Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakamchukue aje kuongoza nchi Dar sio kujificha chato huku wenzie aliyowaambia wapige kazi wanapotea. Hazina zinapotea pasi sababuUnajifungia ndani chato huku unamwambia wenzako endeleeni kuchapa kazi Kama wewe siyo muuaji ni nani?
Hapo sasaaaHivi ile, KUFUATILIA MGONJWA ALIONANA/ALIKUWA NA NANI kwa Wabunge haiwahusu? Hapo si Bunge zima linatakiwa karantini ya siku 14 linaihusu?
Waacheni wamalize shughuli tuliyowatuma, ni muhimu kuliko afya zaoBunge lisitishwe
Ndugai naye ajiangalie sana na ubishi wake,immunity yake ilivyo hafifu ugonjwa utamfagia haraka mnoBunge limegeuka kuwa machinjioni. Hivi mpaka afe Ndugai ndo hawa wakawekwe karantini? Ulafi wa posho na kiburi cha kutaka kumaliza shughuli za per ratiba KUTAWAMALIZA wote
Majina yao?Bunge la Jamhuri ya Muungano limepoteza Wabunge Wanne ndani ya kipindi cha siku thelathini....
Daaah!!! Kwa nini usifumaniwe Tu na Coronai!!??Nilikuwa nimeshaweka kibra shemeji yenu,baada ya hii post kibamia kimesinyaaa. daah rip mwanadiplomasia
Eeh mwanadiplomasia huyo lazma alikuwa ni muelewa sana. Hawanaga asili ya ubabe!Kumbe nawe umeona walivyofanana, jamani mbaba wa watu [emoji24][emoji24]naona Kama alikuwa Mpole masikini
Sent using Jamii Forums mobile app
AISEE HALI NI TETE TUNAKWISHA JAPO WANASEMA HIVI VIFO SIO VYA CORONA ILA KWA NINI IWE WAKATI HUU WA CORONA NDO VIFO VINAZIDI?!
Hao wanaoleta siasa ni kuwaacha tuR.I.P
Hakuna aliyeko salama. Tuchukue tahadhali kujilinda.
Embu tuwekeni siasa pembeni kwenye hili. Tuweni serious aisee.
Posho Kwanza afya baadae waacheni wachape kaziHalafu anasema endeleeni kuchapa kazi. Hao wabunge huko bungeni wanafanya nini? Watu watakwisha kwa tamaa ya posho badala ya kuangalia Kwanza afya zao.