Tanzania yakataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge Selous

Tanzania yakataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge Selous

Hawa UNESCO wa ajabu sana! Wamewaruhusu wenzao kuchimba URANIUM humo humo Selous kwa manufaa yao. Ila sisi tumeomba kuweka chanzo cha umeme wanatukatalia na wanapenda tuendelee kupata tabu ya umeme! Kama wanaona tutaharibu mazingira watutengenezee chanzo cha umeme kama huo hapa hapa nchini ili tuachane na eneo la Selous
 
Mbona wamerekani wanazalisha hewa chafu nyingi na kusababisha global warming halafu hawajakataza

sent by me
 
Tanzania kwanza. Wakati umefika kwa Mama Tanzania kutumia rasilimali alizojaaliwa na Mungu kuwanufaisha sisi Watanzania na kutuletea Maendeleo yenye maisha bora. Wazungu elekezeni huo upuuzi wenu huko kwenu mhangaike na kuokoa na kutunza "Mazingira" ya ushoga na ndoa za jinsia moja.
 
Safi sana meja jenerali

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
hao hao Unesco wapo kimya kuhusiana na Trump kujitoa katika mkataba wa Paris wa maswala ya mazingira ( Hewa ya ukaa)
Wazungu ni wanafiki namba moja na majitu ya ajabu sana katika Ulimwengu huu. Wao ndio Chanzo cha matakataka na maovu yoooote hapa duniani.
 
Kama mtanzania nikiwa na haki kikatiba nimekuwa nikipingana na baadhi ya maamuzi ya Mh Raisi J.P.Magufuli, lakini katika hili namuunga mkonyo kwa asilimia zote. Huwezi prioritize Wanyama wa mwituni dhidi yetu kama ilivyotokea kwa faru John.
 
Serikali kujenga mradi kwenye hifadhi sawa.. Mbowe kuwekeza kilimo hapana...

Hivi sheria za mazingira zinasemaje...wasije wakajenga mradi huo mkuu wa wilaya akaja na kamati ya ulinzi akang'oa mashine zote.

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
jaribu kuwa na akili jombaa

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
HAWA UNESCO BWANA..................

KWANI UJENZI HATA RAMANI IMESHACHORWA???????????????????????????????????
RAMANI ZIKO SIKU NYINGI. NI UTEKEKEZAJI NDIO UMEKYWA WA MANENO ZAIDI. INALETWA MIRADI YA KUTUUA YA KUTUMIA GESI NA DIESEL YA VIWANDANI KAMA IPTL SIELEWI!!!! HUU MRADI UPO SIKU MINGI KABLA HATA RUBADA KUUCHUKUA KAMA MOJAWAPO YA MAJUKUMU PAMOJA NA KUZALUSHA MPUNGA AMBAO UNGETOSHELEZA NCHI NZIMA. ILIKUWA ITUMIE MAJI BADA YA KUZALISHA UMEME YATUMIKE KWA KILIMO CHA KISASA CHA UJWAGILIAJI
 
Ukisikia maajabu ndiyo haya. Wao wameenda kuvuruga shamba ls mboga la Mbowe kwa kisingizio cha mazingira. Leo wao tena wanaingia kuharibu mazingira tena ambayo yanaratibiwa na kutambuliwa kimataifa. Mboga na huo mradi kipi ni hatari zaidi kwa mazingira?

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
nami nasema wasitupangie cha kufanya. mradi huo kama pesa zipo hata kesho waanze ujenzi.

kwa hili naunga mkono juhudi za raisi.
 
Environmental preservation is in our national interest as well.
Sema mradi uendelee tu kwa sababu we need that electricity.
Hakuna mazingira ambayo yanaharibiwa pale kwa sehemu ndogo hiyo ya mradi. Tuache kufikirishwa
 
Huyu faru ajali wanyama wenzake. !!?

Sent from my Lenovo A7600 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom