Tanzania's GDP: Hivi tunajua hili?

Tanzania's GDP: Hivi tunajua hili?

Come on man, what is this now? What exactly do you mean, sir? I'm finding it harder to understand what you are saying because you use "big" words. Can you use small words?

You can get very convincing.

Kifupi mtu wangu hapo juu kai break down vizuri anakupa picha halisi kwamba umasikini wetu bongo watu wanashindwa kulipa kodi ya chini ya dollar mbili kwa mwaka, kiasi cha kuwafanya wakimbie miji yao na kwenda maporini. Granted we do not have a very money based economy, lakini dollar mbili? Kwa mwaka? Hata kama unataka kuiangalia katika mtazamo wa shilingi, kwa maana ya kuwa purchasing power ya dollar mbili ni pipi na shilingi elfu mbili inaweza kununua lunch nzuri Dar au mlo wa wiki kwingineko, bado ni kiasi kidogo sana kumkimbiza mtu nyumbani. HApo ina maana huyu mtu anayekimbia kodi ya elfu mbili hana uzalishaji wa kufikisha elfu mbili, kwa sababu angekuwa na uzalishaji angejikakamua na kuilipa ili asiendelee kupoteza muda. Hapo kuna maswala ya elimu, uchumi, historia siasa utamaduni yanaingiliana.

Sasa hapo kuna GDP ya 1500 kweli? na hata kama ipo ni kwa sababu Chenge na mabilioni yake anaushikia hizo namba za wastani za mkoa mzima, kwa hiyo swala lingine la kuangalia ni mgawanyo wa mapato. Akija Bill Gates kuwa mtanzania na billioni 60 zake GDP yetu itapanda zaidi ya mara mbili overnight, hii haina maana kuwa watanzania watazidisha kipatao zaidi ya mara mbili overnight.
 
You can get very convincing.

Kifupi mtu wangu hapo juu kai break down vizuri anakupa picha halisi kwamba umasikini wetu bongo watu wanashindwa kulipa kodi ya chini ya dollar mbili kwa mwaka, kiasi cha kuwafanya wakimbie miji yao na kwenda maporini. Granted we do not have a very money based economy, lakini dollar mbili? Kwa mwaka? Hata kama unataka kuiangalia katika mtazamo wa shilingi, kwa maana ya kuwa purchasing power ya dollar mbili ni pipi na shilingi elfu mbili inaweza kununua lunch nzuri Dar au mlo wa wiki kwingineko, bado ni kiasi kidogo sana kumkimbiza mtu nyumbani. HApo ina maana huyu mtu anayekimbia kodi ya elfu mbili hana uzalishaji wa kufikisha elfu mbili, kwa sababu angekuwa na uzalishaji angejikakamua na kuilipa ili asiendelee kupoteza muda. Hapo kuna maswala ya elimu, uchumi, historia siasa utamaduni yanaingiliana.

Sasa hapo kuna GDP ya 1500 kweli? na hata kama ipo ni kwa sababu Chenge na mabilioni yake anaushikia hizo namba za wastani za mkoa mzima, kwa hiyo swala lingine la kuangalia ni mgawanyo wa mapato. Akija Bill Gates kuwa mtanzania na billioni 60 zake GDP yetu itapanda zaidi ya mara mbili overnight, hii haina maana kuwa watanzania watazidisha kipatao zaidi ya mara mbili overnight.

Eewaaaaa....sasa unaongea na kueleweka!!! Kwa nini usiwe hivi kila siku?
 
Eewaaaaa....sasa unaongea na kueleweka!!! Kwa nini usiwe hivi kila siku?

The spectre of exploring the vast sea of unknown colorful linguistic vistas has proved to be more than an enticing but resistible enterprise. I find myself desiring to enrich my creative flair through constant and repeated usage of this admittedly rather newfound ability to sculpt my ideas in a foreign language.

I have always been for conquering new frontiers and moving away from my comfort zone to push the envelope and stretch the limit, whether it be here, through SETI enthusiasm or musings about CERN or somesuch electromagnetic quantum-nucleus duality cosmobabble.

