Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama una Doz ya kujifukiza Acha utakuka kukata Moto GhaflaWapi imeandikwa alibadilika baafa ya kujifukiza?
nchi tajiri hii acha ujingaYeye alivojifungia anakula nini?? Hizo nchi zingine watu wanaokaa ndani wanakula nini.ndio maana tutakufa hovyo kwa akili za kijinga Kama zakwako
Kumbe nawe umeona walivyofanana, jamani mbaba wa watu [emoji24][emoji24]naona Kama alikuwa Mpole masikiniKafanana na hayati TX Moshi
Du si mchezoNilikuwa nimeshaweka kibra shemeji yenu,baada ya hii post kibamia kimesinyaaa. daah rip mwanadiplomasia
SAHAUEh Mungu ni kitu gani hiki. Tunaomba rehema zako ziwe nasi Bwana.
Pumzika kwa Amani kiongozi.
Mnalipishwa kodi kumlishaYeye alivojifungia anakula nini?? Hizo nchi zingine watu wanaokaa ndani wanakula nini.ndio maana tutakufa hovyo kwa akili za kijinga Kama zakwako
[emoji23][emoji23][emoji23] umeona eeh tena imeingia jua likiwa kali haswaa[emoji1]Hii corona naona imeingia Ikulu live mchana kweupe
Sawa mkuu.Umri wake unaijua?? Hali yake ya kiafya waijua?? Hayo ndio Maswali ya kimsongi mwanaume unatakiwa kujiuliza, na sio kupiga umbeaaaaaa, kama shoga maana jasiri aachi fani yake