Hauna mzuka wowote njaa inakuuwa tuu nyie ndiyo mkipewa madaraka mnaanza ufisadi wenu hatutak machawa kama nyieMheshimiwa sisi vijana tunaelewa sana kazi mnayofanya kwenye awamu hii ya sita, hakika Mama anapiga kazi, Nchemba unapiga kazi.
2025 tunaendelea tulipo ishia
ILA Mheshimiwa usisahau kunipa U-DED hata kule Halmashauri za Mkoa wa Mtwara kule ndanindani.
Kama kijana niko na mzuka sana wa kuwatumikia Watanzania.
ndugu waziri,Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).
Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.
Ndiyo vijana wenu hao halafu kesho kutwa amechaguliwa kuwa kiongoz kisa alikuwa anasifu na kuabuduKama unadhani Ulaya nchi zinaendelea kwa tozo na kodi basi wewe ni kilaza wa mwisho.
Maendeleo ya sayansi na teknolojia ikichagiza uzalishaji wa mali viwanda ndiyo chachu kuu ya maendeleo ya nchi za Ulaya.
Wewe hauna biashara ya maana unayofanya,una import mpaka sindano unategemea ujenge nchi kwa tozo na kodi si utakua punguani!?
Uliza Ulaya;
-Mauzo ya magari.
-Mauzo ya silaha.
-Mauzo ya mali za kawaida za viwanda kama nguo,fenicha,mipira,vipuli, n.k n.k. Vinawaingizia pato kiasi gani katika mataifa yao.
Wenzenu Ulaya wamefanya mass industrialization kiasi wamepunguza mass importation imefanya kulinda hela kwenda sana nje na wanafanya mass exportation ili kuingiza zaidi pesa za nje.
Wewe unategemea ujenge nchi kwa tozo na kodi ambazo hujatengeneza mazingira wezeshi ya raia kuajiriwa wala kujiajiri/kuwekeza.
AISEE hii nchi ina safari ndefu sana.
Hapo ndiyo mwisho wa kufikir kwakoMalizaneni nae tu mheshimiwa.
Yaan mi nilie kichaa kuniita mpumbavu.Hapo ndiyo mwisho wa kufikir kwako
Duuuh kazi ipo watu kama wewe mkitwa wapumbavu mnaanza kulia lia
Mganga wao mkali sana.Punguzeni magari kwenye misafara yenu, mnatuumiza.
Swala la ajira kwa vijana litawagharimu sana kama Kenya, muulizeni JK aliwezaje kuajiri kila mwaka, nyie mnafeli wapi?
Na mbona hakuna mradi mpya wa maana mnaoanzisha? Mnatembelea alipopita mwendazake, hamna vision au hamna hela?
Mwisho,mbona tukiwaombea dua mbaya kwa mnavyotutesa haziwashiki ndio kwanza mnazidi kupeta,mnafanyafanyaje
Watanzania siku hizi Wala hayo hayatuhusu, si tuna focus na yetu, hii nchi si yenu bana, tozo zetu,kikokotoo chetu, ukosefu wa ajira wetu, maisha magumu yetu. Nyie endeleeni kula Bata sisi tupambane na yetu. Kila mtu ashinde mechi yake.Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).
Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.
😂😂😂 Hapo kwenye Dua mbaya kama kweli vile.Punguzeni magari kwenye misafara yenu, mnatuumiza.
Swala la ajira kwa vijana litawagharimu sana kama Kenya, muulizeni JK aliwezaje kuajiri kila mwaka, nyie mnafeli wapi?
Na mbona hakuna mradi mpya wa maana mnaoanzisha? Mnatembelea alipopita mwendazake, hamna vision au hamna hela?
Mwisho,mbona tukiwaombea dua mbaya kwa mnavyotutesa haziwashiki ndio kwanza mnazidi kupeta,mnafanyafanyaje
Anayaita madai ya wakandarasi madeni " "MADOGO MADOGO" my brother, munaumiza watu hamlipi, than unatoa kugha za kejeli?! Dharau?! Cha ajabu wapo wakandarasi hususan wa Dar, wanalipwa kiaina sijui wanapita njia/mbinu gani😭😭😭😭Mbona hamjalipa madeni ya wazabuni miezi 7 sasa
Uko vizuri Dk. Waziri.Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).
Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.
Nyie ndio watoto wa juzi na mmeharibu sana JF hii. Awali JF ilikuwa uwanja mpana sana wa majadiliano bila woga na kuheshimiana na karibu Mawaziri wote senior walikuwa humu, wanasiana wote mashuhuri na watendaji wa taasisi zote uzijuazo na taasisi zenyewe zikawa na page zake.Nilikuwa sijui Mwigulu Nchemba yuko JF.
That's very true mkuu. Huyu waziri kwa maelezo yake tunamtofautisha vipi na jamaa wa TanzaniaLeaks? Unapinga uongo kwa kutuletea porojo tena msomi wa PhD, unataka tukuelewe vipi?Hizi ni taarabu tu kama za khadija kopa na kina leyla Rashidi, sisi tukuamini vipi sasa...
Nyie wanasiasa mlivyo waongo, leta uthibitisho
Hii ingekuwa jambo jema sana kwake kwa namna alivyozungukwa na wahuni.Hata Raisi wetu Samia Suluhu Hassan ajiunge na JF sio kusoma tu awe anapangua Hoja zetu kuhusu mambo mbali mbali yanalolihusu hil Taifa letu.