Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
WACHOMA UTAMBI walikuwepo tangu uongozi wa AWAMU YA KWANZA na wataendelea kuwepo hata baada ya miaka mingi ijayo.

e29a63f5d02b1bd24bd050efda17ce86.png

WACHOMA UTAMBI wameleta shida kwa WANASIASA, WAFANYABIASHARA na hata wale baadhi ya watu ambao wanakosoa serikali hadharani.

WACHOMA UTAMBI wamejaa kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, huko wataendelea kuwepo ili kumuweka ASKARI kuwa makini hata kwa kile anachokizungumza. Ni hatari sana..

4180cb036d9daa0c4c181eaaa0712328.png

Lakini kwenye kampuni za kibiashara ambazo zinamilikiwa na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA, hao WACHOMA UTAMBI hawapo ndiyo maana imekuwa sehemu salama kwa wamiliki na watumiaji.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Hao WACHOMA UTAMBI walishafanya mambo kwenye moja ya kampuni ya usafirishaji ya abiria pale SHINYANGA kwa kuweka CHUMVI kwenye INJINI, ile gari ilifanya "KNOCKING". Baadae ile kampuni ilikuja kufa yote kwa sababu ambazo hazieleweki.

WACHOMA UTAMBI wanaweza kufanya jambo lolote ambalo linaweza kupelekea umauti. Kwenye kampuni zote ambazo zinamilikiwa na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA huwa hakuna WACHOMA UTAMBI.

bff75fe2d9c549c6cf7aadfb33a8698b.png

Hii kampuni ya EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ni kubwa na huwa inatumika na wageni mashuhuri kutoka MATAIFA mbalimbali duniani.

fedf7f2a8d1c2f93901d05c5ee545373.png

Tofauti na DR JANE GOODALL, pia ilishawahi kutumika na RAIS MSTAAFU WA MAREKANI alipodhuru TANZANIA katika mbuga za uhifadhi wa wanyamapori na MLIMA KILIMANJARO.

_20231119_221523.JPG

WILLIAM [BILL] CLINTON ndiyo mtumiaji mzuri wa EASY TOURS na mara nyingi huwa anatumia kampuni ya EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED kila ambapo huwa anatembelea mbuga za wanyamapori na MLIMA KILIMANJARO.

362689e3b575a76f019cc9c711d1ce5d.png

Sasa hivi, kampuni ya EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ina sifa nzuri kwa MATAIFA YA NJE na inafanya vizuri KIMATAIFA.

53e1535cd5c5efbaa6b6e936f86af4fe.png

Ukiachana na kampuni ya kusafirisha abiria na mizigo inayoitwa EASY COACH, pia hii kampuni ya EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ina mahusiano ya moja kwa moja na kampuni ya inayotengeneza mbolea ya EASY GLO ya KIWANDA CHA OSHO CHEMICALS INDUSTRY.

0776bc3f5e1763306ade5a85cdbd3dff.png

Hiki KIWANDA cha OSHO CHEMICALS INDUSTRY kinatengeneza bidhaa nyingi zinazohusisha MATUMIZI YA KEMIKALI.

0e23f60458e41e04a2e1c15858ea2543.png

OSHO CHEMICALS INDUSTRY ni uwekezaji mkubwa ambao umefanikiwa kuajiri wafanyakazi wengi wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ambao walihamia na kuishi nchini KENYA.

9ea8f11062c51d23b3a4f3d9bc4a5918.png

Hii kampuni ya OSHO CHEMICALS INDUSTRY ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya kutengeneza mbolea ya EASY GLO pamoja na kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa EASY COACH inayopatikana nchini KENYA.

fe63ed75510670c1a029e6bdb2b1d4de.png

Hii kampuni ya OSHO CHEMICALS INDUSTRY ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED inayopatikana ARUSHA, nchini TANZANIA.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Hii kampuni ya OSHO CHEMICALS INDUSTRY ni kubwa na imeajiri WATANZANIA wengi kutoka TANZANIA waliohamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

01cc9b74ebcbd2d4d02c47f9c2f296c8.png

Wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wafanyakazi wa kampuni ya OSHO CHEMICALS INDUSTRY.

