Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watanzania sio kwamba hawataki kutoka nje ya nchi? Serikali ndio tatizo. Imagine mpaka leo kupata passport ni ishu kubwa sana ambayo hadi uipate kuna urasimu ndani yake?World Bank wametoa report inayoitwa 'Ratio of persons living abroad to origin country population' ambapo kwenye report hiyo Tanzania inapungufu ya asilimia moja ya raia wake wanaishi nje ya nchi.
View attachment 2667693
Asilimia hizo ni chache kuliko mataifa yote ya nchi za Africa.
Mind you, Tanzania ni nchi pekee yenye wazungumzaji wengi wa Kiswahili.
Je, huu uthibitisho kwamba Kiswahili hakivuki maji? Au ni kwamba watanzania wengi wana mapenzi na nchi yao?
Dah ! Nimecheka sanaRoho mbaya ya utawala ndo kisa.
Passport tu kuipata mpaka uulizwe tupe letter mfano ya chuo unachoenda. Na chuo unachoomba hawakupi letter wanataka uwape passport number ili waandike letter. Sasa wangapi watatoka?
Chuo wanakuomba maombi yako ili wayafikirie wanataka barua ya TCU kwamba una qualify kusoma hicho ulichoomba, unakimbia TCU kuwaomba barua, wao TCU wanakwambia ili wakuandikie wanataka admission letter ya hicho chuo.
Hizi zote ni mbinu za kiutawala kuwafanya raia wake wasitoke nje ili wasiwe na exposure ambayo wakirudi bongo ule ujinga ujinga wa kina mwiguli wataukataa..Roho mbaya ya utawala ndo kisa.
Passport tu kuipata mpaka uulizwe tupe letter mfano ya chuo unachoenda. Na chuo unachoomba hawakupi letter wanataka uwape passport number ili waandike letter. Sasa wangapi watatoka?
Chuo wanakuomba maombi yako ili wayafikirie wanataka barua ya TCU kwamba una qualify kusoma hicho ulichoomba, unakimbia TCU kuwaomba barua, wao TCU wanakwambia ili wakuandikie wanataka admission letter ya hicho chuo.
Pengine! Vinginevyo, watawala wasingeweka urasimu mkubwa kwenye utoaji wa passport. Wanajua kuwa hata zikitolewa mbili tu kwa mwaka mzima hakuna atakayewahoji.Woga wa maisha na uthubutu ndio unaotusumbua.
Roho mbaya tu anayetangulia hataki wengine wafike huko
Kwa hiyo unataka kusema ni urasimu na kukosekana kwa pasi ndio maana Watanzania ni wachache kwenye Diaspora?Ni kweli kabisa, Passport ni haki ya kila raia ila nchi yetu kuna bureaucracy ya hali ya juu saana kupata hiyo passport
Haijalishi kila mtu atadadavua ripoti hiyo kwa namna yake, unaonekana ripoti imekukasirisha kuona Watanzania sio wengi kwenye Diaspora kana kwamba ni kitu kibaya au? AikambeeHii ipo kwa watanzania tu sijui kwanini
Labda kuna tatizo la inferiority complex. Mtu mwenye hilo tatizo la Kisaikolojia hujisikia fahari yeye kuonekana juu huku wengine wakiwa chini. Hapendi mtu mwingine afanikiwe kama yeye.Hii ipo kwa watanzania tu sijui kwanini
Ndio akili za watanzania hizi.Watanzania tunapaswa kutembea kifua mbele kwa takwimu hizo. Hii inaonesha kuwa nchi yetu ni nzuri ndiyo maana kila mtu wnatamani kubakia hapa hapa nchini.
Diaspora kuwa wengi Ina maana nchi haikaliki, haivutii, haina potential kwa watu wake.
Kwa taarifa iliyotolewa, hata Botswana imeipita Tanzania. Utailinganisha Tanzania na Botswana katika suala zima la fursa?That's a good thing.... in so far as Tanzania has to offer not so good when it comes to exposure....
Jiulize nchi kama UK ingekuwa na good weather na mazingira mazuri yenye marashi ya mimea na maliasili unadhani kuna mtu angetoka kwenye kisiwa chao ?
Migration nyingi apart from economical nyingine ni political... niambie hizo nchi zinazoongoza takwambia kwanini ?
Anyway apart from uongozi mbovu Tanzania still has a lot to offer you can squeeze opportunities here and there.... Just turn a blind eye kwa upuuzi wa hapa na pale....
Si kweliRoho mbaya ya utawala ndo kisa.
Passport tu kuipata mpaka uulizwe tupe letter mfano ya chuo unachoenda. Na chuo unachoomba hawakupi letter wanataka uwape passport number ili waandike letter. Sasa wangapi watatoka?
Chuo wanakuomba maombi yako ili wayafikirie wanataka barua ya TCU kwamba una qualify kusoma hicho ulichoomba, unakimbia TCU kuwaomba barua, wao TCU wanakwambia ili wakuandikie wanataka admission letter ya hicho chuo.
Halafu ukiwaambia unaenda kutembea, watakuambia uwapelekee bank statement utadhani kama huna hela ya kutosha watakuongezea. Maswali mengine yanahalalisha kushuku uwezo wa kufikiri wa baadhi ya watu waliopewa dhamana.Sasa hv hata ukienda uhamiaji kutafuta passport unaulizwa unakwenda nje kufanya nini!?
Naomba nikurekebishe kidogo mkuu japo Mimi si Mwalimu wako. Mimi siko hivyo, naamini na wewe pia. Ungesema, "baadhi ya Watanganyika". Sina uhakika kama na Wazanzibar nao wako hivyo.Ndio akili za watanzania hizi.
Hiyo inaweza ikawa ni sababu mojawapo lakini si kubwa kama inayosababishwa na Serikali.Mchawi ni kiswahili kiswahili, naendaje Marekani au Ulaya.Kubishana masuala ya Simba na yanga kwa kiswahili kuna raha yake sheikh
Laiti nusu ya Watanzania wangeenda kuishi ughaibuni alau kwa miaka mitatu tu kisha wakarejea nyumbani, kungewasaidia sana katika kuboresha uwezo wao wa kufikiri. Naamini, ingelikuwa hivyo, hata watawala wasingekuwa wepesi kuwadanganya kirahisi rahisi.Na nchi zinazoongoza ni zile zenye machafuko......
Middle east na ukanda wa Red sea, ndio zinaongoza hapo.
Unataka watanzania waondoke wanakimbia nini?
Roho mbaya ya utawala ndo kisa.
Passport tu kuipata mpaka uulizwe tupe letter mfano ya chuo unachoenda. Na chuo unachoomba hawakupi letter wanataka uwape passport number ili waandike letter. Sasa wangapi watatoka?
Chuo wanakuomba maombi yako ili wayafikirie wanataka barua ya TCU kwamba una qualify kusoma hicho ulichoomba, unakimbia TCU kuwaomba barua, wao TCU wanakwambia ili wakuandikie wanataka admission letter ya hicho chuo.