Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Mkuu tunasubir uendelee hapa.
Alafu mister ability n nan?hii code nimeisahau.
Jaribu kupitia posti za nyuma - MISTER ABILITY ni yule aliyekuwa MENEJA WA USAFIRISHAJI wa SHIRECU kwa mwaka 1992 na baadae alihamia NCU na ndiye aliyetakiwa kuwa WAZIRI MKUU, mwaka 1995 kabla ya kususia TEUZI.

Yaani HAYATI MWALIMU alikuwa tayari ameshapanga safu yake ya uongozi kwa nafasi ya URAIS na UWAZIRI MKUU, lakini baadae MISTER ABILITY alisusia hiyo nafasi kwa sababu yeye ndiye mwenye CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ na baadae hiyo nafasi ya UWAZIRI MKUU ilichukuliwa na MISTER ZERO.

Lakini haikuishia hapo, MISTER CLEAN na MISTER ABILITY waliendelea kushirikiana kwenye kufanya mambo ya KISERIKALI hasa katika kipindi cha UBINAFSISHAJI WA KAMPUNI NA TAASISI ZA KISERIKALI.

Ndio maana CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ kwa kipindi fulani kilikuwa kinaitwa ni CCM - B, ni kutokana na mahusiano kama hayo.

Na huyu MISTER ABILITY ndiye aliyezaa na MKE wa WAZIRI WA MAMBO YA NJE wa awamu ya tatu, kipindi cha MISTER CLEAN na MTOTO aliyezaliwa aliitwa RASHID. Hili JINA LA RASHID ilikuwa ni heshima ya kumuenzi MAKAMU WA RAIS WA KWANZA WA TANZANIA 🇹🇿, Ndugu RASHID MFAUME KAWAWA.

Huyo RASHID anafanana kabisa na kaka yake waliochangia BABA ambaye ndiye aliyekuwa RAIS WA AWAMU YA TANO [ 5 ] WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CoHSS pale UDOM, mwaka 2012/13.

Kwahiyo hawa JAMII ya MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ wana mahusiano mazuri, lakini hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 waligoma kuwa wanachama na wafuasi wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kutokana na SIASA ZA CHAMA TAWALA kuwa ni SIASA ZA HATARI NA VISASI.

Hivyo hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 waliamua kuanzisha vyama vyao vya kisiasa ili kuepuka malumbano na maneno yasiyokuwa na tija.
 
Jaribu kupitia posti za nyuma - MISTER ABILITY ni yule aliyekuwa MENEJA WA USAFIRISHAJI wa SHIRECU kwa mwaka 1992 na baadae alihamia NCU na ndiye aliyetakiwa kuwa WAZIRI MKUU, mwaka 1995 kabla ya kususia TEUZI.

Yaani HAYATI MWALIMU alikuwa tayari ameshapanga safu yake ya uongozi kwa nafasi ya URAIS na UWAZIRI MKUU, lakini baadae MISTER ABILITY alisusia hiyo nafasi kwa sababu yeye ndiye mwenye CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ na baadae hiyo nafasi ya UWAZIRI MKUU ilichukuliwa na MISTER ZERO.

Lakini haikuishia hapo, MISTER CLEAN na MISTER ABILITY waliendelea kushirikiana kwenye kufanya mambo ya KISERIKALI hasa katika kipindi cha UBINAFSISHAJI WA KAMPUNI NA TAASISI ZA KISERIKALI.

Ndio maana CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ kwa kipindi fulani kilikuwa kinaitwa ni CCM - B, ni kutokana na mahusiano kama hayo.

Na huyu MISTER ABILITY ndiye aliyezaa na MKE wa WAZIRI WA MAMBO YA NJE wa awamu ya tatu, kipindi cha MISTER CLEAN na MTOTO aliyezaliwa aliitwa RASHID. Hili JINA LA RASHID ilikuwa ni heshima ya kumuenzi MAKAMU WA RAIS WA KWANZA WA TANZANIA 🇹🇿, Ndugu RASHID MFAUME KAWAWA.

Huyo RASHID anafanana kabisa na kaka yake waliochangia BABA ambaye ndiye aliyekuwa RAIS WA AWAMU YA TANO [ 5 ] WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CoHSS pale UDOM, mwaka 2012/13.

Kwahiyo hawa JAMII ya MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ wana mahusiano mazuri, lakini hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 waligoma kuwa wanachama na wafuasi wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kutokana na SIASA ZA CHAMA TAWALA kuwa ni SIASA ZA HATARI NA VISASI.

Hivyo hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 waliamua kuanzisha vyama vyao vya kisiasa ili kuepuka malumbano na maneno yasiyokuwa na tija.
Sawa mkuu nimwendo wa kuunga ...
 
Sawa mkuu nimwendo wa kuunga ...

IMG_20211220_170707_2~2.jpg

Ngoja nikande mguu kwa kutumia AYURVEDIC, maana jana nilipata majeraha kwenye maungio ya mguu nikiwa nafanya mazoezi ya kucheza mpira. Ila TANZANIA 🇹🇿 kuna MAMBO kweli kweli 😂😂😂

Sasa basi, yule WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA AWAMU YA TATU yaani kwenye kipindi cha MISTER CLEAN na yeye alifanikiwa kupata MTOTO WA KIKE na MKE WA MFANYAKAZI wa SHIRECU.

Baadae yule WAZIRI WA MAMBO YA NJE ndio alikuja kuwa RAIS WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kwa awamu ya nne [ 4 ]. Na baada ya kuingia IKULU, yule RAIS alimteua MME mwenzie kuwa WAZIRI WA KILIMO.

Lakini yule MFANYAKAZI WA SHIRECU alisusia TEUZI na kupelekwa BODI YA KOROSHO, kule MTWARA.

Kwahiyo ilikuwa ni kama desturi ya hawa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU NA WETCU kususia TEUZI za CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, licha ya kuwa na mahusiano mazuri ya KISIASA yaliyochagizwa na MAPATANO YA DAMU na WATOTO wakazaliwa kama sehemu ya UPATANISHO.
 
Waziri wa mambo ya nje hakumaindi kwamba kwa nini mkewe aruke ukuta na RASHID apatikane?


Au mwanamke alikuwa ameshatalakiwa na MR WAZIRI?


Inakuaje kama ni mkewe wa ndoa ajue karuka ukuta na kaleta MIMBA isiyo yake halafu WAZIRI atulie tu?
 
Waziri wa mambo ya nje hakumaindi kwamba kwa nini mkewe aruke ukuta na RASHID apatikane?


Au mwanamke alikuwa ameshatalakiwa na MR WAZIRI?


Inakuaje kama ni mkewe wa ndoa ajue karuka ukuta na kaleta MIMBA isiyo yake halafu WAZIRI atulie tu?
Mambo mengine ni SIRI ZA FAMILIA na hazitakiwi kujadiliwa hadharani. Lakini kwa WANAWAKE wanaojitambua, MWANAUME akitoka na yeye pia anatoka. Hii WASWAHILI wanaita ni NGOMA DROO.

Na kuna NYIMBO ilishatungwa baada ya kufahamika kuwa RASHID ni MTOTO wa BABA mwingine. Ile NYIMBO aliimba RICH MAVOKO inaitwa KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI 😂😂😂



Hii NYIMBO inayokwenda kwa JINA la "UKIWA MJANJA, KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI" ilikuwa inamlenga BWANA YULE ambaye ndiye aliyekuwa WAZIRI WA MAMBO YA NJE kipindi cha AWAMU YA TATU na ilikuwa ni tabia yake ya kuzaa na wake za WATU 😂😂😂

Sasa alivyokuja kupatiwa na yeye, ilibidi atulie! Na MZEE RUKSA akamwambia hivi - "Ukiwa mjanja, kuchapiwa ni SIRI ya ndani" na ndio JINA LA HIYO NYIMBO.
 
Hii ni DER KLASSIKER yaani itakuwa ni mechi kati ya timu ya BAYERN MUNICH na BORUSSIA DORTMUND kwenye muendelezo wa LIGI KUU YA UJERUMANI [emoji629].

Sasa hizi timu zote kwa maana ya BAYERN MUNICH na BORUSSIA DORTMUND ni timu ambazo zinazomilikiwa na SERENGETI yaani CHUI na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881].

