Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Waingereza ndio akina Nani? Acha kushikiwa akili WEWE! Acha kuleta history zako za o'levelWaingereza wakikujibu hii ni nchi ya Tanganyika nami nitaungana na wewe kuidai Tanganyika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waingereza ndio akina Nani? Acha kushikiwa akili WEWE! Acha kuleta history zako za o'levelWaingereza wakikujibu hii ni nchi ya Tanganyika nami nitaungana na wewe kuidai Tanganyika.
Umelogwa weweAcha kushikwa akili na DJ wewe, hakuna serikali ya Tanganyika na hata waingereza ukiwauliza ni lipi jina la serikali tuliyonayo watakuambia ni serikali ya JMT. Kwa hiyo wewe unajua Zaidi ya mwingireza aliyeipatia uhuru Tanganyika lakini Sasa anaiita Tanzania na serikali ya JMT?
Kumuelewa Mwalimu ni kazi sana sio jambo jepesi binadamu maisha yake kufanywa ni kozi ya kupatia degree.
Nikawazaaaa nikashindwa kujiuliza, ni lini Tanganyika nao watasaini mkataba au Makubaliano...
Kwahiyo walioko CCM wanamwelewa Nyerere na hata wapinzani waliohamia ghafla CCM hapo awali hawakumwelewa Nyerere ila baada ya kuhamia CCM ghafla wakamwelewa.Tuseme ukweli, Mwalimu Nyerere ni Moja ya akili kubwa mno kuwahi kutokea duniani na sio rahisi kueleweka Kwa watu wasiotazama mbali na siku upinzani wakimulewa Kwa walau asilimia 30 ,siku hiyo watakuwa wamekomaa kisiasa na watastahili kuongoza nchi Lakini Cha kusikitisha mpaka Sasa hakuna yeyote aliyepo upinzani aliyepata kumuelewa Mwalimu Kwa walau asilimia 5.
Jinga hilo. Halijui Nyerere alipewa uhuru wa Tanganyika na hao anaodai Waingereza?Waingereza ndio akina Nani? Acha kushikiwa akili WEWE! Acha kuleta history zako za o'level
Ficha UJInga basi wangesema angalau wizara mbili zimesaini makubaliano au basi Rais ameamua katika kutatua mambo au kero za Muungano, Secta ya madini imeingizwa kwenye mambo ya Muungano na itakua na waziri anayeshughulikia mambo yote ya madini Kwa pande zote mbili. Kama ilivyo wizara ya Mammbo ya ndani au wizara ya ulinzi na Jeshi la kujenga taifaTanganyika ni wilaya ndani ya nchi ya Tanzania, haiwezi kuingia makubaliano binafsi na nchi nyingine.
Zenji si Wana Wese ?
Huu ni ushauri kwenu CHADEMA naamini wewe ni mwanaCHADEMA, msidharau wazee. Jaribuni kuwaweka wazee karibu ili mpate kuijua historia ya nchi yetu vizuri.Samahani, this is not for you! Umewapunguza wangapi?? Pumbavu kweli wewe
Walifanya hivyo walipodhani kuwa wana mafuta. Lakini mpaka sasa hayajapatikana ya kuweza kuvunwa. Sitashangaa wakidai kuwa mafuta/gesi asilia zirudishwe kwenye Muungano ili wafaidike na yaliyopatikana Tanganyika.
Amandla...
Hapo ndio ccm walipotufukisha. Chochote watakacho wazanzibari huku Tanganyika wanavaa koti la muungano. Hata uongozi wanapata huku Tanganyika lakini sio kinyume chake. Wana bunge lao ambalo mtanganganyika hatii pua, ila wao kwenye bunge letu wapo! Hiyo ndio maana unasikia muungano wetu ni wa kipekee duniani.Aliyeelewa haya makubaliano kati ya Tanzania na Zanzibar ninaomba anieleweshe.
Ninaona Tanganyika tunaonekana ni watu wajinga na tusio elewa.
Zanxibar na Tanganyika ziliunda muungano unaoitwa Tanzania.
Sasa Tanzania inafanya makubaliano na Zanzibar??? Kinaitwa nini??
