Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Namsikiliza hapa Waziri Kabudi anasema walifuata dawa madagascar wafanyie utafiti kwanza kabla ya matumizi.

My take;

Tanzania tumechukua majukumu ya WHO ? kwanini Madascar wasingepeleka wenyewe kwanza hiyo dawa ipitishwe na WHO.


Lakini jana Kabudi kaonekana akibugia dawa hadharani bila hata ya huo utafiti anaousema...
 
Hivi hao WHO ni wazazi wako?

Si ndio hawa wadlishindwa kugundua virusi vya corona vinasaambaje vikiwa bado china?

Si hawahawa iliwahikikishia dunia kwamba havisambai baina ya mtu na mtu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Kama hiyo juice inasaidia,itachukua miaka hata miwili kuweza kui mass produce maana ule mmea hauna mashamba rasmi,,yaanzishwe mashamba,mmea Hadi ufikie kufunwa si leo,
Ndo maana hata Madagascar wanatoa box chache
 
Hapo box moja lishaenda Chattle, moja lipo kwa Bashite. Mpaka wakimaliza kugawana hakuna kitachomfikia mlalahoi wa mwisho.
Wapeleke at least mox kumi kwenye mahospital mfano mliganzila,Amana etc,dawa hiyo wapewe wale walioambukizwa serious kitandani ili tupate uhakika hii Ni dawa kweli au siyo
 
Utafiti gani na kwa uwezo upi wa kufanya utafiti...
Huyu jamaa hovyo sana jana kabugia chupa zima eti leo utafiti....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe pinga pinga huwa mnaangalia channel ya TBC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…