Tanzania yakataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge Selous

Kwahiyo unatakaje
 
Nashindwa kuelewa humu watu mnafurahia adhari za kimazingira zinazoenda kutokea kutokana na ujenzi huo ndani ya hifadhi.
Isitoshe umeme wa maji kwa karne hizi si umeme tena kutegemea kutokana na mabadiliko ya tabia nchi ulimwenguni.
Gesi tunayo ya kutosha, makaa ya mawe tunayo pia na vyanzo vingine mbadala lukuki.

Nashindwa kuelewa why tunashabikia vitu ambavyo madhara yake ni makubwa zaidi ya faida.

Sent from my Lenovo A7600 using JamiiForums mobile app
 
Hao UNESCO warekebishe sheria zao maana sidhani kama 3% za eneo hilo zikitumika zitakuwa na madhara ukilinganisha na ukubwa wa eneo husika.

Task Force12
Wakati wewe HUDHANI wenzio UNESCO wameaply utaalam na kuona kuna madhara. Tunavyo vyanzo na rasilimali nyingi tu za kutupatia umeme, sioni haja ya kuharibu urithi wa dunia kwa kuwa tu vyerehani vi4 vinatumia stima
 
Hakuna mazingira ambayo yanaharibiwa pale kwa sehemu ndogo hiyo ya mradi. Tuache kufikirishwa
Tatizo watanzania wengi mna vichwa vya panzi. Si majuzi tu serikali hii hii ilituambia umeme utakaotokana na gesi asilia ukianza kuingizwa kwenye grid ya taifa tutakuwa na umeme wa kutosha mpaka mwingine tutaanza wauzia nchi jirani!??? Na umeme wa maji utabaki kuwa historia nchini!!?

Sent from my Lenovo A7600 using JamiiForums mobile app
 
Tusubiri utekelezaji.yasijekuwa maneno ya kusadikika tuu kama alivyokuwa akifanya Vasco da...........

Sent from my Leader Plus using JamiiForums mobile app
Bado tu upo ndotoni?
Hostel za UDSM
Nyumba za makazi magomeni
FLY over ubungo.
Reli ya SGR Dar -Moro
Makinikia
TICTS
ESCROW
Kubadili sheria za madini n.kn.k
Yaani Magufuli akiamua anatekeleza tu
 
Kusema ni moja changamoto ni kitu kingine. Chochote chema kinachofanyika lazima kiungwe mkono.
 

sawa acha tupunguze wanyama tupate umeme wa viwanda vyetu vipya.
Naipenda TZ yangu.
 
Bado tu upo ndotoni?
Hostel za UDSM
Nyumba za makazi magomeni
FLY over ubungo.
Reli ya SGR Dar -Moro
Makinikia
TICTS
ESCROW
Kubadili sheria za madini n.kn.k
Yaani Magufuli akiamua anatekeleza tu

Reli ya SGR ni mpaka MZ siyo Moro, maana wameisha anza kuwabomolea huko Mz South.
Rufiji Stigler Gorger Power Project umeisahau mkuu.
 
Mkuu yaani unafananisha bustani ya mboga ya mbowe na mradi mkubwa wa uzalishaji umeme (H.E.P)?!

Sent from my HUAWEI G510-0200 using JamiiForums mobile app
 
Usichanganye mazingira na mambo ya urithi wa dunia!

Mbowe ametuwekea kitu inaitwa POPs(Persistent Organic Pollutants) kwenye mazingira ni wa kuogopwa kama ukoma.
 
Usichanganye mazingira na mambo ya urithi wa dunia!

Mbowe ametuwekea kitu inaitwa POPs(Persistent Organic Pollutants) kwenye mazingira ni wa kuogopwa kama ukoma.
 
Usichanganye mazingira na mambo ya urithi wa dunia!

Mbowe ametuwekea kitu inaitwa POPs(Persistent Organic Pollutants) kwenye mazingira ni wa kuogopwa kama ukoma.
 
Maamuzi haya nayafananisha na yale ya Lowassa ya kujenga mradi wa maji wa Ziwa Victoria. Maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
hata maamuzi ya richmond vilevile......

Sent from my HUAWEI G510-0200 using JamiiForums mobile app
 
Wao walitaka kujenga viwanda vya nucleur wako mbele kama.....
Leo sisi tunajenga mfumo wa umeme wao wanaleta kihele...
 
kama vipi hao unesco walichukue hilo eneo walipeleke huko kwao.
 
Wakati wewe HUDHANI wenzio UNESCO wameaply utaalam na kuona kuna madhara. Tunavyo vyanzo na rasilimali nyingi tu za kutupatia umeme, sioni haja ya kuharibu urithi wa dunia kwa kuwa tu vyerehani vi4 vinatumia stima
Nchi wana chama wana wivu tu lakini sio mbaya hata wakiitoa tutabaki na 6 zitatutosha maana wamekuwa wakitupigia kelele kwa muda mrefu,ila kuhusu suala hili hamna namna sasa lazima tujitoe kafara maana kiasi cha umeme kinachozalishwa hakitoshi kuendesha hivyo viwonder vya cherehani nne.

Task Force12
 
hivi kati ya tembo wakiopo ktk hifadhi na watanzania nan ana thamani kubwa?

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app

Aliuliza swali mb wa serengeti chadema "mtu akiua tembo fain ni 25 Milion, lakini tembo akiua mtu fidia ya serikali ni 400,000 tsh" ?
jiulize kwanini?
dhahabu ikikutwa kwenye eneo lako ni ya serikali lakini ikiwa bangi ni ya kwako ?
 
Safi kabisa. Kipindi hiki Hatutaki kusikiaga upuuzi eti athari za mazingira na kadhalika. Mradi tunautaka zaidi ya kutunza hayo mazingira tena ni asilimia 3 itakayotumika kwenye mradi. Kwa hiyo UNESCO waanze kujityuni kuzungumzia asilimia 97.
Hivi Mbowe nae kule Moshi ametumia Asilimia Ngapi... hawajaona na kumlalamikia wanataka kuzuia Mto rufiji! UNESCO wakakae KIBITI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…