Tanzania yalipa Fidia ya Tsh. Bilioni 75 kwa kufuta Leseni ya Kampuni ya Madini

Tanzania yalipa Fidia ya Tsh. Bilioni 75 kwa kufuta Leseni ya Kampuni ya Madini

Madudu hayo ya Kabudi na Mruma, maprofesa uchwara wa mwendazake.

Na bado zingine kibao kwa mikataba ya kabudi na mwaruma. Kesi hazijaisha.

Kesi ya ile Watanzania wale waliopelekwa kuitetea Tanzania mlitegemea nini?

Kesi kama zile watu wanaenda kupunguza maumivu, hakuna kushinda lakini Watanzania wale walienda kuongeza maumivu.
 
Madudu hayo ya Kabudi na Mruma, maprofesa uchwara wa mwendazake.

Na bado zingine kibao kwa mikataba ya kabudi na mwaruma. Kesi hazijaisha.

Kesi ya ile Watanzania wale waliopelekwa kuitetea Tanzania mlitegemea nini?

Kesi kama zile watu wanaenda kupunguza maumivu, hakuna kushinda lakini Watanzania wale walienda kuongeza maumivu.
Ndg, Tundu Lissu ajengewe Mnara....
 
Ni mjinga tu anayeweza kudhani hivyo kwa sababu sio yeye aliyeingia mikataba ya ovyo na hakuna rais wa maana anayeweza kuvumilia mikataba ya ovyo ovyo.
Wakati hiyo mikataba yote inaingiwa alikuwa waziri, na watu ambao ni wazalendo wa kweli walipaza sauti kupinga mikataba hiyo ya wizi bila kujali Hadi wawe Marais. Lakini yeye alikaa kimya maana kwake cheo ilikuwa kitu muhimu. Alipoingia akawa na ulevi waadaraka na akaumua kuvunja mikataba hiyo kama alivyovunja hii ya hapa nchini alipokuwa anaogopwa. Matokeo yake ndio haya.

Cc: Etwege
 
Ni mjinga tu anayeweza kudhani hivyo kwa sababu sio yeye aliyeingia mikataba ya ovyo na hakuna rais wa maana anayeweza kuvumilia mikataba ya ovyo ovyo.
Ni mjinga tu anayeamini kuwa unaweza kuvunja mikataba kihuni na ukabaki salama.Aliposhauriwa njia ambayo haitaleta madhara makubwa ya kuvunja hiyo mikataba akaamua kumpiga risasi aliyetoa ushauri huo.
 
Hivi karibuni, tumetaarifiwa kuwa Tanzania ililipa zaidi ya shilingi bilioni 70 kwa kampuni ya winshear gold. Na hii si mara ya kwanza kufanya hivyo. Je ni kwanini wakati tuna wanasheria wabobezi kama akina Kabundi? Je ni dili za CCM kukusanya fedha kwa ajili ya uchaguzi? Mbona kila tukikaribia uchaguzi yanazuka haya madudu? Je wewe unaonaje? Kwa habari zaidi Bonyeza hapa.
 
Mungu nijaalie na mimi nipate kuwa rais wa Tanzania nitaiba kwa hawa mabwege wallahi.

Hawa wananchi kama maiti za kinondoni
 
Naelewa sana sana point Yako na umeandika Kwa uchungu mkubwa sana
Mkuu ukienda vijijini huko chozi la huruma litakutoka kuona muheshimiwa ana VX 50 kwenye msafara wake wakati watu wana shida ya maji na chakula. Hii nchi inataka iletewe Musa atuvushe kama wana wa Israel
 
Mkuu ukienda vijijini huko jozi la huruma litakutoka kuona muheshimiwa ana VX 50 kwenye msafara wake wakati watu wana shida ya maji na chakula. Hii nchi inataka iletewe Musa atuvushe kama wana wa Israel
Musa wa nini wakati wakibanwa wataasi. Shida hazijawabana bado. Omba Mungu shida ziongezeke ili watie akili
 
Kwa sababu una huruma sana. Nillidhani ungesema kuwa ukiwa rais utawauliwa mbali au kuwafunga ikibidi hata kwa kuwachoma moto kwa vile ni mibaka
Mkuu kashindwa kaburu kuwamaliza wazulu ije kuwa mimi sina chuki na watu mimi nataka BoT niweke ukoo wangu tu.

Juzi kuna eneo nilikwenda naambiwa si ruhusa kuingia hilo eneo mmiliki mzungu, hii nchi inauzwa na sisi tumo kama kunguni kwenye godoro
 
Back
Top Bottom