Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Nakutakia masomo mema, Kazi njema na ufanisi mwema pia.
Du! Nitamiss vingi sana hapa.
Haya MAMBO ya kujenga na kuanzisha CHUO CHA UONGOZI huwa hayaji kwa MICHANGO YA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ au FEDHA kutoka SERIKALI KUU.

Huwa ni JITIHADA BINAFSI za JAMII YA SERENGETI yaani CHUI kupitia kwa familia ya HAYATI MWALIMU mwenyewe kuweza kuenzi, kudumisha na kuendeleza FIKRA ZA HAYATI MWALIMU.

Sasa wengine watauliza MASWALI, kuwa hizo FEDHA za kufanikisha MAMBO yote hayo huwa zinatoka wapi? Jibu ni kuwa - JAMII YA SERENGETI yaani CHUI wamejijenga sana KIUCHUMI na KISIASA, na FEDHA za kufanikisha MAMBO yote hayo huwa wanafanya OUTSOURCING kwenye KAMPUNI ZA KIBIASHARA ambazo zinamilikiwa na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI.
 
Nakutakia masomo mema, Kazi njema na ufanisi mwema pia.
Du! Nitamiss vingi sana hapa.
Asante sana 🙏🏽! Vile vile na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanaelekea huko huko kama wanavyofanya JAMII YA SERENGETI yaani CHUI.

Sema hatua na muda utatofautiana, kwa sababu hawa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ni WAPAMBANAJI na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI ni WATAWALA.

Kwahiyo hawa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wana kazi kubwa sana ya kufanya ili kuweza kutimiza malengo yao, ndio maana wana MAMBO mengi sana.


ca40e042e2c7ee4723285a10249c8112.png


1849d1381b332514cfe95a2c8ca6b623.png


7befc60af14177da4b570fc59e4838a0.png


3a89c1ce616ba412c496ee4ca2f3526e.png




Hawa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wamejikita kwenye SEKTA YA BIASHARA YA USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO na ndio chanzo kikubwa cha mapato yao.

b7370a5d416f5ff5fe4138c9da7ea81d.png


f1440003eaa6006207b2434d91dd12a0.png

Hiyo kwenye PICHA hapo juu ni kampuni ya SIMBA 🦁 inayofanya shughuli za USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO kwa upande wa NCHI ZA KENYA 🇰🇪, UGANDA 🇺🇬, RWANDA 🇷🇼 na SUDANI YA KUSINI 🇸🇸.

Na BIASHARA YA USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO inalipa sana, kwa sababu hawa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanamiliki kampuni yao ya kutengeneza mabasi inayoitwa BANBROS FABRICATORS LIMITED inayopatikana maeneo yanayoitwa MLOLONGO katika JIJI LA NAIROBI, nchini KENYA 🇰🇪.

Hii kampuni ya SIMBA 🦁, zamani ilikuwa TANZANIA 🇹🇿 katika MKOA WA TANGA lakini baada ya kufanikiwa kuhamia KENYA 🇰🇪, baadhi ya VITU NA MAMBO mengine yaliyobaki TANZANIA 🇹🇿, ilianzishwa kampuni nyingine kwa majina ya SIMBA MTOTO na SIMBA LOGISTICS.

6d3db37f32a8cf01d8a38b36bbeb7486.png

Kwahiyo hawa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanafuata NYAYO na MTINDO wa JAMII YA SERENGETI yaani CHUI - sema inakuwa ni kwa njia tofauti, lakini malengo yanakuwa ni yale yale.
 
Mkuu, Charles Mandela!
Nina njaa, Je kuna madini mengine ya kunilisha?
MADINI mengine ni haya - kipindi cha miaka ya tisini [ 1990's ], pale TANGA kulikuwa na kampuni za kibiashara ambazo zinahusika na usafirishaji wa abiria na mizigo.

Kampuni hizo zilikuwa zinaitwa SHAMBALAI, TAWFIQ, RAHA LEO, SHENGENA, TAHMEED, SIMBA 🦁 na ZAFANANA.

Hii kampuni ya ZAFANANA ilikuwa ni kampuni ambayo inamilikiwa na wafanyakazi wa CHAMA CHA USHIRIKA CHA TABORA yaani WETCU.

Na hili jina la ZAFANANA limetokana na KWAYA YA ULYANKULU - TABORA waliyoimba kwenye ALBAMU ya MAPIGANO na nyimbo ilikuwa inaitwa SAFARI YAO WAISRAELI.



Hii kampuni ya ZAFANANA ilikuwa ni kampuni mwenza wa kampuni ya SABENA. Sasa hivi hizi kampuni za SABENA na ZAFANANA zinaonekana kama hazipo TANZANIA 🇹🇿, lakini na wao baada ya kufanikiwa kuhamia KENYA 🇰🇪, walifanikiwa kuanzisha kampuni mpya inayokwenda kwa jina la ENA COACH.