Madini sio mambo ya muungano, mleta mada aliulizia kuhusu 'Tanganyika' ambayo ni wilaya tu ndani ya mkoa wa Katavi lini itaingia makubaliano na Zanzibar kitu ambacho hakiwezekani.Ficha UJInga basi wangesema angalau wizara mbili zimesaini makubaliano au basi Rais ameamua katika kutatua mambo au kero za Muungano, Secta ya madini imeingizwa kwenye mambo ya Muungano na itakua na waziri anayeshughulikia mambo yote ya madini Kwa pande zote mbili. Kama ilivyo wizara ya Mammbo ya ndani au wizara ya ulinzi na Jeshi la kujenga taifa
Relax relax relax!Huu ni ushauri kwenu CHADEMA naamini wewe ni mwanaCHADEMA, msidharau wazee. Jaribuni kuwaweka wazee karibu ili mpate kuijua historia ya nchi yetu vizuri.
Hili la kutumia hekima na busara za wazee linaifaidisha sana CCM, wanapata kuyajua mengi. Hususani hili suala la Muungano.
CHADEMA kuwa ni chama Cha vijana ni hasara kwao, viongozi wote wa CHADEMA wamezaliwa baada ya uhuru na Muungano isipokuwa Mbowe kama sikosei. Hii sio nzuri ndio maana wanaonekana kupuyangapuyanga kwenye historia ya nchi yetu.
Mkitumia wazee mtaondokana na dhana ya wengi kwamba CHADEMA ni chama Cha kiharakati. Harakati zinazotakiwa Sasa ni ujenzi wa Taifa, Sasa harakati zenu za kisiasa zinawaeudisha nyuma mara oooh! Tunarudisha Tanganyika ,mara oooh ukombozi wa pili wa mtanzania kutoka Kwa mkoloni mweusi, hayo yote mnapoteza Muda.
Tanganyika is no more.
Mambo mengine yanafikirisha sana ujue, Katika pita pita zangu Leo nikakuta eti serikali inasaini mkataba a.k.a hati ya Makubaliano ya madini na serikali ya Zanzibar.
Nikawazaaaa nikashindwa kujiuliza, ni lini Tanganyika nao watasaini mkataba au Makubaliano yoyote tu na serikali ya Tanzania??
View attachment 2694542
Hata waziri wa uwekezaji Prof kitila mkumbo hawezi kujibu swali hiliAkili kubwa sana. Swali hili halijibiki kwa akili ndogo ya CCM
Nyerere hakuwa akili kubwaTuseme ukweli, Mwalimu Nyerere ni Moja ya akili kubwa mno kuwahi kutokea duniani na sio rahisi kueleweka Kwa watu wasiotazama mbali na siku upinzani wakimulewa Kwa walau asilimia 30 ,siku hiyo watakuwa wamekomaa kisiasa na watastahili kuongoza nchi Lakini Cha kusikitisha mpaka Sasa hakuna yeyote aliyepo upinzani aliyepata kumuelewa Mwalimu Kwa walau asilimia 5.
Wewe ni kiazi mviringo!Tanzania kuendelea ikiwa na watu kama wewe tusahau kabisa, ndio maana Hitler alikuwa anawapunguza watu ambao hawana msaada Kwa Ujerumani. Sorry Kwa kukuambia hayo.
Acha nikuambie ukweli, umeuliza swali linalowafanya wenye akili waanze kujadili uwezo wako wa kiakili maana kujadili swali ni kupoteza Muda Bure, Kwa kujua uwezo wa kiakili wa muuliza swali tutajua tujadili swali Kwa angle ipi.
Kwa kukusaidia tu, nenda uingereza kawaulize waingereza hii nchi ni Tanganyika au Tanzania na serikali tuliyonayo ni ya JMT au Serikali ya Tanganyika maana hao ndio waliotupatia uhuru hivyo wanalijua Taifa la Tanganyika vilivyo.
Waingereza wakikujibu hii ni nchi ya Tanganyika nami nitaungana na wewe kuidai Tanganyika.
Nikawazaaaa nikashindwa kujiuliza, ni lini Tanganyika nao watasaini mkataba au Makubaliano yoyote tu na serikali ya Tanzania??[emoji23]Mambo mengine yanafikirisha sana ujue, Katika pita pita zangu Leo nikakuta eti serikali inasaini mkataba a.k.a hati ya Makubaliano ya madini na serikali ya Zanzibar.
Nikawazaaaa nikashindwa kujiuliza, ni lini Tanganyika nao watasaini mkataba au Makubaliano yoyote tu na serikali ya Tanzania??
View attachment 2694542
Ndio maana ninasema SSH amesaidia sana. Hivi kwa haya yanayotkea bado kuna CCM asiyeelewa kwamba Tanganyika inahitajika, tena jana si kesho. Hawa CCM Tanganyika hawana akili kiwango hikiKwa ccm ni dhambi kuitaja Tanganyika. Ukiitaja tu Tanganyika wanasema unataka kuvunja muungano.