#streetvibes #streetwalk #scaffolding #dailywalk #pedestrian #lenstanzania #lensculturestreet #sidewalker #FootballAsItsMeantToBe #DerrKlassiker[emoji629]
We noma
 
Mambo mengine ni SIRI ZA FAMILIA na hazitakiwi kujadiliwa hadharani. Lakini kwa WANAWAKE wanaojitambua, MWANAUME akitoka na yeye pia anatoka. Hii WASWAHILI wanaita ni NGOMA DROO.

Na kuna NYIMBO ilishatungwa baada ya kufahamika kuwa RASHID ni MTOTO wa BABA mwingine. Ile NYIMBO aliimba RICH MAVOKO inaitwa KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI 😂😂😂



Hii NYIMBO inayokwenda kwa JINA la "UKIWA MJANJA, KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI" ilikuwa inamlenga BWANA YULE ambaye ndiye aliyekuwa WAZIRI WA MAMBO YA NJE kipindi cha AWAMU YA TATU na ilikuwa ni tabia yake ya kuzaa na wake za WATU 😂😂😂

Sasa alivyokuja kupatiwa na yeye, ilibidi atulie! Na MZEE RUKSA akamwambia hivi - "Ukiwa mjanja, kuchapiwa ni SIRI ya ndani" na ndio JINA LA HIYO NYIMBO.
 
[ Inaendelea kutoka posti namba 910 ]

Vile vile kwa mwaka 1965, OSCAR SALATHIEL KAMBONA alipishana kauli na HAYATI MWALIMU kwa mara ya kwanza, ni baada ya TANZANIA 🇹🇿 kuwa NCHI ya CHAMA kimoja.

Japo OSCAR SALATHIEL KAMBONA alipitisha hoja kama WAZIRI lakini hakuafiki mabadiliko hayo kwa madai ya kwamba - SERIKALI ikijisahau hakutakuwa na namna ya kuikumbusha na inaweza ikapelekea TANZANIA 🇹🇿 kuwa ni NCHI ya KIDIKTETA.

Baadae tena, mwaka 1967 wakati wa AZIMIO LA ARUSHA - OSCAR SALATHIEL KAMBONA alipingana na HAYATI MWALIMU kwenye suala la UJAMAA. Yeye, yaani OSCAR SALATHIEL KAMBONA alisema hivi - "Ni lazima UJAMAA ujaribiwe kwanza kwa sehemu chache za TANZANIA 🇹🇿 kuona kama unafaa au haufai na baada ya hapo kama utazaa matunda, ndipo UJAMAA utumike kwa nchi nzima".

Baada ya mabishano ya FARAGHA ya muda mrefu baina ya OSCAR SALATHIEL KAMBONA na HAYATI MWALIMU, akisaidiwa na RASHID MFAUME KAWAWA, hilo AZIMIO lilipita bila kupingwa.

Na wakati mwingine OSCAR SALATHIEL KAMBONA alinukuliwa akisema ya kuwa - "RASHID MFAUME KAWAWA anaendeshwa na HAYATI MWALIMU na hana maamuzi yake".

Basi baada ya hapo, OSCAR SALATHIEL KAMBONA alijiuzulu nafasi zake zote za CHAMA na SERIKALI huku akisema kuwa, sababu za kiafya ndio zimepelekea achukue uamuzi huo.


Kuna taarifa zilikuwa zinasema ya kwamba, baada ya kujiuzulu kwa OSCAR SALATHIEL KAMBONA aliambiwa kuwa kuna mpango wa kumkamata na kumtia ndani, hivyo tarehe 26/07/1967 alijikusanya yeye na mkwewe na watoto wake na kuendesha gari mpaka NAIROBI - KENYA 🇰🇪 ambapo alipanda ndege na kuelekea UINGEREZA 🇬🇧.

Lakini pia, kuna taarifa zinazosema kuwa IDARA YA USALAMA WA TAIFA ilikuwa inajua OSCAR SALATHIEL KAMBONA anatoroka, ila ilimwacha aondoke ili kuepusha vurugu.

Huku nyuma kulikuwa na maneno ya kwamba OSCAR SALATHIEL KAMBONA ameondoka na PESA nyingi sana lakini OSCAR SALATHIEL KAMBONA alivyokuwa UINGEREZA 🇬🇧 alikanusha vikali na kuomba SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 iwasiliane na SERIKALI YA KENYA 🇰🇪 ili kupata uhakika lakini SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 haikufanya hivyo.