3a0e0d9d05bd47c1372fff9408f74374.png
wajueni kuwa mara kwa mara nacheki hizi forums ili kujua watu wanajadili mada gani za kihistoria. Ningefurahi kabisa kukukumbuswha na zile stori za ikulu na Mwalimu Nyerere. ... Kumbukumbu za Joan Wicken zimechapishwa sasa na Mkuki na Nyota (zinaelelewa vizuri katika biografia ya Othman, Kamata, na Shivji) .... Kitabu cha Oscar Kambona kinakuja na James Brennan, mwanahistoria hodari...Na vile swala la Ujamaa ni gumu kabisa, lakini mnaweza kupata kitu kipya na insha mpya kuhusu utunguaji wa Azimio la Arusha: Agency and the Arusha Declaration: Nyerere, NUTA, and Political Discourse in Tanzania, 1966–7 | The Journal of African History | Cambridge Core

Salamu nyingi wenzangu, msijisababisha presha lakini
b9ccf32fa5382913be104eea9cc4b597.png

Ukiachana na wale wenyeji wa asili wa KISHAPU, NTUZU na NYAMWEZI - wale wenyeji wa asili waliobaki wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanamiliki UCHUMI MKUBWA kuliko hata HAYATI MWALIMU.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Hii kampuni ya EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ni kubwa na wanamiliki kampuni zote ambazo "KEY NAME" yake ni EASY.

f8b9209b293e3eb29604d0072f0e1953.png

Wamiliki halali wa kampuni ya EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa EASY BUY AFRICA.

faff8a112eda47a691d53fccf927e8ef.png

Hii kampuni ya EASY BUY AFRICA inajishughulisha na manunuzi ya bidhaa kwa njia ya MTANDAO WA INTANETI na inapatikana TANZANIA, DAR ES SALAAM katika ya mitaa ya OYSTERBAY, ile barabara ya HAILE SELASSIE.

1b88109c5246b365a752297e26669935.png

Pia wanamiliki kampuni inayoitwa EASY GLOW SKINCARE inayopatikana nchini UINGEREZA.

83444f7e4426b4ee6f1b6eb071915916.png

Pia wanamiliki kampuni ya EASY GLOW MAKE - UP inayopatikana nchini AFRIKA YA KUSINI.

88eede962c84f37f6d703bc267ac3364.png

Pia wanamiliki kampuni ya EASY GROW inayopatikana nchini UINGEREZA na imesambaa katika MATAIFA zaidi ya thelathini [30].

ad8f82e736e7045838428a129ca857e3.png

Pia wamiliki halali wa kampuni inayoitwa EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa EASY JET.

9e8b0095228c3e3dcef8e88029931af0.png

Hii kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa EASY JET inapatikana LONDON, nchini UINGEREZA na inafanya vizuri kwa upande wa TAIFA LA UINGEREZA na BARA LA ULAYA kwa ujumla.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
4e8c1b6ebf4630a563a9f7661b636412.png

Wamiliki halali wa kampuni inayoitwa EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa FAST JET.

2b5388d624ea4bf7d4452afbd569fd91.png

Hii kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa FAST JET kipindi fulani iliwahi kufanya shughuli zake kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA kabla ya kuhamia katika MATAIFA YA ZIMBABWE, BOTSWANA na AFRIKA YA KUSINI.

11c14a2a881e968b1c3bfb9ae115ef86.png

Kwahiyo kampuni za usafirishaji za abiria na mizigo zinazoitwa FAST JET, EASY JET pamoja na SPICE JET zote zinamahusiano katika umiliki.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Hao wamiliki halali wa kampuni inayoitwa EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa SHAMBAZUVA TOURISM inayopatikana nchini ZIMBABWE.

IMG_20231123_224113.jpg

Hii kampuni ya SHAMBAZUVA TOURISM inahusika pia na kukodisha magari kwa watalii wanaopenda kutumia magari binafsi.

IMG_20231123_224304.jpg

Hii kampuni ya SHAMBAZUVA TOURISM inafanya vizuri katika SEKTA YA UTALII na imejitahidi kuajiri WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini ZIMBABWE.