So I can only be me, if you are really sincere take it as a challenge.
 
The spectre of exploring the vast sea of unknown colorful linguistic vistas has proved to be more than an enticing but resistible enterprise. I find myself desiring to enrich my creative flair through constant and repeated usage of this admittedly rather newfound ability to sculpt my ideas in a foreign language.

I have always been for conquering new frontiers and moving away from my comfort zone to push the envelope and stretch the limit, whether it be here, through SETI enthusiasm or musings about CERN or somesuch electromagnetic quantum-nucleus duality cosmobabble.

So I can only be me, if you are really sincere take it as a challenge.

Chicanery aparatchik infra-dig cuckold phallic phallus bufoonery tomfoolery skulduggery proselytize
 
Masanja na Fundi Mchundo,

Kwa kweli mmetoa picha ya hali ya maisha vijijini ambayo inatisha sana. Mtu analima mihogo ya kutosha kula yeye na familia yake tu, na anamlimia mwingine kwa ujira wa pombe ye kienyeji!

Sasa Edward Lowasa alikuwa anajua haya kweli? Mbona alisema kwamba Tanzania inapaa? (Yaan iko kwenye economic take off stage!) Was (is) Lowasa sane!

Hata hivyo mtu anayelima mihogo kwa siku moja, hazalishi mali ambayo thamani yake ni angalau $2? Mtu huyo huyo hafanyi vitu vingine, kama kukarabati makazi, kuangalia mifugo etc, ambavyo thamani yake kwa siku inafikia angalau $2 nyingine? Kwa mtizamo huo, mtu wa chini kabisa anazalisha “goods and services” ambazo thamani yake ni angalau $4 kwa siku. Sisemi anapata hizo fedha. Ongezea hapo uzalishaji unaofanywa na wale ambao sio “the poorest of the poor”.

Tunapohesabu “the total market value of goods and services produced in Tanzania per year”, hatupashwi kujumuisha utajiri unaotokana na ng’ombe milioni 10, mbuzi milioni 3, pundamilia milioni 5, swala milioni 4, tembo nusu milioni, simba laki 1, etc, ambao wanazaliwa Tanzania kwa mwaka? Ni haki kabisa kujumuisha huo utajiri.

Hata hivyo, nakiri kwamba itabidi tuzidishe sana ELIMU ili tuweze kuufaidi utajiri wetu. Kwa sasa, si vibaya angalau kuuhesabu sawasawa. Si lazima tukubali wasemayo hao wakoloni mamboleo. Wana lao hao.
 
Mwalimu,
Duh unataka hata hesabu ya Simba wakizaliana basi kesho tutakuja dai hata hesabu ya mbu na panzi maana nao ni viumbe wetu... kwi kwi kwi ... samahani mkuu natania isipokuwa mjomba kumbuka kila nchi duniani ina vitu hivyo na havihesabiwi ktk GDP yake..Wakati mswahili anakarabati makazi yake ambayo kwanza hakuna kipimo cha usafi, mzungu anasafisha kila siku kwa season nne mwaka mzima.. Kazi ya kusafisha mazingira ya mtu Ulaya kama yakiwekwa ktk mzani wa kipimo mjomba basi hatuwezi kuwafikia kabisa maana kusafisha snow tu toka ktk gari lako inaweza kubeba uzito wa kusafisha nyumba kumi za kiswahili kwa ufagio..

Pamoja na yote haya mkuu wala sielewi unachojaribu kujenga hapa.. Sisi maskini wa kutupa..Na kibaya zaidi ni pale utakapo pima pato la taifa kutoka ktk uzalishaji uliofanyika.. Ulimsikia Kikwete akisema kuwa tanzania inapata chini ya asilimia 2 ya dhahabu tunayozalisha.. Sasa Ukitazama GDP dhahabu yote iliyouzwa unahesabiwa kama GDP yetu na kugawiwa wananchi wakati ukweli ni kwamba kati ya pato zima la dhahabu ni asilimia 1.9 tu inakwenda kwa Mtanzania na services zote zinazohusiana na dhahabu zinafanywa na wao wazungu ama ni kazi ya kanisa.. Iktazama employment utaambiwa Watanzania 1000 wameajiriwa tena watumwa ndio asilimia kubwa (pato chini ya laki moja kwa mwezi)...