Kutokana na matukio yale, hotuba ya HAYATI MWALIMU ya mwaka 1969 kwenye sherehe ya SIKU YA MAPINDUZI, OSCAR SALATHIEL KAMBONA alikejeliwa na kuimbwa na WANAFUNZI WA SHULE pamoja na MAJESHI ya NCHI nzima. Nyimbo nyingi za kumkejeli OSCAR SALATHIEL KAMBONA zilitungwa MASHULENI pamoja na MAJESHINI.

Mwaka 1969, OSCAR SALATHIEL KAMBONA na wenzake saba [ 7 ] akiwemo BIBI TITI MOHAMMED walishitakiwa kwa kosa la UHAINI, ikidaiwa walikuwa wamepanga njama za kufanya MAPINDUZI dhidi ya SERIKALI ya HAYATI MWALIMU. Kwenye ile kesi kuna watu ambao walifungwa miaka kumi [ 10 ], wengine walifungwa MAISHA ila OSCAR SALATHIEL KAMBONA kwa sababu hakuwepo TANZANIA 🇹🇿, yeye MAISHA yaliendelea kama kawaida.

Lakini pamoja na haya yote, OSCAR SALATHIEL KAMBONA huwa anafananishwa na MWANASIASA KIJANA kutoka nchi ya KENYA 🇰🇪 aliyekuwa anaitwa TOM MBOYA.



Masaibu, matukio ya kisiasa na mambo waliyoyapitia hawa WANASIASA wawili karibia wote wanafanana.

Na baada ya kuanzishwa kwa MFUMO WA VYAMA VINGI mwaka 1992, OSCAR SALATHIEL KAMBONA alitangaza kurudi TANZANIA 🇹🇿 kwa masharti ya SERIKALI isije ikamkamata.

Baada ya kurudi TANZANIA 🇹🇿, OSCAR SALATHIEL KAMBONA aliitisha mkutano mkubwa wa KISIASA kwenye UWANJA WA JANGWANI - DAR ES SALAAM, ukiwa na malengo ya kuwaeleza WATANZANIA kilichomfanya kuwa mkimbizi na uchafu wa VIONGOZI WAKUBWA WA SERIKALI.

Kwenye ule mkutano alisema HAYATI MWALIMU ni MTUSI wa RWANDA 🇷🇼! RASHID MFAUME KAWAWA na HAYATI BENJAMIN MKAPA ni watu wa MSUMBIJI 🇲🇿 na huku JOHN MALECELA ni MKONGOMANI 🇨🇩.

Pia alidai HAYATI MWALIMU na RASHID MFAUME KAWAWA wameficha PESA nyingi sana ULAYA 🇪🇺. Kwa kuwa OSCAR SALATHIEL KAMBONA alikuwa hana ushahidi, basi watu wengi walimpotezea na umaarufu wake ulianza kupungua tangu siku ile.

Baadae OSCAR SALATHIEL KAMBONA alianzisha CHAMA CHA KISIASA cha TADEA ambacho hakikufanya vizuri KITAIFA. Na kipindi hicho alikuta hii JAMII ya MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale wenyeji wa hii MIKOA MITATU [ 3 ] ya MWANZA, SHINYANGA NA TABORA walikuwa tayari wameshaanza kujijenga KIUCHUMI na KISIASA kupitia CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️.

Mwaka 1997, OSCAR SALATHIEL KAMBONA alifariki dunia nchini UINGEREZA 🇬🇧 na walifuatana na ndugu yake OTIMI SALATHIEL KAMBONA. Huku kwa miaka michache ya baadae mtoto wake wa kwanza, pia alifariki kwa mazingira ya kutatanisha nchini UINGEREZA 🇬🇧. Hali hii ilileta sintofahamu kubwa sana kwa WATANZANIA.

Mwili wa OSCAR SALATHIEL KAMBONA ulirudishwa TANZANIA 🇹🇿 na kupokelewa na aliyekuwa WAZIRI WA MAMBO YA NJE kwa wakati huo na RAIS WA AWAMU YA NNE [ 4 ], Ndugu JAKAYA MRISHO KIKWETE.