IMG_20231123_224205.jpg

Tayari wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wameshaanza kushikilia na kuongoza kampuni zao.

Huyu anaitwa ELLEN na ni "EXECUTIVE ASSISTANT" wa kampuni ya SHAMBAZUVA TOURISM inayopatikana nchini ZIMBABWE na ni MTANZANIA kwa asili ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini ZIMBABWE kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

f575718e4298deb57c9af391411dc0cb.png

Pia malengo kwa kampuni za usafirishaji za abiria na mizigo zinazopatikana nchini KENYA [TAHMEED, MODERN COAST, SIMBA COACH na MASHCOOL] ni kufika hadi MATAIFA YA KUSINI MWA AFRIKA [SADC ROAD LINK].
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Wenzenu wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA baada ya kutokea "ECONOMIC CRISIS" katika TAIFA LA ZIMBABWE, walifanikiwa kununua "VITEGA UCHUMI" vingi vilivyokuwa vinamilikiwa na WAZUNGU.

2d2b651f10b6e1502dac4a3d54c8eca6.png

Wamiliki halali wa kampuni inayoitwa EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa CHENGETA TOURISM.

92c68a6be1f8b8e2e21a0885c4b667f2.png

Hii kampuni ya CHENGETA TOURISM inapatikana katika TAIFA LA ZIMBABWE na inafanya vizuri kwa upande wa UTALII.

76dc4a386824d9e4ee244316035f0b3e.png

Hii kampuni ya CHENGETA TOURISM imeajiri WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini ZIMBABWE.

946dfa1a0df0fe981746208540e3041f.png

Pia wanamiliki HOTELI nyingi sana, hasa HOTELI ya HOLIDAY INN inayopatikana MUTARE, ZIMBABWE.

0afd37551e468c3b6caa6e509dbddcff.png

Hii HOTELI ya HOLIDAY INN inayopatikana nchini ZIMBABWE ina mahusiano ya moja kwa moja na HOLIDAY INN inayopatikana DAR ES SALAAM, nchini TANZANIA.

03c413e218e9058bfea187d76ba9a763.png


ae8847a117bdbb7f9a703395bcd17fed.png

Hii HOLIDAY INN inamilikiwa na wale wanaomiliki kampuni inayoitwa EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED.

c9a48fbb2a583cfb5554fae320ac396b.png

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliyafahamu haya mambo tangu siku nyingi sana na wakaamua kutafuta uchumi na wamefanikiwa kwa zaidi ya asilimia mia moja [100%].
 




Miaka kama saba [7] iliyopita kuna MSANII WA KIMAREKANI anayeitwa CHINGY alitoa NYIMBO moja iliyokuwa inaitwa HOLIDAY INN ikiwa na maana ya HOTELI YA HOLIDAY INN.

ea3719fad85dc8d4468bad3f3c992f7a.png

Hiyo NYIMBO YA HOLIDAY INN ilitamba sana katika ile CHATI YA BILLBOARD TOP 100 YA MAREKANI.

c9a48fbb2a583cfb5554fae320ac396b.png


03c413e218e9058bfea187d76ba9a763.png

Hii kampuni ya HOLIDAY INN ni kampuni kubwa kwa upande wa HOTELI NA MIGAHAWA inayopatikana nchini TANZANIA na imeenea hadi MATAIFA YA AFRIKA, ULAYA, ASIA, AMERIKA YA KASKAZINI pamoja na AMERIKA YA KUSINI.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.

au Ni mental case

PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
Angalia hizi baadhi ya HOTELI ZA HOLIDAY INN ambazo zinapatikana nje ya TANZANIA.

d72928796a36c6f6f332cd10332ef572.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana GRAND CAYMAN.

df9e65a2c96a4d495b18c438095123fb.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana VANUATU.

674e0730fe1538160f85b5748c087a67.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana ISTANBUL.

0ae85ecc26565b40b0ae4a266f0eb8c1.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana KRAKOW CITY CENTRE.

c220b6181f8fe82ab98b2a2390327393.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana MANHATTAN.

ae50aba1968b6836a3bc918d86967457.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana MANCHESTER AIRPORT.

