Tanzania yaongoza Afrika kwa kuwa na asilimia chache ya raia wake ambao ni diaspora

Tanzania yaongoza Afrika kwa kuwa na asilimia chache ya raia wake ambao ni diaspora

Uingereza walijenga nchi Yao kwa kutoka na kwenda kuvuta utajiri wa nchi zingine
Wahindi wametoka na kwenda kuvuna utajri nchi zingine same kwa wachina Wakenya we unaongea masuala ya kifua mbele wakati kupata passport unahisi ni mwenye bahati kupata viza unaona kabisa umewin maisha maana usumbufu wake ni WA hali ya juu sana.
Kwa kiswahili chetu hiki na teknolojia yetu hii ya "umbea na unafiki" mtanzania atavuna utajiri gani nchi za watu?

Nchi haina misingi ya kuandaa watu wake kupenya ktk soko la uchumi wa nje
 
Ni umasikini na ushamba wetu ndiyo unaotusumbua
Uswahili, umbea, unafiki na uzandiki unatufanya tusitoke hata nje. Na tukitoka hatutoboi.

Nitajie mtanzania aliyevuna hela nje hata mmoja mwenye makampuni hapa bongo. Hayupo! (Watakuja na visingizio ooh tunaogopa kuinvest kwasabb ya kukosa uraia pacha)
 
Kwa upande wangu naona watanzania hua ni watu wakulizika na wanachikipata na wakat mwingne watanzania weng hawapendi kusumbuka yan mtu afuatilie ubarozini visa au kadi ya kuishi nje Mwaka watanzania weng ni hawawezi na hawana mda uwo

Lakin pia kuna suala la watu kutoroka wakifika ulaya ila kwa mtanzania ni ngumu kutoroka akifika ulaya ntakupa mfano mtu akijifungua au mwaliko wa kuja kumsalimia ndugu ulaya weng mda wa kuishi ulaya ukiisha kwa watanzania weng wanatabia ya kurudi tz ila kwa wenzetu weng hutoroka na kubakia uko

Tunalalamika roho mbaya kwa waliotangulia inaweza ikawa kwel au pia isiwe kwel sabu nafasi za kwenda ulaya zipo ni suala la kufuatilia ttzo wabongo tunapenda sana kushikwa mkono kwenye kila kitu vtu vingne km unania unafanya mwenyewe ni kutafuta tu vyanzo vya kueleweka na kuaminika bas
Opportunity za kusoma au kufanya kaz ulaya kla sku znatangazwa ila wabongo tuntaka ad tushikwe mikono na watu

Ukifuatilia waafrika weng wanaoishi ulaya na marekan weng ni wazamiaji illegal alien
Kitu ambacho wabongo weng hatuwezi fanya.
Umenda kusoma, kufanya kazi, kusalimu ukimaliza unazamia uko uko wabongo ilo hatuwezi
 
World Bank wametoa report inayoitwa 'Ratio of persons living abroad to origin country population' ambapo kwenye report hiyo Tanzania inapungufu ya asilimia moja ya raia wake wanaishi nje ya nchi.

View attachment 2667693

Asilimia hizo ni chache kuliko mataifa yote ya nchi za Africa.

Mind you, Tanzania ni nchi pekee yenye wazungumzaji wengi wa Kiswahili.

Je, huu uthibitisho kwamba Kiswahili hakivuki maji? Au ni kwamba watanzania wengi wana mapenzi na nchi yao?
Hati ya kusafiria tu kizungumkuti kuipata licha ya kwamba ni chanzo kizuri kabisa cha mapato kwa serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani (uhamiaji) Serikali imewekeza pesa nyingi sana kwenye mfumo mpya wa hati za kusafiria lakini tunaambiwa utoaji wake ni chini ya hati laki mbili (200,000) toka wameanza tena kwa tabu sana hapo
 
World Bank wametoa report inayoitwa 'Ratio of persons living abroad to origin country population' ambapo kwenye report hiyo Tanzania inapungufu ya asilimia moja ya raia wake wanaishi nje ya nchi.

View attachment 2667693

Asilimia hizo ni chache kuliko mataifa yote ya nchi za Africa.