Hivyo hivyo ktk mashirika yote ya kigeni utakuta wananchi raia wafanya biashara wanalipa kodi kubwa kuliko mashirika yote ya nje yaliyowekesha nchini ikiwa ni pamoja na simu lakini sikiliza mapato yanayozungumziwa!..
Haya toka kwa wananchi kinachokusanywa ni fedha za madafu tu ambazo pia wajanja wanazipiga mkasi..Hizo dollar toka mashirika ya nje hatuzioni, Celtel na mashirika mengine wote wako wallstreet za nje, Barrick, sijui gas na kadhalika wote wamewekesha nje ya nchi, account zao nje, makao makuu yao na uongozi ni toka nje hapa kwetu ni mashimboni tu kama vile kule Merelani..
Hii ndio tofauti kubwa kati yetu na baadhi ya nchi nyingine, kifupi Uongozi ni mbaya kupindukia toka wakati wa Mkapa na kutaki kukubali hilo kwa sababu tu ya policies zilizoandikwa kwa utaalam na mazishi ya hali ya juu..
 
ZANZIBAR NA GDP per capita ya $20,000


KAMA Zanzibar ambayo ina watu milioni 1 tu ingeliachiwa kufanya vitu vyake Kidubaidubai hivi leo Zanzibar ingelikuwa na GDP per capita ya $20,000 na ina uwezo wa kufikia $35,000 kama itaboresha mandhari, usafi na ubora wa hoteli zake kwa watalii; itaboresha uwanja wake wa ndege; itakuwa na ndege kubwa za kuleta mizigo toka Mashariki ya kati na ya mbali; itakuwa na masoko au maeneo huru ya kiuchumi kusambaza bidhaa Afrika Mashariki, Kati na Kusini; na itakuwa na shule, hospitali na vyuo vikuu vya kisasa vinavyovutia wateja wa nje pia.
 
Hivi leo duniani kuna takriban nchi 231 duniani. Kiuchumi, Tanzania, Malawi, Gaza Strip, Sierra Leone, Somalia na East Timor ndio nchi sita hoibintaaban za mwisho ulimwenguni.

Hadi kufikia sasa katika nchi yetu ilipofikia ni sawa Gaza Strip ya Wapalestina ilipo? Sisi , Gaza na Malawi wote tuna GDP per capita ya dola 600 za Kimarekani. Waliopo chini yetu ni nchi zilizoathirika sana na vita na misukosuko ya kijamii nazo ni Somalia, Sierra Leone na East Timor. Sierra Leone na East Timor baada ya mwaka huu, hata hivyo, lazima ziwe juu yetu kwa hiyo nchi itakayokuwa ya mwisho kabisa itakuwa ni Somalia ikifuatiwa na Tanzania. Tujiulize ni wapi tulipokosea, tunapokosea na tutakapoendelea kukosea? Ya kwamba pamoja na kugundulika utajiri mkubwa wa dhahabu na madini mengine hali ya Watanzania ndio imezidi kuwa mbaya kuliko ya watu wote duniani isipokuwa Somalia.


Unataka ushahidi nenda hapa:

World Facts and Figures - GDP per capita by country

GDP ni takwimu inayochukua mapato ya serikali. Na mapato ya serikali ni mapato rasmi.

Tukiacha siasa, je ni watanzania wangapi wanachangia mapato rasmi ya serikali?

Sehemu kubwa ya shughuli za ndani ya nchi zinafanywa katika soko lisilo rasmi. Muuza vitumbua, mmachinga, mkulima, mkata mkaa hata wachimbaji wadogo wa madini hawalipi kodi kwa shughuli zinazowaletea wao vipato.

Kwa nchi za kwetu ambazo wananchi wake wengi hawachangii ongezeko la GDP, basi GDP inaongezeka kwa nchi hiyo kuwa na rasilimali ambazo zitatosheleza ule mchango uliotakiwa kutolewa na wananchi.