696e76c09a92b6d498d11abd678562b6.png

Hii kampuni ya HOTELI ZA HOLIDAY INN ni wadhamini wa LIGI KUU YA MPIRA WA MIGUU yaani "MAJOR LEAGUE SOCCER" ya MAREKANI.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.​

au Ni mental case

PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
49cd2f181d75fc9f66a8dc3c5db5f268.png


Angalia hizi baadhi ya HOTELI ZA HOLIDAY INN ambazo zinapatikana nje ya TANZANIA.

0bab86c487f1532e5e0dd31fbdc080d6.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana IXTAPA, MEXICO.

51784272bb28e2c784a4e9ea0396f2ec.png

Hii HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana AMSTERDAM, UHOLANZI.

25e4d9f34fe40af6ccd5b7891a49d382.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana FELIPE ANGELES AIRPORT, MEXICO.

19f8db04a0fc1f6054472d4b6f7d44da.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana SAMUI BOPHUT BEACH, THAILAND.

cb53c55ccce5668a6711288ea8cec1e6.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana THE HAGUE, UHOLANZI.

465daf89be929c5a36b71ee577ee5ce2.png
Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana BARCELONA, UHISPANIA.

ba93603d081a555a98402aa24039b74b.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana PARIS, UFARANSA.

5004615985bfe6668d65ed2c4e433974.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana BORDEAUX - MERIGNAC, UFARANSA.

9969139fb9b868068e652f4dd683b029.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana CIUDAD DEL CARMEN, MEXICO.

4111943b9b079f150859c01a072d1917.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana SUNDERLAND, UINGEREZA.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.

au Ni mental case

PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga
emoji2.png
emoji1787.png
1f655a43ea45c6d516aff2aa00e64e63.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana CHICAGO, MAREKANI.

47d48f625a3816083cc87a9d32b70376.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana PORTLAND, MAREKANI.

565c29e96d0ce9dabf347c0cbd45875b.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana PARIS, UFARANSA.

7c3c751d8e0c40328b0a6b36eae33ccc.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana GLENDALE, MAREKANI.

40a02d5311419cfcf0a937e6e8583616.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana VANUATU.

8c4313777e9d347c3e17e06518a64821.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana MLIMA ASCUTNEY, KANADA.

68e9321b10336b47c6f83d1c4c18f547.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana SALZBURG, AUSTRIA.

a4daa3065dbe7991c86e6fc2afbb2680.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana CANMORE, KANADA.

4384cbdee9350f1dfe299395ef4cbed7.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana TLAXCALA, MEXICO.

9fb2fb83c59b5a6e9328046ab5c8823e.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana BELO HORIZONTE SAVASSI, BRAZILI.

67a29b62ce3e459b6463b02cae1da79f.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana BERLIN, UJERUMANI.

6f7edc82f706089230384f19dafbf196.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana ITALIA.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.

au Ni mental case

PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
0b2a762ddf2d3c32afe4df03d919ca68.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana PANAMA.

178548192ea146927071e488ac706d68.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana LOS ANGELES.

f01afa71b9059d48731f36258fb92170.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana CAIRO.

73b6e7a36063e308244f0d3b76aba507.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana MAKATI.

d3b0785866cee52a1decfa4af9c132cb.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana UTAH, JORDAN.

792e52115a87f75799dbaf8ea4e673d4.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana CAIRO.

ef58763ddc90c03347fbd24859515f92.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana MADRID - LAS TABLAS.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.

au Ni mental case

PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
b3d80d128948c09419dca817772ff197.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana WERRIBEE.

71fe5931b82d1c85aa14666057ebc176.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana GOA CANDOLIM.

54613dacee024c95ef07b3257af6e66a.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana GLASGOW.

911232f38eca224be9e430c51804b427.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana LIMA.

216bb5873ae68a9ae93f835becf75e0c.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana LONDON.

28476cb70aa6e06ef01ba1ec12935b8d.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana ZHANGJIAKOU CHONGLI.

34fd52690fa05671b00d1ddf2acdadda.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana PHUKET.

