OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nilikuwa nimeshaweka kibra shemeji yenu,baada ya hii post kibamia kimesinyaaa. daah rip mwanadiplomasia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli vijana pia tunakufa, na sikua na lengo la kumaanisha kua vijana hawafi ila nawaza tu busara tutapata wapi wakati wazee wote wenye hekima zao wanaondoka, Kwikima, Augostino, Mahiga......Siyo wazee hata vijana wanakufa usijidanganye.
Rais anatangaza kifo cha waziri wake balozi Augustino. Kama kawaida naye amebadilika ghafla kiafya baada ya kujifukiza alipokuwa anaumwa jana jioni. View attachment 1436100
Kwani mpaka Rais aandike? Sisi ndiyo tunaojua hutaki unaacha.Wapi imeandikwa alibadilika baafa ya kujifukiza?
Very sad indeed. Our future president is no more. #Nyingu_Day_1Sad day indeed; RIP Dkt. Mahiga...
Inaumiza.Mbona mara mbili mbili
Ndiyo mana Mkuu kamchukuwa Dkt mama Chaula atoke wizarani awe karibu yakeSa hivi kama uma mzee wako ana matatizo ya moyo au kisukari jitaidi kumlinda sana na pia asipate hata hizi tetesi au ukweli kuhusu corona mana zitamuondoa haraka.
Changamoto ya Kupumua labda?TUNAZIDI KWISHA, TUNAZIDI KUPUKUTIKA, ILA WANATUPA MOYO KUWA SIO CORONA