Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Tiss imefeli kumshauri hili mama kwa wakati hadi kupanda kwa mchele kuwa 2800 Tsh, na debe la mahindi kuwa 25,000Tsh ni kutokana na kuwa na uhitaji mkubwa kwa soko la nje hasa Kenya na Congo. Maafisa wetu walipaswa kuingilia hili mapema coz hali ya chakula haikuwa nzuri toka mwaka jana isitoshe na mazao yalikuwa duni.