tofauti na hapo hawahusiki na SIASA za aina yoyote iwe ni ndani ya TANZANIA 🇹🇿 au hata nje ya TANZANIA 🇹🇿.
Kwahiyo, MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wameanza kujihami kwa namna hiyo na wanahusika kutatua changamoto za kijamii zinazowakumba MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA na hawahusiki tofauti na hapo.
Nimepata kitu hapo mkuu.
Sasa hivi kuna kampuni mpya ya USAFIRISHAJI WA MAFUTA YA DIZELI, PETROLI NA MAFUTA YA TAA. Hii kampuni inaitwa UNIQUE na ni kampuni ambayo inamilikiwa na moja ya MAJESHI YA TANZANIA 🇹🇿. Kwahiyo sasa hivi SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 inajikita sana kwenye upande wa UWEKEZAJI WA KIUCHUMI, kama ni sehemu mojawapo ya kuimarisha ULINZI NA USALAMA.
Nimepata kitu hapo mkuu.
We jamaa kama n ukwel bas unajua mambo meng sana na ww n mmoja wa simba na chui.Ngoja nikipata muda nitawaonesha takwimu kamili za UCHUMI WA TANZANIA 🇹🇿 na wanaomiliki UCHUMI WA TANZANIA
Ndio! Mimi ni miongoni mwa jamii mojawapo kati SERENGETI yaani CHUI au MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na isitoshe SIASA ZA TANZANIA 🇹🇿 nazifahamu kwa kiasi fulani.We jamaa kama n ukwel bas unajua mambo meng sana na ww n mmoja wa simba na chui.
Na kama n uongo basi unakipaji cha kuufanya uongo kuwa ukweli.
We jamaa kama n ukwel bas unajua mambo meng sana na ww n mmoja wa simba na chui.
Na kama n uongo basi unakipaji cha kuufanya uongo kuwa ukweli.
Ndio! Mimi ni miongoni mwa jamii mojawapo kati SERENGETI yaani CHUI au MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na isitoshe SIASA ZA TANZANIA 🇹🇿 nazifahamu kwa kiasi fulani.
Na huu ndio UKWELI HALISI kuhusu TANZANIA 🇹🇿. Ngoja nikipata muda mzuri kuna kitu nitawaonesha kuhusu UCHUMI WA TANZANIA 🇹🇿 na wanaomiliki huo UCHUMI.
Sasa tena, jaribu kupitia hii VIDEO inayohusu nyimbo iliyotungwa na kuimbwa na JESHI LA POLISI na wahusika waliotokea na kuonekana kwenye hiyo VIDEO.
Hao waliotokea kwenye VIDEO hapo juu, yaani waliovaa mavazi ya RANGI NYEKUNDU ndio MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na hiyo nyimbo imebeba maudhui makubwa sana.
Jaribu tena kuangalia hiyo PICHA hapo juu ambapo RAIS WA RWANDA 🇷🇼, PAUL INGABIRE KAGAME akiwa pamoja na baadhi ya VIONGOZI WA SERIKALI YA RWANDA 🇷🇼. Yule nyuma aliyesimama na aliyevaa mavazi ya RANGI NYEKUNDU anawakilisha jamii ya MWASHITA yaani SIMBA 🦁.
#streetvibes #streetwalk #scaffolding #dailywalk #pedestrian #lenstanzania #lensculturestreet #sidewalker #strorytime #streetbeast #streetlife #500px #streetshooter #flaneur #mashcool #burnmyeye #myspc #tz_dailyshots #genuineburundi🇧🇮 #candidrwanda🇷🇼 #tanzaniatravel🇹🇿
Hiyo JAMII YA SERENGETI yaani CHUI imejijenga kwa kutumia VYOMBO VYA DOLA ndio maana ina mipango, mikakati, maadili na nidhamu ya KIJESHI.Jamii hii inawezaje kuwa na usiri mkubwa muda wote bila kuvuja hovyo hovyo,hakuna vyombo vyovyote vinavohoji?
Hmm! DUNIA ina mambo! Na TANZANIA 🇹🇿 ina maajabu yake! Ni bora usiulize maana kuna mambo mengine ukiyafahamu yatakuumiza kichwa.hakuna mtoto au mtu mmoja wapo ya hii jamii kuropoka hata bahat mbaya.
SERENGETI yaani CHUI ndio wahusika wakuu wa SIASA ZA TANZANIA 🇹🇿 kwa asilimia mia moja [ 100% ] kwa kutumia uwepo wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.yan jamii nzima ipo constant kias hicho kwa usir kama vile ni mtu mmoja kumbe n kundi kubwa.
Uwepo wa SERENGETI yaani CHUI unaweza kuuona na kuutathimini kupitia uwepo wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kuendelea kuwepo madarakani.Wanatumia mbinu gan special?