Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Hivo alihukumiwa na mahakama au kitengo ???????!!!!!Kosa alilofanya akala kifungo cha maisha ndio kimeisha sasa yupo huru so anahaki ya kizikwa kitaifa na hali zake alizoitumikia nchi anastahili apate.. So kama sifa apewe na kama makosa yaachwe keshatumikia kifungo chake chote.... Sawa sawa Njile na kiteta...
Wacha kuwadanganya watu lini alipelekwa london kwa matibabu na hizo choko choko ulikuepo na tuoe ushahidi wa hilo jamboilimsahau vipi wakati alipata stahiki zake kama makamu wa rais mstaafu,na rais mstaafu wa zanzibar?
Kaka usikurupuke kila jambo fanya utafiti kwanza,Pamoja na uzee kochokocho,aliokuwa nao,bado alikuwa na mtu wa Tiss pembeni na Land cruiser ya serikali,achilia mbali matibabu ya mara kwa mara London
ilimsahau vipi wakati alipata stahiki zake kama makamu wa rais mstaafu,na rais mstaafu wa zanzibar?
Kaka usikurupuke kila jambo fanya utafiti kwanza,Pamoja na uzee kochokocho,aliokuwa nao,bado alikuwa na mtu wa Tiss pembeni na Land cruiser ya serikali,achilia mbali matibabu ya mara kwa mara London
Vp vigogo washaanza kusogea hapoYes kigamboni mji mwema
Utawasikia tuu wanavyo msifu.miaka yote hiyo wamemuweka kizuizini,siasa zetu hovyo kabisaaaKweli mkuu unafiki kwa kwenda mbele, hata kumtembelea walikuwa hawaendi wakati ni hapo Kigamboni tu.
RIP mzee wetu mtakutana nao huko huko kwa hakimu wa Haki.
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun
Siku thelathini za maombolezo, hakuna mikutano ya kisiasa wala the like.Atapambwa had KWENYE magazeti yote na sifa kemkem,binadamu kwa unafiki,mtu mzuri akifa
tatizo wewe una miaka 22,Jumbe kaacha kusafiri baada maradhi ya utu uzima kumuingia,Ushahidi kaulize wanawe,MMoja ni mkurugenzi mkuu wa bandari Zanzibar sijui kama unamjua yupo serikalini,Wacha kuwadanganya watu lini alipelekwa london kwa matibabu na hizo choko choko ulikuepo na tuoe ushahidi wa hilo jambo