Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Mwalimu Agustine naheshimu sana mawazo yako, lakini naomba urudie tena bandiko la BOB hapo juu. Linajieleza.
Hivi mwalimu nchi yenye informal sector ni Tanzania tuu? Somalia, Uganda, Burundi, Liberia, Papua New Guinea, Cape Verde na kwingineko..hawana hiyo sector isiyo rasmi? au sisi kama Tanzania tuna vigezo vyetu spesheli? WHY WE?????? NOT CAMEROON AU MAURITANIA?
Kama alivyosema BOB. ni kweli uchumi wetu mwingi uko informally (Mkapa aliliona hili mpaka akamleta De Soto wa Peru..na akaanzisha Mkurabita..kurasimisha mali zisizo rasmi). Kwa hiyo unless una datas nyingine..kwa hili tukubali tuu pato letu ni $600!.
By the way hiyo $600 inafanya assumptions... lakini hakika nakuambia kuna mamilioni ya watanzania wanakata hata mwaka hawajapata hata $50! NADHANI UNANIELEWA...
Huwezi ukalima mpunga ukategemea mahindi! Leo watanzania tunaiba mpaka hela ya ukimwi iliyotolewa na Bush..harafu tunasema kwamba World Bank wanataka kutufanya inferior? Tumeshindwa kabisa kutumia mali asili zetu kujikomboa...
Hapana mkuu. World Bank haina kosa. Hiyo hali tumejitakia wenyewe (viongozi na wananchi). Viongozi kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao na wananchi kwa kushindwa/kuwa wavivu wa kuchagua viongozi bora au kuwawajibisha kwa kuwanyima kura!.
Turudi nyuma, tukae chini, tuanze upya! Hatuna hoja kuilaumu World Bank kwa hili!
Hivi mwalimu nchi yenye informal sector ni Tanzania tuu? Somalia, Uganda, Burundi, Liberia, Papua New Guinea, Cape Verde na kwingineko..hawana hiyo sector isiyo rasmi? au sisi kama Tanzania tuna vigezo vyetu spesheli? WHY WE?????? NOT CAMEROON AU MAURITANIA?
Kama alivyosema BOB. ni kweli uchumi wetu mwingi uko informally (Mkapa aliliona hili mpaka akamleta De Soto wa Peru..na akaanzisha Mkurabita..kurasimisha mali zisizo rasmi). Kwa hiyo unless una datas nyingine..kwa hili tukubali tuu pato letu ni $600!.
By the way hiyo $600 inafanya assumptions... lakini hakika nakuambia kuna mamilioni ya watanzania wanakata hata mwaka hawajapata hata $50! NADHANI UNANIELEWA...
Huwezi ukalima mpunga ukategemea mahindi! Leo watanzania tunaiba mpaka hela ya ukimwi iliyotolewa na Bush..harafu tunasema kwamba World Bank wanataka kutufanya inferior? Tumeshindwa kabisa kutumia mali asili zetu kujikomboa...
Hapana mkuu. World Bank haina kosa. Hiyo hali tumejitakia wenyewe (viongozi na wananchi). Viongozi kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao na wananchi kwa kushindwa/kuwa wavivu wa kuchagua viongozi bora au kuwawajibisha kwa kuwanyima kura!.
Turudi nyuma, tukae chini, tuanze upya! Hatuna hoja kuilaumu World Bank kwa hili!