627270d5e4050c4ae1b6787f5d6bca44.png


51c4d016fc1bc38657379d71d657d96e.png

Hii kampuni ya ENA COACH ni kampuni kubwa sana, kwa sababu inahusika na usafirishaji wa abiria na mizigo ndani na nje ya TAIFA LA KENYA 🇰🇪.

fc03b97155fd47376b0c2baef69f270a.png

Na kuna WATU wengi sana walitoka TABORA na kuhamia hii MIKOA YA ARUSHA, KILIMANJARO, TANGA na hatimae waliingia mpaka nchi ya KENYA 🇰🇪.
Hii inajumuisha ile idadi ya watu elfu thelathini [ 30,000,000 ] waliohama kutoka hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na kusambaa nchi zote za MAZIWA MAKUU.

Ni vitu vya kawaida kama unajadili vizuri na kwa kutumia LUGHA YA STAHA 🙏🏽
Halafu kitu kingine ambacho unatakiwa kufahamu kuanzia leo ni kuwa - hili jina la SIMBA MTOTO halijaja tu hivi hivi!! Hili jina la SIMBA MTOTO limetokana na kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa SIMBA MTOTO.

Hii kampuni ya SIMBA MTOTO ni kampuni ambayo inamilikiwa na wakina MANDELA, ndio maana halisi ya jina la MANDELA aka SIMBA MTOTO. Yule MANDELA aliyekuwa RAIS WA AWAMU YA TANO [ 5 ] WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CoHSS, 2012/13.

Hii kampuni ya SIMBA MTOTO inapatikana MKOA WA TANGA na inafanya shughuli zake za kibiashara kati ya MIKOA YA TANGA na DAR ES SALAAM.
Hii kampuni ya SIMBA MTOTO ni kampuni ya siku nyingi sana na ina miaka zaidi ya ishirini [ 20 ]. Kipindi kile kulikuwa kuna kampuni za SHAMBALAI, TAWFIQ, RAHA LEO, SHENGENA, ZAFANANA na TAHMEED. Aah! Kipindi kile TANGA kulikuwa kuna LIGI balaa.. 😁😁
Sasa hii KAULI ya PAUL INGABIRE KAGAME sijui alikuwa anatuma ujumbe kwa nani? Labda inatokana na sababu za kujihami.
Halafu ukiwa pale TANGA au DAR ES SALAAM kuna kampuni ya usafirishaji wa abiria ambayo huwa inaitwa RATCO. Hii kampuni ya RATCO ina mahusiano ya moja kwa moja na kampuni ya usafirishaji wa abiria ya RITCO inayofanya shughuli zake pale RWANDA 🇷🇼.

45eeada823c854b81efdbe296bf040f5.png


9fdb60753319ee7489c021524bf3c5f8.png

Hawa ndio waliokuwa wamiliki halali wa kampuni za usafirishaji wa abiria na mizigo zilizokuwa zinaitwa ZAFANANA na SABENA na ni miongoni mwa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU waliohamia nchini KENYA 🇰🇪.

Hawa wamiliki wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo ya ENA COACH wamewekeza sana nchini KENYA 🇰🇪 na baadhi ya NCHI ZA MAZIWA MAKUU.



Pia na wao wanamiliki kampuni yao ya kutengeneza mabasi na wanafanya vizuri sana kwenye NCHI za MAZIWA MAKUU.
 

Ngoja tumalizie hii POSTI ya MWISHO halafu tufunge MWEZI kwa namna fulani hivi AMAZING, maana wengine WAMESHAPANIKI!

SIASA ni SAYANSI! SIASA ni AJIRA! SIASA ni MAISHA YA KILA SIKU! Wengine wakasome au wakatafute shughuli nyingine za kufanya.

#PombeKamaMaji🍺

Sasa huu UZI wa Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake unaingia hapa kwenye posti namba 1087.

Hii ilikuwa ndio maana yake! Na hakuna dalili zozote za kuinuka kwa AINA YA VIJANA waliondaliwa na HAYATI MAGUFULI.

Kwahiyo VIJANA waliondaliwa na HAYATI MAGUFULI wanafafanishwa na VIJANA AMBAO HAWANA MAADILI kutokana na matukio yaliyokuwa yanafanyika na kuendelea kufanyika dhidi yao.

Na hiyo ndio huwa LUGHA YA KIUONGOZI au WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita ni PRESIDENTIAL LANGUAGE ambayo huwa inatumika kutoa ujumbe mbele ya JAMII.
 
Hahaha kumbe ndo maana ukivamia siasa unakufa kama kuku



Sasa angalia hii VIDEO inayoonesha ZIARA ya RAIS WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 akitembelea KIWANDA CHA SAMANI kinachomilikiwa na JESHI LA MAGEREZA LA TANZANIA 🇹🇿.

Hizo FENICHA zitakazokuwa zinatengenezwa hapo, zitakuwa zinatumika hata kwa RAIA wa kawaida kwa matumizi ya nyumbani na ofisini.