994ab81d9e0afb1989265b03e8673394.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana SAN FRANCISCO - GOLDEN GATEWAY.

9c24269b1eaab9c3b9c775be5f8d7971.png

Hii ni HOTELI YA HOLIDAY INN inayopatikana DAYTONA BEACH OCEANFRONT.


Hii ndiyo sababu iliyopelekea MSANII CHINGY kutunga NYIMBO iliyoitwa HOLIDAY INN, miaka saba [7] iliyopita.

807cccb95b4c8713f9bd84bbb6e8f5ad.png

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamejitahidi kuwekeza sana nje ya nchi.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamewekeza sana katika TAIFA LA ZIMBABWE.

IMG_20231126_101951.jpg

Vile VITEGA UCHUMI vilivyokuwa vinamilikiwa na WAZUNGU walinunua vyote na wanaendelea kuwekeza pamoja na hali ya kiuchumi kuwa siyo nzuri ukilinganisha na miaka ya tisini [1990's].

IMG_20231126_101831.jpg

Wale wamiliki halali wa kampuni inayoitwa EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa SHAMBAZUVA TOURISM inayopatikana nchini ZIMBABWE.

IMG_20231126_101859.jpg

Na wamiliki halali wa kampuni inayoitwa SHAMBAZUVA TOURISM ndiyo wamiliki halali wa VITEGA UCHUMI vyote vinavyopatikana katika BONDE LA HONDE yaani "HONDE VALLEY SIGHTINGS".

IMG_20231126_103029.jpg

Hili BONDE LA HONDE yaani "HONDE VALLEY SIGHTINGS" mwanzoni katika miaka ya tisini [1990's] lilikuwa linamilikiwa na WAZUNGU, lakini baada ya "ECONOMIC CRISIS" waliuza kila kitu kwa WATU WEUSI kutoka TANZANIA.

IMG_20231126_103204.jpg

Hili BONDE LA HONDE yaani "HONDE VALLEY SIGHTINGS" linajumuisha shughuli za UTALII na KILIMO.

IMG_20231126_103217.jpg


IMG_20231126_103658.jpg


IMG_20231126_103949.jpg

KILIMO kinachopatikana katika BONDE LA HONDE yaani "HONDE VALLEY SIGHTINGS" ni KILIMO CHA CHAI.

IMG_20231126_103124.jpg


IMG_20231126_103138.jpg

Pia wanamiliki KIWANDA cha kutengeneza MAJANI YA CHAI ambacho kinapatikana pale pale katika BONDE LA HONDE yaani "HONDE VALLEY SIGHTINGS".

IMG_20231126_103919.jpg

Hiki KIWANDA cha kutengeneza MAJANI YA CHAI kimeajiri WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ambao walihamia nchini ZIMBABWE katika kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

IMG_20231126_103311.jpg

Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanaendelea kuhamia na kuwekeza nchini ZIMBABWE na kumiliki baadhi ya VITEGA UCHUMI vilivyokuwa vinamilikiwa na WAZUNGU.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Wamiliki halali wa kampuni inayoitwa SHAMBAZUVA TOURISM inayopatikana nchini ZIMBABWE ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa TAQWA inayopatikana nchini TANZANIA.

cbb77c9b1d1cb77aaa18988dd13eb760.png

Hii kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa TAQWA ni kampuni ya muda mrefu tangu miaka ya tisini [1990's] na ndiyo kampuni mwenza wa SPIDER.

f1d2335305c329d821897782fb3dfa20.png

Hii kampuni ya TAQWA ilibeba abiria wengi sana waliohamia ZIMBABWE wakitoka katika ile MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

2ff7d8ad41690ca021e5c1e502c1739f.png

Baadae hizi kampuni za TAQWA pamoja na SPIDER zitaanza kutumia magari kutoka BANBROS.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Jaribu kuangalia hawa WASANII kutoka katika TAIFA LA UGANDA ambao wanaitwa KATALEYA & KANDLE.

Hawa wote ni miongoni mwa WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini UGANDA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

58732a80eddae48f90fd9a5bcd9f2834.png

Kwa mara ya kwanza walianza kutumia "RANGI YA ORANGE" badala ya "RANGI YA KIJANI".

