Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Wanavyouliza maswali sasa, utazani wao ndiyo wanahati milikiRoho mbaya ya utawala ndo kisa.
Passport tu kuipata mpaka uulizwe tupe letter mfano ya chuo unachoenda. Na chuo unachoomba hawakupi letter wanataka uwape passport number ili waandike letter. Sasa wangapi watatoka?
Chuo wanakuomba maombi yako ili wayafikirie wanataka barua ya TCU kwamba una qualify kusoma hicho ulichoomba, unakimbia TCU kuwaomba barua, wao TCU wanakwambia ili wakuandikie wanataka admission letter ya hicho chuo.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app