Na JESHI LA MAGEREZA wanaanza kujenga FREMU za kupangisha MADUKA kwa RAIA wa kawaida. Kutakuwa na namna wanafanya kama JESHI, maana hauwezi ukawaona wao kama ASKARI ndio wapangisha FREMU ZA MADUKA lakini kuna namna wanafanya..

Halafu ukipata wasaa mzuri unaweza kutizama pia HOTUBA yote ya RAIS WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 na HOTUBA YA MKUU WA MAJESHI YA MAGEREZA - ndio utaelewa ya kwamba sasa hivi SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 inafanya BIASHARA ZA KIUCHUMI kupitia MAJESHI yake.

Kwahiyo JESHI LA MAGEREZA wameenda mbali zaidi kwenye upande wa uwekezaji na ufanyaji wa BIASHARA na hata kwa upande wa MAJESHI mengine hali hiyo ipo hivyo hivyo.
 


Sasa angalia hii VIDEO ambayo inaonesha mkutano maalamu wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ uliofanyika jana, mjini DODOMA.

4ffa80e324ed123898d941b8eaa96cf5.png


890807a027b7097a6d54123bdd386c99.png


824df878bae958491c37062e11c7b2ac.png

Huu mkutano maalamu wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ulijumuisha wajumbe wote kutoka katika kila halmashauri ya kichama na huwa unagharamiwa na BODI YA WADHAMINI WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM⚒️.

Sasa hiyo BODI YA WADHAMINI WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️huwa inajumuisha kampuni ambazo zinamilikiwa na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI.
 
HAYATI MWALIMU na aliyekuwa Rais wa serikali ya wanafunzi ya CoHSS, mwaka 2012/13 ni Pete na Kidole - hauwezi kuwatofautisha wala kuwatenganisha. Sema HAYATI MWALIMU ni CHUI na yule mwingine ni SIMBA.

Tuachane na hayo! Kila awamu ya kipindi cha Urais kwa nchi ya Tanzania, kiongozi wa nchi - yaani Rais analazimika kuandaa upinzani wake na hii imekuwa ni kama desturi tangu kipindi cha HAYATI MWALIMU.

Sasa kipindi cha HAYATI MWALIMU kulikuwa hakuna mfumo wa vyama vingi, kulikuwa na mfumo wa chama kimoja tu.

Na kipindi ambapo HAYATI MWALIMU anakabidhiwa uhuru kutoka kwa Mwingereza kulikuwa na mshindani wake wa kipindi hicho, alikuwa anajulikana kwa jina la MAKWAIA. Huyu MAKWAIA alikuwa ni CHIFU anayetoka maeneo ya KISHAPU, mkoa wa SHINYANGA.

Huyu CHIFU alikuwa na elimu nzuri sana [ MASTERS ], alipata elimu yake kutoka Uingereza. Familia ya huyu CHIFU ilikuwa na ukwasi wa kutisha na ilikuwa ikiongoza kwa upande wa Afrika ya Mashariki kutokana na biashara ya almasi na biashara ya zao la pamba.

Baada ya HAYATI MWALIMU kupewa nafasi ya kufuatilia uhuru na kufanikisha kupewa uhuru kutoka kwa Mwingereza, wale waliokuwa washindani wake aliwafanya kuwa marafiki na kuwapa nyadhifa mbalimbali serikalini.

Vile vile HAYATI MWALIMU alifanikiwa kuua hizi tawala za kichifu kwa upande wa Tanzania bara kwa kuwapa nafasi serikalini wale waliokuwa na elimu kutoka familia za kichifu.

Lakini ushindani hafifu uliendelea kuwepo na ushindani ulikuja kushika kasi hasa baada ya kuanzishwa kwa vyama vya ushirika.

Kulikuwa na vyama vya ushirika kwa upande wa Tanzania Bara vilivyokuwa vikisimamia mazao ya biashara kwa kila mkoa husika.

Na vyama vya ushirika vilivyokuwa na nguvu ya kiuchumi kwa kipindi hicho, vilikuwa ni vyama vya ushirika kutoka mkoa wa Mwanza [ NCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba, mkoa wa Shinyanga [ SHIRECU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba na mkoa wa Tabora [ WETCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la tumbaku.

Lakini baadae kulikuja kutokea anguko kubwa sana la hivi vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha kutokana na kuwa na wafanyakazi wasiokuwa waaminifu - wizi na ubadhirifu wa mali ya umma ulikithiri, hivyo kupelekea vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha.

Lakini hii yote, kulikuwa na baraka kutoka kwa HAYATI MWALIMU, kwa sababu hivi vyama vya ushirika vilikuwa vinatishia uhai wa CHAMA CHA MAPINDUZI. Kungelitokea vyama vya ushirika vimejiunga na kuunda chama kimoja cha siasa, vingeliweza kukitoa CHAMA CHA MAPINDUZI madarakani kwa sababu ya kupata uungwaji mkono mkubwa sana kutoka kwa vyama vya wafanyakazi pamoja na vyama vya wakulima.

