HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Umewahi kamilisha viambatanishi ukanyimwa passport.?Ni kweli kabisa, Passport ni haki ya kila raia ila nchi yetu kuna bureaucracy ya hali ya juu saana kupata hiyo passport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kamilisha viambatanishi ukanyimwa passport.?Ni kweli kabisa, Passport ni haki ya kila raia ila nchi yetu kuna bureaucracy ya hali ya juu saana kupata hiyo passport
Huu ndo ukweli pekee, Watanzania mbali na Uoga, Uthubutu, twasumbuliwa na Elimu mbovu inayosababisha watu washindwe jielezaWoga wa maisha na uthubutu ndio unaotusumbua.
Hakuna anayenyimwa Cheti cha Kuzaliwa.Mtu anapozaliwa anapaswa kupewa cheti cha kuzaliwa na passport.
Mkoloni wetu ni Elimu mbovu, Umasikini,CCMWakoloni weusi wanapenda tuendelee kubakia hapa tusipate akili ili waendelee kutuburuza.
Ila watoto wao wanawapeleka nje kusoma na wao wanakwenda kutibiwa na kufanya shoping.
Ni kweli!Dada wa kazi tu wanawazuia kwenda kutafuta maisha nje kisa wivu tu ili wengi wabakie masikini nchini.
Dada wa kazi omani anakula mshahara mkubwa kuliko msomi wa masters mwajiriwa wa Serikali.
Huwezi taka toka nje ukakwama kisa passport ambayo ukinyoosha shati waipata ndani ya masaa 24Hiyo inaweza ikawa ni sababu mojawapo lakini si kubwa kama inayosababishwa na Serikali.
Passport! Kwa namna tu inavyobana passport, ni rahisi watu wengi kutokufikiria kutoka nje ya mipaka yao.
Serikali inahusika pakubwa sana na hayo.
Apewe passport ili iweje kwamba watoto wote wanasafiri?Ilipaswa kila anayezaliwa apewe passport bila maswali kama ya kipolice. Kupata passport Tanzania ni changamoto sana
Watanzania bado tuna ujinga kichwani.Ndo maana watu waliambiwa Kamala Harris anakuja kuwalazimisha waingiliane wanaume Kwa wanaume wakaandaa Hadi maandamano... little exposure ni ugonjwa mbaya Sana..
Hadi maandamano ya kupinga Dpworld kisa Wengi wanaamini waarabu wanakuja kueneza dini...
Ongeza na kuua Albino na wazee wenye macho mekundu
Duuuh hatariii tupuu.Na inawezekana sababu kubwa ni kwa vile wenye dhamana hawana exposure. Wanaamini wanajua kuliko wengine kumbe...
Wewe ni MUONGOJuzi nimeenda Makao Makuu Kurasini ni patupu waombaji hata 10 hawafiki tofauti na zamani watu walikuwa wanajazana.
Haki ya kupata cheti cha kuazaliwa kwa haraka ilitakiwa iende sambamba na haki ya kupata passport kwa haraka ndio hoja yanguHakuna anayenyimwa Cheti cha Kuzaliwa.
Kinapatikana kwa 3500 tu
Ulishaenda omba PP wakakunyima?Nakukatalia,waache ujinga kubana passport watu tuzurure duniani
Wakenya wanajiongeza na lugha inawasaidiaKenya nje kitambo sana hakuna nchi haina Mkenya anabeba box Duniani nenda hata Cyprus, Malta,Kiribati, Chechnya,nk kwa mwaka wanatuma pesa nyingi sana nyumbani kuboost uchumi wa Kenya.
Wewe ulishafata passport ukakosa?Haki ya kupata cheti cha kuazaliwa kwa haraka ilitakiwa iende sambamba na haki ya kupata passport kwa haraka ndio hoja yangu
Walinisumbua sanaWewe ulishafata passport ukakosa?
Kama ndiyo, sababu zipi?
Ulisumbuliwa sababu hukukamilisha vinavyohitajika.Walinisumbua sana
Hatushoboki au ugumu wa kwenda hizo nchi za watu tunaowekewa na waTanzania wenzetu ndo unafanya tutulize fuvu?I'm proud of my country,japo hatupo exposed na hatuna elimu sana ila hua nakubaliana kua most of the times ignorance is bliss. Ujinga wetu ni faida sana kwetu.
Watanzania ni watu flani hivi maskini jeuri and I proud of that. Japo hatuna pesa ila hatushoboki Kwa watu,pia hatupendi kulia Lia njaa.
Ndiyo, ukinyoosha shati, karibia kila kitu kinawezekana Tanzania.Huwezi taka toka nje ukakwama kisa passport ambayo ukinyoosha shati waipata ndani ya masaa 24