9cc033b18428b4860c5d94ad408442e2.png

Sasa hivi wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanatumia "RANGI YA ORANGE" na "RANGI NYEKUNDU" kama RANGI ZA UTAMBULISHO.

acc1c710d128ea93481f4b2f74024716.png

Wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia MATAIFA mbalimbali wanatumia "RANGI YA ORANGE" na "RANGI NYEKUNDU".

4db4d9a5ab6f83c2a3e3430614f5031e.png

Huyu ni mwenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

6705cda6137ba0c22f6b4e67bfeea6f1.png

Huyu pia ni mwenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

3b7a7d36b7fd46cab97e54b191d5fbde.png

Huyu pia ni mwenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

0f04081f552ad659c3a44803d5d0514d.png

Pia "RANGI YA ORANGE" inatumika na kampuni ya kusafirisha abiria ambayo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walikuwa wakiitumia tangu miaka ya tisini [1990's].

ab525ba7c9fe677c35ae8bfb7ff2cca2.png

Pia "RANGI YA ORANGE" inatumika kama SARE YA WAFUNGWA kwa watu ambao watakuwa wameshikiliwa na JESHI LA MAGEREZA.

f92cab9a3caa5e14ee3b188ddb11cfae.png

Sasa wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanatumia "RANGI YA ORANGE" kama ishara ya kupambana na MFUMO WA SERIKALI YA TANZANIA.

0a8e0ad95cd0c9daab3c4734cdf56764.png

Na wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wameonekana kushinda, kwa sababu wanamiliki kampuni binafsi ambazo kwa namna moja ama nyingine wanakuwa ni sehemu ya UCHUMI WA TANZANIA.

IMG_20231127_082011.jpg

Sasa hawa ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini ZIMBABWE kipindi cha miaka ya tisini [1990's] na wanaishi katika BONDE LA HONDE wakionekana kunyanyua kombe kama ikiwa ni sehemu ya ushindi.

IMG_20231127_082005.jpg

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamefanikiwa pakubwa sana katika masuala ya KIUCHUMI na KISIASA, pamoja na kwamba HAYATI MWALIMU alikuwa na madhaifu yake.
 
unataka kusema marehem bosemen ni mtz....acha uongo.
Jaribu kufuatilia TAMASHA LA WAKANDA FESTIVAL ambalo huwa linafanyika PARIS, nchini UFARANSA.

9557fa7ce5d61236fff316fe64491d17.png

Miongoni mwa wanaoshiriki TAMASHA LA WAKANDA FESTIVAL huwa ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia katika MATAIFA mbalimbali.

82e77b5b1b159947e79458a18090667d.png

Huyu huwa ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini BURUNDI kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

Pia huwa anapata fursa ya kushiriki TAMASHA LA WAKANDA FESTIVAL ambalo huwa linafanyika PARIS, nchini UFARANSA.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] pale SHINYANGA MJINI katika MTAA WA NGOKOLO "A" kulikuwa kuna BAA maarufu iliyokuwa inaitwa BIMBO BAR.


Hii BAA ilikuwa maarufu sana na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] walikuwa wanaita majina ya BAA kutokana na kampuni ambazo wanamiliki.

c26f229d6df08a1221348841f75d52b3.png

Na wamiliki halali wa BIMBO BAR ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa BIMBO GROUP inayopatikana MEXICO.

e9afd71c5507c6bec5a16407dced6482.png

Hii kampuni ya BIMBO GROUP ilinunuliwa mwaka 1994 na mmoja wa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU].

f38e1c3a42db9d7b3c0639cf93245f3b.png

Hii kampuni ya BIMBO GROUP imeenea katika MATAIFA 34 ya AMERIKA YA KUSINI, AMERIKA YA KASKAZINI pamoja na ULAYA.

6b75ec7954d694b878770e2ad150dbe3.png

Pia hii kampuni ya BIMBO GROUP ndiyo wadhamini ya timu ya mpira wa miguu ya wanawake ya FC BARCELONA.

