Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Sema wafanyabiashara sio wakulima!!
Huko mpakani utapitaje?Upuuzi mtupu. Mimi nimeplan kuuza yangu niliyolima ifikapo december na january na nitauza popote ninapotaka. Hakuna aliyenisaidia kulima.
Hawa wapumbavu wa ccm hawana akili. Wanazuia mahindi lakini unga wanaruhusu. Nitafanya processing.Huko mpakani utapitaje?
Mahindi yamejaa Zambia.
Juzi nilikuwa Sumbawanga nimeshuhudia maelfu ya tani za mahindi yametoka Zambia ynaaelekea Kenya.Mzee unafanya biashara ya mazao?
Walio na mahindi Sasa hivi si Wakulima ni wafanyabishara. Kwa hiyo hata serikali ikifunga watakaopata hasara ni wafanyabishara.
Hakuna mkulima mwenye mahindi hadi sasaHii ni kumyanyasa mkulima,
Halafu kenya walivyo wajanja wanasaga unga na kupack vizuri wanaprint made in Kenya wanauza congo bei mara kumi
Hayo mabilioni wakulima wa Tz waliouza mahindi huko wamefanyia nini? Kama waliweka benki wakayatoe sasa waagize na waoUganda na Rwanda wana mahindi ya kutosha kutoka Tanzania maana serikali iliwapa wafanyabiashara wao mabilioni wanunue Tanzania, watu kama akina bashe wakielezwa haya hawajui na naimani mawaziri wengi hawajui mchezo wa kagame na museveni na kenyata wao wanawapa mabilioni watu wao watafute mazao kokote kule hawa wa kwetu wao wanacheka tu
Mahindi yakiwa ya kitosha NFRA wanayaacha yaoze kwa wakulima, maana beixinakuwa ndogo sana na waliopewa jukumu la kuyanunua na kuyahifadhi hafanyi hivyo, matokea yake wanakula hasara kubwa, ikifika wakati wa kulipiza ile hasara waliyopata kwa bei kuwa nzuri eti tunawazuia tena wasiuze kwenye bei nzuri, is this fair?!Ndiyo maana nafaka zilipanda bei May-July. Ila kwa sasa bei inaanza kushuka.
Suluhisho kwa TANZANIA ni kuzalisha mahindi ya kutosha, Serikali iboreshe skimu za umwagiliaji na upatikanaji wa zana za Kilimo, mbolea na dawa.
Hapa Serikali inawadidimiza wakulima, Kila mwaka wanalima kwa hasara, ni lini watapata faida? Muda kama huu ndiyo neema kwa mkulima!
Sisi tuna millers wadogo maelfu kwa maelfu, hata soko la ndani tu hatujalitosheleza, si rahisi kuuza unga njeHii ni kumyanyasa mkulima,
Halafu kenya walivyo wajanja wanasaga unga na kupack vizuri wanaprint made in Kenya wanauza congo bei mara kumi
Hao NFRA ni kwanini hawakununua kipindi kile mahindi yanaozea majumbani kwa wakulima kwa kukosa soko na nei kuwa mbovu? Walikuwa wapi?!Hii kitu niliandika humu watu wakaja juu eti ni mda wa mkulima kunufaika. Hakuna mkulima anayepeleka mahindi Kenya ni wafanya Biashara tu ndo wenye uwezo huo tu. Nilipenyezewa za ndani kua mama tozo ameambiwa bohari kuu ya chakula ya serikali Haina chakula.
Ndo kashituka akaagiza na kuzuia kimya kimya tangu wa 7 katikati. Ila Leo ndo wameamua kutangaza. Usalama wa nchi yoyote Ile hua ni utoshelevu wa chakula. Na Bahat mbaya viongozi wetu wa ccm Hilo hawalijui wanawazia matumbo Yao tu
Mimi ni mkulima na nimehifadhi yapo pale katesh.Walio na mahindi Sasa hivi si Wakulima ni wafanyabishara. Kwa hiyo hata serikali ikifunga watakaopata hasara ni wafanyabishara.
Hakuna mkulima mwenye mahindi hadi Sasa hiviIla hii sio haki, NFRA ilitakiwa inunue akiba ya kutosha wakati mahindi ni mengi na bei ni ya chini, sasa wamezembea halafu mnatakq kuja kupora haki ya mkulima kuuza chake anapopataka
Kwani mkulima ni hadi alime yeye? Nikimpa mkulima pesa alime kisha tukakatana na nikayanunua ya ziada ya pesa niliyolipa, mimi ni mkulima au ni nani? Tumia akili za kichwaniHakuna mkulima mwenye mahindi hadi Sasa hivi