Licha ya kuwahi kuwa marafiki wakubwa, HAYATI MWALIMU hakuhudhuria MSIBA wa OSCAR SALATHIEL KAMBONA. [ Itaendelea.. ]

Mkuu tuendelee
 
Mkuu na watu wa kaskazi na siasa zao vipi
KASKAZINI hakuna SIASA ZA KWELI, kule kuna SIASA ZA KIMASILAHI. Yaani WATU WA KASKAZINI wanaangalia MASILAHI yao kwanza! UNAZI WA VYAMA VYA KISIASA baadae.

Ijapokuwa WATU WA KASKAZINI wameamka tangu siku nyingi sana, lakini SERIKALI imefanikiwa kuikamata SIASA YA KASKAZINI kwa asilimia mia moja [ 100% ].

Hauwezi kuamini kuwa - kule KASKAZINI ni AUGUSTINO LYATONGA MREMA pekee yake ndio mwenye CHAMA CHA KISIASA kinachofahamika kwa jina la TANZANIA LABOUR PARTY - TLP ⚙️. Au kwa lugha nyingine tunaweza kusema hivi - TANZANIA LABOUR PARTY - TLP ⚙️ ndio CHAMA CHA KISIASA kinachomilikiwa na RAIA WA KAWAIDA na hakina mafungamano yoyote na VYOMBO VYA DOLA.

images.jpeg

Lakini WENYEVITI WA VYAMA VYA KISIASA wengine ni MAMLUKI na WAHAMIAJI waliohamia MKOA WA KILIMANJARO wakitokea MIKOA YA KAGERA NA RUVUMA. Vile vile VYAMA VYA KISIASA wanavyoongoza ni VYAMA ambavyo vina mahusiano ya moja kwa moja na VYOMBO VYA DOLA.

Kwa lugha nyingine tunaweza kusema hivi - AUGUSTINO LYATONGA MREMA ndio SHUJAA pekee yake aliyekuwa anapambana na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ na hajafanikiwa kwa sababu za KIUCHUMI.

Na ukija ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, WATU ambao wanaifahamu vizuri SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni WATU WA PWANI. Hawa WATU WA PWANI ndio wanaifahamu vizuri SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, licha ya kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kinamilikiwa na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI.

2b59094a62854dae17262efe3ba31fd3.png

WATU WA PWANI ndio wanaonekana kuwa wameshika SIASA ZA NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ na WANUFAIKA WAKUBWA wa SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.

Kwahiyo ukiondoa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁, JAMII nyingine ambayo inafahamu vizuri sana SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni JAMII YA WATU WA PWANI.

ea4665026b77e81e4d6faa2de7c3b275.png

Hawa WATU WA PWANI wapo vizuri sana - iwe ni KIUCHUMI na hata KISIASA! Na wamejijenga kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.

Hawa WATU WA PWANI wana madhara sana kwenye SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ na SIASA ZA KITAIFA kwa ujumla. Hivyo sio WATU WA KUBEZWA hata kidogo!

Kwahiyo kwenye SIASA ZA KITAIFA kuna JAMII TATU ambazo ndio WADAU WAKUU wa SIASA ZA TANZANIA 🇹🇿:

JAMII ya kwanza ni JAMII YA SERENGETI yaani CHUI - hii ni jamii ambayo anatoka HAYATI MWALIMU mwenyewe.

JAMII nyingine ni JAMII YA WATU WA PWANI - hii ni jamii ambayo imetoa wanasiasa wengi sana ndani ya CHAMA TAWALA na wana madhara endapo ikitokea mabadiliko ya kisiasa.

JAMII iliyobaki ni JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 - hii ni jamii ambayo inajumuisha wale waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU. Hawa WATU wanamiliki UCHUMI na wanamiliki VYAMA VYA KISIASA ambavyo vipo "ACTIVE" na vinashiriki chaguzi mbali mbali.

Kwahiyo HALI HALISI YA KISIASA kwa upande wa WATU WA KASKAZINI na TANZANIA 🇹🇿 nzima kwa ujumla wake ndio ipo hivyo.
 