Na mchango wa rasimali utakaosaidia kukua kwa GDP una vikomo vyake. Kwanza unategemea sana idadi ya watu. Idadi ya watanzania ni kubwa na hivyo basi mchango huo utakuwa na kikomo chake. Kwa upande mwingine idadi ya watu Botswana ni ndogo na mchango wa madini katika GDP ni mkubwa sana.

Kwa maoni yangu GDP ya Tanzania itaongezeka pale watanzania watapoacha shughuli za kijikimu na kuanza kufanya shughuli ambazo zitakuza uchumi wa nchi yao.

Kwa mfano tukiwa na watanzania zaidi ya millioni moja ambao wanaweza kuchangia mapato ya serikali kwa kulipa kodi ya wastani wa dollar 1000 tu kwa mwaka basi nchi ingekuwa sehemu nyingine.

Hivyo acheni kuangalia madini na utalii kama wakombozi wa matatizo
 
ZANZIBAR NA GDP per capita ya $20,000


KAMA Zanzibar ambayo ina watu milioni 1 tu ingeliachiwa kufanya vitu vyake Kidubaidubai hivi leo Zanzibar ingelikuwa na GDP per capita ya $20,000 na ina uwezo wa kufikia $35,000 kama itaboresha mandhari, usafi na ubora wa hoteli zake kwa watalii; itaboresha uwanja wake wa ndege; itakuwa na ndege kubwa za kuleta mizigo toka Mashariki ya kati na ya mbali; itakuwa na masoko au maeneo huru ya kiuchumi kusambaza bidhaa Afrika Mashariki, Kati na Kusini; na itakuwa na shule, hospitali na vyuo vikuu vya kisasa vinavyovutia wateja wa nje pia.

Watu wa mkoa wa Kilimanjaro na wanaweza kusema hivyo kuwa wakiachiwa nafasi nao wataendelea.

Kwa maoni yangu: Tanzania ni nchi kubwa na sehemu zenye kuweza kuendelea bila kutegemea sana serikali kuu zipewe nafasi za kufanya hivyo.
 
Tunategemeana. Umoja ni nguvu. Watu wa Kilimanjaro wanachuma sana na kuishi nje ya Kilimanjaro. Wangenyimwa kutumia Tanzania nzima kama uwanja wao wa kuzalisha mali wangerudi nyuma sana!

Wazanzibar hivyo hivyo. Mtu angewarudisha kwao Wapemba wote walioko bara basi wangekufa njaa. Wazanzibar walishakuwa wenyewe siku za nyuma. Hawakufika mbali. Sasa wana wigo mkubwa wa uchumi.

Umoja ni nguvu, na utengano ni udhaifu.
 
ZANZIBAR NA GDP per capita ya $20,000


KAMA Zanzibar ambayo ina watu milioni 1 tu ingeliachiwa kufanya vitu vyake Kidubaidubai hivi leo Zanzibar ingelikuwa na GDP per capita ya $20,000 na ina uwezo wa kufikia $35,000 kama itaboresha mandhari, usafi na ubora wa hoteli zake kwa watalii; itaboresha uwanja wake wa ndege; itakuwa na ndege kubwa za kuleta mizigo toka Mashariki ya kati na ya mbali; itakuwa na masoko au maeneo huru ya kiuchumi kusambaza bidhaa Afrika Mashariki, Kati na Kusini; na itakuwa na shule, hospitali na vyuo vikuu vya kisasa vinavyovutia wateja wa nje pia.

Unaota, Mkuu. Unaota!
 
Mwalimu,
Duh unataka hata hesabu ya Simba wakizaliana basi kesho tutakuja dai hata hesabu ya mbu na panzi maana nao ni viumbe wetu... kwi kwi kwi ... samahani mkuu natania isipokuwa mjomba kumbuka kila nchi duniani ina vitu hivyo na havihesabiwi ktk GDP yake..Wakati mswahili anakarabati makazi yake ambayo kwanza hakuna kipimo cha usafi, mzungu anasafisha kila siku kwa season nne mwaka mzima.. Kazi ya kusafisha mazingira ya mtu Ulaya kama yakiwekwa ktk mzani wa kipimo mjomba basi hatuwezi kuwafikia kabisa maana kusafisha snow tu toka ktk gari lako inaweza kubeba uzito wa kusafisha nyumba kumi za kiswahili kwa ufagio..

