Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

Wewe ndio huna maarifa,mkataba wowote mahali popote,wakati wowote ukiuvunja,ukisitisha,ukiuondoa kwa namna yoyote lazima ile kwako.Tumia maarifa.
Kwa akili za namna hii ya kuogopa kuvunja mkataba, ukikutana na mkataba mbovu utakuwa mtumwa wa mkataba maisha yako yote
 
Unasema wazungu walivyo wahuni, huku unashangilia mikataba ambayo Kuna kila dalili ya uhuni. Hiyo ni kuikosea hata nafsi yako
 
Bora uvunje mkataba wa ndoa hata kama sheria inataka kugawana nusu kwa nusu na mtu ambaye hajachaingia chochote ili nusu itakayobaki ule kwa furaha
 
Hasara nyingine ya maamuzi ya yule Rais wenu wa Wanyonge. Hasara nyingine Tzn inapata kutokana na maamuzi mabovu ya yule Rais wa kina John the babtist
 
Na bado itashindwa nyingi tu hadi tupate akili, baadhi ya watu wamefanya nchi ni mali ya familia zao na tumekaa kimya tu kwa uoga. Bado tuuzwa mnadani kama mbuzi kwa kuuendekeza unyani.
 
Hasara nyingine ya maamuzi ya yule Rais wenu wa Wanyonge.
Hasara nyingine Tzn inapata kutokana na maamuzi mabovu ya yule Rais wa kina John the babtist
Sielewi kivipi mnajaribu kuwatenganisha viongozi wa CCM? Nijuavyo wote ni wale wale kama ilivyo CCM ni ile ile. Kikwete aliyetoa leseni mbovu na Magufuli aliyeifuta kihuni ni dugu moja wa chama kile kile - CCM. Hawajali nchi wala Watanzania. Hawasikii, hawaambiliki. Wote wamejaa jeuri na kibri. Hakuna wa kuwafanya kitu...

Hadi siku Watanzania watakapoamka na kuiona picha kubwa kuwa CCM ndio msiba mkuu wa taifa hili. The real NATIONAL TRAGEDY!
 
Ni upumbavu nchi kukaa na mwekezaji anayeingiza 98%ya mapato yote, halafu nchi inagewa 2%tu! Kisa mkataba

Ni bora kama nchi tuanze upya!
 
Juzi kiongozi wa dini kasema,tusiwalaumu mabeberu kwa sababu ya ujinga wetu.Hivyo tukiandamana tutahesabiwa wapumbavu heri tubaki na ujinga wetu
 
Maumivu mengine kutokana na maamuzi ya Mwendazake Magufuli..

Too painful.....Kodi tunazokatwa Kila mwezi zinaenda kulipa watu.!

Kwa Nini tusijitoe kwenye Mahakama ya kinyonyaji?
 
Aliyeingia ndio mpumbavu, aliyevunja ndio alitumia akili, huwezi kuingia mkataba wa kipuuzi usio na maslahi kwa taifa halafu uje kumlaumu yule aliyeuvunja, wewe ndie utumie akili.
Acha kutetea ujinga
 
 
Juzi kiongozi wa dini kasema,tusiwalaumu mabeberu kwa sababu ya ujinga wetu.Hivyo tukiandamana tutahesabiwa wapumbavu heri tubaki na ujinga wetu
Kuandamana dhidi ya “mabeberu” ni ujuha uliopitiliza. Tatizo letu ni serikali tunayoiendekeza inayoongozwa na watu wenye jeuri mbaya sana.

Kama ni maandamano basi yalenge kuwaondoa madarakani hao viongozi muflis, la sivyo heri tubaki na ujinga wetu!
 
Tutafilisika, inabidi ifike mahali tukatae tu kulipa liwalo na liwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…