Sawa mkuu ila tutaona ukweli wa ccm kuchukuliwa na hao wasukuma
 
Sawa mkuu ila tutaona ukweli wa ccm kuchukuliwa na hao wasukuma
Hakuna WASUKUMA wa kuchukua CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️. Na hakuna WASUKUMA wenye uwezo wa KISIASA na hata KIUCHUMI ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.

Aliyekuwa anawapa KIBURI hao WASUKUMA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, tayari alishapumzika mbele za haki, kule kwao CHATO 🙏🏽

Hao waliobaki ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni WAHUNI WAHUNI tu, pengine hata 2025 wanaweza wasiwepo na majina yao kukatwa kwenye mchakato wa kupitisha WAGOMBEA WA CHAMA.

Halafu kitu kingine ambacho WATU wengi huwa hawafahamu ni uwepo wa CHARLES MAKONGORO. Huyu MTU huwa ni HATARI sana kuliko hata BABA yake, HAYATI MWALIMU.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikua tunaaminishwa kwamba Mlm Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikua tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kua kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu Nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia baadae sana baada ya kusikia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikua bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikua akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya Kambona mwalimu "angefeli vibaya mno". Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya Nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asinge endelea kua mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona Kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake".
Mwalimu alikua mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine ,chochote kile ambacho kilikua hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikua "viable". Fikiria mtu mmoja tu kaenda Urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwasababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikua "kila kitu"

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo Kambona ndie aliekua sahihi lakini hawakumskiliza. Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho Oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikua "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona.

Haya leo 2021 TZ hii ya leo ndio Kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu za mwalimu nyerere.

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii, natamani watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 wajue habari za huyu shujaaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawa sawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yeye mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huo huo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond !!
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini.
Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani",1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga.
Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!!.

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU( Mwasisi wa TANU).
OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967:
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka:
"Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani,1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!.

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia
View attachment 1983785
Kwa mara ya kwanza namsikia kijana akitoka kwenye box na kuanza kufikiri. Mie ni mmoja ya watu ambao nadhani Nyerere alifanya blunder nyingi ambazo hadi leo bado athari zake watu wanaendelea kuziresolve.

Alikuwa si mtu anaesikia maoni ya mtu mwengine, moja ya mambo ambayo yanaligharimu taifa hili ni huo muungano. Kwa level tulionayo hatuna uwezo wa kuface challenges za union. Kinachobaki ni kila mtu kusubiri siku ya kuuzika. Kama si Nyerere mataifa haya yangetumia fursa na energy kufocus na what really matters into daily lives. Badala yake tunatajadili kero, unajua Zanzibar ingekuwa wapi kama si Nyerere (bila Mapinduzi na Muungano) ?

Jaribu tuu kufikiria vizuri, bila ya siasa na propaganda. Nadhani Zanzibar na Tanganyika zingekuwa mbali sana.
 
Sawa mkuu ila tutaona ukweli wa ccm kuchukuliwa na hao wasukuma

022f98c6a1dd51edb71376bcabeed25f.png

Hao JAMII ya MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU NA WETCU wamejijenga sana KIUCHUMI na ndio wamiliki halali wa kiwanda cha CHAI BORA ☕.

Hiki kiwanda cha CHAI BORA ☕ nilikuwa nimesahau kukiorodhesha kwenye ORODHA YA VIWANDA ambavyo vinamilikiwa na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Na kwa lugha nyingine tunaweza kusema hivi - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU NA WETCU kuanzia cheo cha umeneja na kuendelea, kila mmoja ana UKWASI wa kuanzia shilingi bilioni hamsini za KITANZANIA 🇹🇿 [ 50,000,000,000 ].

Hii inajumuisha wale wote waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA kuanzia mwaka 1984 hadi mwaka 2005.

Sasa kama hao WASUKUMA waliopo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ wanataka kufanya HARAKATI YA KISIASA yaani WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita ni POLITICAL RALLY ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, wanatakiwa kwanza kujipima KIUCHUMI na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kama wapo vizuri KIUCHUMI kuliko JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanaweza kuleta mabadiliko ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️. Lakini hilo sidhani!! Kwa sababu hata JAMII YA WATU WA PWANI pamoja na kuwa na WANASIASA wengi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, bado wanamiliki UCHUMI mdogo kuliko JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kwahiyo hao WASUKUMA waliopo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ wenye nia ya kumiliki CHAMA, sidhani kama malengo yao yatafanikiwa na zaidi wasubiri kupangwa kama MAFUNGU YA NYANYA 🍅🍅🍅...

