Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Hizo dawa bado hazijathibitishwa kua kweli zinapona......idadi ya waliopona Madagascar ni ndogo sana. Idadi ya maambukizi Madagascar imeongezeka sana mpaka kupelekea rais kuongeza lockdown kwa wiki mbili zaidi......
Mjinga aliyesema kwa kupima Sampuli za mbuzi na mapapai anaweza kufanya conclusion kua Mashine ni feki ndo wapumbavu wanaendelea kumwamini badala ya kuandamana ili aondoke madarakani haraka sn
 
Hii dawa haijathibishwa kutibu Corona na maambukizi ya Corona virus yanaongezeka Madagascar.
Hii dawa haijafanyiwa clinical trials. Sio sawa kutumia resources za umma kufatilia na kubeba kitu kama hicho.
 
Tuanze kunyweshwa sisi tunaowaunga mkono, wapinzani wasubiri za wazungu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo umepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.


Ndege maalum ya ujumbe wa Tanzania ikiwasili nchini Madagascar Katika Uwanja wa Kimataifa wa Ivato kupata mimea ya Covid Organics, mchango kutoka Jamhuri ya Madagascar. Ujumbe huo ulipokelewa na Mkuu wa diplomasia Djacoba Tehindrazanarivelo.

Daaaah! Kabudi yupo fastaaaa hatariiiii hahahahahahahahahaha! Nimeamini corona wanaiogopa.
 
Back
Top Bottom