53fd8c475b634a89544b2f26d8d0c866.png

Pia huo mtaa wa NGOKOLO "A" ambao palikuwa panapatikana BIMBO BAR ndiyo walipokuwa wanaishi wazazi wake na MSANII anayeitwa BIMBO ADEMOYE kutoka katika TAIFA LA NAIJERIA.

IMG_20231128_191954.jpg

Hilo jina la BIMBO alipewa na wazazi wake kutokana na hiyo BIMBO BAR walipokuwa wakiishi mitaa hiyo kabla ya kuhamia katika TAIFA LA NAIJERIA.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's], pale SHINYANGA MJINI katika MTAA WA NGOKOLO "A" kulikuwa kuna BAA maarufu iliyokuwa inaitwa GOLDEN FLOWER 😁

0471eba8b283e38509a85c0058653977.png

Wamiliki halali wa kampuni inayoitwa GOLDEN TULIP TANZANIA ndiyo waliokuwa wamiliki halali wa BAA inayoitwa GOLDEN FLOWER.

3c3c8ea474278a518eb47f7a60c11181.png

Pia waliokuwa wamiliki halali wa BAA inayoitwa GOLDEN FLOWER ndiyo wamiliki halali wa timu ya mpira wa kikapu inayoshiriki LIGI KUU YA MAREKANI [NBA] inayoitwa GOLDEN STATE WARRIORS.

febd1691a919f2ac1f231a5e7390e1e8.png

Pia pale SHINYANGA MJINI kulikuwa kuna BAA maarufu kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] iliyokuwa inaitwa FRIENDS CORNER.

Na pale DAR ES SALAAM kulikuwa kuna BAA maarufu iliyokuwa inaitwa CORNER BAR. Hawa wamiliki halali wa CORNER BAR ya DAR ES SALAAM, nchini TANZANIA ndiyo wamiliki halali wa CORNER BAR ya NAIROBI, nchini KENYA.

Wamiliki halali wa hizo CORNER BAR mbili [2] ndiyo wamiliki halali wa KUNDI LA MUZIKI linaloitwa NAKO 2 NAKO SOLDIERS [Hili neno la NAKO ni kinyume cha neno KONA] linalopatikana ARUSHA, nchini TANZANIA.


Kwahiyo wale waliokuwa wamiliki halali wa BAA inayoitwa GOLDEN FLOWER iliyokuwa inapatikana SHINYANGA MJINI na wao wanajijenga kuwa ROYAL FAMILY na wanamiliki UCHUMI MKUBWA.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Hata kama wewe ni mwenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA, nenda kwenye kampuni ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] watakupokea vizuri sana.

b4db63c335d8c35aa8d168fb293fec00.png


68e12b80912f347b3b19b1a05453b85a.png

Huyu ni mwenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini MSUMBIJI kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

7f3d96664d52e537b35cdb64f03eaaac.png


dd1de323a7b674303d16828184f1573f.png

Huyu binti anaishi MAPUTO, nchini MSUMBIJI na anafanya kazi katika kampuni ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

3a89c0f5a0f807aeec110bef82113c1f.png


b4ea74e4d92b5a7023736c01a8c95d7c.png

Achana na hawa WANASIASA wa sasa hivi!! Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ndiyo walipaswa kuwa WANASIASA wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

70f9078bdf9558beb87eb3f367f8f67d.png

Wamiliki halali wa kampuni hii ya kusafirisha mafuta ya PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa KADIR TRANS inayopatikana nchini UTURUKI.

5bd22b2069109bdf0212695c12c8f370.png

Hiyo kampuni ya usafirishaji ya mizigo inayopatikana nchini UTURUKI imeenea katika MATAIFA YA ROMANIA, UGIRIKI, BULGARIA, MONTENEGRO, SERBIA, BOSNIA, ALBANIA na KOSOVO.

0ac74191eae592480b0ce815a99da16c.png

Hii kampuni ya usafirishaji ya mizigo ilianzishwa mwaka 2008 na mmoja wa aliyekuwa mfanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU].

fb8180784ff5ac34fc9c12141ca94e69.png


56d68f7d5702461825154d0dad2d5090.png

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wanafanya BIASHARA na watu wa MATAIFA YA MAGHARIBI. Kwahiyo hawawezi kufirisika.
 
Back
Top Bottom