Mind you, Tanzania ni nchi pekee yenye wazungumzaji wengi wa Kiswahili.

Je, huu uthibitisho kwamba Kiswahili hakivuki maji? Au ni kwamba watanzania wengi wana mapenzi na nchi yao?

Labda Tanganyika na sio Zanzibar
 
Na nchi zinazoongoza ni zile zenye machafuko......
Middle east na ukanda wa Red sea, ndio zinaongoza hapo.
Unataka watanzania waondoke wanakimbia nini?
Wanakimbia CCM na mateso yake
 
World Bank wametoa report inayoitwa 'Ratio of persons living abroad to origin country population' ambapo kwenye report hiyo Tanzania inapungufu ya asilimia moja ya raia wake wanaishi nje ya nchi.

View attachment 2667693

Asilimia hizo ni chache kuliko mataifa yote ya nchi za Africa.

Mind you, Tanzania ni nchi pekee yenye wazungumzaji wengi wa Kiswahili.

Je, huu uthibitisho kwamba Kiswahili hakivuki maji? Au ni kwamba watanzania wengi wana mapenzi na nchi yao?
Umekazwa ujamaa na uswahili wa kina Nyerere saa ngapi utapata exposure ya kwenda Nje? Ndio maana Nchi Ina washamba na mbumbumbu wengi.
 
Roho mbaya ya utawala ndo kisa.
Passport tu kuipata mpaka uulizwe tupe letter mfano ya chuo unachoenda. Na chuo unachoomba hawakupi letter wanataka uwape passport number ili waandike letter. Sasa wangapi watatoka?

Chuo wanakuomba maombi yako ili wayafikirie wanataka barua ya TCU kwamba una qualify kusoma hicho ulichoomba, unakimbia TCU kuwaomba barua, wao TCU wanakwambia ili wakuandikie wanataka admission letter ya hicho chuo.
Sio roho mbaya ni madhara ya mfumo wa Kijamaa
 
Watanzania tunapaswa kutembea kifua mbele kwa takwimu hizo. Hii inaonesha kuwa nchi yetu ni nzuri ndiyo maana kila mtu qnatamani kubakia hapa hapa nchini.

Diaspora kuwa wengi Ina maana nchi haikaliki, haivutii, haina potential kwa watu wake.
Ujinga mwingine wa kiwango Cha Ujamaa Sugu 😂😂
 
Kiswahili ni janga Kiswahili ni umaskini.Kukumbatia Kiswahili ni kujichelewesha tu bila sababu ya msingi,hicho Kiswahili utakiongea wapi? Watu wanaogopa kwenda kutafuta fursa nje ya nchi kwa sababu ya lugha huo ndio ukweli.Hata hao tunaosema diaspora wengi wao ni watanzania wenye asili ya Asia,hatuwaoni wenzetu Wakenya,Waganda, Wanigeria nk.Sisi tumekalia eti kiswahili kiswahili. Viongozi wenyewe wanapeleka watoto wao kwenye shule nzuri zinazofundisha kwa kiingereza.Binafsi lugha ya Kiswahili siipendi kabisa,ni umaskini.
Ndio maana nyie Wanyonge na walima mahindi mnalazimisha Watoto wenu wasome Kiswahili harafu Watoto wao wanawasomesha Shule za Kingereza za ndani au Nje ya Nchi 😁😁
 
Watanzania si wajinga, lakini kusafiri kutachangamsha zaidi akili waliyojaliwa na Mungu.

Kumbuka, hata harakati za Waafrika kudai uhuru ziliongezeka zaidi baada ya vita vya dunia. Nini kilichangia kuwa hivyo? Ni Waafrika waliorejea kutoka vitani.

Kutembea na kujumuika na watu wa maeneo mengine huweza kubadilisha mitazamo ya watu katika mambo mbali mbali. Wewe unafikiri ni kwa nini Korea, nchi inayosadikika kuwa ndiyo inayoongoza sasa duniani kwa udikteta inajitahidi sana kuwafungia raia wake ndani ya Korea?

Hata miji yenye maendeleo sana, kumechagizwa na mwingiliano wa watu kutoka maeneo mbali mbali.
Kusafirisha unapanua wigo wa fursa za biashara, connection na Ajira pia exposure ya kujifunza wenzenu wanachofanya na kuja kujifanya vyema zaidi kwako.
 
Kiswahili ni janga Kiswahili ni umaskini.Kukumbatia Kiswahili ni kujichelewesha tu bila sababu ya msingi,hicho Kiswahili utakiongea wapi? Watu wanaogopa kwenda kutafuta fursa nje ya nchi kwa sababu ya lugha huo ndio ukweli.Hata hao tunaosema diaspora wengi wao ni watanzania wenye asili ya Asia,hatuwaoni wenzetu Wakenya,Waganda, Wanigeria nk.Sisi tumekalia eti kiswahili kiswahili. Viongozi wenyewe wanapeleka watoto wao kwenye shule nzuri zinazofundisha kwa kiingereza.Binafsi lugha ya Kiswahili siipendi kabisa,ni umaskini.
humu wanasema mutu akiongea madini apewe mauwa yake.mm nasema upewe maua mukuu umetema manyongo makari ya ukweri.
 
Ujinga mwingine wa kiwango Cha Ujamaa Sugu 😂😂
Shida umeshikiwa akili. Unadhani ukienda nje ndiyo utatoboa. Nonsense!

Unaondoka Tanzania ili uende wapi?
Tanzania imejaa neema tupu hii.
1. Ni nchi ya pili kwa vivutio vya utalii duniani baada ya Brazil.
2. Ni nchi ya pili kwa wingi wa madini Afrika.
3. Ni nchi yenye ardhi kubwa yenye rutuba ya kutosha.
4. Nchi yenye amani mpk ikabatizwa kuwa kisiwa cha amani.

Unataka ukabebe maboksi nje? Hizo akili ama matope?
 
World Bank wametoa report inayoitwa 'Ratio of persons living abroad to origin country population' ambapo kwenye report hiyo Tanzania inapungufu ya asilimia moja ya raia wake wanaishi nje ya nchi.

View attachment 2667693

Asilimia hizo ni chache kuliko mataifa yote ya nchi za Africa.

Mind you, Tanzania ni nchi pekee yenye wazungumzaji wengi wa Kiswahili.

Je, huu uthibitisho kwamba Kiswahili hakivuki maji? Au ni kwamba watanzania wengi wana mapenzi na nchi yao?
Kwa hili nchi ni mseto wa choroko na wali unaosababisha haya. Kuanzia ujamaa ulitufanya kuwa mazezeta, roho mbaya, fitna na majungu na mauchawi, waliotoboa kubania wenzao, elimu mbovu, lugha shida. Hayo tu mkulugenzi.
 
Hati ya kusafiria tu kizungumkuti kuipata licha ya kwamba ni chanzo kizuri kabisa cha mapato kwa serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani (uhamiaji) Serikali imewekeza pesa nyingi sana kwenye mfumo mpya wa hati za kusafiria lakini tunaambiwa utoaji wake ni chini ya hati laki mbili (200,000) toka wameanza tena kwa tabu sana hapo
Kwa mwaka jana tu wametoa PP 136000
 
Tanzania uswahili mwingi na ushamba mzigo

Si unaona dp world tu mtu hata hajui mkataba ulivyo anaukataa na kusema nchi imeuzwa miaka 100
 
Shida umeshikiwa akili. Unadhani ukienda nje ndiyo utatoboa. Nonsense!

Unaondoka Tanzania ili uende wapi?
Tanzania imejaa neema tupu hii.
1. Ni nchi ya pili kwa vivutio vya utalii duniani baada ya Brazil.
2. Ni nchi ya pili kwa wingi wa madini Afrika.
3. Ni nchi yenye ardhi kubwa yenye rutuba ya kutosha.
4. Nchi yenye amani mpk ikabatizwa kuwa kisiwa cha amani.

Unataka ukabebe maboksi nje? Hizo akili ama matope?
Wewe umetoboa?
20230620_204309.jpg
 
Back
Top Bottom