OnePlus Nord CE
Senior Member
- Feb 5, 2019
- 176
- 347
Kwani umelazimishwa kutoka kwako wewe si jilock down mwenyewe aseeLockdown ndiyo itakayo tuokoa
Mi natamani bunge na ikulu viiendelee kugongwa hivihivi labda wataaguswa kwa namna ya kipekee.Kazi ipo
3 MPs ndani ya siku 10Swali kubwa sana hili; sio kwasababu limeandikwa kwa herufi kubwa!
Anatuonea huruma tutakufa njaa utadhani tunavyoishi na kula anatusaidia yeye.Unajifungia ndani chato huku unamwambia wenzako endeleeni kuchapa kazi Kama wewe siyo muuaji ni nani?
Ili iweje?Hivi ndugu yangu huna namba ya simu ya Magu uongee naye moja kwa moja. Wewe ni mkongwe sana MMM
Kwani umelazimishwa kutoka kwako wewe si jilock down mwenyewe asee
Mkuu kwa huyu mzee nimesikitika sana!Sijui hii huruma imetoka wapi ila nimeumia sana!Hio corona inatakiwa iyauwe maccm yote maana yametesa watu sana tens wale wates wakuu wakiongozwa na baba yao pamoja na bashite wanatakiwa wafe kabisa.
Agustino wote mkae mkao wa kula week hii ni yenu. Alianza jaji mstaafu sahivi mzee Mahiga...next hatujui ni naniKweli vijana pia tunakufa, na sikua na lengo la kumaanisha kua vijana hawafi ila nawaza tu busara tutapata wapi wakati wazee wote wenye hekima zao wanaondoka, Kwikima, Augostino, Mahiga......