LAPSE RATE
Member
- Oct 18, 2015
- 79
- 98
Hiyo Ni kauli ya kukata tamaa. Kwa hyo watu wasitafte mali kwasababu ipo siku watakufa. Fikiria nje ya boksiHizo lugha zitakusaidi nini wewe wakati upo ndani ya jeneza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Ni kauli ya kukata tamaa. Kwa hyo watu wasitafte mali kwasababu ipo siku watakufa. Fikiria nje ya boksiHizo lugha zitakusaidi nini wewe wakati upo ndani ya jeneza?
Hiyo Ni kauli ya kukata tamaa. Kwa hyo watu wasitafte mali kwasababu ipo siku watakufa. Fikiria nje ya boksi
Nini kimuondoa?
Baada ya Mengi kuondoka yeye ndio alikuwa mtanzania mweusi mwenye ukwasi akiyebakia
Mauti hanaga utajiri wala umasikini wala umri wala jinsia...Pole sana kwa wafiwa, Matajiri wa nchii tumepata pigo jingine kubwa ndani ya mwaka huu
ila hawa wanawake tunao kutana nao na kuishi nao 'ukubwani' baada ' ya mambo kuwa safi' hawa Mungu anawaona, yaani ndugu wa alli ukiwaona ni choka mbaya ya hataree, yaani jamaa alikamatika adi kushindwa kuwatupia ndoano wadogo zake ili wakavue samaki wenyewe, kwa kweli wana haki ya kumlalamikia mke wa marehem…………...Naifkiria ile voice note ya dada wa ally mfuruki kuhusu vitimbi vya mke wa marehemu dhidi ya mama mkwe wake.kama ni kweli basi dunia ina viumbe wazito mno
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wifi akatafute vyakeNaifkiria ile voice note ya dada wa ally mfuruki kuhusu vitimbi vya mke wa marehemu dhidi ya mama mkwe wake.kama ni kweli basi dunia ina viumbe wazito mno
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo dada ni mnafki kama wanafki wengine wa bongo.Dada wa marehemu kaamua kujipambanua yeye na familia yake,shetani akikutumia anakuacha unadhalilika mwenyewe ukijiona unadhalilisha wengine
ila hawa wanawake tunao kutana nao kuwaoa 'ukubwani' baada 'mambo kuwa safi' hawa Mungu anawaona, yaani ndugu wa alli ukiwaona ni choka mbaya ya hataree, yaani jamaa alikamatika adi kushindwa kuwatupia ndoano wadogo zake ili wakavue samaki wenyewe, kwa kweli wana haki ya kumlalamikia mke wa marehem…………...
Clip haina kipya, tuliyasikia kwa Mengi na hamna kilichobadilika!Naifkiria ile voice note ya dada wa ally mfuruki kuhusu vitimbi vya mke wa marehemu dhidi ya mama mkwe wake.kama ni kweli basi dunia ina viumbe wazito mno
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kabisa ila kajua kujipambanua na familia yakeHuyo dada ni mnafki kama wanafki wengine wa bongo.
Kwani wabongo wengi waliosoma na kufanikiwa kimaisha wamepata elimu zao kwenye nchi za magharibi au Asia ?Inashangaza Mufuruki hakuzaa na Mjerumani enzi alipokuwa Mwanafunzi Ujerumani. Inaonekana aidha alikuwa very self-disciplined au familia yake walmpa bonge la NO kuhusu mapenzi na wanawake wa Kizungu. Wanaume wa rika lake wengi walirudi na wake wa Kizungu toka Ulaya.