Hivyo basi, wale watumishi wa vyama vya ushirika kutoka mikoa mingine walifikishwa mahakamani kutokana na wizi wa mali ya umma, wengine walifilisiwa na hata kufungwa lakini hawa wafanyakazi wa Chama Cha Ushirika Cha Mwanza [ NCU ], Chama Cha Ushirika Cha Shinyanga [ SHIRECU ] na Chama Cha Ushirika Cha Tabora [ WETCU ] walikuwa huru, sema kuna baadhi yao walifukuzwa kazi bila hata ya kuchukuliwa hatua yoyote. Na hii ilifanyika chini ya uangalizi wa HAYATI MWALIMU mwenyewe.

Hawa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU walikuja kuwa na ukwasi wa kutisha na wengine walikuwa na uchumi mkubwa kuliko hata aliyekuwa kiongozi wao wa kimila, yaani CHIFU MAKWAIA.

Na hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio watanzania weusi wenye uchumi mkubwa mpaka leo hii, ukiondoa wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa wafanyakazi waliofanya ubadhirifu kwenye vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliokuja kuwa washindani wakubwa wa HAYATI MWALIMU kwa miaka iliyosalia kabla ya umauti kumkuta HAYATI MWALIMU. Na hawa ndio wapinzani halali wa CHUI yaani SERENGETI iwe ni kielimu, kiuchumi, kisiasa, kimichezo na burudani.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima. Narudia tena - "Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima".

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo kwa kumiliki viwanda vikubwa vya sukari vya KAGERA SUGAR na MTIBWA SUGAR kwa pamoja. Vile vile hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wameshikilia mazao ya biashara kama pamba, tumbaku na alizeti kwa kumiliki viwanda vya kuchambua na kukamua mafuta ya pamba pamoja na alizeti. Kwa lugha ya Kiingereza wanaita - Ginneries.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo cha ngano kwa kumiliki viwanda vya AZANIA WHEAT FLOUR, MeTL, CAMEL WHEAT FLOUR na PEMBE WHEAT FLOUR.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa viwanda vya SAYONA INDUSTRIES.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha TANGA PHARMACEUTICAL & PLASTICS LTD kinachotengeneza HERBAL PETROLEUM JELLY na mafuta ya kutumia mwilini yanayoitwa VESTLINE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza maziwa freshi kinachoitwa TANGA FRESH kinachopatikana mkoani Tanga.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya mafuta ya kupikia, sabuni za kuogea na kufulia kwa kumiliki viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA.

Tofauti na viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya MURZAH WILMAR EAST AFRICA LIMITED inayotengeneza mafuta ya kupikia ya KORIE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya uagizaji wa mafuta ya petroli, dizeli pamoja na mafuta ya taa kwa kumiliki makampuni ya LAKE OIL, MOIL, PETRO AFRICA, MSN, SIMBA OIL, KILIMANJARO OIL, BIG BON, AFROIL, OILCOM, KOIL, MERU OIL, PRIME FUELS, UKOO PETROLEUM LTD na DALBIT PETROLEUM LTD [ Hizi ni kampuni za usafirishaji wa mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa ], OLYMPIC OIL pamoja na CAMEL OIL.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha SIMBA CEMENT na CAMEL CEMENT kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha MMM STEEL na KIOO INDUSTRY kwa pamoja.

Tofauti na viwanda vya MMM STEEL na KIOO INDUSTRY, hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza rangi kinachoitwa GOLDSTAR PAINTS TANZANIA LIMITED.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya ukandarasi ya NYANZA ROAD pamoja na makampuni mengine yanayoshughulika na madini kama KILIMANJARO MINING na KASCO MINING.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya SIMBA GROUP na SIMBA TRAILERS.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa makampuni yanayotengeneza na kuunganisha mabodi ya mabasi pamoja na malori. Makampuni hayo ni DAR COACH kwa upande wa TANZANIA🇹🇿, BANBROS LTD na MASTER FABRICATORS LTD kwa upande wa KENYA🇰🇪. Hii ndio sababu inayopelekea kushika sekta ya usafirishaji wa abiria na mizigo kwa kipindi kirefu sana.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa benki za DIAMOND TRUST BANK [ DTB ], AKIBA COMMERCIAL BANK [ ACB ] na AZANIA BANK [ AB ] kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya mawasiliano ya TIGO [ Tanzania ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya uchapishaji ya magazeti inayoitwa Mwananchi Communications Limited [ MCL ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza pipi za IVORI kinachopatikana Iringa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wanaomiliki shule nyingi binafsi hapa nchini. Yaani wanamiliki shule nyingi sana kwa upande wa Tanzania bara kuliko hata taasisi za kidini yaani KANISA KATOLIKI, KKKT na ANGLIKANI.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Hoteli ya KEMPINSKI na wana hoteli nyingi sana za kitalii kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mbeya, Iringa, Morogoro, Kigoma na Zanzibar.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, yaani FGBF. Pale FGBF, Askofu Zakaria Kakobe ni mfanyakazi tu kama ilivyo kwa Profesa Ibrahim Lipumba, upande wa CUF.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya michezo hususani mpira wa miguu kwa kumiliki timu kadhaa zinazoshiriki ligi kuu. Timu hizo ni SIMBA SC ya mkoa wa Dar Es Salaam, BIASHARA MARA UNITED ya mkoa wa Mara, COASTAL UNION SC ya mkoa wa Tanga, KAGERA SUGAR FC ya mkoa wa Kagera pamoja na MTIBWA SUGAR FC ya mkoa wa Morogoro. Kuna timu nyingine za daraja la kwanza, daraja la pili na timu zinazoshiriki ligi ya mikoa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kundi la wasanii la Wasafi Classic yaani WCB, kituo cha televisheni pamoja na kituo cha redio. Na ndio hao hao waliokuwa wamiliki halali wa kundi la HipHop la Nako2Nako Soldiers linalopatikana Arusha. Na kuna wasanii wengine wengi tu, ndani na nje ya nchi ya TANZANIA 🇹🇿 kama vile UGANDA 🇺🇬, KENYA 🇰🇪, KONGO 🇨🇩, ZAMBIA 🇿🇲, KAMERUNI 🇨🇲 na AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa vyama vya siasa vya CUF - Chama Cha Wananchi na ACT - Wazalendo.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Chuo Kikuu cha ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY. Kwahiyo, hawa watu sio watu wa mchezo mchezo! Ni watu wanaofahamu nini wanafanya. Hakuna ujanja ujanja wala uhuni uhuni! Elimu ni kipaumbele cha kwanza kwa MWASHITA yaani SIMBA.

