TANZIA: Ali Mufuruki afariki dunia Afrika Kusini. Aagwa katika Ukumbi wa JNICC. Kuzikwa Makaburi ya Kisutu, Dar

TANZIA: Ali Mufuruki afariki dunia Afrika Kusini. Aagwa katika Ukumbi wa JNICC. Kuzikwa Makaburi ya Kisutu, Dar

Kiranga,
Ukweli huo unaweza kuuthibitisha au hiyo fake id ndio inakupa ujasiri?
Ukweli upi?

Nimeandika mengi. Be precise please.

Andika vitu sensible sio unaandika ukifikiri kila mtu yupo kichwani mwako.

Mimi ninkati ya watu wachache wanaopenda uthibitusho hapa JF.

Ukija kizembe utaulizwa uthibitishe kama kweli unataka uthibitishi au unazuga kuganga tu.
 
😀 😀 😀
Mkuu... familia yetu unaijua?

.....ila ni kweli!

OUT OF TOPIC:

Sijawah ona mtu m'bishi kama Kiranga
Hakuna maendeleo bila ubishi.

Hakuna kikichosemwa kwa kujivuna. Nimeandika kuweka rekodi sawa kwamba siwezi kumchukia mtu aliye beneficiary wangu hivyo. Naongea princiole, sina roho ya chuki na mtu, hususan wa caliber hiyo.

I am a Davidian when it comes to such matter, I come within slewing distance, but I only cut the cloth to prove a point.

Ubishi ni muhumu katika maendeleo. Hakuna jamii iliyoendelea bila ubishi.

Hata hii internet imetengenezwa na watu wabishi waliochika kuandukiana barua kwa posta.

Sasa ubishibsi kitu kibaya.

Tatizo, ubishi juu ya nini? Kwa hija gani? Kwa tija gani? Kwa elimu gani?

Zama kwenye hoja, usi dismiss mtu jwa sababu mbishi tu.

Inawezekana mtu unamuina mbishi kwa sababu anajua mengi zaidi yako anakuelimisha vile vile.
 
Ukweli upi?

Nimeandika mengi. Be precise please.

Andika vitu sensible sio unaandika ukifikiri kila mtu yupo kichwani mwako.

Mimi ninkati ya watu wachache wanaopenda uthibitusho hapa JF.

Ukija kizembe utaulizwa uthibitishe kama kweli unataka uthibitishi au unazuga kuganga tu.
Kumbe hujui hata unachoongea!

Nilipokuambia ujiheshimu ulikuwa umetoa shombo la ng'onda uliloamini kuwa ni ukweli ......ndiposa nimekuuliza unaweza kuuthibitisha?!
 
Wewe mjinga sana.
Unashindanisha misiba!
Tunashindanisha maendeleo ya vijiji,tunataka mapicha ya Kijiji alikozaliwa na mandhari kiujumla Kama sisi wa kilimanjaro tunavyofanya,sisi kilimanjaro na kagera tunajuana
 
Rest In Peace Mr. Mufuruki.

My heart gies out to family and friends.

Jana tu nilikuwa naongea na mtu, nikamtaja Mr. Mufuruki alivyokuwa frustrated na serikali ya Tanzania licha ya kuiunga mkono sana.

Mwaka huu umemchukua Mr. Reginald Mengi, kabla haujamalizika umemchukua Mr. Ali Mufuruki.
Mungu amrehemu ndugu yetu
 
Kumbe hujui hata unachoongea!

Nilipokuambia ujiheshimu ulikuwa umetoa shombo la ng'onda uliloamini kuwa ni ukweli ......ndiposa nimekuuliza unaweza kuuthibitisha?!
Unajua logical non sequitur ni nini?

Unaelewa mimi kukuuliza ujieleze vizuri ukweli upi unaouulizia hakumaanishi sijui nimeongea nini?

Ukweli nini? Unathibitishaje huu ni ukweli na huu ni uongo?
 
Kinonaala, I'm writing from Hell kid! You are welcome to join us!! I wish you die sooner because you seem to be a useless ass on Earth. Die asshole .... Ali was worth a million people. It's a pity he passed away sooner and you are still wandering. Welcome to the Hades!!!
Upumbavu haba ni mzito kuliko hekima na heshima!
 
Taifa limepoteza, Familia inepoteza ila tumebakiwa Mawazo ya Ali A. Mufuruki. Pumzika kwa amani katika Udongo mzuri
 
Back
Top Bottom