Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

Wewe hujayaona matatizo, unayasikia tu.

Hamia Kenya.
 
Ngoja tupigwe mpaka tuamuke na kujua kujitetea. Yaani ni kama vile hii mikataba inawekeza pia kuvuna sio tu kwenye uwekezaji bali hata kwenye kesi- wanavuna kotekote…hatari na nusu..
 
Sio maamuzi ya magufuli ni maamuzi ya Samia nanmagufuli
 
Walipe hiyo na wakimaliza watalipa za DP world ukijua kula ujue kuna kuliwa pia
 
Ngoja tupigwe mpaka tuamuke na kujua kujitetea. Yaani ni kama vile hii mikataba inawekeza pia kuvuna sio tu kwenye uwekezaji bali hata kwenye kesi- wanavuna kotekote…hatari na nusu..
Wanakuja tu na wazo. Shamba lako.pale Bush nitalima na kukwambia utavuna gunia 25 badala ya 5 za sasa na nitakupa gunia 9 . Kwa hiyo ukighairi nakupiga faini ya kwa nini umenikosesha gunia 250 kwa miaka 10 bila kujali 90 zako.
 
Km imeweza kuikopesha Zanzibar zaidi ya Billion 470 Cash kupitia Bank ya NBC, watashindwa kuzilipa hizo Pesa ndogo za kujengea tudaraja pale kalenga busisi
Serikali ya Tanganyika inachezewa na wazanzibari haswa.

Watanganyika wamelala, Tutakuja kulipa ela Nyingi Sana za DP world kutoka na Mkataba wa sasa Kati ya Tanzania na DP world.
 
Serikali ya Tanganyika inachezewa na wazanzibari haswa.

Watanganyika wamelala, Tutakuja kulipa ela Nyingi Sana za DP world kutoka na Mkataba wa sasa Kati ya Tanzania na DP world.
Propaganda
 
Nimesoma humu dp world wanataka billion 250 + kama pesa iliyotumika kushika uchumba(rushwa) kwa viongoz flani, Sasa na hii kesi mbona ni kama mulemule, ,najaribu kuunga doti
Kuna documents yeyote Mkuu share huku tuone mkuuu

Asifiwe Mvua imemnyea
 
Hii nchi itamalizwa na madeni.
 
Hii mikataba ifutwe isifutwe tunaliwa. Ukiwaacha wanaiba tena kwa kuwalipia na gharama za kukuibia, ukiwaindoa unalipa kwa kushindwa kesi kwa terms za mikataba zilizoingiwa zikiwa za ovyo. Mfano mkataba huu unaosema bandari zote. Siku wakikukaba ukavunja mkataba unalipa, ukiwaacha wanaiba.
UKOLONI na KUGAWANYWA kwa waafrika kupitia viongozi VIBARAKA sasa ni zaidi kupita kipindi cha karne ya 18.
Ukishaona mikataba ni ya SIRI na watu hawaruhusiwi kuhoji, na watu wengi wanapangwa kushabikia wee jua hakuna kitu.

Kibaya zaidi wapo viongozi ambao kipindi cha JpM walikiwa wanasifu na kumuita majina yote ya Utakatifu. Alipoondoka wakamuita majina yote ya Uzandiki. Mtu kama huyo hafai lkn leo yupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…