Kwa sababu sote tunafahamu kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni CHAMA DUME na CHAMA KIKONGWE barani AFRIKA, kufukuza wanachama wake sio KIPAUMBELE chao. Kwahiyo hao WASUKUMA wataendelea kuwepo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ lakini watashikishwa ADABU kama wakina ADAM SAPI MKWAWA na wengine wengine wa kufanana na hao.
 
Hao JAMII ya MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU NA WETCU wamejijenga sana KIUCHUMI na ndio wamiliki halali wa kiwanda cha CHAI BORA ☕.

Hiki kiwanda cha CHAI BORA ☕ nilikuwa nimesahau kukiorodhesha kwenye ORODHA YA VIWANDA ambavyo vinamilikiwa na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Na kwa lugha nyingine tunaweza kusema hivi - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU NA WETCU kuanzia cheo cha umeneja na kuendelea, kila mmoja ana UKWASI wa kuanzia shilingi bilioni hamsini za KITANZANIA 🇹🇿 [ 50,000,000,000 ].

Hii inajumuisha wale wote waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA kuanzia mwaka 1984 hadi mwaka 2005.

Sasa kama hao WASUKUMA waliopo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ wanataka kufanya HARAKATI YA KISIASA yaani WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita ni POLITICAL RALLY ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, wanatakiwa kwanza kujipima KIUCHUMI na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kama wapo vizuri KIUCHUMI kuliko JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanaweza kuleta mabadiliko ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️. Lakini hilo sidhani!! Kwa sababu hata JAMII YA WATU WA PWANI pamoja na kuwa na WANASIASA wengi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, bado wanamiliki UCHUMI mdogo kuliko JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kwahiyo hao WASUKUMA waliopo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ wenye nia ya kumiliki CHAMA, sidhani kama malengo yao yatafanikiwa na zaidi wasubiri kupangwa kama MAFUNGU YA NYANYA 🍅🍅🍅...

Kwa sababu sote tunafahamu kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni CHAMA DUME na CHAMA KIKONGWE barani AFRIKA, kufukuza wanachama wake sio KIPAUMBELE chao. Kwahiyo hao WASUKUMA wataendelea kuwepo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ lakini watashikishwa ADABU kama wakina ADAM SAPI MKWAWA na wengine wengine wa kufanana na hao.
Mkuu jamii ya simba ulisema haipo ccm na haijiusishi na siasa za ccm sasa mbona unasema hao wasukuma wanatakiwa kujipima kama wanawazid simba kiuchum nazan ulitakiwa useme jamii ya rama na siyo simba.
 
Mkuu jamii ya simba ulisema haipo ccm na haijiusishi na siasa za ccm sasa mbona unasema hao wasukuma wanatakiwa kujipima kama wanawazid simba kiuchum nazan ulitakiwa useme jamii ya rama na siyo simba.
Hiyo JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ndio mfano wa jamii ambayo kwa kiasi fulani inaweza kuleta mabadiliko ya KISIASA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, kutokana na UCHUMI ambao inamiliki.

JAMII nyingine ni JAMII YA WATU WA PWANI - hii ni JAMII ambayo ina uwezo mkubwa wa kuleta mabadiliko ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kutokana na kuwa na uwezo mkubwa sana wa KISIASA pamoja na kuwa na uwezo wa KIUCHUMI.

Sasa hizi JAMII MBILI ZA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na PWANI hata ukijumuisha UCHUMI wao kwa pamoja, bado haufikii UCHUMI WA SERENGETI yaani CHUI.

Hiyo JAMII YA SERENGETI yaani CHUI inamiliki UCHUMI mkubwa sana na ndio wenye CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.

Kwahiyo wale WASUKUMA wenye nia ya kuleta mabadiliko ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni angalau wawe na UCHUMI unaofanana au hata kukaribia UCHUMI WA MWASHITA yaani SIMBA 🦁, ndio tutasema kweli hao WASUKUMA wana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.
 
Back
Top Bottom