Pamoja na yote haya mkuu wala sielewi unachojaribu kujenga hapa.. Sisi maskini wa kutupa..Na kibaya zaidi ni pale utakapo pima pato la taifa kutoka ktk uzalishaji uliofanyika.. Ulimsikia Kikwete akisema kuwa tanzania inapata chini ya asilimia 2 ya dhahabu tunayozalisha.. Sasa Ukitazama GDP dhahabu yote iliyouzwa unahesabiwa kama GDP yetu na kugawiwa wananchi wakati ukweli ni kwamba kati ya pato zima la dhahabu ni asilimia 1.9 tu inakwenda kwa Mtanzania na services zote zinazohusiana na dhahabu zinafanywa na wao wazungu ama ni kazi ya kanisa.. Iktazama employment utaambiwa Watanzania 1000 wameajiriwa tena watumwa ndio asilimia kubwa (pato chini ya laki moja kwa mwezi)...

Hivyo hivyo ktk mashirika yote ya kigeni utakuta wananchi raia wafanya biashara wanalipa kodi kubwa kuliko mashirika yote ya nje yaliyowekesha nchini ikiwa ni pamoja na simu lakini sikiliza mapato yanayozungumziwa!..
Haya toka kwa wananchi kinachokusanywa ni fedha za madafu tu ambazo pia wajanja wanazipiga mkasi..Hizo dollar toka mashirika ya nje hatuzioni, Celtel na mashirika mengine wote wako wallstreet za nje, Barrick, sijui gas na kadhalika wote wamewekesha nje ya nchi, account zao nje, makao makuu yao na uongozi ni toka nje hapa kwetu ni mashimboni tu kama vile kule Merelani..
Hii ndio tofauti kubwa kati yetu na baadhi ya nchi nyingine, kifupi Uongozi ni mbaya kupindukia toka wakati wa Mkapa na kutaki kukubali hilo kwa sababu tu ya policies zilizoandikwa kwa utaalam na mazishi ya hali ya juu..

You made real points; but only one issue: Uongozi ni Mbaya kupindukia hasa wakati wa Mwinyi na Kikwete; tenganisha: Mwinyi alivuruga all macroeconomy Mkapa akatengeneza (ingawa baadaye aliiba); kikwete hatuelewi anafanya nini! Kumbuka kuwa Mwinyi alivuruga na kuiba (ingawa kuiba kwake hatukuoni). Bob be fair on this!
 
MWANZA, MBEYA, KILIMANJARO, ARUSHA, MANYARA zote zina uwezo wa kuwa na GDP per Capita ya $20,000


KAMA Zanzibar inaweza ikawa na GDP per capita kwa kiwango hicho ni dhahiri basi mikoa yetu ikiendeshwa na Meneja badala ya wanasiasa baada ya muda sio mrefu mkoa kama Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Shinyanga na Mara inaweza ikawa na GDP per capita ya $20,000 katika miaka mitano tu ijayo na hivyo kuongeza GDP per capita ya taifa kutoka $600 hadi $ 2,000 na hivyo kuipita Rwanda na kukaribia Kenya kwa kiasi kikubwa!
 
You made real points; but only one issue: Uongozi ni Mbaya kupindukia hasa wakati wa Mwinyi na Kikwete; tenganisha: Mwinyi alivuruga all macroeconomy Mkapa akatengeneza (ingawa baadaye aliiba); kikwete hatuelewi anafanya nini! Kumbuka kuwa Mwinyi alivuruga na kuiba (ingawa kuiba kwake hatukuoni). Bob be fair on this!

Ngoja kwanza tukukubalie kuwa Mwinyi alivuruga MacroEconomy. Je unaweza kutueleza kabla yake ni MacroEconomy gani iliyokuwepo Tanzania?
 
Back
Top Bottom