Tanzanialeaks apuuzwe, Hazina haijafilisika

Tanzanialeaks apuuzwe, Hazina haijafilisika

Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.

Ondoa tozo mzee baba, nje ya mad
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.

Bw. Mwigulu Nchemba, vitu vingine inapaswa ukae kimya, siyo kwamba Watu wote hawa ambao wamekaa kimya ukafikiri kuwa hawajui kusema au hawana kitu cha kusema, la hasha. Wamenyamaza kimya kwa kuwa wamechagua kukaa kimya ili kulinda heshima zao kwani hata mtu kichaa akiamua kukaa kimya huonekana ni mtu mwenye busara na hekima.

Ni vyema sana ukakaa kimya ili kulinda heshima yako kidogo iliyobaki, ukweli daima huwa unajidhihirisha Wazi wenyewe hata kama utafichwa. Mwenye macho huwa haambiwi tazama.
 
Hongera kwa kujiunga "JAMII FORUMS". swali langu mbona mmeweka kodi kubwa kwenye magari ya umeme,kwa nini msipunguze kodi ili Wananchi tununue hayo magari tuondokane na uchafuzi wa hewa?
Hili linaonyesha jinsi wasivyo na akili, magari ya umeme yana kila faida kwetu kuanzia afya zetu, gharama na uchumi kwa ujumla, wakati mwingine unafikiria labda wamehongwa na wauza mafuta au hawana akili tuu, kweli inasikitisha sana
 
Ndg waziri tuna mengi ya kujifunza na kuyaishi kwa Vitendo

Taifa letu linazidi kudumaza uchumi wake wa ndani kwa kuvipa kipaumbele bidhaa za nje ( Low and cheaper goods from china)

Kama Waziri husika wa Fedha kwa kushirikiana na Wizara mtoto Mipango na Uwekezaji fikirie upya Kutoa Ruzuku kwa Wazawa wafufue Vitu vifwatavyo

TIPA ( Shirika la kuchakata mafuta ghafi ) kiukwel Pipa Moja la mafuta ghafi ni Bei nafuu sana sijui ni lini tutaona umuhimu wa kufufua mitambo yetu ya kuchakata mafuta Ili Bei ya Nishati hii iwe rafiki na kusukuma uchumi wa nchi yetu ... Mungu katujalia kuwa na bandari fwatilia soko la Crude oil na jinsi India anavyotengeneza mabilion ya fedha kwa kuchakata mafuta na kuyauza Duniani huku yeye sio mzalishaji wa mafuta duniani

Viwanda vingi vilivyoasisiwa na Mwl vipo ICU ajira zimepotea kwanzia wazalishaji wa malighafi mpaka ajira za viwandani

Najisikia Vibaya sana kuona Leo Tyre 100% za Magari , Pikipiki tunaimport kutoka nje wakati tuna mapori yaliokua yanazalisha zao la Mpira na Tumewahi kuwa na kiwanda Cha kutengeneza bidhaa hiyo kilichofungwa mwaka 2007


Ndg yangu ajira za kudumu zipo Shambani na viwandani

Jitahid muishi kwa vitendo Yale ambayo kweli yataipa nchi yetu matumain na kulinda amani yetu

Utulivu na amani utokana na watu kuwa bize na shughuli za uzalishaji

Mhe Waziri Fedha ya Kigeni ni ya kulinda isitoke kuagiza vitu amabvyo watu wetu wanauwezo wa kuvizalisha


Nchi aijafilisika ndio ila Wingi wa Vijana wasomi kuwa boda boda , madalali sio jambo la kulifumbia macho


Kila kijana akimaliza chuo now ni dalali au winga sio kitu Cha kujivunia

Nalogoff

GM
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.

Kwahiyo hata mtaani pesa haijakauka!? Tukisema wewe ndo muongo tutakosea? Au unadhani wote tunamiliki Mabasi kama wewe?
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.

Nilifikiri umeandika uzi kuwa sasa ni rasmi watanzania kupokea pesa kutoka paypal
Mitandaoni kuna fursa nyingi sana za kujipatia pesa ila viongozi wa Tanzania wanahangaika kujibizana mitandaoni. Aibu
TANZANIA NI KICHWA CHA MWENDAWAZIMU
 
Afadhali umekuja kulisemea hili muheshimiwa, maana watu wasio itakia nchiyetu.

Mkuu unafanya kazi nzuri sana tena huku mtaani tunakufurahia kwa utendaji wako ulio tukuka mh waziri.

Sasa mkuu naomba unisaidie jambo moja ambalo ni lamuhimu sana, yaani sipo vizuri kabisa naomba uniwezeshe kiasi walau nipate kununua mlo wa siku tatu.

Wewe ndio tegemeo la nchi yetu kwasasa mh waziri, na tunajivunia sana uwepi wako hapa nchini na ndio sababu tunapata maendeleo kwa kazi ya 5G.

USINISAHAU OMBI LANGU MH...
Duuuh kweli watu wana njaa
Kwani umeshindwa nn kumuomba hiyo hela ya kula bila kumsifia uongo wako hapa

Huu uchawa utawamaliza jaji warioba aliwaambia vijana achaneni na uchawa mnaharibu nchi

We jamaa huwa unajitapa sana kule MMU kumbe njaa kali hivii
Unamuomba waziri buku tano ya kula?
Badala ya kazi
 
Huku kwetu mabomba ya maji yanatoa maziwa kila siku asubuhi mkuu...🤣
Tunampongeza sana mh waziri...😊
Hahahaha 🤣🤣 yanatoa maziwa?
Halafu unakuja hapa kumuomba waziri buku tano ya kula?

Hakika ningekuwa mimi sikupi hata mia mbovu maana wewe ni mjinga
Unafikir ukiomba kitu bila kusifia uongo hutapewa

Hii ni aibu kuwa na vijana wa ovyo kama wewe
Mnatia kinyaa kabsaa
 
Back
Top Bottom