Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Tuchape kazi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza ukaanza wewe kufa kama akili ndio hizi za kichawi.Hio corona inatakiwa iyauwe maccm yote maana yametesa watu sana tens wale wates wakuu wakiongozwa na baba yao pamoja na bashite wanatakiwa wafe kabisa.
Mkuu, kinachowamaliza ni COVID wao wanatangazwa kwakuwa ni wanajulikana ila ukweli vifo vimetapakaa sana. Yani watanzania ni tumekufa aisee! Tumeisha.Kiukweli hali ni mbaya sana kwa huu ugonjwa wa Covid-19 ila pia kwa watu wazito kulikuwa na tendency ya baadhi yao kwenda kutibiwa nje kwa baadhi ya matatizo ya kiafya(Kuhusu Dr Sijui) ambayo hospitali za ndani hazina uwezo na saizi nchi yetu imesitisha safari za anga kwa abiria na nyingi ya hizo nchi zimesitisha watu kuingia na kutoka hiyo pia inaweza kupelekea watu hao kuzidiwa na kukosa huduma au kupata pressure kwa mawazo tu na kupelekea kufariki ,yote yanawezekana. Tuendelee kuchukua kila taadhari, Tuendelee kumuomba Mungu atusaidie kwa hili. Pumzika kwa Amani Dr.
Acha bwanaaaHuu ugonjwa ni hatari mazee naona kigogo anasema gambo kazika 30 kwa siri kumbe lema alikuwa eneo la tukio
Usiseme hivo mungu hapangiwi na huu ugonjwa hauchagui chama dini kabila wala jinsia Bali sote tuko ktk hali mbaya Leo katangulia yy kesho na weza kutangulia mm na siku nyengine akatangulia mtu yoyote ndani ya familia yakoHio corona inatakiwa iyauwe maccm yote maana yametesa watu sana tens wale wates wakuu wakiongozwa na baba yao pamoja na bashite wanatakiwa wafe kabisa.
Hii ishu iko serious ila naona wenye wadhifa wanafanya utaniUsiku wa juzi kuamkia jana Moshi manispaa wamezika watu 15 usiku kwa usiku,takwimu zinafichwa huu igonjwa na utatumaliza
Mkuu, sio watatu!Bunge la Jamhuri ya Muungano limepoteza Wabunge Wanne ndani ya kipindi cha siku thelathini....
Ni maamuzi gani sahihi serikali inaweza chukua?Hii serikali tunapaswa kuilazimisha kufanya maamuzi sahihi. Ni hilo tu lililobakia.
Inasikitisha sana,Unajifungia ndani chato huku unamwambia wenzako endeleeni kuchapa kazi Kama wewe siyo muuaji ni nani?
Kwani kule Comoro wanakula niniWakikaa ndani utawalisha acha uboya wewe.