Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Nakubali. Nyerere alikuwa Genius.Tuseme ukweli, Mwalimu Nyerere ni Moja ya akili kubwa mno kuwahi kutokea duniani na sio rahisi kueleweka Kwa watu wasiotazama mbali na siku upinzani wakimulewa Kwa walau asilimia 30 ,siku hiyo watakuwa wamekomaa kisiasa na watastahili kuongoza nchi Lakini Cha kusikitisha mpaka Sasa hakuna yeyote aliyepo upinzani aliyepata kumuelewa Mwalimu Kwa walau asilimia 5.
Nyerere ni Mungu