GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Na sidhani kama kuna mtu alishawahi kulalamikia suala la cost. Tatizo kubwa ni urasimu.Cost sio issue sababu analipa anayeomba passport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sidhani kama kuna mtu alishawahi kulalamikia suala la cost. Tatizo kubwa ni urasimu.Cost sio issue sababu analipa anayeomba passport
Zero brainWatanzania tunapaswa kutembea kifua mbele kwa takwimu hizo. Hii inaonesha kuwa nchi yetu ni nzuri ndiyo maana kila mtu qnatamani kubakia hapa hapa nchini.
Diaspora kuwa wengi Ina maana nchi haikaliki, haivutii, haina potential kwa watu wake.
Uhamiaji na NIDA wamekuwa miungu watuWorld Bank wametoa report inayoitwa 'Ratio of persons living abroad to origin country population' ambapo kwenye report hiyo Tanzania inapungufu ya asilimia moja ya raia wake wanaishi nje ya nchi.
View attachment 2667693
Asilimia hizo ni chache kuliko mataifa yote ya nchi za Africa.
Mind you, Tanzania ni nchi pekee yenye wazungumzaji wengi wa Kiswahili.
Je, huu uthibitisho kwamba Kiswahili hakivuki maji? Au ni kwamba watanzania wengi wana mapenzi na nchi yao?
watanzania wengi wanajua kuwa na pasport ni kale ka picha kuonyesha kifua na usoMtu anapozaliwa anapaswa kupewa cheti cha kuzaliwa na passport.
Acha uzuzu tumia fursa tulizojaaliwa na Mungu hapa nchini .Zero brain
Yaah sasa hoja ni kwanini huo ugumu uwepo.... urasimu wa nini wakati mtu unalipia???Cost sio issue sababu analipa anayeomba passport