Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiku wa juzi kuamkia jana Moshi manispaa wamezika watu 15 usiku kwa usiku,takwimu zinafichwa huu igonjwa na utatumalizaHuu ugonjwa ni hatari mazee naona kigogo anasema gambo kazika 30 kwa siri kumbe lema alikuwa eneo la tukio
Mkuu unataka kumuambia nini Mrema?Agustino wote mkae mkao wa kula week hii ni yenu. Alianza jaji mstaafu sahivi mzee Mahiga...next hatujui ni nani
huwa unaishi nae hadi ujue kuwa hakuwahi kuugua ghafla?jamani tudiambizane tu aliugua ghafla wakati miaka yote hajaugua ghafla...
aya...
Niliona Ile lema kasema alienda kuangalia kaburi la mama mkwe 😄😄😄😄Huu ugonjwa ni hatari mazee naona kigogo anasema gambo kazika 30 kwa siri kumbe lema alikuwa eneo la tukio
Sio kukubaliwa sema hakuna mliekuwa mnamuomba!Au labda maombi yetu hayakukubaliwa?
Mngemwacha awe mstari wa mbele wa kuchapa kazi alaaaHizo barua huandikwa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu. Mzee wetu tumemuhifadhi mahali salama baada tu ya kugundua hii Corona si ya kuiletea utani.