Hao ndio SIMBA! Hao ndio SIMBA waliokuwa na baraka zote kutoka kwa HAYATI MWALIMU tangu miaka ya 1984! Au kwa jina lingine wanaitwa MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ]. Wapinzani halisi wa CHUI yaani SERENGETI au kwa jina jingine wanaitwa RAMADHANI au RAMA yaani MARA.

Hawa SIMBA ni tofauti kabisa na hiki kikundi kinachojiita SUKUMA GANG. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa wahuni wahuni tu, tena walionawili kipindi cha Marehemu Rais John Pombe Magufuli. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI wasiokuwa hata na utashi wa kisiasa na wasiokuwa na maono ya kuona mbali. Hii SUKUMA GANG hata uchumi wa kuendesha chama cha kisiasa bado hawana.

Sasa tujiulize maswali mengine, ni kwanini CUF - Chama Cha Wananchi kimepoteza umaarufu ilhali watu walionyuma yake wana uwezo mkubwa kiuchumi? Jibu, ni kuwa hawa SIMBA waliokuwa nyuma ya CUF - Chama Cha Wananchi walipoteza muda mwingi sana kushindana na CHUI kiuchumi, yaani SIMBA na CHUI walikuwa wanashindana sana kuwekeza kiuchumi nje ya nchi.

Lakini sote yatupasa kufahamu kuwa, CHUI ndio mwenye CHAMA CHA MAPINDUZI na ndio mwenye DOLA YA TANZANIA. Kwahiyo kushindana na mwenye dola yataka moyo! Narudia tena - kushindana na mwenye dola yataka moyo! Sio kazi rahisi kama watu wengi wanavyofikiria.

SIMBA kuendelea kushindana na CHUI kuwekeza nje ya nchi kulimfanya kupoteza nafasi ya Chama Kikuu Cha Upinzani bungeni na nafasi yake kuchukuliwa na CHADEMA mwaka 2010 mpaka mwaka 2020. Hawa CHADEMA walipata uungwaji mkono mkubwa sana wa kisiasa kwa mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro na baadhi ya sehemu za Tanzania. Vile vile wenyeji wa hii mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wanajulikana kwa jina la NYATI au kwa jina lingine la utani wanaitwa NYUMBU [ 😁😁😁 ]. Na ndivyo jinsi walivyo!

Katika kuwekeza nje ya nchi, ilifikia hatua CHUI akimiliki Esperance de Tunis ya Tunisia, hawa SIMBA wanamiliki Raja Club de Athletic ya Moroko.

Hawa CHUI wakimiliki AlAhly ya Misri, SIMBA wanamiliki Zamalek ya Misri vile vile.

CHUI akimiliki Asec Mimosas ya Ivory Coast, SIMBA wanamiliki Horoya AC ya Guinea.

CHUI akimiliki Stellenbosch FC ya Afrika ya Kusini, hawa SIMBA wanamiliki Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini vile vile.

SIMBA akimiliki Tout Puissant Englebert Mazembe ya Kongo - Lubumbashi, hawa CHUI wanamiliki Wydad Club de Athletic ya Moroko.

Yaani ni tafrani! Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi yuko hai. Watangulizi wake wakina Ali Hassan Mwinyi, wakina Marehemu Benjamin Mkapa, wakina Mrisho Khalifani, wakina Marehemu John Magufuli na hatimaye Mama Samia Suluhu wote wameshindwa kuidhibiti SIMBA mpaka inakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR.

