Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

Noma kweli yaani !!
 
Tunaongezena bei za bia kumbe zote tunaishia kulipa mabeberu tuu. Kinachobaki tunafanyia anasa kununua mashangingi. Kwa ajili ya maendeleo ni mikopo na msaada.

Hatuwezi toka hapa tusubiri kufa tuu
 
Ni kama wanasheria sijui wanaitwaje wa Tanzania wako na shida mahali.

Hata wakimfukuza mtu kazi akienda mahakamani anashinda.

Tutauzwa tu, mlimsema bure yule mgogo.
 
Mwendazake alitufanyia mabalaa yya ajabu. Na bado wengine.
Huenda Mwendazake alifanya maamuzi magumu kwamba bora tupoteze hizo B 200 lakini madini yetu yenye thamani kubwa kuliko hizo pesa tubaki nayo sisi wenyewe.

JK aliyeingia huu mkataba mbovu hapa analawama zake nyingi sana.

Mkataba ungekuwa na maslahi kwetu JPM asingeufuta!
 
Huenda alifanya maamuzi magumu tupoteze hizo B 200 lakini madini yetu yenye thamani tubaki nayo wenyewe.

JK aliyeingia huu mkataba mbovu hapa analawama zake nyingi sana.

Mkataba ungekuwa na maslahi kwetu JPM asingeufuta!
Hamna lolote pombe alikuwa bomu.
 
Tundu Antipas Lissu aliwaambia tutashitakiwa na kulipa gharama hizi ma ccm yakaona yampige risasi afe
 
Kuna wanajisi wa nchi hii, hawakosi katika hii dili,wallah
 
Nchi ya kisenge sana hii awamu ya sita hii ndio furaha yao katika nchi ya Puerto Rico
 
Una uhakika mawakili wetu walikua upande wetu?
 
Mwendazake alitufanyia mabalaa yya ajabu. Na bado wengine.
Yeye alifuta mikataba ya ajabu ambayo waliingia wauza nchi wa awamu ya 4. Mgodi wa thamani halafu mwekezaji hana hata shilingi kumba ni kampuni ya kijanja halafu tumwache adalalie mgodi? Tumlipe tu hiyo, hatujapoteza ukizingatia mgodi sasa upo chini ya mwekezaji ambae tunafaidika na tuna umiliki.
 
Haya ndio matatizo ya mikataba mibovu kati ya Tz na nchi zilizoendelea. Kuingia mikataba mibovu na kutegemea kubadili sheria baada ya muda haisaidii. Serikali inazidi kupoteza mabilion zetu za kodi kwa uzembe ya wachache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…