Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli upi?Kiranga,
Ukweli huo unaweza kuuthibitisha au hiyo fake id ndio inakupa ujasiri?
Hakuna maendeleo bila ubishi.😀 😀 😀
Mkuu... familia yetu unaijua?
.....ila ni kweli!
OUT OF TOPIC:
Sijawah ona mtu m'bishi kama Kiranga
Wengi hawamjui mufuruki hakuwa exposedHakuwa anamiliki media wala kama huyo Mengi na Ruge.
Wengine ilivuma Sana Kwa sababu ya media kama Ruge ambaye hata matajiri 1000 wa kihaya hayumo
Kumbe hujui hata unachoongea!Ukweli upi?
Nimeandika mengi. Be precise please.
Andika vitu sensible sio unaandika ukifikiri kila mtu yupo kichwani mwako.
Mimi ninkati ya watu wachache wanaopenda uthibitusho hapa JF.
Ukija kizembe utaulizwa uthibitishe kama kweli unataka uthibitishi au unazuga kuganga tu.
Tunashindanisha maendeleo ya vijiji,tunataka mapicha ya Kijiji alikozaliwa na mandhari kiujumla Kama sisi wa kilimanjaro tunavyofanya,sisi kilimanjaro na kagera tunajuanaWewe mjinga sana.
Unashindanisha misiba!
Mungu amrehemu ndugu yetuRest In Peace Mr. Mufuruki.
My heart gies out to family and friends.
Jana tu nilikuwa naongea na mtu, nikamtaja Mr. Mufuruki alivyokuwa frustrated na serikali ya Tanzania licha ya kuiunga mkono sana.
Mwaka huu umemchukua Mr. Reginald Mengi, kabla haujamalizika umemchukua Mr. Ali Mufuruki.
Mfuatilie kwasasa wataingia kina shirima wa precision,kina mosha nkHuyo massawe hata top 20 hayupo
Unajua logical non sequitur ni nini?Kumbe hujui hata unachoongea!
Nilipokuambia ujiheshimu ulikuwa umetoa shombo la ng'onda uliloamini kuwa ni ukweli ......ndiposa nimekuuliza unaweza kuuthibitisha?!
If your intention is to irritate me, you have to do better than that.Mungu amrehemu ndugu yetu
Kumtakia mtu rehema ni kukuudhi?kivipiIf your intention is to irritate me, you have to do better than that.
Much better than that.
Sasa unamtakiaje mtu mwingine rehema kwa kuninukuu mimi?Kumtakia mtu rehema ni kukuudhi?kivipi
Siti yako mbona siku hizi umeisusa?Joseverest said:REST EASY ALI
Dhambi husamehewa kabla hujafatruthone,
Mungu amsamehe madhambi yake.
wakati tunaendelea na msuba na maombolezo niulize tu swali dogo, je alikuwa na.maelewmao mazuri na Naibu makamu wa Rais wa kwanza wa Dar?
Huko Kuna Hospital za kiwango Cha Kimataifa.
Upumbavu haba ni mzito kuliko hekima na heshima!Kinonaala, I'm writing from Hell kid! You are welcome to join us!! I wish you die sooner because you seem to be a useless ass on Earth. Die asshole .... Ali was worth a million people. It's a pity he passed away sooner and you are still wandering. Welcome to the Hades!!!
Nadhani hospitali ziko vizuri; tatizo wagonjwa wanapelekwa wakati hali imeshakuwa mbaya sana.Seriously! Mbona 75% wanaotibiwa huko at least ninaojua end up In worse situations!! I feel we need to trust our professionals.
RIP Gentleman.