Lakini huo ndio upinzani alioutengenza na kuuacha HAYATI MWALIMU na ndio unaosumbua mamlaka za kiintelijensia mpaka leo hii, kwa sababu hao ndio wameshika uchumi wa Tanzania, mbali na wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa SIMBA wameenda mbali zaidi hadi kutawala SOKA LA AFRIKA KWA UPANDE WA VILABU. Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa mpaka nje ya mipaka ya TANZANIA. Hawa SIMBA ndio wamiliki halali wa timu ya FC PLATINUM ya ZIMBABWE 🇿🇼, KAIZER CHIEFS ya AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦, NKANA FC ya ZAMBIA 🇿🇲, BIG BULLETS ya MALAWI 🇲🇼, PRIMEIRO DE AGOSTO ya ANGOLA 🇦🇴, ASANTE KOTOKO ya GHANA 🇬🇭, AKWA UNITED ya NAIJERIA 🇳🇬, TP MAZEMBE ya KONGO 🇨🇩, TOWNSHIP ROLLERS ya BOTSWANA 🇧🇼, KARIOBANGI SHARKS ya KENYA 🇰🇪, EXPRESS FC ya UGANDA 🇺🇬, RAYON SPORTS ya RWANDA 🇷🇼, VITAL'O ya BURUNDI 🇧🇮, AL HILAL OMDURMAN ya SUDANI 🇸🇩, AC HOROYA ya GUINEA 🇬🇳, COTONSPORTS ya KAMERUNI 🇨🇲, RAJA CLUB DE ATHLETIC ya MOROKO 🇲🇦, ETOILE SPORTIVE DU SAHEL ya TUNISIA 🇹🇳, ENTENTE SPORTIVE SETIFIENNE [ ES SETIF ] ya ALGERIA 🇩🇿, ZAMALEK ya MISRI 🇪🇬 pamoja na SIMBA SC ya TANZANIA 🇹🇿.

Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa sana hata kwa upande wa nje ya mipaka ya TANZANIA.

Kama ilivyo kwa CHUI au jina lingine SERENGETI kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja. Ndivyo ilivyo kwa upande wa SIMBA au jina lingine wanaitwa MWASHITA kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja.

Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi cha uhai wake, upinzani alioutengenza yeye HAYATI MWALIMU, watangulizi wake wameshindwa kuudhibiti. Na ndio wanaoligharimu taifa mpaka wanakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR. Na wakimaliza DOLA YA ZANZIBAR, hawa SIMBA wanageukia TANZANIA BARA.

IMG_20220410_224950.jpg

Sasa angalia hiyo posti namba 331 ambayo inaonesha timu za mpira wa miguu ambazo zinamilikiwa na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI.

Na hiyo ni ratiba ya MICHUANO YA KLABU BINGWA BARANI AFRIKA kwa hatua ya ROBO FAINALI, zile timu za mpira wa miguu ambazo zinamilikiwa na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI ni AL AHLY ya MISRI 🇪🇬, ES TUNIS ya TUNISIA 🇹🇳 na WYDAD AC ya MOROKO 🇲🇦.

Na timu za mpira wa miguu ambazo zinamilikiwa na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ni RAJA CASABLANCA ya MOROKO 🇲🇦 na ES SETIF ya ALGERIA 🇩🇿.

Hizo ndio timu ambazo zinamilikiwa na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI zilizoingia hatua ya ROBO FAINALI, KLABU BINGWA BARANI AFRIKA.

IMG_20220410_224815.jpg

Kwa upande wa KLABU BINGWA BARANI AFRIKA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO, JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wana timu za mpira wa miguu zipatazo mbili zilizoingia katika hatua ya ROBO FAINALI. Timu hizo ni SIMBA SPORTS CLUB 🦁 ya TANZANIA 🇹🇿 na TOUT PUISSANT ENGLEBERT MAZEMBE ya KONGO 🇨🇩.
 
Sasa angalia hiyo posti namba 331 ambayo inaonesha timu za mpira wa miguu ambazo zinamilikiwa na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI.

Na hiyo ni ratiba ya MICHUANO YA KLABU BINGWA BARANI AFRIKA kwa hatua ya ROBO FAINALI, zile timu za mpira wa miguu ambazo zinamilikiwa na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI ni AL AHLY ya MISRI 🇪🇬, ES TUNIS ya TUNISIA 🇹🇳 na WYDAD AC ya MOROKO 🇲🇦.

Na timu za mpira wa miguu ambazo zinamilikiwa na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ni RAJA CASABLANCA ya MOROKO 🇲🇦 na ES SETIF ya ALGERIA 🇩🇿.

Hizo ndio timu ambazo zinamilikiwa na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI zilizoingia hatua ya ROBO FAINALI, KLABU BINGWA BARANI AFRIKA.

Kwa upande wa KLABU BINGWA BARANI AFRIKA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO, JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wana timu za mpira wa miguu zipatazo mbili zilizoingia katika hatua ya ROBO FAINALI. Timu hizo ni SIMBA SPORTS CLUB 🦁 ya TANZANIA 🇹🇿 na TOUT PUISSANT ENGLEBERT MAZEMBE ya KONGO 🇨🇩.
Na kwenye posti namba 1152, inaonesha ratiba ya KLABU BINGWA BARANI AFRIKA katika hatua ya ROBO FAINALI na kuna timu moja inaitwa MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ] kutoka AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦.

177aab19a8447ddad9c9903fbe0c07bf.png

Hii timu ya MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ] kutoka AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦 inamilikiwa na MISTER CLEAN.

MISTER CLEAN na MISTER ABILITY walitofautiana miezi mitatu katika kununua VILABU VIKONGWE kutoka nchi ya AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦.

MISTER ABILITY alianza kwa kununua timu ya KAIZER CHIEFS na baada ya miezi mitatu, MISTER CLEAN alifanikiwa kununua pia timu ya MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ].

WATU wengi wanafahamu kuwa hiyo timu ya MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ] kutoka AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦 inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU. Lakini UKWELI HALISI ni kwamba - hiyo timu inamilikiwa na MISTER CLEAN na hao MWASHITA yaani SIMBA 🦁 walitumika kama KIVULI cha kufanikisha manunuzi ya timu ya mpira wa miguu inayoitwa MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ].

Huyo MISTER CLEAN ndio mmiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa [...]. Hiyo kampuni makao yake makuu yapo MWANZA, TANZANIA 🇹🇿 na moja ya mabasi yake imeandikwa "OFF-ROAD" pale mbele kwenye kioo, ikiwa na maana ya MAMELODI. Yaani mmiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo ya [...] ndio mmiliki halali wa timu ya mpira wa miguu ya MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ] kutoka AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦.

Vile vile MISTER CLEAN alifanikiwa pakubwa kuwatumia MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU katika kufanya BIASHARA na ndio mmiliki halali wa kampuni inayotengeneza MAFUTA YA KUPIKIA yanayoitwa SUNDROP yanayotokana na MAZAO YA ALIZETI. Hii SUNDROP ikiwa na maana ya SUNDOWNS..

Kwahiyo MISTER CLEAN alifanikiwa pakubwa sana kwa upande wa BIASHARA kutokana na ushirikiano aliokuwa nao na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.
 
Na kwenye posti namba 1152, inaonesha ratiba ya KLABU BINGWA BARANI AFRIKA katika hatua ya ROBO FAINALI na kuna timu moja inaitwa MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ] kutoka AFRIKA YA KUSINI [emoji1221].
Hii timu ya MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ] kutoka AFRIKA YA KUSINI [emoji1221] inamilikiwa na MISTER CLEAN.

MISTER CLEAN na MISTER ABILITY walitofautiana miezi mitatu katika kununua VILABU VIKONGWE kutoka nchi ya AFRIKA YA KUSINI [emoji1221].

MISTER ABILITY alianza kwa kununua timu ya KAIZER CHIEFS na baada ya miezi mitatu, MISTER CLEAN alifanikiwa kununua pia timu ya MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ].

WATU wengi wanafahamu kuwa hiyo timu ya MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ] kutoka AFRIKA YA KUSINI [emoji1221] inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU. Lakini UKWELI HALISI ni kwamba - hiyo timu inamilikiwa na MISTER CLEAN na hao MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] walitumika kama KIVULI cha kufanikisha manunuzi ya timu ya mpira wa miguu inayoitwa MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ].

Huyo MISTER CLEAN ndio mmiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa [...]. Hiyo kampuni makao yake makuu yapo MWANZA, TANZANIA [emoji1241] na moja ya mabasi yake imeandikwa "OFF-ROAD" pale mbele kwenye kioo, ikiwa na maana ya MAMELODI. Yaani mmiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo ya [...] ndio mmiliki halali wa timu ya mpira wa miguu ya MAMELODI SUNDOWNS [ MASANDAWANA ] kutoka AFRIKA YA KUSINI [emoji1221].

Vile vile MISTER CLEAN alifanikiwa pakubwa kuwatumia MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU katika kufanya BIASHARA na ndio mmiliki halali wa kampuni inayotengeneza MAFUTA YA KUPIKIA yanayoitwa SUNDROP yanayotokana na MAZAO YA ALIZETI. Hii SUNDROP ikiwa na maana ya SUNDOWNS..

Kwahiyo MISTER CLEAN alifanikiwa pakubwa sana kwa upande wa BIASHARA kutokana na ushirikiano aliokuwa nao na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.
Ila mambo mengi unayoeleza ni uongo wewe si ulisema Roman abramovich pale Chelsea ni mfanyakazi Tu angalia Sasa kinachotukuta.
 
Ila mambo mengi unayoeleza ni uongo wewe si ulisema Roman abramovich pale Chelsea ni mfanyakazi Tu angalia Sasa kinachotukuta.
Ndio! Kinachowakuta sasa hivi mlikiandaa wenyewe miaka ya nyuma, hakijatokea tu hivi hivi.

WAINGEREZA 🇬🇧 huwa wanasema hivi - "You sow, what you seed". Yaani unavuna ulichokipanda.

