Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Sijui zipo ngapi Mkuu ! Je Kwanini umeniita kibuyu?
HAPo unaona kuna dawa ngapi? Yani wewe ni kibuyu ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAPo unaona kuna dawa ngapi? Yani wewe ni kibuyu ujue
Malizia dozi yako
In God we Trust
Mmea uko moshi na arusha unaitwa iyombo ulizia wenyeji wa huko wanaujuwa vizuriInaonekana dawa inafanya kazi kwa ufanisi wa asilimia kadhaa na hii imekuwa proved baada ya case za wagonjwa kupungua Madagascar
Je huu mmea hau-exist Tz ili tuanze kufanya production kwaajili ya ujenzi wa taifa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Itupeleke Jamaica tupate scanking.... King blaze.... Mfuaho mwanzoni Hadi mwishoAsante awamu ya tano kwa kuwajali Watanzania
Ngoja tuone hiyo dawa itagawanywa kwa watu gani.Na nchi imewekwa lockdown vilevile.
Kabudi ni wa kuonea huruma tu, unafikiri kumtumikia kiongozi ambae ni psychiatric ni kazi rahisi?Hahahahahhahaaaa Magu made my day today dah.Sasa Kabudi na uprofesa wake wote maskini muone hapo utasema clown dah kupelekeshwa huku jamani hahahahaha
Daaaah! Kabudi yupo fastaaaa hatariiiii hahahahahahahahahaha! Nimeamini corona wanaiogopa.Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo umepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.
Ndege maalum ya ujumbe wa Tanzania ikiwasili nchini Madagascar Katika Uwanja wa Kimataifa wa Ivato kupata mimea ya Covid Organics, mchango kutoka Jamhuri ya Madagascar. Ujumbe huo ulipokelewa na Mkuu wa diplomasia Djacoba Tehindrazanarivelo.
Mkuu unataka boksi 200 zote zipangwe hapo ofisini ili zipigwe picha?Kwa boksi 13?
Hiyo ndege ni ya kubebe box 200?Mkuu unataka boksi 200 zote zipangwe hapo ofisini ili zipigwe picha?
Kwa hiyo mpokeaji naye ni mgonjwa?maana anaonekana anakunywa.
Wasamehe tu hao nyumbu. Wamebakiziwa akili ya kuvukia barabaraUna hakika kua ni box 13 ? Ulitaka shehena yote ya kwenye ndege iwekwe hapo kwa ajili ya picha tu ?
Ngoja tuone na hiiHata kwa babu Ambilikile walikunywa lkn hadi leo hawajapona
In God we Trust
wanakunywa wao mkuu hapo wameshajihakikishia kuishi milele hahahaha na kifo kilivyo kibaya kinaweza anza na wanywa dawazitatutosha hizo ? au kila mtanzania tone moja
Hahahahaha duh jamaa unachekeshaNaona Kabudi anakula funda moja la nguvu. Utasikia "aaah nilikuwa nife"..Kumbe Jiwe katuma mgonjwa hahahaaaaa
View attachment 1443824
Sawa wewe si ndio wakala wa tigo pesa uliepewa urushe hiyo fedha madagascar.Msaada? Msaada gani wakati mkwanja umetumika hapo!