Tanzania, Zanzibar zasaini Hati ya Makubaliano Sekta ya Madini
Tuseme ukweli, Mwalimu Nyerere ni Moja ya akili kubwa mno kuwahi kutokea duniani na sio rahisi kueleweka Kwa watu wasiotazama mbali na siku upinzani wakimulewa Kwa walau asilimia 30 ,siku hiyo watakuwa wamekomaa kisiasa na watastahili kuongoza nchi Lakini Cha kusikitisha mpaka Sasa hakuna yeyote aliyepo upinzani aliyepata kumuelewa Mwalimu Kwa walau asilimia 5.
Nakubali. Nyerere alikuwa Genius.
Nyerere ni Mungu
 
Mama anaimaliza Tanganyika. Tujipange kumtoa kwa mwendo wa haraka. Akiachwa mpaka 2025 hali itakuwa mbaya sana.
Acha kushikwa akili na DJ wewe, hakuna serikali ya Tanganyika na hata waingereza ukiwauliza ni lipi jina la serikali tuliyonayo watakuambia ni serikali ya JMT. Kwa hiyo wewe unajua Zaidi ya mwingireza aliyeipatia uhuru Tanganyika lakini Sasa anaiita Tanzania na serikali ya JMT?

Kumuelewa Mwalimu ni kazi sana sio jambo jepesi binadamu maisha yake kufanywa ni kozi ya kupatia degree.
 
Nakubali. Nyerere alikuwa Genius.
Nyerere ni Mungu
Kama ni Mungu kwako endelea na upotofu wako. Mimi najua Mwalimu alikuwa ni binadamu aliyejaliwa kipaji Cha ajabu na Mungu. Kumuita Nyerere ni Mungu hiyo ni kufuru Kwa Imani yangu
 
Akili kubwa sana. Swali hili halijibiki kwa akili ndogo ya CCM
IMG-20230720-WA0080.jpg
 
Acha kushikwa akili na DJ wewe, hakuna serikali ya Tanganyika na hata waingereza ukiwauliza ni lipi jina la serikali tuliyonayo watakuambia ni serikali ya JMT. Kwa hiyo wewe unajua Zaidi ya mwingireza aliyeipatia uhuru Tanganyika lakini Sasa anaiita Tanzania na serikali ya JMT?

Kumuelewa Mwalimu ni kazi sana sio jambo jepesi binadamu maisha yake kufanywa ni kozi ya kupatia degree.
Fl9y8uvXkAALSJr.jpg
 
Sorry, hili sio Size Yako, subiri mada za size Yako!
Tanzania kuendelea ikiwa na watu kama wewe tusahau kabisa, ndio maana Hitler alikuwa anawapunguza watu ambao hawana msaada Kwa Ujerumani. Sorry Kwa kukuambia hayo.

Acha nikuambie ukweli, umeuliza swali linalowafanya wenye akili waanze kujadili uwezo wako wa kiakili maana kujadili swali ni kupoteza Muda Bure, Kwa kujua uwezo wa kiakili wa muuliza swali tutajua tujadili swali Kwa angle ipi.

Kwa kukusaidia tu, nenda uingereza kawaulize waingereza hii nchi ni Tanganyika au Tanzania na serikali tuliyonayo ni ya JMT au Serikali ya Tanganyika maana hao ndio waliotupatia uhuru hivyo wanalijua Taifa la Tanganyika vilivyo.

Waingereza wakikujibu hii ni nchi ya Tanganyika nami nitaungana na wewe kuidai Tanganyika.
 
Back
Top Bottom