Kuna vitu vingi tunaweza kujadili kwa LUGHA YA STAHA, lakini kwa sasa hivi niko na shughuli nafanya.

Kwa upande wa TAIFA LA UINGEREZA 🇬🇧 huwa wana MTINDO WA MAISHA yaani SOCIAL MORAL CONDUCT ambayo huwa ni kama sheria, yaani UNWRITTEN CONSTITUTIONAL LAWS. Sasa ikigundulika kama umekwenda kinyume na UTAMADUNI WA KIINGEREZA 🇬🇧 unachukuliwa hatua kali za kisheria na hicho ndicho kilichomkuta ROMAN ABROMOVICH.
 
Ila mambo mengi unayoeleza ni uongo wewe si ulisema Roman abramovich pale Chelsea ni mfanyakazi Tu angalia Sasa kinachotukuta.
Sasa jaribu kufuatilia hii timu ya BLACKBURN ROVERS FC 🌹 ambayo inashiriki CHAMPIONSHIP nchini UINGEREZA 🇬🇧 na inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.

11c6c16b7ebefd73ce87d262eb0e3a7b.png


24243648fc6d37b0ceabc2a2238568af.png


7d8c009e7110ffa19f04531b624a9a6a.png

Hii timu ya BLACKBURN ROVERS FC 🌹, mmiliki wake anafahamika na amewekeza shughuli za KIUCHUMI na KIBIASHARA nchini UINGEREZA 🇬🇧 kupitia kampuni inayoitwa VENKYS LONDON LIMITED.

IMG_20220422_223138.jpg

Mmiliki halali wa kampuni ya VENKYS LONDON LIMITED ni mmoja wa aliyekuwa mfanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU, na anafahamika kisheria.

Hivi ndivyo TAIFA LA UINGEREZA 🇬🇧 wanavyofanya na hata kwa raia wa kigeni wenye nia ya kuwekeza UINGEREZA 🇬🇧 ni vyema na shuruti kuiga UTAMADUNI WA KIINGEREZA 🇬🇧. Tofauti na hapo, mambo yatakwenda kombo.

Na kiwango cha uwajibikaji kwa upande wa TAIFA LA UINGEREZA 🇬🇧 kipo juu sana, kiasi ambacho SERIKALI YA UINGEREZA 🇬🇧 inatekeleza majukumu yake katika kueleza na kuhalalisha maamuzi yake kwa UMMA na hata kwa raia mmoja mmoja.

TAIFA LA UINGEREZA 🇬🇧 huwa wana uwajibikaji wa kidemokrasia na kujieleza. Huwa hawana JANJA JANJA YA HAPA NA PALE.

Yaani kwa TAIFA LA UINGEREZA 🇬🇧 - WANANCHI wao au WAWAKILISHI wao huwa wana haki ya kuhoji kuhusu jambo fulani na maoni yao kufanyiwa kazi.

Kwahiyo ukiona muwekezaji amefanikiwa kuwekeza shughuli za KIUCHUMI na KIBIASHARA nchini UINGEREZA 🇬🇧, ujue ni msafi kweli kweli.
 



Sasa kwenye hii siku ya SIKUKUU YA MUUNGANO, pata wasaa wa kusikiliza na kutizama kwa makini kabisa mahojiano ya aliyekuwa RAIS MSTAAFU WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿, BENJAMIN WILLIAM MKAPA, alikuwa ni kiongozi hodari sana, mwanadiplomasia, mzungumzaji mzuri na mwandishi wa habari.
 
kwa sisi wengine ambao pamoja na kuwapo na mfumo wa ujamaa kipindi kile bado tulizaliwa katika umasikini na kukulia humo hadi sasa kidogo tunaendelea kupumua.. ingekuwa ubepari umeachiwa ushike hatamu nadhani hali ingekuwa mbaya zaidi katika huduma za kimalazi, kiafya na kielimu na hii ingegharimu watu wengi... Bado mfumo wa ujamaa ulisaidia watanzania wengi sana kufika leo hii hata kwa uzima tu. nchi jirani life standard almost the same ingawa wao waliruhusu mapema ubepari na bado huku tulichowazidi hadi sasa ni umoja na undugu tulionao kama Watanzania. Leo hii ukihamia mtaa fulani kujua kabila la mtu hadi uulizie, hii tu ni tunu kubwa aliyotuachia Baba wa Taifa kuliko hata angeruhusu huo ubepari tukapata maendeleo ya maghorofa mitaani na barabara za lami. Kumbuka kwa kipindi kile Bepari angeachiwa akaanzisha zahanati alikuwa ahishii hapo tu angehujumu na zahanati ya serikali ili afanye biashara na Watanzania hawakuwa na upeo wa ku-control hilo tofauti na sasa hujuma inaweza ikakemewa na wananchi.. Binafsi yangu naona Ubepari umeruhusiwa katika kipindi sahihi ambapo watanzania tuna Upeo kidogo.
#NyerereAtabakiNyerere
 
Back
Top Bottom