MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 305
- 728
Rais Magufuli ametoa salamu za rambi rambi kutokana na kifo cha ndugu Ali Mfuruki. Kupitia akaunti yake ya twitter Rais Magufuli ameonesha kuhuzunishwa na msiba huo.
"Nimehuzunishwa na taarifa za kifo cha rafiki yangu Ali Mufuruki (Mwenyekiti na Mwanzilishi wa Jukwaa la Wakurugenzi Watendaji wa Kampuni - CEOrt) Nitamkumbuka kwa uzalendo na mchango wake katika kukuza sekta ya biashara na ushauri kwa Serikali.Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un"- Rais Magufuli
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMEN
"Nimehuzunishwa na taarifa za kifo cha rafiki yangu Ali Mufuruki (Mwenyekiti na Mwanzilishi wa Jukwaa la Wakurugenzi Watendaji wa Kampuni - CEOrt) Nitamkumbuka kwa uzalendo na mchango wake katika kukuza sekta ya biashara na ushauri kwa Serikali.Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un"- Rais Magufuli
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMEN