Mimi napinga! Sijapiga hiyo kura kabisa.My Take
Tanzania imeendelea kutuma ujumbe Kwa Mabeberu hasa USA kwamba hatupangiwi na hatuchaguliwi rafiki.
Hongera sana Rais #SSH# Kwa msimamo thabiti.
View: https://www.instagram.com/p/DAIhcW4IJKI/?igsh=MXczZTFyNTc0eWxqbw==
Kigeni kipi hapo? Au kwako ni mashikolo magene?My Take
Tanzania imeendelea kutuma ujumbe Kwa Mabeberu hasa USA kwamba hatupangiwi na hatuchaguliwi rafiki.
Hongera sana Rais #SSH# Kwa msimamo thabiti.
View: https://www.instagram.com/p/DAIhcW4IJKI/?igsh=MXczZTFyNTc0eWxqbw==
Acha ulongo, abstaining iliyofanya Tanzania ni lile swala la Russia na UkraineMaazimia ya miaka ya karibuni tulikiwa tuna absteen ila Sasa tumeamua kuwa wawazi.
Misaada haiwezi kutuamulia Cha kufanya.
Ungebahatika kuwa na utimamu kipindi UKIMWI unawateketeza watabzania huku nguvu kazi zikiwa vitandani na wanajeshi wenu wakiongoza kwa maambukizi wakiwa hoi hawajiwezi na hata nchi haijiwezi usingeandika haya.Sio kweli,vimisasda Vyao havibebi hatima ya maisha yetu.
Hivi vitabu wakati mwingine vimebeba akili za watu jumla.Mwanzo 12
3 nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
Israeli hawatishiki.. Mungu ilinde Israel.Thinking outside the box, kila mwanachama alieunga mkono azimio la kuisupport Palestine ina maana si rafiki tena wa Israel na itakuwa na athari katika mahusiano, biashara, utalii na mengineyo, mf Turkey wameondoa biashara ya chakula cha billions of money walichokuwa wakiuza Israel.
Hii ina maana pia raia wa Israel hawako salama tena kutembelea nchi zinazounga mkono Palestine. Israel inakuwa kisiwa kilichotengwa na sehemu kubwa ya dunia. Ni kitu kibaya sana kwa raia wake hawana amani tena.
Kuna nchi za ulaya kama Norway, Spain na Ireland tayari hazina tena ujamaa na Israel na hii si kitu kizuri kwa maslahi ya Israel.
Athari ni kubwa kuliko many people think.
Ndio maana mwenendo wa nchi hii ni kama tumelaaniwa.Mwanzo 12
3 nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
Wenye kujitambua huwa wanakwepa hizi kura kwa ku abstain. It iis a wise tactic move, if you want to stay neutral wasijue umelalia wapi. Hii fuata mkumbo itakuja kutugharimu. Nchi zenye kujua manufaa ya kuwa karibu na Israel kama Rwanda ili wanufaike na Technology zao, huwezi kuona wanajihusisha na hizi agenda za magaidi za kutaka kuliangamiza Taifa la Mungu.Hizi kura za kujua nchi fulani imempigia kura fulani mtakuja kuufyata
Angalau Nyerere alikuwa anajulikana kama mwana ukombozi bila ya kujali rangi itikadi, wala dini. Kwa sasa motives ni different kwenye siasa zetu za nje.Ya nyumbani yanamshinda, Israel iliyo km nyingi mashariki huko inamhusu nini? Kwanza anatofautianaje na mzee Nyerere aliyeiunga mkono palestina?
Na wala hiyo Kura haiwakilishi maoni au mwelekeo wetu sote watanzania. Ni maoni ya uongozi tu siyo ya wtanzania. Ilitakiwa wananchi tuhusishwe kupitia wawakilshi wetu Bungeni watoe maoni yanaokisi maoni ya wananchi kuhusu suala kama hilo. Kule US Balozi wao pale UN akija kupiga Kura kwenye masuala tata kama hayo, anakuwa ameishspokea maelekezo yanayoakisi maoni ya waliowengi kwao.Mimi napinga! Sijapiga hiyo kura kabisa.
At least 60% watakuwa hatarini .Acha utani ndg. Misaada ya arv ikikomeshwa unadhani makada wa lumumba watakuwa salama.
Plus France . hizo ndizo zinaunda Wajumbe 5 wa Kudumu wa Balaza la Usalama la Umoja wa Mataifa ( UN Security Council) na Kura zao Ni za Veto.UN council wana nchi ambazo kura zao zina power US,Russia,China,UK. Hizo nchi ndio kura zao zinaangaliwa zaidi
Wengine mnasindikiza tu hapo. La pili huwez tuma ujumbe kwa beberu bado unapokea misaada, huyo huyo anakupa na mikopo yenye masharti.
punguza bakuli
Kwa sababu tuliogopa kukosa Ngano na mafuta yao kwaoAcha ulongo, abstaining iliyofanya Tanzania ni lile swala la Russia na Ukraine
Ni Chuki binafsi kwa Taifa teule la Mungu. Tunamshukuru Shujaa JPM angalau aliacha amefungua Ubalozi wetu wa kudumu pale Tel Aviv kabla hajafa. Mungua amrehemu kwa hili. Viongozi wengine walikuwa na chuki zao binafsi.Hiyo KURA ya SAMIA sio wananchi
Kwa hiyo na sisi pale ilihitajika Tamko la kulaani mauaji na utekeaji unaoendelea nchini kwetu ili members walipigie Kura. Hams bila shaka wangelitupigia kura ya kutuunga mkono na kupinga hilo azimio.Imefanya vyema kupinga mauaji ya watu Gaza yanayofanywa na Israel lakini lakini ubaya Tanzania inafanya mauaji halaiki ya watu wake Kwa kuwateka.
Umenena , wakumbushie hiloUngebahatika kuwa na utimamu kipindi UKIMWI unawateketeza watabzania huku nguvu kazi zikiwa vitandani na wanajeshi wenu wakiongoza kwa maambukizi wakiwa hoi hawajiwezi na hata nchi haijiwezi usingeandika haya.
Ungeijua hali ambayo nchi yenu ilikuwa nayo kabla hawajaanza kuleta dawa za kupunguza makali kwa watu wente maambukizi ya UKIMWI ungejifunza busara.
Kagame pamoja na mapungufu yake, lakini wakati mwingine huwa namkubali. Kwnye kiakao kimoja kikubwa cha World Economic Forum aliwahi kujisemea kwamba "Ukiona wliobarikiwa na rasilimali zote hizi wanaenda kutemebeza Bakuli kwenda kuomba omba , ujue kwamba kuna something wrong in our minds".Na ndio mana maskini wa kutupwa japo nchi ina utajiri wa maliasili